atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Una chuki mpaka unashindwa kuelewa kilichoandikwa humuTutaaminije kama ulinunua wewe mwenyewe je?
Simulizi inakuboa na huipendi achana nayo kwani umelazimishwa kuisoma.Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Ondoka kama unaboa mbona simple tu.. watu kama nyinyi ingekua tunaonana ni kupigwa makofi tuHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Kwani umelazimishwa kuifiatilia? Si uachane nayo? Yanini kuonyesha makasiriko Yako humu??
Thubutu. Nimekaa pale.Amini kwamba insider hatamla iryn trust me[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kwenye hii tasnia haujawahi kuniangusha kabisa Mzee mwenzangu
YaahINSIDER daaa Iryne huyoo anaenda kuliwa nasubiri next episode
Hahaha...
Kuna mwamba kaitwa chumbani, kitu pekee mtunzi wa stori hii kashindwa kutuwekea ni sauti ya Iryn ikiwa inaita...
Unanipangia?Mambo mengine muwe mnamo aibu kuyaandika hata kama tunatumia fake ID.
Atakuwa hadindishi huyo wali naziasa kudindisha kuna ubaya gani?
humjui, huyo ni 2025DGWewe kama nani kwenye huu Uzi
Acha ujinga
Acha kusoma tuachie tunaoipendaHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Una visirani mrembo wangHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Ni mtazamo tuUna visirani mrembo wang