Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ilitolewa ktk Mfumo wa VHS nakumbuka, ile mikanda mikubwa na waliuza sanaKama una umri chini ya miaka 20 si rahisi kumkumbuka huyu.Pia miaka hiyo hasa vijijini wengi hawakuwa na dish na wengine hawakuwa na screen kabisa hivyo hawakuona hii tamthilia.
Yupo ndiyo mara ya Mwisho Alicheza kwenye series ya "MANENO YA KUAMBIWA" ile Ya kitale.Kilikuwa Chuma haswa.. Hiv yule jamaa aliyekuw anajiita KISHOKA yupo?
Kama taifa,sasa ni wakati sahihi kwenye ile nembo ya bwana na bibi ,ya serikali ,yule bibi tumuongeze shepuHalafu wizara ya utamaduni ipo kimya kwa mambo kama haya.
Mara ya mwisho nilimkuta lutindi korogwe hospital ya vichaa,wayback 2018I don't know what goes on,in her life now!Sijui hata yuko wapi now lol.
Ila alikua vizuri kwenye uigizaji.
Kishoka yupo Azam,kuna tamthilia wamerudi wote,amezeeka sasaKilikuwa Chuma haswa.. Hiv yule jamaa aliyekuw anajiita KISHOKA yupo?
OkIla ilitolewa ktk Mfumo wa VHS nakumbuka, ile mikanda mikubwa na waliuza sana
Dah!...kweli aisee.....Aliwehukaga kipindi fulani
Unakumbuka eee..Dah!...kweli aisee.....
Na yule jamaa anajiita BASUPA naye yupo? HehehKishoka yupo Azam,kuna tamthilia wamerudi wote,amezeeka sasa
Basupa yupo,kuna tamthilia ameigiza ana limshangazi, yeye pekee ndio hajazeekaNa yule jamaa anajiita BASUPA naye yupo? Heheh
Inawezekana manake maisha yalivyobadilika hata Subira anavuta bangi siku hizi..Havuti bangi kweli?
Ila aliwahi kusema kuwa,,,, hatajishurisha Tena na Sanaa ya Maigizo na hiyo ni baada ya industry kupolomoka,,Basupa yupo,kuna tamthilia ameigiza ana limshangazi, yeye pekee ndio hajazeeka
Sasa hivi wanalipwa vizuri, huwa ninawasikia wanashukuru Azam tv kwamba sasa hivi angalau maisha yanaenda vizuriIla aliwahi kusema kuwa,,,, hatajishurisha Tena na Sanaa ya Maigizo na hiyo ni baada ya industry kupolomoka,,