Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Ikiwa ww hujaifurahia kuna sisi wapenda uzinzi tunafurahia anavowahangaisha hao warembo
 
Sipati picha ingekuwa msimuliaji anawaalika watu kwenye ukumbi halafu anaanza kusimulia kama anavyosimulia 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Watu wangetoana roho mle ndani
Hahaha...uko sahihi
 
INSIDER MAN kwakweli umetuangusha sana kukatisha story nzuri sana, unajua unavyofanya jambo lolote apa Dunia ni lazima utapata upinzani, ukiona unafanya kitu Mzee INSIDER MAN ktk maisha yako afu yanakosa upinzani ujue kwamba unachofanya Wala hakina mashiko kwako au Kwa jamii yako....Chukua hilo mdogo wangu.
 
Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Si unaacha kusoma tu
 
Back
Top Bottom