Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Wote mnayoipenda mnapenda masifaAcha kusoma tuachie tunaoipenda
Bado nisaidie basi??Software yko ilê ushapata mteja kwani [emoji23]
Heh! Yamekuwa hayo wivu sinaga
[emoji39] tunapenda good lifeWote mnayoipenda mnapenda masifa
Ikiwa ww hujaifurahia kuna sisi wapenda uzinzi tunafurahia anavowahangaisha hao waremboHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Hahaha...uko sahihiSipati picha ingekuwa msimuliaji anawaalika watu kwenye ukumbi halafu anaanza kusimulia kama anavyosimulia 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Watu wangetoana roho mle ndani
Haya sanaMkuu, binadamu hatufanani ndo maana HUWEZI kumridhisha kila mtu. Mimi huo undani wa maisha yake na watu aliokutana nao kwangu raha Sana. Kuna vitu vingi navipata kupitia hizo details. Pole mkuu.
Msumulaiji hiyo hadithi punguza kujisifia, gentleman wa nyoko.
Wewe unae fuatilia simulizi ya gentleman ndiye NYOKO!! Achana na huyu mpuuzi lete maneno gentleman.Msumulaiji hiyo hadithi punguza kujisifia, gentleman wa nyoko.
Hadithi ni yake anauhuru wa kusimulia atakavyo kwa jinsi apnavyo yeye...muache makasiriko na malalamiko yasiyo na msingi hamkulazimishwa kusomaMsumulaiji hiyo hadithi punguza kujisifia, gentleman wa nyoko.
Si unaacha kusoma tuHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
“Insider twende Levant tukale nafikiri ni sehem nzuri ambayo imetulia.”
Kutoka kwnye ile Organizationhata sio mbali na ndani ya muda mfupi tulikuw pale Levant.
NimeachaSi unaacha kusoma tu