Jini la vita limejamba EU

Jini la vita limejamba EU

Ukraine bye bye... Tuliwaambia lakini.

Hitler mwenyewe alikuwa amekaribia kuiteka dunia yote ila alipoambiwa wanajeshi wa Urusi wapo hapa Ujerumani ikambidi adumbukie kwenye pipa la asidi 😬😬
Mmmh wabongo wanaijua mikakati ya kivita kuliko wahusika wenyewe 😂😂😂😂
 
Wapi niliposema wenzao walishindwa? Yeye amekuja na Ngojera zake eti Urusi ina Siraha za Kibiolojia ambazo USA na NATO hawana na eti hawawezi kuzitengeneza. Hapo ndipo nikamwambia sio kweli,Marekani inauwezo wa Kifedha na Kiteknolojia Kutengeneza Siraha za Kibiolojia ndani ya mda mfupi Kama wakihitaji.


China,USA,Urusi,Israel,India,Japan,Iran, na Mataifa Mengi yanauwezo wa Kutengeneza Siraha za Kibiolojia. Sema hawazitengenezi kwasababu hata Kama Utazitumia dhidi ya taifa Lingine Basi lazima zitarudi kwako. Refer COVID-19. Na Kama ni VIRAL DISEASE Basi hata Kama utakuwa na dawa Maabara siku Ikifika Nchini kwako ambapo wewe ndio uliyeitengeneza utakuta Dawa hiyo haifanyi kazi kwasababu VIRUS anatabia ya kufanya MUTATION(Kujibadilisha Maumbo).
Tumult
 
Asante kwa makala nzuri [emoji457]
Vikwazo vinavyowekewa Urusi ni vya visasi na gubu za nyuma mfano, US ina kisasi na gubu la Moscow kudukuwa uchaguzi uliompa Trump ushindi dhidi ya Democrat chama cha Biden.

UK na wenzake wamejiwahi kuiwekea Moscow vikwazo lakini Berlin imesita kwa sababu viwanda vyake vinategemea nishati ya gesi toka Urusi na Urusi imeonya kuwa itajibu vikwazo hivyo vilivyo na kuwataka wajiandae kisaikolojia. Hii inafanya NATO kukosa umajumui wa malengo (lack of unity of purpose) katika vita hii.
 
Tafuta taarifa, tuandikie ukweli mbadala utaoupata ili tupate maarifa mbadala. Siyo dhambi ukifanya hivyo, ila ni uvivu na dhambi ukishindwa kufanya hivyo. Mwenyewe umekiri kuwa "nimeishia kusoma hapo tu" ambayo maana yake ni kwamba unakiri una tatizo la uvivu wa kusoma makala ndefu.

Pia tuambie Urusi iko na nani hadi sasa zaidi ya Maduro pekee aliyetoa ahadi ya maneno matupu ya kumuunga Urusi mkono tena baada ya Urusi yenyewe kumaliza vita ndani ya masaa 12.

Aidha, kusimuliwa ni source mojawapo ya kupata maarifa hivyo sioni kama ni hatia hiyo. Tunajifunza kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kusimuliwa. Hata rais anasimuliwa, hata Mungu anasimuliwa na Malaika wake anayemtuma (Gabriel).

Karibu utujuze.
Da aisee uko vizuri
 
Jitahidi usome mwanzo mwisho.

Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko.

Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake.

US inaingia kwenye vita hii kwa sababu moja kuu ya kulipiza kisasi cha Urusi kudukua matokeo ya uchaguzi yaliyoiangusha Democrat na kuipa Republican ushindi kwa kumuingiza rais Donald Trump Ikulu ya Whitehouse.

Kwa siku moja tu Urusi imeitia kilema cha kudumu Ukraine kiulinzi ambapo maeneo 88 ya kiraia yamelengwa, raia 137 kufa, 380 vilema, 29,000 wakimbizi kwenda ndani ya Urusi yenyewe na wachache kati yao kwenda Poland lakini wakihofu kuwa Poland inaweza kuwa shabaha ya Urusi endapo NATO itapewa ardhi huko. Urusi imeshambulia tokea angani, majini na ardhini kwa wakati mmoja na imedhihiri kuwa Urusi kupigana na Ukraine ni sawa na Afrika Kusini kupigana na Swaziland.

Ukraine inadai madhara iliyopata ni kutokana na silaha zake kuharibu zile za Urusi angani na mabaki yake kuja kuangukia makazi ya watu na makambi ya Ukraine, huku ikitoa takwimu kwamba imejeruhi na kuua idadi ya wapiganaji na watumishi wa Urusi wapatao 443. Yote ni propaganda za vita za Ukraine kwa sababu kwanini hayo hayakutokea ndani ya Urusi?

Maeneo zaidi ya 100 ya ulinzi wa kimkakati yamesambaratishwa ikiwemo mfumo wa ulinzi wa kimtandao (cyber security) kiasi kwamba rais na amiri jeshi mkuu wa Ukraine Mhe. Volodymyr Zelenskyy ametangaza kuacha vita na kuitaka Urusi isitishe vita na kuondoa majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine, huku EU na NATO vikiogopa na kuamua kutangaza kupitia kinywa cha rais Joe Biden wa US kuwa NATO haitapigana vita ya moto bali ya vikwazo vya kiuchumi.

Madai ya Urusi:

Ukraine inaongozwa toka nje (US)

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine anatuhumiwa na Urusi kwa mauaji ya kimbari ya miaka 8 sasa na kwamba yeye siyo rais halali aliyechaguliwa kidemokrasia na kwamba serikali yake ni ya mpito tu.

Ukraine inajenga vinu vya Nyuklia (kama US ilizuia Iran na Korea Kaskazini kwanini yeye Urusi asiizuie Ukraine ambayo iko karibu naye kijiografia kuliko Iran na Korea Kaskazini zilivyo na US)

Ukraine iache majimbo yanayotaka kujitenga yajitangazie uhuru kamili (Crimea na Donbass/Donbas)

Urusi tangu 2014 imeunga mkono kujitenga majimbo haya ambayo yamekuwa vitani na Ukraine kwa miaka mi 8 sasa.

Umuhimu wa majimbo yanayojitenga:

Donetsk ni mji mkuu wa Donbas.

Donbas inayolala kwenye bonde la Donetsk na Luhansk ni tajiri kiuchumi, kiutamaduni na kihistoria. Inatoa makaa ya mawe kwa wingi na ina viwanda mama vingi. Ni muhimu kama ilivyo Scotland kwa Uingereza.

Crimea ambayo tayari Urusi imejiungamanisha nayo (annexed to Russia) kama ya kwake (sawa na China inavyodai kumiliki Taiwan na HongKong) ilikuwa muhimu kimataifa kwa mfumo mpya wa dunia mwaka 2014 kama ambavyo Cuba ilikuwa mwaka 1963 au Hungary mwaka 1956.

Urusi inadai kuwa wakazi wa Rasi ya Crimea kwa asilimia kubwa sana wanaongea lahaja ya Kirusi.

Urusi inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, Ukraine nayo inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, majimbo hayo nayo yanahitaji uhuru kamili (sovereignty) lakini yakitumia Urusi kama daraja la kufikia ndoto yao hiyo.

Vikwazo:

Kumeibuka mashindano ya kuwekeana vikwazo kati ya washirika wa NATO na Urusi ambapo maeneo yaliyoishaguswa hadi sasa ni sekta za fedha, safari za anga, mabenki, uhamiaji, biashara (matajiri 5 wakubwa wa Kirusi waliowekeza UK mitaji yao imeshikiliwa (assets frozen)) kupitia tangazo la Mhe. Boris Johnson PM wa UK.

Katika kujibu mapigo, Urusi imefunga viwanja 12 muhimu vya ndege za kiraia, imepiga marufuku ndege za UK na washirika wa NATO kuingia Urusi na kutotumia anga la Urusi.

Urusi inategemewa na dunia kwa uzalishaji mkubwa sana wa ngano, gesi asilia, silaha na vileo vya kiwango cha juu duniani, hivyo dunia inaihitaji Urusi kuliko inavyoihitaji Ukraine. Hiki ndicho kinachompa Urusi kiburi na jeuri.

Changamoto:

US enzi ya rais Boris Yeltsin wa Urusi (baada ya kupokea Urusi iliyosambaratika mikononi mwa rais Gor Bachev kupitia sera yake ya mageuzi ya kiitikadi aliyoiita Perestroika) ilikula njama kuua WARSAW PACT ikabakisha NATO. Poland ambayo US inaomba kutumia ardhi yake kwa ajili ya vita hii ilikuwa mshirika wa Urusi kwenye WARSAW PACT, leo Poland imejiposa kwa NATO.

NATO ina washirika EU na Americas, Urusi haina washirika US na EU kwahiyo hivi sasa US kupitia NATO inatumia majirani wa Urusi kuiminya Urusi.

NATO imejitafakari na kuona bora vikwazo kuliko vita vya moto kwa sababu ukimya wa China, Iran, Korea Kaskazini, Syria vimeipa homa kali kwamba huenda wakajiunga na Urusi ambapo tayari ndani ya saa 24 rais Nicolás Maduro Moros wa Venezuela hakuvuta subira bali alitangazia dunia hadharani kwamba yuko upande wa Urusi kwenye vita hii ya RUSSO-UKRAINIAN WAR.

US ni mteja mkubwa sana wa mafuta ghafi na bidhaa za petroli toka Venezuela. Katika mwaka wa 2021 US iliagiza mafuta kwa kiwango ambacho ni mara tatu ya kile kilichoagizwa na Urusi, sababu inaweza kuwa kwamba Urusi inatumia gesi zaidi ya mafuta kwa sababu inaongoza dunia kwa uzalishaji wa nishati ya gesi asilia.

Aidha, kama Iran ikiungana na Urusi ni wazi kwamba wanachama wa OIC hawatakaa kimya kuona NATO ikilipa kisasi kwa Iran na kwamba itabidi OIC wote wawe upande wa Urusi kupitia ndugu yao Iran.

Hofu kuu ya OIC kukaa upande wa Urusi kupitia Iran ni kwamba uamuzi huo unaweza kumuibua Muisrael ambaye atataka amuunge mkono US na kwamba kwa kitendo hicho, ndani ya himaya ya OIC Uarabuni hakutakalika kwa sababu Israel itataka kuipunguzia OIC nguvu humo humo ndani kabla ya kuvuka mipaka kwenda Ukraine kuisaidia Urusi na labda Iran.

Kama Zimbabwe ilivyokuwa mwanachama wa Madola, Israel nayo ni mjumbe kwenye OIC (asiye na kura, bali tu kwa sababu dini ya Kiislamu ni ya pili kwa ukubwa Israel nyuma ya ile ya Kiyahudi Jewish); lakini kimkakati wa ulinzi (kijasusi), kwahiyo Israel ikiungana na US na NATO kupitia mgongo wa Ukraine kuwashambulia majirani zake wa OIC wa Uarabuni ambao ina uadui nao; itakuwa imehujumu ujumbe wake wa OIC kwa kisa tu cha kuzitetea US na NATO.

Kitu pekee ambacho dunia inatakiwa imuombe Mungu kwa bidii kumaliza vita hii ni kwamba Urusi ina teknolojia ya kutengeneza silaha za kibaiolojia za hali ya juu (ambayo US na NATO hawana) alizowahi kumuuzia Iraq; na chanjo ya virusi hivyo anayo yeye pekee duniani (ni siri kali ya kiulinzi), hivyo katikati ya janga la dunia la Uviko-19, kama Urusi ikiamua kutumia silaha hizo za kibaiolojia (virusi) ni dhahiri kwamba dunia itakuwa imefika kusiko. Hii inaweza kuwa ni moja ya sababu za NATO kuahirisha kupigana vita ya moto na kuchagua vita ya vikwazo vya kiuchumi.

Tayari Urusi inadukua mawasiliano ya Ikulu na Idara zote za Ulinzi na Usalama za Ukraine. Ukraine sasa iko mikononi mwa Urusi kwa 100%. NATO inaogopa kuunganisha Ukraine kwenye mfumo wake wa ulinzi na pia ule wa kiserikali (zikiwemo Ikulu za NATO) kwa kuhofia Urusi kudukua. Hivyo Urusi inadhibiti mfumo wa mawasiliano yanayoingia na kutoka Ukraine na kufanya NATO kukata mawasiliano na Ukraine. Vita ni mawasiliano kwa sababu ndiko amri za kivita zinakopatikana.

Afrika imeshikwa pabaya kwenye gogoro hili kwa sababu ni kama vile EU iliota kwamba lazima Mrusi ataishambulia Ukraine; ikajiwahi kufanya mtaguso na AU (#EUAU) wiki iliyopita kutoa furushi (package) la fursa za uwekezaji ndani ya AU (Blackmail) hivyo Afrika italazimika kufunga kinywa chake kwenye vita hii kama Bi. Harusi.

Ni dhahiri sasa kwamba viongozi wa Afrika wamepata kisingizio kingine cha pili baada ya Uviko-19; cha vita ya Urusi na Ukraine; cha kuegemezea madai yao ya kushindwa kukuza chumi zao na kushindwa kutekeleza ilani zao za uchaguzi, wanashindwa kujuwa kuwa changamoto ni mtaji pia.

UN iko wapi kwenye hili?

Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US

Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)

Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.

Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.

Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.

Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).

Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.

©Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 25, 2022.

View attachment 2130774
Picha ya juu: Kwa wakati mmoja manowari, ndege-vita na vifaru vya Urusi vikiichakaza Ukraine.

View attachment 2130776
Taswira kwa hisani ya google.

Da aisee uko vizuri
Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US

Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)

Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.

Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.

Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.

Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).

Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.
 
Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US

Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)

Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.

Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.

Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.

Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).

Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.
Mi nadhani Uhasama hasa upo kati ya Urussi na nchi za ulaya na si Marekan uncle Sam wana mtumia kumtisha Urussi. Urussi yalio makolon yake yote Yana mkimbia na Wana taka kujiunga EU
 
Hapo naona China na Iran tu. India ana Nguvu za Kijeshi lakini hata siku moja hawezi kuwa upande ambao China Yupo,Never. Japo India inauhusiano mzuri na Russia lakini kwenye hivyo Vita India atakaa Neutral Sawa na Israel. Lakini Iran ikiingia TU Vitani dhidi ya USA sioni Israel ikikaa pembeni maana inajua Endapo Marekani akipigwa Basi Irani anamgeukia Yeye. Kwahiyo kujua Nani atashirikiana na Nani kwenye hiyo Timu ni Ngumu. Upande wa Marekani ni wazi kabisa lazima Uingereza na Ufaransa wataingia Vitani.

Kuhusu hivyo vinchi vidogo vidogo sioni vikiingilia huo mgogoro zaidi ya Belarus na Kazarkhstan. Wengine wataufyata endapo Marekani akiamusha Mindege yake hewani,Hao wadogo wadogo akina Nicaragua watajitoa mapema Sana.
Kwani unafikiri Latvia, Lithuania, Slovenia ni nch kubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ngoja tuone...
Uwezo wa rais Putin kubadilika kulingana na matakwa ya mazingira na wakati ni mkubwa kuliko Biden, Xi, Boris Johnson, Zelensky (Pariah katika nchi yake mwenyewe ya Ukraine) nk duniani. Hii inampa Putin tuzo kama mwanasiasa pekee duniani mwenye haiba hiyo adhimu.

Putin aliwahikuwa rais, akaja kuwa waziri mkuu, akarudi tena kuwa rais, ni mwanasiasa na kiongozi wa nchi mwenye ushawishi mkubwa na Kremlin katika safu ya warasimu wa kisiasa na kiserikali nchini Urusi. Putin anaongea lugha za kiserikali, kisiasa na kijeshi kwa sababu ni rubani wa ndege-vita mstaafu.

Aidha Putin ni rais pekee anayeongoza nchi kubwa kijiografia duniani. Kwa mfano eneo linaloongozwa na rais wa Tz ni sawa na eneo linaloongozwa na mkuu wa mkoa Urusi, yaani Tz ni sawa na mkoa mmoja wa Urusi.


Urusi inadhibiti eneo la bahari ya Black Sea upande wa Crimea, imeweka manowari na patrol za nyambizi pale. Aidha, mpaka wake na Ukraine ndiyo umechukuwa eneo kubwa kijiografia kuliko mipaka ya Ukraine na Hungary na Poland.

NATO na EU wanataka kupeleka silaha Ukraine, ni wazi kwamba watatumia mipaka ya Hungary na Poland ambazo sasa pia zitakuwa shabaha za Urusi kwa sababu kuingia Ukraine kwa njia ya anga pia ni sawa na kutumia mdomo wa mamba/nyangumi kuingia ziwani/baharini kwa sababu anga yote ya Ukraine iko kwenye udhibiti wa Urusi na kwa tangazo la jana la Urusi kupitia azimio la Kremlin kwamba kikosi cha Nyuklia kimewekwa kwenye tahadhari kubwa ni wazi kwamba Urusi inaweza pia kuvunjavunja viwanja vyote vya ndege vya Ukraine ili kuwakatia njia (access) NATO na EU na kwamba hata misaada ya kibinadamu Urusi inaweza kulazimisha dunia sasa itumie njia ya mipaka yake (Urusi) ya nchi kavu kuingiza misaada Ukraine ambako huko nako NATO na EU ziwekwishaweka vikwazo na kufunga mipaka ya anga na nchi kavu.

Hungary na Poland zikitumika kama njia pekee za kuifikia Ukraine basi Hungary na Poland (ambazo zina uchumi aina ya mhogo (cassava economy, yaani ni kati ya nchi maskini ndani ya EU)) zitakuwa zimejiingiza kwenye Stockholm Syndrome (zitakuwa zimejichumbia kwa Urusi kwa ushenga wa NATO na EU. Umaskini mbaya sana). Salama ya Hungary na Poland hapa ni kuchagiza NATO na EU kutumia vita ya vikwazo badala ya ile ya moto (silaha).

Uwezo wa jeshi la Urusi:

How big is Russia’s army?


Russia has around 900,000 active military personnel and 2ml reserve (making it the world 5th largest army in-terms of span-of-control) roughly 200,000 of which were stationed at the Ukrainian border ahead of the invasion.

The Russian navy operates 74 warships and 51 submarines, while the army has more than 13,300 tanks, almost 20,000 armoured fighting vehicles, and nearly 6,000 pieces of artillery.

Its air force boasts around 1,300 aircraft and 500 helicopters.

Russia also possesses plenty of long-range weaponry, including more than 500 land-based ballistic missile launchers.

Source: How many troops does Russia have? Size of Russian army compared to Nato and Ukraine as Putin launches invasion (inews.co.uk)

Radar za Kijeshi za Urusi zinaona dunia nzima kwa teknolojia ya satellite.

Bajeti ya jeshi la Urusi 2020 ilifika $.61.7 bilioni (Tshs.141.91 trilioni).

Kwa mujibu wa Global Firepower 2020 jeshi la Urusi linashikilia nafasi ya pili duniani kwa ubora.


©Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 28, 2022.

1646060419889.png

Manowari.

1646060492765.png

Nyambizi.

1646060583773.png

Ndege-vita.

1646060790333.png

Vifaru.

Taswira zote kwa hisani ya google.
 
Urusi wakipigwa msilalamike
Putin anapigana vita mbili, hii ya pili ya vikwazo vya kiuchumi ndiyo ngumu mno.

Sidhani Taifa kubwa lenye nguvu kama Urusi linaweza kwenda mbele na kukua zaidi na zaidi kama halifanyi biashara na nchi za Ulaya, Marekani na Canada.

Hii inaitwa killing softly, jamaa wanajua wanampatia wapi Putin, stay turned.
 
Putin anapigana vita mbili, hii ya pili ya vikwazo vya kiuchumi ndiyo ngumu mno.

Sidhani Taifa kubwa lenye nguvu kama Urusi linaweza kwenda mbele na kukua zaidi na zaidi kama halifanyi biashara na nchi za Ulaya, Marekani na Canada.

Hii inaitwa killing softly, jamaa wanajua wanampatia wapi Putin, stay turned.
Yameshammaliza anapiga kelele tu hapo sahivi
 
Ukraine bye bye... Tuliwaambia lakini.

Hitler mwenyewe alikuwa amekaribia kuiteka dunia yote ila alipoambiwa wanajeshi wa Urusi wapo hapa Ujerumani ikambidi adumbukie kwenye pipa la asidi [emoji51][emoji51]
Za ndaaani kabisa hakudumbukia kwenye pipa bali alipewa hifadhi huko vatican kwa siri sana. Za ndan pia katibu mkuu aliyemrithi ban ki moon ni kiongozi mkubwa wa nazi kwahyo manazi yanaendelea na harakati zao kwa siri sana.
 
Mpaka leo unaamini kuna corona?? Binafsi huwa naiona corona ni kama katuni kwenye tv unawaona mtaani huwaoni.
Ahahaha ile ngoma ilipiga kweli na wala haikuwa utani, ni vile tu haikuwa na madhara makubwa huku.
 
Hapo naona China na Iran tu. India ana Nguvu za Kijeshi lakini hata siku moja hawezi kuwa upande ambao China Yupo,Never. Japo India inauhusiano mzuri na Russia lakini kwenye hivyo Vita India atakaa Neutral Sawa na Israel. Lakini Iran ikiingia TU Vitani dhidi ya USA sioni Israel ikikaa pembeni maana inajua Endapo Marekani akipigwa Basi Irani anamgeukia Yeye. Kwahiyo kujua Nani atashirikiana na Nani kwenye hiyo Timu ni Ngumu. Upande wa Marekani ni wazi kabisa lazima Uingereza na Ufaransa wataingia Vitani.

Kuhusu hivyo vinchi vidogo vidogo sioni vikiingilia huo mgogoro zaidi ya Belarus na Kazarkhstan. Wengine wataufyata endapo Marekani akiamusha Mindege yake hewani,Hao wadogo wadogo akina Nicaragua watajitoa mapema Sana.
Wewe jamaa bna[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Well said.

Nje ya mada.

Kwa namna yoyote niko upande wa mrusi na kama ningepata chance ya kwenda kusaidia urusi ningeenda.
Jitahidi usome mwanzo mwisho.

Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko.

Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake.

US inaingia kwenye vita hii kwa sababu moja kuu ya kulipiza kisasi cha Urusi kudukua matokeo ya uchaguzi yaliyoiangusha Democrat na kuipa Republican ushindi kwa kumuingiza rais Donald Trump Ikulu ya Whitehouse.

Kwa siku moja tu Urusi imeitia kilema cha kudumu Ukraine kiulinzi ambapo maeneo 88 ya kiraia yamelengwa, raia 137 kufa, 380 vilema, 29,000 wakimbizi kwenda ndani ya Urusi yenyewe na wachache kati yao kwenda Poland lakini wakihofu kuwa Poland inaweza kuwa shabaha ya Urusi endapo NATO itapewa ardhi huko. Urusi imeshambulia tokea angani, majini na ardhini kwa wakati mmoja na imedhihiri kuwa Urusi kupigana na Ukraine ni sawa na Afrika Kusini kupigana na Swaziland.

Ukraine inadai madhara iliyopata ni kutokana na silaha zake kuharibu zile za Urusi angani na mabaki yake kuja kuangukia makazi ya watu na makambi ya Ukraine, huku ikitoa takwimu kwamba imejeruhi na kuua idadi ya wapiganaji na watumishi wa Urusi wapatao 443. Yote ni propaganda za vita za Ukraine kwa sababu kwanini hayo hayakutokea ndani ya Urusi?

Maeneo zaidi ya 100 ya ulinzi wa kimkakati yamesambaratishwa ikiwemo mfumo wa ulinzi wa kimtandao (cyber security) kiasi kwamba rais na amiri jeshi mkuu wa Ukraine Mhe. Volodymyr Zelenskyy ametangaza kuacha vita na kuitaka Urusi isitishe vita na kuondoa majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine, huku EU na NATO vikiogopa na kuamua kutangaza kupitia kinywa cha rais Joe Biden wa US kuwa NATO haitapigana vita ya moto bali ya vikwazo vya kiuchumi.

Madai ya Urusi:

Ukraine inaongozwa toka nje (US)

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine anatuhumiwa na Urusi kwa mauaji ya kimbari ya miaka 8 sasa na kwamba yeye siyo rais halali aliyechaguliwa kidemokrasia na kwamba serikali yake ni ya mpito tu.

Ukraine inajenga vinu vya Nyuklia (kama US ilizuia Iran na Korea Kaskazini kwanini yeye Urusi asiizuie Ukraine ambayo iko karibu naye kijiografia kuliko Iran na Korea Kaskazini zilivyo na US)

Ukraine iache majimbo yanayotaka kujitenga yajitangazie uhuru kamili (Crimea na Donbass/Donbas)

Urusi tangu 2014 imeunga mkono kujitenga majimbo haya ambayo yamekuwa vitani na Ukraine kwa miaka mi 8 sasa.

Umuhimu wa majimbo yanayojitenga:

Donetsk ni mji mkuu wa Donbas.

Donbas inayolala kwenye bonde la Donetsk na Luhansk ni tajiri kiuchumi, kiutamaduni na kihistoria. Inatoa makaa ya mawe kwa wingi na ina viwanda mama vingi. Ni muhimu kama ilivyo Scotland kwa Uingereza.

Crimea ambayo tayari Urusi imejiungamanisha nayo (annexed to Russia) kama ya kwake (sawa na China inavyodai kumiliki Taiwan na HongKong) ilikuwa muhimu kimataifa kwa mfumo mpya wa dunia mwaka 2014 kama ambavyo Cuba ilikuwa mwaka 1963 au Hungary mwaka 1956.

Urusi inadai kuwa wakazi wa Rasi ya Crimea kwa asilimia kubwa sana wanaongea lahaja ya Kirusi.

Urusi inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, Ukraine nayo inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, majimbo hayo nayo yanahitaji uhuru kamili (sovereignty) lakini yakitumia Urusi kama daraja la kufikia ndoto yao hiyo.

Vikwazo:

Kumeibuka mashindano ya kuwekeana vikwazo kati ya washirika wa NATO na Urusi ambapo maeneo yaliyoishaguswa hadi sasa ni sekta za fedha, safari za anga, mabenki, uhamiaji, biashara (matajiri 5 wakubwa wa Kirusi waliowekeza UK mitaji yao imeshikiliwa (assets frozen)) kupitia tangazo la Mhe. Boris Johnson PM wa UK.

Katika kujibu mapigo, Urusi imefunga viwanja 12 muhimu vya ndege za kiraia, imepiga marufuku ndege za UK na washirika wa NATO kuingia Urusi na kutotumia anga la Urusi.

Urusi inategemewa na dunia kwa uzalishaji mkubwa sana wa ngano, gesi asilia, silaha na vileo vya kiwango cha juu duniani, hivyo dunia inaihitaji Urusi kuliko inavyoihitaji Ukraine. Hiki ndicho kinachompa Urusi kiburi na jeuri.

Changamoto:

US enzi ya rais Boris Yeltsin wa Urusi (baada ya kupokea Urusi iliyosambaratika mikononi mwa rais Gor Bachev kupitia sera yake ya mageuzi ya kiitikadi aliyoiita Perestroika) ilikula njama kuua WARSAW PACT ikabakisha NATO. Poland ambayo US inaomba kutumia ardhi yake kwa ajili ya vita hii ilikuwa mshirika wa Urusi kwenye WARSAW PACT, leo Poland imejiposa kwa NATO.

NATO ina washirika EU na Americas, Urusi haina washirika US na EU kwahiyo hivi sasa US kupitia NATO inatumia majirani wa Urusi kuiminya Urusi.

NATO imejitafakari na kuona bora vikwazo kuliko vita vya moto kwa sababu ukimya wa China, Iran, Korea Kaskazini, Syria vimeipa homa kali kwamba huenda wakajiunga na Urusi ambapo tayari ndani ya saa 24 rais Nicolás Maduro Moros wa Venezuela hakuvuta subira bali alitangazia dunia hadharani kwamba yuko upande wa Urusi kwenye vita hii ya RUSSO-UKRAINIAN WAR.

US ni mteja mkubwa sana wa mafuta ghafi na bidhaa za petroli toka Venezuela. Katika mwaka wa 2021 US iliagiza mafuta kwa kiwango ambacho ni mara tatu ya kile kilichoagizwa na Urusi, sababu inaweza kuwa kwamba Urusi inatumia gesi zaidi ya mafuta kwa sababu inaongoza dunia kwa uzalishaji wa nishati ya gesi asilia.

Aidha, kama Iran ikiungana na Urusi ni wazi kwamba wanachama wa OIC hawatakaa kimya kuona NATO ikilipa kisasi kwa Iran na kwamba itabidi OIC wote wawe upande wa Urusi kupitia ndugu yao Iran.

Hofu kuu ya OIC kukaa upande wa Urusi kupitia Iran ni kwamba uamuzi huo unaweza kumuibua Muisrael ambaye atataka amuunge mkono US na kwamba kwa kitendo hicho, ndani ya himaya ya OIC Uarabuni hakutakalika kwa sababu Israel itataka kuipunguzia OIC nguvu humo humo ndani kabla ya kuvuka mipaka kwenda Ukraine kuisaidia Urusi na labda Iran.

Kama Zimbabwe ilivyokuwa mwanachama wa Madola, Israel nayo ni mjumbe kwenye OIC (asiye na kura, bali tu kwa sababu dini ya Kiislamu ni ya pili kwa ukubwa Israel nyuma ya ile ya Kiyahudi Jewish); lakini kimkakati wa ulinzi (kijasusi), kwahiyo Israel ikiungana na US na NATO kupitia mgongo wa Ukraine kuwashambulia majirani zake wa OIC wa Uarabuni ambao ina uadui nao; itakuwa imehujumu ujumbe wake wa OIC kwa kisa tu cha kuzitetea US na NATO.

Kitu pekee ambacho dunia inatakiwa imuombe Mungu kwa bidii kumaliza vita hii ni kwamba Urusi ina teknolojia ya kutengeneza silaha za kibaiolojia za hali ya juu (ambayo US na NATO hawana) alizowahi kumuuzia Iraq; na chanjo ya virusi hivyo anayo yeye pekee duniani (ni siri kali ya kiulinzi), hivyo katikati ya janga la dunia la Uviko-19, kama Urusi ikiamua kutumia silaha hizo za kibaiolojia (virusi) ni dhahiri kwamba dunia itakuwa imefika kusiko. Hii inaweza kuwa ni moja ya sababu za NATO kuahirisha kupigana vita ya moto na kuchagua vita ya vikwazo vya kiuchumi.

Tayari Urusi inadukua mawasiliano ya Ikulu na Idara zote za Ulinzi na Usalama za Ukraine. Ukraine sasa iko mikononi mwa Urusi kwa 100%. NATO inaogopa kuunganisha Ukraine kwenye mfumo wake wa ulinzi na pia ule wa kiserikali (zikiwemo Ikulu za NATO) kwa kuhofia Urusi kudukua. Hivyo Urusi inadhibiti mfumo wa mawasiliano yanayoingia na kutoka Ukraine na kufanya NATO kukata mawasiliano na Ukraine. Vita ni mawasiliano kwa sababu ndiko amri za kivita zinakopatikana.

Afrika imeshikwa pabaya kwenye gogoro hili kwa sababu ni kama vile EU iliota kwamba lazima Mrusi ataishambulia Ukraine; ikajiwahi kufanya mtaguso na AU (#EUAU) wiki iliyopita kutoa furushi (package) la fursa za uwekezaji ndani ya AU (Blackmail) hivyo Afrika italazimika kufunga kinywa chake kwenye vita hii kama Bi. Harusi.

Ni dhahiri sasa kwamba viongozi wa Afrika wamepata kisingizio kingine cha pili baada ya Uviko-19; cha vita ya Urusi na Ukraine; cha kuegemezea madai yao ya kushindwa kukuza chumi zao na kushindwa kutekeleza ilani zao za uchaguzi, wanashindwa kujuwa kuwa changamoto ni mtaji pia.

UN iko wapi kwenye hili?

Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US

Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)

Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.

Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.

Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.

Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).

Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.

[emoji2398]Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 25, 2022.

View attachment 2130774
Picha ya juu: Kwa wakati mmoja manowari, ndege-vita na vifaru vya Urusi vikiichakaza Ukraine.

View attachment 2130776
Taswira kwa hisani ya google.
 
Wewe jamaa bna[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Mimi kwenye Hizi international Affirs najikita kwenye Facts kutokana na historia husika lakini tuliowengi tunafuata Mahaba TU.

Lakini naweza nisiwe sahihi make kwenye Vita lolote Lile linaweza kutokea.
 
Namna gani nzuri ya kumaliza fitna ya kihistoria kati ya Urusi na US

Ili kuondoa mvutano kati ya Superpowers wawili wa dunia (US na Urusi) ni kwa Urusi kuamua kuwa mwanachama wa EU, hii itasawazisha (neutralize) nguvu za US kwa sababu ndani ya EU kuna wanachama wa NATO pia hivyo US inapoitishia Urusi kwa kutumia NATO basi wanachama wa EU ambao pia ni washirika wa NATO hawatamkubalia US badala yake watalazimika kumtetea Urusi ambaye ni mwana EU mwenzao (japo siyo mwana NATO)

Kati ya wanachama 27 wa EU, 21 pia ni wanachama wa NATO. Wana-NATO wengine wanne ni waombaji wa uanachama wa EU ambao ni Albania, Montenegro, Macedonia Kaskazini, na Uturuki. Wengine wawili Iceland na Norway wamechagua kuwa nje ya EU, hata hivyo wanashiriki kwenye soko la pamoja la EU.

Wanachama waanzilishi wa NATO ni Ubelgiji, Canada, Denmark, Ufaransa, Iceland, Italia, Luxembourg, Uholanzi, Norway, Ureno, Uingereza na Marekani. Ukraine siyo mwanachama wa EU wala NATO lakini imeshiriki operesheni nyingi za NATO (Urusi naye siyo mwanachama wa EU wala NATO). Aidha, zipo taarifa kwamba Bosnia na Herzegovina, Georgia na Ukraine wameomba kujiunga NATO.

Case Study ya Israel ambayo Urusi ingeiiga.

Hadi mwaka 2021, wanachama sita pekee kati ya ishirini na wawili wa Arab League wameitambua Israel: Egypt, Jordan, United Arab Emirates, Bahrain, Sudan na Morocco. Mauritania ilivunja uhusiano na Israel. Pia dini ya Uislam ni ya pili (19%) kwa kubwa Israel baada ya ile ya Jewish 75%, hii inampa Israel nafasi OIC ili taasisi hii ya kimataifa ya kiislamu iweze kusimamia maslahi ya Uislamu ndani ya Israel ambako kuna uhuru mkubwa wa kuabudu kikatiba. Fursa hii inaiangukia Israel kwa kuwa mshiriki OIC asiye na kura, pia Arab League Israel ana fursa, japo ndani ya moyo wa Israel fursa hizi anazitumia kimkakati ya kijasusi kwa ajili ya ulinzi na usalama wake (kujuwa anavyojadiliwa huko).

Urusi ilitakiwa ijifunze hili toka kwa Israel; kwa kujiunga EU ili iweze kusawazisha (ku-neutralize) nguvu za NATO. Badala yake Urusi ilibuni taasisi ya Eurasian Economic Union (EEU) ambayo ina wanachama 5 ambao ni Jamhuri za Kisovieti za iliyokuwa USSR i.e. Russia, Kazakhstan, Belarus, Armenia na Kyrgyzstan.
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom