Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Dada donatila eee, hapo kwenye enibiiii ndio jibu la changamoto zote😂😂😂.

Hili la kukosa watoto kwenye ndoa kama limeegemea upande mmoja kwa nilivyoona mm,maana shida zingine chanzo n Mwanaume.
Kuna wanawake wengine wanaolewa, wanazaa. Lakini wanazaa watoto wa kike tu.

Basi wanasemwa, wengine wanapigwa kabisa na kuachwa, kwa sababu hawazai watoto wa kiume.

Kichekesho ni kwamba, mtu anayefanya mtoto azaliwe wa kiume ni mwanamme, si mwanamke.

Hivyo, wanawake hawa huwa wanasema vibaya na kupigwa kwa kosa la mwanamme kushindwa kuzalisha mtoto wa kiume!
 
Imagine unalala unaota unafanya mapenzi na dada yako anaekufuata. Asubuhi ukiamka kweli umechafua shuka
Cha kushangaza tangu hapo mashine haisimami hata ile nature yenu wanaume kuwa asubuhi ni lazima mashine isimame wewe holaaaa . ile ukiona maungo fulani ya mwanamke ule msisimko ishtuke wewe holaaaa

🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!

Wachawi wasennge sana
Yaa
Sa hii Huwa inategemea inaweza kuwa spiritual husband Kwa mwanamke/wife Kwa mwanaume na wanakuja na sura tofauti tofauti!
It's spiritual thing!

Na hua inatokana na covenant zilizofanyika kwenye generation zilizotangulia huko kwenye Koo/familia....
Au wengine mtu anakuongilia Kwa njia hiyo ,Kuna kesi,mdada alikataa kuolewa mke wa pili sijui wa 3 ,yule mwanaume akawa anamtembelea Kwa style huu akilala....

Ni elimu pana ....
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Nani kakudsnganyaaa!!
Ongea nao vizuri watakwambia kuna nyakati huwa wanapitia.
Hali ni mbaya sana machumbani huko wanakolala na mito yao..
 
Uchawi Upo binafsi nilishuhudia kabisa 🙌🙌🙌🙌🙌!

Wachawi Sio watuu
Ulishuhudia kitu gani , kuna kipndi nilikua natafuta nyumba ya kukaa kwa mda fulani eneo fulani kama miezi 6 iv , nilipata nyumba nzuri ila nikapewa story za kitaa hiyo nyumba ina majini , watu wanapigwa usiku , niliichukua nione hayo majini , nakupunguziwa bei kabisa kwa sababu haikua na wateja.

Nilikaa pale hakuna chochote ila ule mtaa walikua wananiogopa mno wakihisi mimi ni jini, kukazia zaidi nikawa natupia na kanzu kabisa.
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Bora leo umejibu vzr. Maana hukawii kuanza kuleta hoja zko za kitoto.... Kwamba uchaw hakuna mizimu hakuna sjui thibitisha km uchaw upo leleleee sjui nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema mwamba huwa unazngua sn

.... Anyway narud kw mtoa mada uchaw / nguvu za giza znatesa sana wanawake kwny ishu za uzaz

Kwa imani tuseme Mungu awatie nguvu washinde uchaw nakupata hitaj lao km watoto na ndoa bora
 
Kila MTU aishi kwa kufurahia maisha Kwa ukubwa kuoa au Kuolewa isiwe sababu ya kukosa Amani ya moyo

Ukipata MTU sahihi olewa na oa Ila usipompata endelea kuishi katika purpose yako na kufurahia kila moment unayopitia katika MAISHA .


Hii dunia inatudai mambo mengi ya muhimu na sio watoto na Mme ah mke tu.


Waacheni wanawake waishi bila stress ujue mwanamke ukimpa stress unamfanya azeeke haraka .
 
Back
Top Bottom