Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
We ni mwanamkeKwani kuolewa na kuzaa ni lazima?
Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Nazungumza na wengi.....wengi saana kutokana na aina ya kazi ninayoifanya.Niongee nao wangapi? Wewe umeongea nao wangapi? Unajuaje hao ulioongea nao wanatosha kukupa maoni ya wanawake hao wote?
Kwani nani kakwambia kuamua kutoolewa na kutokuwa na mtoto maana yake ni kulala na mto?
Kwani wanaoolewa nao hawapitii hali mbaya sana kwenye matatizo ya ndoa?
Je, ikiwa wanaochagua kuolewa nao hupitia hali mbaya sana kutokana na uamuzi wao wa kuolewa, hilo linaubatilisha uamuzi wao wa kuolewa?
Ikiwa hilo linaubatilisha uamuzi wao wa kuolewa, huoni kuwa hao nao wanahalalisha uamuzi wa kutoolewa?
Ikiwa hilo haliubatilishi uamuzi wao wa kuolewa, huoni kuwa matatizo yapo kwenye maamuzi yoyote tu, kuolewa na kutoolewa, na watu wana haki ya kujiamulia watakavyo, bila kujali matatizo yatakayowakuta?
Hata wakijuta.Nazungumza na wengi.....wengi saana kutokana na aina ya kazi ninayoifanya.
Katika wanawake 5 unakuta ni mmoja tuu bado hajaanza kujuta kuwa single ama single mama na hii haswa unakuta umri wake bado wamoto.
Lakini wale umri umesogea hali ni mbaya ni vile tuu hawawezi jieleza mtaa ila tukikutana nao kwenye chumba cha mtu mbili wanaongea makubwa.
Lakini wengi wao sio kwa kupenda laa!! Wanawake % kubwa wanapenda ndoa ila vijana wa kisasa wanawaangusha. Vujana hawataki kubeba majukumu, wadada wakisoma au kuwa na kipato kidogo wanajaa viburi sasa ngoma ikishaanza kuvuka 35 kwenda huko kuna mazingiraa huwapata.
Sisi wataalamu wa saikolojia kuna namna tunazungumza nao, wanatoaga yoote ya moyoni.
Kiufupi hali si shwari kitaa,wanalia kimoyo moyo.
Shida hao wamepitiliza kila asiyezaa au kuolewa basi amelogwaSasa wewe mtanzania, unataka kuishi kama Mmarekani, why ?
Good Evening father-xmasSasa nimeshajua kwanini imekua rahisi kwako kucheza na hii pisi utakavyo🤣.
Waafrika tusioamini katika uchawi ni wachache sana na hao wachache ni sisi ambao tuko vizuri kichwani.
Huyo demu wako ukifuatilia comments zake ni zero brain akili ukubwa wa kisoda halafu kakutana na wewe bazazi akili ukubwa wa paa lazima sehemu zake za siri ziumie.
Huyo Antonnia ukimuweka na wanawake smart kama Depal na Joannah halafu uwape mada ya maana ya kujadili nina uhakika atabakia kuitikia tu tena ataitikia bila kuelewa anaitikia nini.
Iam sure hujamchezea Depal cause she is way too smart to be your marinette doll.Depal is too smart that ana uwezo wakuwekwa kamati ya kujadili mbinu za kuondoa mgao wa umeme na akatoboa.😁
Lastly,hongera. Unachezea pazuri mkuu,mi mwenyewe natamani nipate fursa yakuchezea zile.hips wakati natafuta beauty with brain ya kuoa.😁
Good evening DepalGood Evening father-xmas
Jina lako sina kumbu kumbu nalo kabisa, ila yote kheri ✌️
I do appreciate all but tusifanye uzi ukageuka lengo tafadhali 😂😂🙌
🙏🤍
Kwani ni kweli Yesu alizaliwa desemba 25?Ni kweli Mkuu, maneno haya ya matumaini ni kwa wale ambao hawakufanya hayo uliyoyasema.
Japo kuna nyakati Mungu hutoa nafasi ya pili ili kujifunza
Unakumbuka kisa cha yule Mwanamke Kahaba aliyepelekwa kwa Yesu ili auawe kwa kupigwa mawe?
Amesema anatoa kadri tunavyomuomba, ndiyo ni yeye aliyezaliwa juzi 25 December 🙏🙏
Inavyosadikika, maana alizaliwa miaka 2000 iliyopita wakati ambao sio mimi wala wewe aliyetegemea kuwepo Duniani.Kwani ni kweli Yesu alizaliwa desemba 25?
Acha kupotosha jamii,Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa.
Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa kuolewa limekuwa tatizo kwa baadhi ya wanawake na mpaka basi.
Wengine wanafikia hatua ya kutafuta wanaume hata wa kuishi nao ili tu wafiche hiyo aibu ya kuchelewa kuolewa.
Hii ya kutafuta wanaume wa kuishi nao inaitwa sogea tukae au uchumba sugu.
Kuna wanaotafuta vijana na kuwaoa ili tu kuondoka na jinamizi la kuchelewa kuolewa na wanaume.
Achana na hilo jinamizi linalowachelewesha wanawake kuolewa, twende kwa wale ambao wanaolewa ila wanachelewa kuzaa yaani kupata watoto.
Jinamizi hili limekuwa gumzo huko duniani yaani wanawake wanavizazi ila hawashiki mimba, wanakipima hawana tatizo.
Pia kuna wale wanawake ambao wanamatatizo ambayo ni ya kujitakia wao wenyewe wanajua walivyokula ujana wao.
Yaani wanawake hao walikaanga mayai yao na kwa bahati mbaya wakayaunguza kwa kutoa mimba, hivyo hawakuweza kuyala yaani kuzaa watoto.
Kuna wanawake wengine matatizo yanatoka na uchawi/ Mizimu na uganga.
Wanawake hawa wanakuwa wanao uzazi ila uzazi wao umefungwa kwa vifungo vya nguvu za giza hivyo hawawezi kuzaa.
Vifungo hivi vya wanawake vimekuwa vinatofautiana maana wengine ni uchawi wa ndugu au wazazi au jirani hata rafiki.
Kuna wanawake ambao mizimu ya upande wa mama au baba inakuwa inawazuia wanawake kupata watoto kutokana na agano waliloingia ukoo wao.
Kuna wanawake ambao ambao wengine wamefungwa na uganga, inaweza kuwa ni chuki ya ndugu marafiki hata jirani.
Hayo ni baadhi ya majinamizi yanaoyowakumba wanawake kuchelewa kuzaa na kufikia kuteseka sana.
NB: Kuna wanachelewa kuzaa au kuolewa kwakuwa wakati wa Mungu bado.
Kwa Yesu yote yanawezekana...
Donatila
Hakuna uchawi, ujinga mnaufanya wenyewe mnasingizia uchawi, shetani hadi Mungu.Takwimu ya kichawi hii...
Mpendwa katika bwana leo ndio nimeuona uzi wako. Ameeen. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Kama kuna mambo ambayo yamekuwa ya yakiwatesa na kuwasumbua wanawake ni kuchelewa kuolewa na kuchelewa kuzaa.
Tukianza na hili jinamizi la kuchelewa kuolewa limekuwa tatizo kwa baadhi ya wanawake na mpaka basi.
Wengine wanafikia hatua ya kutafuta wanaume hata wa kuishi nao ili tu wafiche hiyo aibu ya kuchelewa kuolewa.
Hii ya kutafuta wanaume wa kuishi nao inaitwa sogea tukae au uchumba sugu.
Kuna wanaotafuta vijana na kuwaoa ili tu kuondoka na jinamizi la kuchelewa kuolewa na wanaume.
Achana na hilo jinamizi linalowachelewesha wanawake kuolewa, twende kwa wale ambao wanaolewa ila wanachelewa kuzaa yaani kupata watoto.
Jinamizi hili limekuwa gumzo huko duniani yaani wanawake wanavizazi ila hawashiki mimba, wanakipima hawana tatizo.
Pia kuna wale wanawake ambao wanamatatizo ambayo ni ya kujitakia wao wenyewe wanajua walivyokula ujana wao.
Yaani wanawake hao walikaanga mayai yao na kwa bahati mbaya wakayaunguza kwa kutoa mimba, hivyo hawakuweza kuyala yaani kuzaa watoto.
Kuna wanawake wengine matatizo yanatoka na uchawi/ Mizimu na uganga.
Wanawake hawa wanakuwa wanao uzazi ila uzazi wao umefungwa kwa vifungo vya nguvu za giza hivyo hawawezi kuzaa.
Vifungo hivi vya wanawake vimekuwa vinatofautiana maana wengine ni uchawi wa ndugu au wazazi au jirani hata rafiki.
Kuna wanawake ambao mizimu ya upande wa mama au baba inakuwa inawazuia wanawake kupata watoto kutokana na agano waliloingia ukoo wao.
Kuna wanawake ambao ambao wengine wamefungwa na uganga, inaweza kuwa ni chuki ya ndugu marafiki hata jirani.
Hayo ni baadhi ya majinamizi yanaoyowakumba wanawake kuchelewa kuzaa na kufikia kuteseka sana.
NB: Kuna wanachelewa kuzaa au kuolewa kwakuwa wakati wa Mungu bado.
Kwa Yesu yote yanawezekana...
Donatila
Na kuongezea Maria Magdalena mimi namjua vema sana, ana wajukuu zake anakaa pale ilala mtaa wa kama unaenda bungoni hivi.Nani kakwambia kuwa Yesu alioa...
Mariamu Makdalena ni mwanamke aliyeokolewa na Yesu hivyo alimfuata Kila alipoenda, hii ndio chanzo Cha wapumbavu kuhisi kuwa alikuwa mke wake...
Hata Leo waliookoka wanalitaja na kuwa karibu na Yesu.