Mmmh wabongo wanaijua mikakati ya kivita kuliko wahusika wenyewe ππππUkraine bye bye... Tuliwaambia lakini.
Hitler mwenyewe alikuwa amekaribia kuiteka dunia yote ila alipoambiwa wanajeshi wa Urusi wapo hapa Ujerumani ikambidi adumbukie kwenye pipa la asidi π¬π¬
TumultWapi niliposema wenzao walishindwa? Yeye amekuja na Ngojera zake eti Urusi ina Siraha za Kibiolojia ambazo USA na NATO hawana na eti hawawezi kuzitengeneza. Hapo ndipo nikamwambia sio kweli,Marekani inauwezo wa Kifedha na Kiteknolojia Kutengeneza Siraha za Kibiolojia ndani ya mda mfupi Kama wakihitaji.
China,USA,Urusi,Israel,India,Japan,Iran, na Mataifa Mengi yanauwezo wa Kutengeneza Siraha za Kibiolojia. Sema hawazitengenezi kwasababu hata Kama Utazitumia dhidi ya taifa Lingine Basi lazima zitarudi kwako. Refer COVID-19. Na Kama ni VIRAL DISEASE Basi hata Kama utakuwa na dawa Maabara siku Ikifika Nchini kwako ambapo wewe ndio uliyeitengeneza utakuta Dawa hiyo haifanyi kazi kwasababu VIRUS anatabia ya kufanya MUTATION(Kujibadilisha Maumbo).
Vikwazo vinavyowekewa Urusi ni vya visasi na gubu za nyuma mfano, US ina kisasi na gubu la Moscow kudukuwa uchaguzi uliompa Trump ushindi dhidi ya Democrat chama cha Biden.Asante kwa makala nzuri [emoji457]
Katengeneza USAVipi mchina aliyeitengenza COVID-19 ?
Ahahaha ile ni ya Mchina na ndiomaana madhara hayakuwa makubwa kule licha ya kwamba mlipuko ulianzia huko.Katengeneza USA
Da aisee uko vizuriTafuta taarifa, tuandikie ukweli mbadala utaoupata ili tupate maarifa mbadala. Siyo dhambi ukifanya hivyo, ila ni uvivu na dhambi ukishindwa kufanya hivyo. Mwenyewe umekiri kuwa "nimeishia kusoma hapo tu" ambayo maana yake ni kwamba unakiri una tatizo la uvivu wa kusoma makala ndefu.
Pia tuambie Urusi iko na nani hadi sasa zaidi ya Maduro pekee aliyetoa ahadi ya maneno matupu ya kumuunga Urusi mkono tena baada ya Urusi yenyewe kumaliza vita ndani ya masaa 12.
Aidha, kusimuliwa ni source mojawapo ya kupata maarifa hivyo sioni kama ni hatia hiyo. Tunajifunza kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kusimuliwa. Hata rais anasimuliwa, hata Mungu anasimuliwa na Malaika wake anayemtuma (Gabriel).
Karibu utujuze.
Jitahidi usome mwanzo mwisho.
Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko.
Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake.
US inaingia kwenye vita hii kwa sababu moja kuu ya kulipiza kisasi cha Urusi kudukua matokeo ya uchaguzi yaliyoiangusha Democrat na kuipa Republican ushindi kwa kumuingiza rais Donald Trump Ikulu ya Whitehouse.
Kwa siku moja tu Urusi imeitia kilema cha kudumu Ukraine kiulinzi ambapo maeneo 88 ya kiraia yamelengwa, raia 137 kufa, 380 vilema, 29,000 wakimbizi kwenda ndani ya Urusi yenyewe na wachache kati yao kwenda Poland lakini wakihofu kuwa Poland inaweza kuwa shabaha ya Urusi endapo NATO itapewa ardhi huko. Urusi imeshambulia tokea angani, majini na ardhini kwa wakati mmoja na imedhihiri kuwa Urusi kupigana na Ukraine ni sawa na Afrika Kusini kupigana na Swaziland.
Ukraine inadai madhara iliyopata ni kutokana na silaha zake kuharibu zile za Urusi angani na mabaki yake kuja kuangukia makazi ya watu na makambi ya Ukraine, huku ikitoa takwimu kwamba imejeruhi na kuua idadi ya wapiganaji na watumishi wa Urusi wapatao 443. Yote ni propaganda za vita za Ukraine kwa sababu kwanini hayo hayakutokea ndani ya Urusi?
Maeneo zaidi ya 100 ya ulinzi wa kimkakati yamesambaratishwa ikiwemo mfumo wa ulinzi wa kimtandao (cyber security) kiasi kwamba rais na amiri jeshi mkuu wa Ukraine Mhe. Volodymyr Zelenskyy ametangaza kuacha vita na kuitaka Urusi isitishe vita na kuondoa majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine, huku EU na NATO vikiogopa na kuamua kutangaza kupitia kinywa cha rais Joe Biden wa US kuwa NATO haitapigana vita ya moto bali ya vikwazo vya kiuchumi.
Madai ya Urusi:
Ukraine inaongozwa toka nje (US)
Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine anatuhumiwa na Urusi kwa mauaji ya kimbari ya miaka 8 sasa na kwamba yeye siyo rais halali aliyechaguliwa kidemokrasia na kwamba serikali yake ni ya mpito tu.
Ukraine inajenga vinu vya Nyuklia (kama US ilizuia Iran na Korea Kaskazini kwanini yeye Urusi asiizuie Ukraine ambayo iko karibu naye kijiografia kuliko Iran na Korea Kaskazini zilivyo na US)
Ukraine iache majimbo yanayotaka kujitenga yajitangazie uhuru kamili (Crimea na Donbass/Donbas)
Urusi tangu 2014 imeunga mkono kujitenga majimbo haya ambayo yamekuwa vitani na Ukraine kwa miaka mi 8 sasa.
Umuhimu wa majimbo yanayojitenga:
Donetsk ni mji mkuu wa Donbas.
Donbas inayolala kwenye bonde la Donetsk na Luhansk ni tajiri kiuchumi, kiutamaduni na kihistoria. Inatoa makaa ya mawe kwa wingi na ina viwanda mama vingi. Ni muhimu kama ilivyo Scotland kwa Uingereza.
Crimea ambayo tayari Urusi imejiungamanisha nayo (annexed to Russia) kama ya kwake (sawa na China inavyodai kumiliki Taiwan na HongKong) ilikuwa muhimu kimataifa kwa mfumo mpya wa dunia mwaka 2014 kama ambavyo Cuba ilikuwa mwaka 1963 au Hungary mwaka 1956.
Urusi inadai kuwa wakazi wa Rasi ya Crimea kwa asilimia kubwa sana wanaongea lahaja ya Kirusi.
Urusi inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, Ukraine nayo inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, majimbo hayo nayo yanahitaji uhuru kamili (sovereignty) lakini yakitumia Urusi kama daraja la kufikia ndoto yao hiyo.
Vikwazo:
Kumeibuka mashindano ya kuwekeana vikwazo kati ya washirika wa NATO na Urusi ambapo maeneo yaliyoishaguswa hadi sasa ni sekta za fedha, safari za anga, mabenki, uhamiaji, biashara (matajiri 5 wakubwa wa Kirusi waliowekeza UK mitaji yao imeshikiliwa (assets frozen)) kupitia tangazo la Mhe. Boris Johnson PM wa UK.
Katika kujibu mapigo, Urusi imefunga viwanja 12 muhimu vya ndege za kiraia, imepiga marufuku ndege za UK na washirika wa NATO kuingia Urusi na kutotumia anga la Urusi.
Urusi inategemewa na dunia kwa uzalishaji mkubwa sana wa ngano, gesi asilia, silaha na vileo vya kiwango cha juu duniani, hivyo dunia inaihitaji Urusi kuliko inavyoihitaji Ukraine. Hiki ndicho kinachompa Urusi kiburi na jeuri.
Changamoto:
US enzi ya rais Boris Yeltsin wa Urusi (baada ya kupokea Urusi iliyosambaratika mikononi mwa rais Gor Bachev kupitia sera yake ya mageuzi ya kiitikadi aliyoiita Perestroika) ilikula njama kuua WARSAW PACT ikabakisha NATO. Poland ambayo US inaomba kutumia ardhi yake kwa ajili ya vita hii ilikuwa mshirika wa Urusi kwenye WARSAW PACT, leo Poland imejiposa kwa NATO.
NATO ina washirika EU na Americas, Urusi haina washirika US na EU kwahiyo hivi sasa US kupitia NATO inatumia majirani wa Urusi kuiminya Urusi.
NATO imejitafakari na kuona bora vikwazo kuliko vita vya moto kwa sababu ukimya wa China, Iran, Korea Kaskazini, Syria vimeipa homa kali kwamba huenda wakajiunga na Urusi ambapo tayari ndani ya saa 24 rais NicolΓ‘s Maduro Moros wa Venezuela hakuvuta subira bali alitangazia dunia hadharani kwamba yuko upande wa Urusi kwenye vita hii ya RUSSO-UKRAINIAN WAR.
US ni mteja mkubwa sana wa mafuta ghafi na bidhaa za petroli toka Venezuela. Katika mwaka wa 2021 US iliagiza mafuta kwa kiwango ambacho ni mara tatu ya kile kilichoagizwa na Urusi, sababu inaweza kuwa kwamba Urusi inatumia gesi zaidi ya mafuta kwa sababu inaongoza dunia kwa uzalishaji wa nishati ya gesi asilia.
Aidha, kama Iran ikiungana na Urusi ni wazi kwamba wanachama wa OIC hawatakaa kimya kuona NATO ikilipa kisasi kwa Iran na kwamba itabidi OIC wote wawe upande wa Urusi kupitia ndugu yao Iran.
Hofu kuu ya OIC kukaa upande wa Urusi kupitia Iran ni kwamba uamuzi huo unaweza kumuibua Muisrael ambaye atataka amuunge mkono US na kwamba kwa kitendo hicho, ndani ya himaya ya OIC Uarabuni hakutakalika kwa sababu Israel itataka kuipunguzia OIC nguvu humo humo ndani kabla ya kuvuka mipaka kwenda Ukraine kuisaidia Urusi na labda Iran.
Kama Zimbabwe ilivyokuwa mwanachama wa Madola, Israel nayo ni mjumbe kwenye OIC (asiye na kura, bali tu kwa sababu dini ya Kiislamu ni ya pili kwa ukubwa Israel nyuma ya ile ya Kiyahudi Jewish); lakini kimkakati wa ulinzi (kijasusi), kwahiyo Israel ikiungana na US na NATO kupitia mgongo wa Ukraine kuwashambulia majirani zake wa OIC wa Uarabuni ambao ina uadui nao; itakuwa imehujumu ujumbe wake wa OIC kwa kisa tu cha kuzitetea US na NATO.
Kitu pekee ambacho dunia inatakiwa imuombe Mungu kwa bidii kumaliza vita hii ni kwamba Urusi ina teknolojia ya kutengeneza silaha za kibaiolojia za hali ya juu (ambayo US na NATO hawana) alizowahi kumuuzia Iraq; na chanjo ya virusi hivyo anayo yeye pekee duniani (ni siri kali ya kiulinzi), hivyo katikati ya janga la dunia la Uviko-19, kama Urusi ikiamua kutumia silaha hizo za kibaiolojia (virusi) ni dhahiri kwamba dunia itakuwa imefika kusiko. Hii inaweza kuwa ni moja ya sababu za NATO kuahirisha kupigana vita ya moto na kuchagua vita ya vikwazo vya kiuchumi.
Tayari Urusi inadukua mawasiliano ya Ikulu na Idara zote za Ulinzi na Usalama za Ukraine. Ukraine sasa iko mikononi mwa Urusi kwa 100%. NATO inaogopa kuunganisha Ukraine kwenye mfumo wake wa ulinzi na pia ule wa kiserikali (zikiwemo Ikulu za NATO) kwa kuhofia Urusi kudukua. Hivyo Urusi inadhibiti mfumo wa mawasiliano yanayoingia na kutoka Ukraine na kufanya NATO kukata mawasiliano na Ukraine. Vita ni mawasiliano kwa sababu ndiko amri za kivita zinakopatikana.
Afrika imeshikwa pabaya kwenye gogoro hili kwa sababu ni kama vile EU iliota kwamba lazima Mrusi ataishambulia Ukraine; ikajiwahi kufanya mtaguso na AU (#EUAU) wiki iliyopita kutoa furushi (package) la fursa za uwekezaji ndani ya AU (Blackmail) hivyo Afrika italazimika kufunga kinywa chake kwenye vita hii kama Bi. Harusi.
Ni dhahiri sasa kwamba viongozi wa Afrika wamepata kisingizio kingine cha pili baada ya Uviko-19; cha vita ya Urusi na Ukraine; cha kuegemezea madai yao ya kushindwa kukuza chumi zao na kushindwa kutekeleza ilani zao za uchaguzi, wanashindwa kujuwa kuwa changamoto ni mtaji pia.
UN iko wapi kwenye hili?
Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US
Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)
Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.
Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.
Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.
Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).
Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.
Β©Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 25, 2022.
View attachment 2130774
Picha ya juu: Kwa wakati mmoja manowari, ndege-vita na vifaru vya Urusi vikiichakaza Ukraine.
View attachment 2130776
Taswira kwa hisani ya google.
Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na USDa aisee uko vizuri
Mi nadhani Uhasama hasa upo kati ya Urussi na nchi za ulaya na si Marekan uncle Sam wana mtumia kumtisha Urussi. Urussi yalio makolon yake yote Yana mkimbia na Wana taka kujiunga EUNamna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US
Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)
Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.
Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.
Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.
Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).
Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.
Kwani unafikiri Latvia, Lithuania, Slovenia ni nch kubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo naona China na Iran tu. India ana Nguvu za Kijeshi lakini hata siku moja hawezi kuwa upande ambao China Yupo,Never. Japo India inauhusiano mzuri na Russia lakini kwenye hivyo Vita India atakaa Neutral Sawa na Israel. Lakini Iran ikiingia TU Vitani dhidi ya USA sioni Israel ikikaa pembeni maana inajua Endapo Marekani akipigwa Basi Irani anamgeukia Yeye. Kwahiyo kujua Nani atashirikiana na Nani kwenye hiyo Timu ni Ngumu. Upande wa Marekani ni wazi kabisa lazima Uingereza na Ufaransa wataingia Vitani.
Kuhusu hivyo vinchi vidogo vidogo sioni vikiingilia huo mgogoro zaidi ya Belarus na Kazarkhstan. Wengine wataufyata endapo Marekani akiamusha Mindege yake hewani,Hao wadogo wadogo akina Nicaragua watajitoa mapema Sana.
Uwezo wa rais Putin kubadilika kulingana na matakwa ya mazingira na wakati ni mkubwa kuliko Biden, Xi, Boris Johnson, Zelensky (Pariah katika nchi yake mwenyewe ya Ukraine) nk duniani. Hii inampa Putin tuzo kama mwanasiasa pekee duniani mwenye haiba hiyo adhimu.Ngoja tuone...
Putin anapigana vita mbili, hii ya pili ya vikwazo vya kiuchumi ndiyo ngumu mno.Urusi wakipigwa msilalamike
Yameshammaliza anapiga kelele tu hapo sahiviPutin anapigana vita mbili, hii ya pili ya vikwazo vya kiuchumi ndiyo ngumu mno.
Sidhani Taifa kubwa lenye nguvu kama Urusi linaweza kwenda mbele na kukua zaidi na zaidi kama halifanyi biashara na nchi za Ulaya, Marekani na Canada.
Hii inaitwa killing softly, jamaa wanajua wanampatia wapi Putin, stay turned.
Za ndaaani kabisa hakudumbukia kwenye pipa bali alipewa hifadhi huko vatican kwa siri sana. Za ndan pia katibu mkuu aliyemrithi ban ki moon ni kiongozi mkubwa wa nazi kwahyo manazi yanaendelea na harakati zao kwa siri sana.Ukraine bye bye... Tuliwaambia lakini.
Hitler mwenyewe alikuwa amekaribia kuiteka dunia yote ila alipoambiwa wanajeshi wa Urusi wapo hapa Ujerumani ikambidi adumbukie kwenye pipa la asidi [emoji51][emoji51]
Mpaka leo unaamini kuna corona?? Binafsi huwa naiona corona ni kama katuni kwenye tv unawaona mtaani huwaoni.Ahahaha ile ni ya Mchina na ndiomaana madhara hayakuwa makubwa kule licha ya kwamba mlipuko ulianzia huko.
USA hataisahau Corona.
Ahahaha ile ngoma ilipiga kweli na wala haikuwa utani, ni vile tu haikuwa na madhara makubwa huku.Mpaka leo unaamini kuna corona?? Binafsi huwa naiona corona ni kama katuni kwenye tv unawaona mtaani huwaoni.
Wewe jamaa bna[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Hapo naona China na Iran tu. India ana Nguvu za Kijeshi lakini hata siku moja hawezi kuwa upande ambao China Yupo,Never. Japo India inauhusiano mzuri na Russia lakini kwenye hivyo Vita India atakaa Neutral Sawa na Israel. Lakini Iran ikiingia TU Vitani dhidi ya USA sioni Israel ikikaa pembeni maana inajua Endapo Marekani akipigwa Basi Irani anamgeukia Yeye. Kwahiyo kujua Nani atashirikiana na Nani kwenye hiyo Timu ni Ngumu. Upande wa Marekani ni wazi kabisa lazima Uingereza na Ufaransa wataingia Vitani.
Kuhusu hivyo vinchi vidogo vidogo sioni vikiingilia huo mgogoro zaidi ya Belarus na Kazarkhstan. Wengine wataufyata endapo Marekani akiamusha Mindege yake hewani,Hao wadogo wadogo akina Nicaragua watajitoa mapema Sana.
Jitahidi usome mwanzo mwisho.
Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko.
Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake.
US inaingia kwenye vita hii kwa sababu moja kuu ya kulipiza kisasi cha Urusi kudukua matokeo ya uchaguzi yaliyoiangusha Democrat na kuipa Republican ushindi kwa kumuingiza rais Donald Trump Ikulu ya Whitehouse.
Kwa siku moja tu Urusi imeitia kilema cha kudumu Ukraine kiulinzi ambapo maeneo 88 ya kiraia yamelengwa, raia 137 kufa, 380 vilema, 29,000 wakimbizi kwenda ndani ya Urusi yenyewe na wachache kati yao kwenda Poland lakini wakihofu kuwa Poland inaweza kuwa shabaha ya Urusi endapo NATO itapewa ardhi huko. Urusi imeshambulia tokea angani, majini na ardhini kwa wakati mmoja na imedhihiri kuwa Urusi kupigana na Ukraine ni sawa na Afrika Kusini kupigana na Swaziland.
Ukraine inadai madhara iliyopata ni kutokana na silaha zake kuharibu zile za Urusi angani na mabaki yake kuja kuangukia makazi ya watu na makambi ya Ukraine, huku ikitoa takwimu kwamba imejeruhi na kuua idadi ya wapiganaji na watumishi wa Urusi wapatao 443. Yote ni propaganda za vita za Ukraine kwa sababu kwanini hayo hayakutokea ndani ya Urusi?
Maeneo zaidi ya 100 ya ulinzi wa kimkakati yamesambaratishwa ikiwemo mfumo wa ulinzi wa kimtandao (cyber security) kiasi kwamba rais na amiri jeshi mkuu wa Ukraine Mhe. Volodymyr Zelenskyy ametangaza kuacha vita na kuitaka Urusi isitishe vita na kuondoa majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine, huku EU na NATO vikiogopa na kuamua kutangaza kupitia kinywa cha rais Joe Biden wa US kuwa NATO haitapigana vita ya moto bali ya vikwazo vya kiuchumi.
Madai ya Urusi:
Ukraine inaongozwa toka nje (US)
Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine anatuhumiwa na Urusi kwa mauaji ya kimbari ya miaka 8 sasa na kwamba yeye siyo rais halali aliyechaguliwa kidemokrasia na kwamba serikali yake ni ya mpito tu.
Ukraine inajenga vinu vya Nyuklia (kama US ilizuia Iran na Korea Kaskazini kwanini yeye Urusi asiizuie Ukraine ambayo iko karibu naye kijiografia kuliko Iran na Korea Kaskazini zilivyo na US)
Ukraine iache majimbo yanayotaka kujitenga yajitangazie uhuru kamili (Crimea na Donbass/Donbas)
Urusi tangu 2014 imeunga mkono kujitenga majimbo haya ambayo yamekuwa vitani na Ukraine kwa miaka mi 8 sasa.
Umuhimu wa majimbo yanayojitenga:
Donetsk ni mji mkuu wa Donbas.
Donbas inayolala kwenye bonde la Donetsk na Luhansk ni tajiri kiuchumi, kiutamaduni na kihistoria. Inatoa makaa ya mawe kwa wingi na ina viwanda mama vingi. Ni muhimu kama ilivyo Scotland kwa Uingereza.
Crimea ambayo tayari Urusi imejiungamanisha nayo (annexed to Russia) kama ya kwake (sawa na China inavyodai kumiliki Taiwan na HongKong) ilikuwa muhimu kimataifa kwa mfumo mpya wa dunia mwaka 2014 kama ambavyo Cuba ilikuwa mwaka 1963 au Hungary mwaka 1956.
Urusi inadai kuwa wakazi wa Rasi ya Crimea kwa asilimia kubwa sana wanaongea lahaja ya Kirusi.
Urusi inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, Ukraine nayo inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, majimbo hayo nayo yanahitaji uhuru kamili (sovereignty) lakini yakitumia Urusi kama daraja la kufikia ndoto yao hiyo.
Vikwazo:
Kumeibuka mashindano ya kuwekeana vikwazo kati ya washirika wa NATO na Urusi ambapo maeneo yaliyoishaguswa hadi sasa ni sekta za fedha, safari za anga, mabenki, uhamiaji, biashara (matajiri 5 wakubwa wa Kirusi waliowekeza UK mitaji yao imeshikiliwa (assets frozen)) kupitia tangazo la Mhe. Boris Johnson PM wa UK.
Katika kujibu mapigo, Urusi imefunga viwanja 12 muhimu vya ndege za kiraia, imepiga marufuku ndege za UK na washirika wa NATO kuingia Urusi na kutotumia anga la Urusi.
Urusi inategemewa na dunia kwa uzalishaji mkubwa sana wa ngano, gesi asilia, silaha na vileo vya kiwango cha juu duniani, hivyo dunia inaihitaji Urusi kuliko inavyoihitaji Ukraine. Hiki ndicho kinachompa Urusi kiburi na jeuri.
Changamoto:
US enzi ya rais Boris Yeltsin wa Urusi (baada ya kupokea Urusi iliyosambaratika mikononi mwa rais Gor Bachev kupitia sera yake ya mageuzi ya kiitikadi aliyoiita Perestroika) ilikula njama kuua WARSAW PACT ikabakisha NATO. Poland ambayo US inaomba kutumia ardhi yake kwa ajili ya vita hii ilikuwa mshirika wa Urusi kwenye WARSAW PACT, leo Poland imejiposa kwa NATO.
NATO ina washirika EU na Americas, Urusi haina washirika US na EU kwahiyo hivi sasa US kupitia NATO inatumia majirani wa Urusi kuiminya Urusi.
NATO imejitafakari na kuona bora vikwazo kuliko vita vya moto kwa sababu ukimya wa China, Iran, Korea Kaskazini, Syria vimeipa homa kali kwamba huenda wakajiunga na Urusi ambapo tayari ndani ya saa 24 rais NicolΓ‘s Maduro Moros wa Venezuela hakuvuta subira bali alitangazia dunia hadharani kwamba yuko upande wa Urusi kwenye vita hii ya RUSSO-UKRAINIAN WAR.
US ni mteja mkubwa sana wa mafuta ghafi na bidhaa za petroli toka Venezuela. Katika mwaka wa 2021 US iliagiza mafuta kwa kiwango ambacho ni mara tatu ya kile kilichoagizwa na Urusi, sababu inaweza kuwa kwamba Urusi inatumia gesi zaidi ya mafuta kwa sababu inaongoza dunia kwa uzalishaji wa nishati ya gesi asilia.
Aidha, kama Iran ikiungana na Urusi ni wazi kwamba wanachama wa OIC hawatakaa kimya kuona NATO ikilipa kisasi kwa Iran na kwamba itabidi OIC wote wawe upande wa Urusi kupitia ndugu yao Iran.
Hofu kuu ya OIC kukaa upande wa Urusi kupitia Iran ni kwamba uamuzi huo unaweza kumuibua Muisrael ambaye atataka amuunge mkono US na kwamba kwa kitendo hicho, ndani ya himaya ya OIC Uarabuni hakutakalika kwa sababu Israel itataka kuipunguzia OIC nguvu humo humo ndani kabla ya kuvuka mipaka kwenda Ukraine kuisaidia Urusi na labda Iran.
Kama Zimbabwe ilivyokuwa mwanachama wa Madola, Israel nayo ni mjumbe kwenye OIC (asiye na kura, bali tu kwa sababu dini ya Kiislamu ni ya pili kwa ukubwa Israel nyuma ya ile ya Kiyahudi Jewish); lakini kimkakati wa ulinzi (kijasusi), kwahiyo Israel ikiungana na US na NATO kupitia mgongo wa Ukraine kuwashambulia majirani zake wa OIC wa Uarabuni ambao ina uadui nao; itakuwa imehujumu ujumbe wake wa OIC kwa kisa tu cha kuzitetea US na NATO.
Kitu pekee ambacho dunia inatakiwa imuombe Mungu kwa bidii kumaliza vita hii ni kwamba Urusi ina teknolojia ya kutengeneza silaha za kibaiolojia za hali ya juu (ambayo US na NATO hawana) alizowahi kumuuzia Iraq; na chanjo ya virusi hivyo anayo yeye pekee duniani (ni siri kali ya kiulinzi), hivyo katikati ya janga la dunia la Uviko-19, kama Urusi ikiamua kutumia silaha hizo za kibaiolojia (virusi) ni dhahiri kwamba dunia itakuwa imefika kusiko. Hii inaweza kuwa ni moja ya sababu za NATO kuahirisha kupigana vita ya moto na kuchagua vita ya vikwazo vya kiuchumi.
Tayari Urusi inadukua mawasiliano ya Ikulu na Idara zote za Ulinzi na Usalama za Ukraine. Ukraine sasa iko mikononi mwa Urusi kwa 100%. NATO inaogopa kuunganisha Ukraine kwenye mfumo wake wa ulinzi na pia ule wa kiserikali (zikiwemo Ikulu za NATO) kwa kuhofia Urusi kudukua. Hivyo Urusi inadhibiti mfumo wa mawasiliano yanayoingia na kutoka Ukraine na kufanya NATO kukata mawasiliano na Ukraine. Vita ni mawasiliano kwa sababu ndiko amri za kivita zinakopatikana.
Afrika imeshikwa pabaya kwenye gogoro hili kwa sababu ni kama vile EU iliota kwamba lazima Mrusi ataishambulia Ukraine; ikajiwahi kufanya mtaguso na AU (#EUAU) wiki iliyopita kutoa furushi (package) la fursa za uwekezaji ndani ya AU (Blackmail) hivyo Afrika italazimika kufunga kinywa chake kwenye vita hii kama Bi. Harusi.
Ni dhahiri sasa kwamba viongozi wa Afrika wamepata kisingizio kingine cha pili baada ya Uviko-19; cha vita ya Urusi na Ukraine; cha kuegemezea madai yao ya kushindwa kukuza chumi zao na kushindwa kutekeleza ilani zao za uchaguzi, wanashindwa kujuwa kuwa changamoto ni mtaji pia.
UN iko wapi kwenye hili?
Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US
Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)
Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.
Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.
Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.
Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).
Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.
[emoji2398]Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 25, 2022.
View attachment 2130774
Picha ya juu: Kwa wakati mmoja manowari, ndege-vita na vifaru vya Urusi vikiichakaza Ukraine.
View attachment 2130776
Taswira kwa hisani ya google.
Mimi kwenye Hizi international Affirs najikita kwenye Facts kutokana na historia husika lakini tuliowengi tunafuata Mahaba TU.Wewe jamaa bna[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
πππNamna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US
Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)
Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.
Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.
Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.
Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).
Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.