Jinamizi la kupandisha bei vifurushi linaitafuna sanaa yetu, views milioni zinatafutwa kwa tochi

Jinamizi la kupandisha bei vifurushi linaitafuna sanaa yetu, views milioni zinatafutwa kwa tochi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kuongeza gharama kwenye vifurushi kumeturudisha sana nyuma kwenye sekta ya sanaa.

Views milioni zamani ilikuwa ni ishu ya kawaida mno, kwa sasa watu wanawasha data kwa machale achilia mbali kuzama youube kwa manati.

Tukumbuke kwamba youtube views ilikuwa moja kati ya silaha kubwa mno kufanya wasanii wetu kuonekana wakubwa nje ya mipaka kwa sababu kupata izo views hata kwa msanii wa afrika kusini, nigeria, congo, n.k si shughuli ndogo.

Pia hizi youtube views si ujivuni, ni pesa!! yale matangazo yanayoonyeshhwa kabla huwa yanalipiwa na makampuni na msanii analipwa na youtube, views elf 1 huwa ni takribani shilingi 2,000 , zamani mtu alikuwa na uhakika wa kurudisha pesa hata akitengeneza video kwa milioni 3+, ila kwa sasa hali ni tofauti, hii itapelekea wasanii waanze kupunguza bajeti za video na hatimae sanaa yetu kushuka

1636660750107.png
,
 
Kwny views na pesa wanazolipwa umeingia Chaka.

Ali kiba alisemaga views 1m unapewa $400.
 
Kwny views na pesa wanazolipwa umeingia Chaka.

Ali kiba alisemaga views 1m unapewa $400.
Kuna vitu sio vya kuweka wazi kwa ufasaha, wazee wa tozo TRA hawachelewagi kufanya yao 😂

Ipo hivi kwa mfano wewe una kampuni yako unataka kuitangaza kama yale matangazo ya voda, tigo, n.k yanayoanza kabla video hazijaanza (skip ads), utawapa tangazo lako youtube kwa makubaliano mfano dola 2 kwa kila watu elf 1 wataolitazama tangazo, wap youtube wanafowadi tangazo lako kwenye channels za wasanii, ikifika tarehe 22 au 23 wenye channel za youtube kwa mfano wasanii huwa wanaenda kuchukua pesa yao western union au direct kwa bank, youtube huwa wanabaki na asilimia 45, asilimia 55 ndio inaenda kwa mwenye channel, kwa mfano ukilipia dola 2 (shilingi 4,600) wao youtube wanachukua 2,070 msanii anabaki na 2,530 kwa kila views elf 1.
 
WHO CARES KAKA, NIMEWEKA MB 600 KWA BUKU VIA HALOPESA 5 MINUTES AGO NIKO HAPAHAPA JAMII FORUMS INAKUJA MESEJI KWAMBA NIMETUMIA 75 % NINA MB 149 JANA IMEKUJA HIVYOHIVYO MB 149 MIMI MTU WA IT LAPTOP NA SIMU HAZINA AUTO UPDATE SIWEKI TENA BANDO HALOTEL ***** ZAO JAMAA WANA ENJOY SAN AWAMU YA TOZO HII NI WIZI KILA KONA..AWAMU YA SITA KWELIKWELI
 
Kuna mambo ya kukwepa kodi mkuu, hawezi kuweka kila jambo wazi wazi, TRA hawachelewagi.

Ipo hivi kwa mfano wewe una kampuni yako unataka kuitangaza kama yale matangazo ya voda, tigo, n.k yanayoanza kabla video hazijaanza (skip ads), utawapa tangazo lako youtube kwa makubaliano mfano dola 2 kwa kila watu elf 1 wataolitazama tangazo, wap youtube wanafowadi tangazo lako kwenye channels za wasanii, ikifika tarehe 22 au 23 wenye channel za youtube kwa mfano wasanii huwa wanaenda kuchukua pesa yao western union au direct kwa bank, youtube huwa wanabaki na asilimia 45, asilimia 55 ndio inaenda kwa mwenye channel, kwa mfano ukilipia dola 2 (shilingi 4,600) wao youtube wanachukua 2,070 msanii anabaki na 2,530 kwa kila views elf 1.
ZILE ADS NI ZA YOU TUBE MKUU ,NYINGI NI ADS ZA NJE UKWELI NI KWAMBA SHOBO ZA YOU TUBE ZIMEKATA MAISHA YA AWAMU YA SITA NI MAGUMU MNO BAADA YA KUMFUNGA AU KUMNYONGA MBOWE KWA MASHTAKA YA UONGO HIYO MIAKA ILIYOBAKI ITABIDI WATU WATEKWE SANA AU KUULIWA MA KITEKWA ILI KUTISHWA MAAANA HIZI TOZO NA KUPANDA GHARAMA ZA MAISHA SIYO KITU KIDOGO
 
WHO CARES KAKA, NIMEWEKA MB 600 KWA BUKU VIA HALOPESA 5 MINUTES AGO NIKO HAPAHAPA JAMII FORUMS INAKUJA MESEJI KWAMBA NIMETUMIA 75 % NINA MB 149 JANA IMEKUJA HIVYOHIVYO MB 149 MIMI MTU WA IT LAPTOP NA SIMU HAZINA AUTO UPDATE SIWEKI TENA BANDO HALOTEL ***** ZAO JAMAA WANA ENJOY SAN AWAMU YA TOZO HII NI WIZI KILA KONA..AWAMU YA SITA KWELIKWELI
Duh, hapo wewe kidogo unajiweza unanunua kifurishi cha data cha siku ila hali ndio hio.

sipati picha mtu anaenunua kile cha gb 1 kwa wiki nzima aone mtu kaingia youtube kwenye simu yake 😂😂 hio vurugu itayotokea labda mama yake aamulie
 
Duh, hapo wewe kidogo unanunua kifurishi cha data cha siku ila hali ndio hio, sipati mtu anaenunua kila cha gb 1 kwa wiki hio vurugu itayotokea akiona umeingia youtube 😂😂
cha siku wameweka mb sijui 100 nanunua cha week kinasoma 600 nimeweka 10 minutes ago niko hapahapa jamii forums kwa sasa nimepokea meseji nina mb 149 hiyo ni minutes ago hapo simu na laptop haziko autoupdate..aisee kwa kweli jamani nimenyoosh amikono juu leo nimeshuhudia wizi live nina kazi ya kutengeneza logo ya mtu yuko abroad sijui nitamuambia nini najua mda si mrefu nitaambiwa mb 600 imeisha HALAFU LINAKUJA JITU LIANKUAMBIA MAMA ANAUPIGA MWINGI HUKU LINABANA PUA
 
cha siku wameweka mb sijui 100 nanunua cha week kinasoma 600 nimeweka 10 minutes ago niko hapahapa jamii forums kwa sasa nimepokea meseji nina mb 149 hiyo ni minutes ago hapo simu na laptop haziko autoupdate..aisee kwa kweli jamani nimenyoosh amikono juu leo nimeshuhudia wizi live nina kazi ya kutengeneza logo ya mtu yuko abroad sijui nitamuambia nini najua mda si mrefu nitaambiwa mb 600 imeisha HALAFU LINAKUJA JITU LIANKUAMBIA MAMA ANAUPIGA MWINGI HUKU LINABANA PUA
😂😂 pole mkuu, ila ujue nini, hebu ingia kwenye data usage kule kwenye settings ucheki huo mtafuno umekuwaje
 
Back
Top Bottom