Jini Kabula na Bushoke wamwagana

Jini Kabula na Bushoke wamwagana

Chawote...!!

Du Kama ndio huyo basi ni Kazeze Ni Kazeze,Ilikuwa Saa kumi kasorobo Sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiwa anaadhini alah akbaru alah akbaru akiwa anamaanisha mungu mkubwa mungu mkubwa.
 
Du Kama ndio huyo basi ni Kazeze Ni Kazeze,Ilikuwa Saa kumi kasorobo Sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiwa anaadhini alah akbaru alah akbaru akiwa anamaanisha mungu mkubwa mungu mkubwa.

Asee umenikumbusha mbali kiasi hivi huu wimbo ntaupata wapi asee...?.
 
nautafuta sana huu wimbo
Du Kama ndio huyo basi ni Kazeze Ni Kazeze,Ilikuwa Saa kumi kasorobo Sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiwa anaadhini alah akbaru alah akbaru akiwa anamaanisha mungu mkubwa mungu mkubwa.
 
Du Kama ndio huyo basi ni Kazeze Ni Kazeze,Ilikuwa Saa kumi kasorobo Sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiwa anaadhini alah akbaru alah akbaru akiwa anamaanisha mungu mkubwa mungu mkubwa.

OCG Huyu selaa kitambo sana! Gonjwa hili limezua kizazaa mzozoo gumzo gumzoo,kwa mabronzo,machizi,masista duu,wazazi,walimu na wanafunzi. Ni kasheshe ni kazenzee...
 
Back
Top Bottom