Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Nazungumza na wengi.....wengi saana kutokana na aina ya kazi ninayoifanya.
Katika wanawake 5 unakuta ni mmoja tuu bado hajaanza kujuta kuwa single ama single mama na hii haswa unakuta umri wake bado wamoto.
Lakini wale umri umesogea hali ni mbaya ni vile tuu hawawezi jieleza mtaani ila tukikutana nao kwenye chumba cha mtu mbili wanaongea makubwa.
Lakini wengi wao sio kwa kupenda laa!! Wanawake % kubwa wanapenda ndoa ila vijana wa kisasa wanawaangusha. Vijana hawataki kubeba majukumu, pia wadada wakisoma au kuwa na kipato kidogo wanajaa viburi sasa ngoma ikishaanza kuvuka 35 kwenda huko kuna mazingiraa huwapata.
Sisi wataalamu wa saikolojia kuna namna tunazungumza nao, wanatoaga yoote ya moyoni.
Kiufupi hali si shwari kitaa,wanalia kimoyo moyo.
 
Hata wakijuta.

Wana haki ya kuishi maisha wanayoyataka na kujuta.

Na hatujui nani atajuta, na nani hatajuta.

Kwa hivyo, tuwaache wafanye mambo yao kwa uhuru.

Kitu muhimu ni kuhakikisha kila mtu anapata elimu ya kujua vizuri kujiamulia mambo yake mwenyewe.

Hizo habari za kujuta, inawezekana hakuna asiye na majuto ya aina fulani katika maisha yake. Kuna wakina mama wameolewa, wamezaa, na wanajuta kuolewa na kuzaa.

Sasa, hawa nao kujuta kwao kuolewa na kuzaa kunahalalisha kutoolewa na kutozaa?

Kama kunahalalisha, basi ni sawa tu watu kuamua kutoolewa na kutozaa.

Kama hakuhalalishi kutoolewa na kutozaa, basi watu kuishi na majuto kwa maamuzi waliyoyafanya wenyewe si tatizo.

So, kujuta hakutuambii lolote.
 
Good Evening father-xmas

Jina lako sina kumbu kumbu nalo kabisa, ila yote kheri ✌️

I do appreciate all, but tusifanye uzi ukageuka lengo tafadhali 😂😂🙌
 
Kwani ni kweli Yesu alizaliwa desemba 25?
 
Acha kupotosha jamii,

Hakuna uchawi wa kuzuia kuzaaa,

Zaidi ya asilimia 90% ya Wadada Wengi wenye tatizo la kuzaa, walitoa mimba nyingi ujanani na wewe ukiwemo.
 
Acha kupotosha jamii,

Hakuna uchawi wa kuzuia kuzaaa,

Zaidi ya asilimia 90% ya Wadada Wengi wenye tatizo la kuzaa, walitoa mimba nyingi ujanani na wewe ukiwemo.
Takwimu ya kichawi hii...
 
Mpendwa katika bwana leo ndio nimeuona uzi wako. Ameeen. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nani kakwambia kuwa Yesu alioa...

Mariamu Makdalena ni mwanamke aliyeokolewa na Yesu hivyo alimfuata Kila alipoenda, hii ndio chanzo Cha wapumbavu kuhisi kuwa alikuwa mke wake...

Hata Leo waliookoka wanalitaja na kuwa karibu na Yesu.
Na kuongezea Maria Magdalena mimi namjua vema sana, ana wajukuu zake anakaa pale ilala mtaa wa kama unaenda bungoni hivi.
 
Na kuongezea Maria Magdalena mimi namjua vema sana, ana wajukuu zake anakaa pale ilala mtaa wa kama unaenda bungoni hivi.
Tuache utani katika mambo ya YESU..

Namjua hakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…