kakhulu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 784
- 1,070
Hii hali ilishawahi nitokea hapo nyuma ikapotea. Nilikuwa nikilala ikifika midnight nipo ndotoni nahisi kitu kinabana mwili mzima nashindwa kujitetea na sura haionekani ni hisia za kubanwa na mtu kwa nyuma.
Nikijitahidi kukemea hali inapotea nashtuka kama nilikuwa napambana vile. Toka juzi, leo imejirudia tena kwa nguvu kubwa. Inasababishwa na nini na jinsi gani ya kutokomeza hii hali?
Najitahidi kukemea wakati mwingine nahisi nazidiwa.
Mshana Jr
Nikijitahidi kukemea hali inapotea nashtuka kama nilikuwa napambana vile. Toka juzi, leo imejirudia tena kwa nguvu kubwa. Inasababishwa na nini na jinsi gani ya kutokomeza hii hali?
Najitahidi kukemea wakati mwingine nahisi nazidiwa.
Mshana Jr