Jinsi Ajira Portal Ilivonipotezea kipenzi changu!!

Mapenzi ni ufala, kwa gharama yoyote ile usikubali uwe mbali na mpz/mke/mume wako ,,,, mwanzo wa usaliti unaanzia hapo mwisho wa siku ananogewa, unaundiwa zengwe mnaachana ! Pole utampata wa kufanana nae
Asante sana mkuu
 
Kwahyo fauzia alipata ajira,akapata mume na watoto juu dah hakika wanawake ni noma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pole mkuu wanawake wanakuw na wew kwakuw hakuna mwingne zaid yako , sasa apo alitokea mwamba mwenye credibilit kulko wew yeye haku consider past ,

Aloo tuwage tuu stand bye , jisake tuu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…