Jini la vita limejamba EU

Jini la vita limejamba EU

Nimeishia kusoma hapo tu.

Hivi unafatilia mambo kweli maana inaoneakana kama yote uliyoandika humo umesimuliwa.
Tafuta taarifa, tuandikie ukweli mbadala utaoupata ili tupate maarifa mbadala. Siyo dhambi ukifanya hivyo, ila ni uvivu na dhambi ukishindwa kufanya hivyo. Mwenyewe umekiri kuwa "nimeishia kusoma hapo tu" ambayo maana yake ni kwamba unakiri una tatizo la uvivu wa kusoma makala ndefu.

Pia tuambie Urusi iko na nani hadi sasa zaidi ya Maduro pekee aliyetoa ahadi ya maneno matupu ya kumuunga Urusi mkono tena baada ya Urusi yenyewe kumaliza vita ndani ya masaa 12.

Aidha, kusimuliwa ni source mojawapo ya kupata maarifa hivyo sioni kama ni hatia hiyo. Tunajifunza kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kusimuliwa. Hata rais anasimuliwa, hata Mungu anasimuliwa na Malaika wake anayemtuma (Gabriel).

Karibu utujuze.
 
NATO inaogopa vita na Mrusi kipindi hiki cha msimu wa baridi kali na virusi vya Corona vinavyoshamiri kwenye ubaridi.

In Northern and central parts of Russia winter starts in early November and stretches all the way to the end of April.

Urusi ni mjuvi pekee duniani mwenye uwezo wa kipekee wa kupigana kwenye ubaridi mkali.

Enzi ya vita kuu ya dunia, Warusi hawakuishi kwenye eneo waliloko leo, waliishi maeneo ya Yugoslavia, baada ya Hitler kuwaua kwa uwingi waliamua kukimbilia juu zaidi karibu na Northern Pole ya dunia kwenye ubaridi mkali ambapo vikosi vya Ujerumani vilikufa kwa baridi kali tu hata bila silaha na ndipo Mrusi akaanza kustawi kwenye eneo hilo na kubuni vileo vikali vinavyohimili ubaridi na hivyo kujijenga kimedani dhidi ya Ujerumani na kuwashinda vita.
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.

Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2003 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

Kuhusu NORTH KOREA,Yeye Ana Mabomu 10 TU ya Nyuklia kwahiyo hata akiacha atupe Mabomu yake Marekani atateketeza Miji 10 ya Marekani Kati ya 358. Kwa upande mwingine,NORTH KOREA ana miji 7 Mikubwa. Marekani akituma Makombora Yake ya Nyuklia 3500 nadhani unaona kabisa Makombora Mengine hayana pa Kupiga kabisa.

MTz 255Dar.
 
Tafuta taarifa, tuandikie ukweli mbadala utaoupata ili tupate maarifa mbadala. Siyo dhambi ukifanya hivyo, ila ni uvivu na dhambi ukishindwa kufanya hivyo. Mwenyewe umekiri kuwa "nimeishia kusoma hapo tu" ambayo maana yake ni kwamba unakiri una tatizo la uvivu wa kusoma makala ndefu.

Pia tuambie Urusi iko na nani hadi sasa zaidi ya Maduro pekee aliyetoa ahadi ya maneno matupu ya kumuunga Urusi mkono tena baada ya Urusi yenyewe kumaliza vita ndani ya masaa 12.

Aidha, kusimuliwa ni source mojawapo ya kupata maarifa hivyo sioni kama ni hatia hiyo. Tunajifunza kwa njia mbalimbali ikiwemo ya kusimuliwa. Hata rais anasimuliwa, hata Mungu anasimuliwa na Malaika wake anayemtuma (Gabriel).

Karibu utujuze.
Naweza kujibu baadhi:

Kwanza NATO wenyewe hawako pamoja nchi kama Latvia na Hungary zimetangaza vita hii haiwahusu na kutaka akari wao waliopo Nato warudi na limesemwa na Maraisi wao.

Ujerumani hayuko interested na hii vita kwa sababu amewekeza kwa kiasi kikubwa Urusi.
Anategemea gesi ya mrusi

Ufaransa yenyewe haipo committed na hii vita kumbuka issue ya AUKUS aliponyang'anywa deal muhimu na waingereza na Wamarekani

Nani washirika wa Russia:

China
North Korea
Mongolia
Iran
Pakistan
Venezuera
Nicaragua
Belarus
Kazakhstan
Uzbekistan
Tajikistan
Kyrgyzstan
Azerbaijan
Armenia
India
Central Africa republican
Mali
Afghanistan
Serbia
Montenegro
Kosovo
Hawandio wapo wazi wazi Bado wale wa kimya kimya

Hawa
 
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.

Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2003 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

Kuhusu NORTH KOREA,Yeye Ana Mabomu 10 TU ya Nyuklia kwahiyo hata akiacha atupe Mabomu yake Marekani atateketeza Miji 10 ya Marekani Kati ya 358. Kwa upande mwingine,NORTH KOREA ana miji 7 Mikubwa. Marekani akituma Makombora Yake ya Nyuklia 3500 nadhani unaona kabisa Makombora Mengine hayana pa Kupiga kabisa.

MTz 255Dar.
Hizi takwimu umevitoa wapi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Umechambua vizuri lakini hapo uliposema eti Urusi ina Siraha za Kibiolojia ambazo USA na NATO hawana hapo ndipo nikasituka nikajua huyu ni Team Putin kwahiyo hakuna uchambuzi wowote ule zaidi ya mahaba.

Yaani unaizungumzia Hii hii USA ambayo ilitengeneza Magonjwa yafuatayo ambayo mpaka Sasa yanaitesa Dunia na hakuna taifa lenye Tiba mahususi zaidi ya USA yenyewe?

Anthrax, Polio,Small Pox,HIV Mansoil,TB, Rift Valley Flue.

Wewe jamaa Nenda kasome tena. Yaani hata wewe umejisitukia kabisa eti (ni Siri kubwa) harafu wewe wa kwa Mtongole unaijua.
Vipi mchina aliyeitengenza COVID-19 ?
 
Pia tuambie Urusi iko na nani hadi sasa zaidi ya Maduro pekee aliyetoa ahadi ya maneno matupu ya kumuunga Urusi mkono tena baada ya Urusi yenyewe kumaliza vita ndani ya masaa 12.
Kubali kwanza kwamba wewe ni mweupe....
 
Ni kweli Urusi ina Nguvu kubwa Sana za Kijeshi Tena Sana. Lakini hawezi hata siku moja kuthubutu kutumia kombola la Nyuklia kwenye Vita. Kombola la Nyuklia ni kwa ajili ya Duterrence(Kutishia). Kinachosababisha mpaka Sasa NATO washindwe Kuingia vitani kuisaidia Ukraine ni kwasababu Russia ana Nyuklia Waepons ambazo zikitumika Basi NO WINNER,All are LOSSERS.

Urusi ina Makombora 7500 ya Nyuklia kwa takwimu za NIT. Makombora 2500 yako tayari kufyatuliwa kuelekea Endeo lolote Lile Duniani litakapotumwa. Marekani ina Miji mikubwa 358 na Majimbo 54. Kombora Moja linaugeuza mji kuwa Majivu kabisa. Kama Mrusi akituma Makombora yote 2500 kuelekea Marekani,Basi ndani ya dakika 30 hakutakuwa na USA Duniani.

Kwa Upande Mwingine,Marekani ina Makombora ya Nyuklia 6800. Kati ya hayo, 3500 yako tayari kufyatuliwa ndani ya Dakika 5 wakipokea Order na Direction ya kuyafurumusha. Urusi ina Miji mikubwa 43. Endapo USA akiona Russia kashatuma Makombora Yake kuelekea Marekani na hakuna jinsi Basi ndani ya Dakika 5, Makombora 3500 ya Marekani yatakuwa njiani kuelekea Urusi kuteketeza Miji 43,Ndani ya Nusu saa hakutakuwa na Urusi Tena. Hiyo inaitwa MUTUAL ASSURED DESTRUCTION(MAD).

Haya Sasa,Tuseme wewe ni Raisi wa Russia,utarusha hayo Makombora kuelekea Marekani au utafanya juhudi za majadiliano?

Mwishoni mwa Vita baridi kabisa (1988) Nchi za Marekani na Urusi Zilikuwa na Akiba ya Makombora 127,000 (Laki moja na elfu ishirini na Saba). Kati ya hayo, 58,000 ya Urusi na 69,000 ya USA. Embu fikilia. Kombora Moja linafuta mji mmoja wa Dar. Je,Dunia ina Miji 127,000? Jibu ni Hapana.

Kwahiyo ndugu yangu usiwe na tempa unapokuwa unachangia hizi maada,tumia Logic utaelewa tu.

Urusi na Marekani wanajuana,wakikutana Anga Furani Kila mmoja anaangalia Nani anamaslahi makubwa na anamwachia ili kuepusha Vita.

Georgia Mwaka 2008 Marekani hakuingiza mguu kusaidia Nchi hiyo dhidi ya Uvamizi wa Russia kwasababu Marekani anajua hapo Russia ana maslahi Makubwa.

Iraq mwaka 2003 Russia hakutia Mguu kwasababu Marekani alikuwa na Maslahi Makubwa.

Libya mwaka 2011 Russia hakutia Mguu kwasababu USA alikuwa na Maslahi Makubwa.

Venezuera Marekani aliogopa Msululu wa wakimbizi kumiminika nchini Marekani hata Kama angeliamua Vita Urusi angelipisha Coz pale ni Maslahi Makubwa ya kiusalama kwa USA.

Syria pale Wote Urusi na USA wanamaslahi na ndio maana mpaka Sasa wameigawana kijanja. Urusi inamhitaji Assad kwasababu Anamdai pesa ndefu. Marekani anahitaji Mafuta ndio maana mpaka leo Majeshi ya Marekani yapo Syria kulinda Visima vya Mafuta.

Kuhusu Ukraine,hata Marekani anajua kabisa Maslahi ya Urusi ni Makubwa kwahiyo lazima akae pembeni. Atashiriki tu kijanja lakini sio moja kwa moja.

Kuhusu NORTH KOREA,Yeye Ana Mabomu 10 TU ya Nyuklia kwahiyo hata akiacha atupe Mabomu yake Marekani atateketeza Miji 10 ya Marekani Kati ya 358. Kwa upande mwingine,NORTH KOREA ana miji 7 Mikubwa. Marekani akituma Makombora Yake ya Nyuklia 3500 nadhani unaona kabisa Makombora Mengine hayana pa Kupiga kabisa.

MTz 255Dar.
Kwahiyo unataka tuziamini hizi story zako bila reference??
 
😳😳😳😳ulikuwepo mwaka huo mkuu?
Mkuu nimekuja duniani 1961 Feb. Pia niliiona hiyo vita kwenye sinema enzi hizo inaletwa kijijini, tunauza ng'ombe au mbuzi kupata ela (senti 50 watoto, wakubwa shs. 1) za kiingilio, ukumbi ni darasa la shule ya msingi, madirisha yanazibwa kwa jamvi. Mwisho wa sinema wahusika wanavuna ela za kiingilio na bado wanakijiji watawazawadia matenga na matenga ya kuku na mbuzi ili mwakani warudi tena.
 
Jitahidi usome mwanzo mwisho.

Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko.

Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake.

US inaingia kwenye vita hii kwa sababu moja kuu ya kulipiza kisasi cha Urusi kudukua matokeo ya uchaguzi yaliyoiangusha Democrat na kuipa Republican ushindi kwa kumuingiza rais Donald Trump Ikulu ya Whitehouse.

Kwa siku moja tu Urusi imeitia kilema cha kudumu Ukraine kiulinzi ambapo maeneo 88 ya kiraia yamelengwa, raia 137 kufa, 380 vilema, 29,000 wakimbizi kwenda ndani ya Urusi yenyewe na wachache kati yao kwenda Poland lakini wakihofu kuwa Poland inaweza kuwa shabaha ya Urusi endapo NATO itapewa ardhi huko. Urusi imeshambulia tokea angani, majini na ardhini kwa wakati mmoja na imedhihiri kuwa Urusi kupigana na Ukraine ni sawa na Afrika Kusini kupigana na Swaziland.

Ukraine inadai madhara iliyopata ni kutokana na silaha zake kuharibu zile za Urusi angani na mabaki yake kuja kuangukia makazi ya watu na makambi ya Ukraine, huku ikitoa takwimu kwamba imejeruhi na kuua idadi ya wapiganaji na watumishi wa Urusi wapatao 443. Yote ni propaganda za vita za Ukraine kwa sababu kwanini hayo hayakutokea ndani ya Urusi?

Maeneo zaidi ya 100 ya ulinzi wa kimkakati yamesambaratishwa ikiwemo mfumo wa ulinzi wa kimtandao (cyber security) kiasi kwamba rais na amiri jeshi mkuu wa Ukraine Mhe. Volodymyr Zelenskyy ametangaza kuacha vita na kuitaka Urusi isitishe vita na kuondoa majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine, huku EU na NATO vikiogopa na kuamua kutangaza kupitia kinywa cha rais Joe Biden wa US kuwa NATO haitapigana vita ya moto bali ya vikwazo vya kiuchumi.

Madai ya Urusi:

Ukraine inaongozwa toka nje (US)

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine anatuhumiwa na Urusi kwa mauaji ya kimbari ya miaka 8 sasa na kwamba yeye siyo rais halali aliyechaguliwa kidemokrasia na kwamba serikali yake ni ya mpito tu.

Ukraine inajenga vinu vya Nyuklia (kama US ilizuia Iraq na Korea Kaskazini kwanini yeye Urusi asiizuie Ukraine ambayo iko karibu naye kijiografia kuliko Iraq na Korea Kaskazini vilivyo na US)

Ukraine iache majimbo yanayotaka kujitenga yajitangazie uhuru kamili (Crimea na Donbass/Donbas)

Urusi tangu 2014 imeunga mkono kujitenga majimbo haya ambayo yamekuwa vitani na Ukraine kwa miaka mi 8 sasa.

Umuhimu wa majimbo yanayojitenga:

Donetsk ni mji mkuu wa Donbas.

Donbas inayolala kwenye bonde la Donetsk na Luhansk ni tajiri kiuchumi, kiutamaduni na kihistoria. Inatoa makaa ya mawe kwa wingi na ina viwanda mama vingi. Ni muhimu kama ilivyo Scotland kwa Uingereza.

Crimea ambayo tayari Urusi imejiungamanisha nayo (annexed to Russia) kama ya kwake (sawa na China inavyodai kumiliki Taiwan na HongKong) ilikuwa muhimu kimataifa kwa mfumo mpya wa dunia mwaka 2014 kama ambavyo Cuba ilikuwa mwaka 1963 au Hungary mwaka 1956.

Urusi inadai kuwa wakazi wa Rasi ya Crimea kwa asilimia kubwa sana wanaongea lahaja ya Kirusi.

Urusi inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, Ukraine nayo inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, majimbo hayo nayo yanahitaji uhuru kamili (sovereignty) lakini yakitumia Urusi kama daraja la kufikia ndoto yao hiyo.

Vikwazo:

Kumeibuka mashindano ya kuwekeana vikwazo kati ya washirika wa NATO na Urusi ambapo maeneo yaliyoishaguswa hadi sasa ni sekta za fedha, safari za anga, mabenki, uhamiaji, biashara (matajiri 5 wakubwa wa Kirusi waliowekeza UK mitaji yao imeshikiliwa (assets frozen)) kupitia tangazo la Mhe. Boris Johnson PM wa UK.

Katika kujibu mapigo, Urusi imefunga viwanja 12 muhimu vya ndege za kiraia, imepiga marufuku ndege za UK na washirika wa NATO kuingia Urusi na kutotumia anga la Urusi.

Urusi inategemewa na dunia kwa uzalishaji mkubwa sana wa ngano, gesi asilia, silaha na vileo vya kiwango cha juu duniani, hivyo dunia inaihitaji Urusi kuliko inavyoihitaji Ukraine. Hiki ndicho kinachompa Urusi kiburi na jeuri.

Changamoto:

US enzi ya rais Boris Yeltsin wa Urusi (baada ya kupokea Urusi iliyosambaratika mikononi mwa rais Gor Bachev kupitia sera yake ya mageuzi ya kiitikadi aliyoiita Perestroika) ilikula njama kuua WARSAW PACT ikabakisha NATO. Poland ambayo US inaomba kutumia ardhi yake kwa ajili ya vita hii ilikuwa mshirika wa Urusi kwenye WARSAW PACT, leo Poland imejiposa kwa NATO.

NATO ina washirika EU na Americas, Urusi haina washirika US na EU ambako yeye pia ni mwanachama (EU) kwahiyo hivi sasa US kupitia NATO inatumia ndugu za Urusi (wanachama wenzake wa EU) kuiminya Urusi.

Urusi haijulikani kama vita/vikwazo vikiendelea na kama akipata madhara makubwa atachukuwa msimamo kama wa Zimbabwe wa kujiondoa Jumuiya ya Madola au kama wa Uingereza kujiondoa EU. Hili litakuwa ni pigo la pili kwa EU (BREXIT na RUSSO-EXIT).

NATO imejitafakari na kuona bora vikwazo kuliko vita vya moto kwa sababu ukimya wa China, Iran, Korea Kaskazini, Syria vimeipa homa kali kwamba huenda wakajiunga na Urusi ambapo tayari ndani ya saa 24 rais Nicolás Maduro Moros wa Venezuela hakuvuta subira bali alitangazia dunia hadharani kwamba yuko upande wa Urusi kwenye vita hii ya RUSSO-UKRAINIAN WAR.

US ni mteja mkubwa sana wa mafuta ghafi na bidhaa za petroli toka Venezuela. Katika mwaka wa 2021 US iliagiza mafuta kwa kiwango ambacho ni mara tatu ya kile kilichoagizwa na Urusi, sababu inaweza kuwa kwamba Urusi inatumia gesi zaidi ya mafuta kwa sababu inaongoza dunia kwa uzalishaji wa nishati ya gesi asilia.

Aidha, kama Iran ikiungana na Urusi ni wazi kwamba wanachama wa OIC hawatakaa kimya kuona NATO ikilipa kisasi kwa Iran na kwamba itabidi OIC wote wawe upande wa Urusi kupitia ndugu yao Iran, hii itatoa funzo kwa EU kwamba na wao walitakiwa kuwa upande wa mwenzao Urusi.

Hofu kuu ya OIC kukaa upande wa Urusi kupitia Iran ni kwamba uamuzi huo unaweza kumuibua Muisrael ambaye atataka amuunge mkono US na kwamba kwa kitendo hicho, ndani ya himaya ya OIC Uarabuni hakutakalika kwa sababu Israel itataka kuipunguzia OIC nguvu humo humo ndani kabla ya kuvuka mipaka kwenda Ukraine kuisaidia Urusi na labda Iran.

Aidha, kama Urusi ilivyo mwanachama wa EU na kama Zimbabwe ilivyokuwa mwanachama wa Madola, Israel nayo ni mwanachama wa OIC lakini kimkakati wa ulinzi (kijasusi), kwahiyo Israel ikiungana na US na NATO kupitia mgongo wa Ukraine kuwashambulia wanachama wenzake wa OIC wa Uarabuni ambao ina uadui nao; itakuwa imehujumu wanachama wenzake wa OIC kwa kisa tu cha kuzitetea US na NATO.

Kitu pekee ambacho dunia inatakiwa imuombe Mungu kwa bidii kumaliza vita hii ni kwamba Urusi ina teknolojia ya kutengeneza silaha za kibaiolojia za hali ya juu (ambayo US na NATO hawana) alizowahi kumuuzia Iraq; na chanjo ya virusi hivyo anayo yeye pekee duniani (ni siri kali ya kiulinzi), hivyo katikati ya janga la dunia la Uviko-19, kama Urusi ikiamua kutumia silaha hizo za kibaiolojia (virusi) ni dhahiri kwamba dunia itakuwa imefika kusiko. Hii inaweza kuwa ni moja ya sababu za NATO kuahirisha kupigana vita ya moto na kuchagua vita ya vikwazo vya kiuchumi.

Tayari Urusi inadukua mawasiliano ya Ikulu na Idara zote za Ulinzi na Usalama za Ukraine. Ukraine sasa iko mikononi mwa Urusi kwa 100%. NATO inaogopa kuunganisha Ukraine kwenye mfumo wake wa ulinzi na pia ule wa kiserikali (zikiwemo Ikulu za NATO) kwa kuhofia Urusi kudukua. Hivyo Urusi inadhibiti mfumo wa mawasiliano yanayoingia na kutoka Ukraine na kufanya NATO kukata mawasiliano na Ukraine. Vita ni mawasiliano kwa sababu ndiko amri za kivita zinakopatikana.

Afrika imeshikwa pabaya kwenye gogoro hili kwa sababu ni kama vile EU iliota kwamba lazima Mrusi ataishambulia Ukraine; ikajiwahi kufanya mtaguso na AU (#EUAU) wiki iliyopita kutoa furushi (package) la fursa za uwekezaji ndani ya AU (Blackmail) hivyo Afrika italazimika kufunga kinywa chake kwenye vita hii kama Bi. Harusi.

Ni dhahiri sasa kwamba viongozi wa Afrika wamepata kisingizio kingine cha pili baada ya Uviko-19; cha vita ya Urusi na Ukraine; cha kuegemezea madai yao ya kushindwa kukuza chumi zao na kushindwa kutekeleza ilani zao za uchaguzi, wanashindwa kujuwa kuwa changamoto ni mtaji pia.

UN iko wapi kwenye hili?

[emoji2398]Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 25, 2022.

View attachment 2130774
Picha ya juu: Kwa wakati mmoja manowari, ndege-vita na vifaru vya Urusi vikiichakaza Ukraine.

View attachment 2130776
Taswira kwa hisani ya google.
ISRAEL mwanachama wa OIC toka lini
ila makala tamu kabisa
 
Umechambua vizuri lakini hapo uliposema eti Urusi ina Siraha za Kibiolojia ambazo USA na NATO hawana hapo ndipo nikasituka nikajua huyu ni Team Putin kwahiyo hakuna uchambuzi wowote ule zaidi ya mahaba.

Yaani unaizungumzia Hii hii USA ambayo ilitengeneza Magonjwa yafuatayo ambayo mpaka Sasa yanaitesa Dunia na hakuna taifa lenye Tiba mahususi zaidi ya USA yenyewe?

Anthrax, Polio,Small Pox,HIV Mansoil,TB, Rift Valley Flue.

Wewe jamaa Nenda kasome tena. Yaani hata wewe umejisitukia kabisa eti (ni Siri kubwa) harafu wewe wa kwa Mtongole unaijua.
sasa kama US waliweza kutengeneza hayo magonjwa wenzao wanashindwaje
kwahio wewe na mtoa post kwahili woote mmetudanganya
 
Naweza kujibu baadhi:

Kwanza NATO wenyewe hawako pamoja nchi kama Latvia na Hungary zimetangaza vita hii haiwahusu na kutaka akari wao waliopo Nato warudi na limesemwa na Maraisi wao.

Ujerumani hayuko interested na hii vita kwa sababu amewekeza kwa kiasi kikubwa Urusi.
Anategemea gesi ya mrusi

Ufaransa yenyewe haipo committed na hii vita kumbuka issue ya AUKUS aliponyang'anywa deal muhimu na waingereza na Wamarekani

Nani washirika wa Russia:

China
North Korea
Mongolia
Iran
Pakistan
Venezuera
Nicaragua
Belarus
Kazakhstan
Uzbekistan
Tajikistan
Kyrgyzstan
Azerbaijan
Armenia
India
Central Africa republican
Mali
Afghanistan
Serbia
Montenegro
Kosovo
Hawandio wapo wazi wazi Bado wale wa kimya kimya

Hawa
Hapo naona China na Iran tu. India ana Nguvu za Kijeshi lakini hata siku moja hawezi kuwa upande ambao China Yupo,Never. Japo India inauhusiano mzuri na Russia lakini kwenye hivyo Vita India atakaa Neutral Sawa na Israel. Lakini Iran ikiingia TU Vitani dhidi ya USA sioni Israel ikikaa pembeni maana inajua Endapo Marekani akipigwa Basi Irani anamgeukia Yeye. Kwahiyo kujua Nani atashirikiana na Nani kwenye hiyo Timu ni Ngumu. Upande wa Marekani ni wazi kabisa lazima Uingereza na Ufaransa wataingia Vitani.

Kuhusu hivyo vinchi vidogo vidogo sioni vikiingilia huo mgogoro zaidi ya Belarus na Kazarkhstan. Wengine wataufyata endapo Marekani akiamusha Mindege yake hewani,Hao wadogo wadogo akina Nicaragua watajitoa mapema Sana.
 
Vipi mchina aliyeitengenza COVID-19 ?
Nchi Nyingi ziko vizuri tu kwenye Biological Warfare kwasababu ni nafuu kiuchumi kuzitengeneza Kama ikihitajika na ukiwa na Technology.

Isitoshe nilikuwa namjibu huyo jamaa aliyesema Marekani Haina Siraha za Kibiolojia. Marekani inauwezo wa Kutengeneza Siraha za Kibiolojia ndani ya siku 10 TU Kama wakizihitaji make Technology na Resources zote wanazo.
 
Jitahidi usome mwanzo mwisho.

Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko.

Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake.

US inaingia kwenye vita hii kwa sababu moja kuu ya kulipiza kisasi cha Urusi kudukua matokeo ya uchaguzi yaliyoiangusha Democrat na kuipa Republican ushindi kwa kumuingiza rais Donald Trump Ikulu ya Whitehouse.

Kwa siku moja tu Urusi imeitia kilema cha kudumu Ukraine kiulinzi ambapo maeneo 88 ya kiraia yamelengwa, raia 137 kufa, 380 vilema, 29,000 wakimbizi kwenda ndani ya Urusi yenyewe na wachache kati yao kwenda Poland lakini wakihofu kuwa Poland inaweza kuwa shabaha ya Urusi endapo NATO itapewa ardhi huko. Urusi imeshambulia tokea angani, majini na ardhini kwa wakati mmoja na imedhihiri kuwa Urusi kupigana na Ukraine ni sawa na Afrika Kusini kupigana na Swaziland.

Ukraine inadai madhara iliyopata ni kutokana na silaha zake kuharibu zile za Urusi angani na mabaki yake kuja kuangukia makazi ya watu na makambi ya Ukraine, huku ikitoa takwimu kwamba imejeruhi na kuua idadi ya wapiganaji na watumishi wa Urusi wapatao 443. Yote ni propaganda za vita za Ukraine kwa sababu kwanini hayo hayakutokea ndani ya Urusi?

Maeneo zaidi ya 100 ya ulinzi wa kimkakati yamesambaratishwa ikiwemo mfumo wa ulinzi wa kimtandao (cyber security) kiasi kwamba rais na amiri jeshi mkuu wa Ukraine Mhe. Volodymyr Zelenskyy ametangaza kuacha vita na kuitaka Urusi isitishe vita na kuondoa majeshi yake ndani ya ardhi ya Ukraine, huku EU na NATO vikiogopa na kuamua kutangaza kupitia kinywa cha rais Joe Biden wa US kuwa NATO haitapigana vita ya moto bali ya vikwazo vya kiuchumi.

Madai ya Urusi:

Ukraine inaongozwa toka nje (US)

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine anatuhumiwa na Urusi kwa mauaji ya kimbari ya miaka 8 sasa na kwamba yeye siyo rais halali aliyechaguliwa kidemokrasia na kwamba serikali yake ni ya mpito tu.

Ukraine inajenga vinu vya Nyuklia (kama US ilizuia Iraq na Korea Kaskazini kwanini yeye Urusi asiizuie Ukraine ambayo iko karibu naye kijiografia kuliko Iraq na Korea Kaskazini vilivyo na US)

Ukraine iache majimbo yanayotaka kujitenga yajitangazie uhuru kamili (Crimea na Donbass/Donbas)

Urusi tangu 2014 imeunga mkono kujitenga majimbo haya ambayo yamekuwa vitani na Ukraine kwa miaka mi 8 sasa.

Umuhimu wa majimbo yanayojitenga:

Donetsk ni mji mkuu wa Donbas.

Donbas inayolala kwenye bonde la Donetsk na Luhansk ni tajiri kiuchumi, kiutamaduni na kihistoria. Inatoa makaa ya mawe kwa wingi na ina viwanda mama vingi. Ni muhimu kama ilivyo Scotland kwa Uingereza.

Crimea ambayo tayari Urusi imejiungamanisha nayo (annexed to Russia) kama ya kwake (sawa na China inavyodai kumiliki Taiwan na HongKong) ilikuwa muhimu kimataifa kwa mfumo mpya wa dunia mwaka 2014 kama ambavyo Cuba ilikuwa mwaka 1963 au Hungary mwaka 1956.

Urusi inadai kuwa wakazi wa Rasi ya Crimea kwa asilimia kubwa sana wanaongea lahaja ya Kirusi.

Urusi inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, Ukraine nayo inahitaji majimbo hayo kwa uchumi wake, majimbo hayo nayo yanahitaji uhuru kamili (sovereignty) lakini yakitumia Urusi kama daraja la kufikia ndoto yao hiyo.

Vikwazo:

Kumeibuka mashindano ya kuwekeana vikwazo kati ya washirika wa NATO na Urusi ambapo maeneo yaliyoishaguswa hadi sasa ni sekta za fedha, safari za anga, mabenki, uhamiaji, biashara (matajiri 5 wakubwa wa Kirusi waliowekeza UK mitaji yao imeshikiliwa (assets frozen)) kupitia tangazo la Mhe. Boris Johnson PM wa UK.

Katika kujibu mapigo, Urusi imefunga viwanja 12 muhimu vya ndege za kiraia, imepiga marufuku ndege za UK na washirika wa NATO kuingia Urusi na kutotumia anga la Urusi.

Urusi inategemewa na dunia kwa uzalishaji mkubwa sana wa ngano, gesi asilia, silaha na vileo vya kiwango cha juu duniani, hivyo dunia inaihitaji Urusi kuliko inavyoihitaji Ukraine. Hiki ndicho kinachompa Urusi kiburi na jeuri.

Changamoto:

US enzi ya rais Boris Yeltsin wa Urusi (baada ya kupokea Urusi iliyosambaratika mikononi mwa rais Gor Bachev kupitia sera yake ya mageuzi ya kiitikadi aliyoiita Perestroika) ilikula njama kuua WARSAW PACT ikabakisha NATO. Poland ambayo US inaomba kutumia ardhi yake kwa ajili ya vita hii ilikuwa mshirika wa Urusi kwenye WARSAW PACT, leo Poland imejiposa kwa NATO.

NATO ina washirika EU na Americas, Urusi haina washirika US na EU ambako yeye pia ni mwanachama (EU) kwahiyo hivi sasa US kupitia NATO inatumia ndugu za Urusi (wanachama wenzake wa EU) kuiminya Urusi.

Urusi haijulikani kama vita/vikwazo vikiendelea na kama akipata madhara makubwa atachukuwa msimamo kama wa Zimbabwe wa kujiondoa Jumuiya ya Madola au kama wa Uingereza kujiondoa EU. Hili litakuwa ni pigo la pili kwa EU (BREXIT na RUSSO-EXIT).

NATO imejitafakari na kuona bora vikwazo kuliko vita vya moto kwa sababu ukimya wa China, Iran, Korea Kaskazini, Syria vimeipa homa kali kwamba huenda wakajiunga na Urusi ambapo tayari ndani ya saa 24 rais Nicolás Maduro Moros wa Venezuela hakuvuta subira bali alitangazia dunia hadharani kwamba yuko upande wa Urusi kwenye vita hii ya RUSSO-UKRAINIAN WAR.

US ni mteja mkubwa sana wa mafuta ghafi na bidhaa za petroli toka Venezuela. Katika mwaka wa 2021 US iliagiza mafuta kwa kiwango ambacho ni mara tatu ya kile kilichoagizwa na Urusi, sababu inaweza kuwa kwamba Urusi inatumia gesi zaidi ya mafuta kwa sababu inaongoza dunia kwa uzalishaji wa nishati ya gesi asilia.

Aidha, kama Iran ikiungana na Urusi ni wazi kwamba wanachama wa OIC hawatakaa kimya kuona NATO ikilipa kisasi kwa Iran na kwamba itabidi OIC wote wawe upande wa Urusi kupitia ndugu yao Iran, hii itatoa funzo kwa EU kwamba na wao walitakiwa kuwa upande wa mwenzao Urusi.

Hofu kuu ya OIC kukaa upande wa Urusi kupitia Iran ni kwamba uamuzi huo unaweza kumuibua Muisrael ambaye atataka amuunge mkono US na kwamba kwa kitendo hicho, ndani ya himaya ya OIC Uarabuni hakutakalika kwa sababu Israel itataka kuipunguzia OIC nguvu humo humo ndani kabla ya kuvuka mipaka kwenda Ukraine kuisaidia Urusi na labda Iran.

Aidha, kama Urusi ilivyo mwanachama wa EU na kama Zimbabwe ilivyokuwa mwanachama wa Madola, Israel nayo ni mwanachama wa OIC lakini kimkakati wa ulinzi (kijasusi), kwahiyo Israel ikiungana na US na NATO kupitia mgongo wa Ukraine kuwashambulia wanachama wenzake wa OIC wa Uarabuni ambao ina uadui nao; itakuwa imehujumu wanachama wenzake wa OIC kwa kisa tu cha kuzitetea US na NATO.

Kitu pekee ambacho dunia inatakiwa imuombe Mungu kwa bidii kumaliza vita hii ni kwamba Urusi ina teknolojia ya kutengeneza silaha za kibaiolojia za hali ya juu (ambayo US na NATO hawana) alizowahi kumuuzia Iraq; na chanjo ya virusi hivyo anayo yeye pekee duniani (ni siri kali ya kiulinzi), hivyo katikati ya janga la dunia la Uviko-19, kama Urusi ikiamua kutumia silaha hizo za kibaiolojia (virusi) ni dhahiri kwamba dunia itakuwa imefika kusiko. Hii inaweza kuwa ni moja ya sababu za NATO kuahirisha kupigana vita ya moto na kuchagua vita ya vikwazo vya kiuchumi.

Tayari Urusi inadukua mawasiliano ya Ikulu na Idara zote za Ulinzi na Usalama za Ukraine. Ukraine sasa iko mikononi mwa Urusi kwa 100%. NATO inaogopa kuunganisha Ukraine kwenye mfumo wake wa ulinzi na pia ule wa kiserikali (zikiwemo Ikulu za NATO) kwa kuhofia Urusi kudukua. Hivyo Urusi inadhibiti mfumo wa mawasiliano yanayoingia na kutoka Ukraine na kufanya NATO kukata mawasiliano na Ukraine. Vita ni mawasiliano kwa sababu ndiko amri za kivita zinakopatikana.

Afrika imeshikwa pabaya kwenye gogoro hili kwa sababu ni kama vile EU iliota kwamba lazima Mrusi ataishambulia Ukraine; ikajiwahi kufanya mtaguso na AU (#EUAU) wiki iliyopita kutoa furushi (package) la fursa za uwekezaji ndani ya AU (Blackmail) hivyo Afrika italazimika kufunga kinywa chake kwenye vita hii kama Bi. Harusi.

Ni dhahiri sasa kwamba viongozi wa Afrika wamepata kisingizio kingine cha pili baada ya Uviko-19; cha vita ya Urusi na Ukraine; cha kuegemezea madai yao ya kushindwa kukuza chumi zao na kushindwa kutekeleza ilani zao za uchaguzi, wanashindwa kujuwa kuwa changamoto ni mtaji pia.

UN iko wapi kwenye hili?

©Douglas Majwala,
United Republic of Tanzania,
February 25, 2022.

View attachment 2130774
Picha ya juu: Kwa wakati mmoja manowari, ndege-vita na vifaru vya Urusi vikiichakaza Ukraine.

View attachment 2130776
Taswira kwa hisani ya google.
Basi wadau wanaweza tengeneza bonge la game hapo wakapiga hela
 
sasa kama US waliweza kutengeneza hayo magonjwa wenzao wanashindwaje
kwahio wewe na mtoa post kwahili woote mmetudanganya
Wapi niliposema wenzao walishindwa? Yeye amekuja na Ngojera zake eti Urusi ina Siraha za Kibiolojia ambazo USA na NATO hawana na eti hawawezi kuzitengeneza. Hapo ndipo nikamwambia sio kweli,Marekani inauwezo wa Kifedha na Kiteknolojia Kutengeneza Siraha za Kibiolojia ndani ya mda mfupi Kama wakihitaji.


China,USA,Urusi,Israel,India,Japan,Iran, na Mataifa Mengi yanauwezo wa Kutengeneza Siraha za Kibiolojia. Sema hawazitengenezi kwasababu hata Kama Utazitumia dhidi ya taifa Lingine Basi lazima zitarudi kwako. Refer COVID-19. Na Kama ni VIRAL DISEASE Basi hata Kama utakuwa na dawa Maabara siku Ikifika Nchini kwako ambapo wewe ndio uliyeitengeneza utakuta Dawa hiyo haifanyi kazi kwasababu VIRUS anatabia ya kufanya MUTATION(Kujibadilisha Maumbo).
 
Back
Top Bottom