Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Km umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!

Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!

Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!

Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!

Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
Mwanaume anaejielewa ndo mwenye hela au?
 
Ni kweli Mkuu, maneno haya ya matumaini ni kwa wale ambao hawakufanya hayo uliyoyasema.

Japo kuna nyakati Mungu hutoa nafasi ya pili ili kujifunza

Unakumbuka kisa cha yule Mwanamke Kahaba aliyepelekwa kwa Yesu ili auawe kwa kupigwa mawe?

Amesema anatoa kadri tunavyomuomba, ndiyo ni yeye aliyezaliwa juzi 25 December 🙏🙏
Mifano mingine ya kwenye Biblia nayo mh! Ni miujiza tu na inabakia kuwa hivyo. Ililengwa kutufundisha kitu kuhusu uwezo wa Mungu.

Sara alizaa akiwa na miaka 80 sijui. Tunapaswa kweli kuuchukulia muujiza huu literally kama kipoozeo cha wanawake lukuki waliovuka, let's say 70, kuwa wasikate tamaa na watazaa tu hata kwenye 80s kama alivyozaa Sara?

Ndiyo. Aliyezaliwa juzi Desemba 25 anatupa wote second chance...lakini pia hizo second chance zisipokuja (kama katika hii hoja tunayoizungumzia hapa) basi tusijifariji eti wakati wa Mungu haujafika wakati kumbe tunavuna tulichopanda! 🙏🏿
 
Kuolewa na kuzaa ,je baada ya hapo kipi kitabadilika katika MAISHA yako.

Ikiwa mwanamke hana uwezo wa kiuchumi uliosimama imara asiwekeze kuzaa ilimrdi kazaa ila awekeze katika kujikomboa kwenye umasikini kwanza maana dunia ya science na technology inahitaji watu ambao ni productive . so hata Kama hauna mtoto kila kitu kina work out easily.


Tubadilike ukijua wewe ni masikini elekeza silaha zako zote katika kupambana na umasikini kwanza.


Watoto wapo mtaani wametelekezwa na baba zao wanateseka , wanasoma shule chafu dumu fagio ,wamekondeana kisa tu kulazimisha kuzaa .


Hapa duniani hakuna uhaba wa kitu chochote so wanawake wawe positive wafurahie maisha Kama lady jaydee, Mama Teresa .

Ishi katika purpose yako inatosha.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imagine unalala unaota unafanya mapenzi na dada yako anaekufuata. Asubuhi ukiamka kweli umechafua shuka
Cha kushangaza tangu hapo mashine haisimami hata ile nature yenu wanaume kuwa asubuhi ni lazima mashine isimame wewe holaaaa . ile ukiona maungo fulani ya mwanamke ule msisimko ishtuke wewe holaaaa

🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!

Wachawi wasennge sana
 
Km umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!

Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!

Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!

Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!

Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
Hata huko kwenye semina za Mwalimu wanaume wanaojitambua hamuwaoni? Yawezekana basi tatizo liko pia upande mwingine. Wote mjichunguze!

Naamini wanaume wanaojitambua wapo kibao. Hali kadhalika wanawake wema pyua waifu matirio wapo kibao. Ni wajibu wetu kuwatafuta (kiroho or whateva!) mpaka wapatikane.

Kusema eti wanaume/wanawake wanaojitambua wa kuingia nao katika ndoa wako wapi ni nonsense!🚮
 
Mifano mingine ya kwenye Biblia nayo mh! Ni miujiza tu na inabakia kuwa hivyo. Ililengwa kutufundisha kitu kuhusu uwezo wa Mungu.

Sara alizaa akiwa na miaka 80 sijui. Tunapaswa kweli kuuchukulia muujiza huu literally kama kipoozeo cha wanawake lukuki waliovuka, let's say 70, kuwa wasikate tamaa na watazaa tu hata kwenye 80s kama alivyozaa Sara?

Ndiyo. Aliyezaliwa juzi Desemba 25 anatupa wote second chance...lakini pia hizo second chance zisipokuja (kama katika hii hoja tunayoizungumzia hapa) basi tusijifariji eti wakati wa Mungu haujafika wakati kumbe tunavuna tulichopanda! [emoji1545]
Sasa huyo mtoto wa kumzaa ukiwa na miaka 70 sijui 80 wanini, au unataka utuachie fujo kama alivyofanya yule Mzee wa IPP
 
Huko Afrika watu wanakupangia maisha yako wewe mwenyewe uishi vipi.

Yani mtu anakupangia uolewe na uzae, hata hajui sababu zako za kuishi unavyoishi ni zipi.
Ndio ,yaani hajui hata kipato Chako,nk.
Yaani ukifika 30 tu Kwa wengine nongwa🤣
Washauri kibao,zaa tu umri umeenda , umechelewa.
Ukiolewa ss ndo kabisa ,ooh umechelewa utazaa kweli 🤷🤷🙄😂
Hii ndo Africa!
 
Hivyo ukiona jambo lako halijafanikiwa ujue, wakati sahihi bado haujafika [emoji120][emoji120]

Kuna mwamba alioa miaka ya 1997/1998 akaja akapata mtoto wa kwanza mwaka 2009.

Kipindi chote hicho kabla ya kupata mtoto wa kwanza alijaribu kuhangaika kutafuta suluhu hadi akafikia kukata tamaa na akaamua kuoa mke wa pili ili awezebkupata mtoto kupitia mke wa pili.

Lakini jamaa baada ya kuoa mke wa pili na akashoot kote kote wakapata ujauzito wote(mke wa kwanza ambaye haukuweza kupata ujauzito tangu mwaka 1997 na mke wa pili aliyemuoa kama suluhu ya kutatua shida ya kupata mtoto)

Tangu hapo jamaa akawa anazalisha kwa mkupuo wake zake wote wawili.

Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, sisi huwa tunaweka juhudi tu.

Pia hoja ya mleta mada ni sahihi hiiki kipindi huwa kinatia sana stress kwa wanandoa, tena usiombe ukiwa unasemwa na watu hasa mawifi
 
Hata huko kwenye semina za Mwalimu wanaume wanaojitambua hamuwaoni? Yawezekana basi tatizo liko pia upande mwingine. Wote mjichunguze!

Naamini wanaume wanaojitambua wapo kibao. Hali kadhalika wanawake wema pyua waifu matirio wapo kibao. Ni wajibu wetu kuwatafuta (kiroho or whateva!) mpaka wapatikane.

Kusema eti wanaume/wanawake wanaojitambua wa kuingia nao katika ndoa wako wapi ni nonsense!🚮
Nimetoa baadhi ya sbb
Na unajua wanawake wako wengi kuliko hao wanaume,usisahau msukuma 🤣.

Wapo ila na wanawake wengi pia hawawezi kutosheleza mahitaji ya wanawake wote we unajua like nyomi la Kwa mwalimu!

Halafu tar 10-14 ,Jan tutakua Arusha
 
Kwa kuongezea pia kuna wanaotaka kuadopt watoto napo shida ya uhaba wa watoto yatima walio wadogo kwa kuwaadopt. Kazi kweli kweli/job true true
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari,

Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa.

Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa kuolewa limekuwa tatizo kwa baadhi ya wanawake na mpaka basi.

Wengine wanafikia hatua ya kutafuta wanaume hata wa kuishi nao ili tu wafiche hiyo aibu ya kuchelewa kuolewa.

Hii ya kutafuta wanaume wa kuishi nao inaitwa sogea tukae au uchumba sugu.

Kuna wanaotafuta vijana na kuwaoa ili tu kuondoka na jinamizi la kuchelewa kuolewa na wanaume.

Achana na hilo jinamizi linalowachelewesha wanawake kuolewa, twende kwa wale ambao wanaolewa ila wanachelewa kuzaa yaani kupata watoto.

Jinamizi hili limekuwa gumzo huko duniani yaani wanawake wanavizazi ila hawashiki mimba, wanakipima hawana tatizo.

Pia kuna wale wanawake ambao wanamatatizo ambayo ni ya kujitakia wao wenyewe wanajua walivyokula ujana wao.

Yaani wanawake hao walikaanga mayai yao na kwa bahati mbaya wakayaunguza kwa kutoa mimba, hivyo hawakuweza kuyala yaani kuzaa watoto.

Kuna wanawake wengine matatizo yanatoka na uchawi/ Mizimu na uganga.

Wanawake hawa wanakuwa wanao uzazi ila uzazi wao umefungwa kwa vifungo vya nguvu za giza hivyo hawawezi kuzaa.

Vifungo hivi vya wanawake vimekuwa vinatofautiana maana wengine ni uchawi wa ndugu au wazazi au jirani hata rafiki.

Kuna wanawake ambao mizimu ya upande wa mama au baba inakuwa inawazuia wanawake kupata watoto kutokana na agano waliloingia ukoo wao.

Kuna wanawake ambao ambao wengine wamefungwa na uganga, inaweza kuwa ni chuki ya ndugu marafiki hata jirani.

Hayo ni baadhi ya majinamizi yanaoyowakumba wanawake kuchelewa kuzaa na kufikia kuteseka sana.

NB: Kuna wanachelewa kuzaa au kuolewa kwakuwa wakati wa Mungu bado.


Kwa Yesu yote yanawezekana...




Donatila
Kwa huruma ya Mungu,
nimewiwa kuomba pamoja na wote wanaoteseka na kuteswa na jinamizi hilo la fedheha maishani..

Na sasa tuombee.....

Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.

Baba nakushukuru kwa zawadi ya uhai na afya unazotujalia daima.
Kwaniaba yangu mwenyewe na hawa watoto wako wa kike na wakiume wanao hangaika kukutafuta na kukulilia wewe maishani mwao.

Nawaombea msahaha vijana wote katika ukaidi, majivuno na tamaa za mwili na roho walikengeuka na kukuacha wewe na kutekwa nyara za kimwili na kiroho na muovu shetani..

Baba wanao wanakulilia, kwa uchungu na majuto, wanatamani kushiriki nawe katika kazi ya uumbaji katika ndoa. Mungu wanao wanaomba uwajaalie watoto...

Ewe Roho Mtakatifu nakuomba, huisha maskio ya nafsi na mioyo ya watoto hawa wa Mungu wahangaikao, ili wawe tayari kusikia sauti ya wito wa Mungu maishani mwao.....

Nimeomba nikiamini utapokea muujiza wako kwa wakati wa Mungu tunapoelekea Mwaka mpya 2024....

Mwenye pumzi na aseme na kuandika Aimen.....

Nakutakia Neema na Baraka za Mungu katika mwaka mpya ujao 2024..
 
Back
Top Bottom