Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ikiwa ww hujaifurahia kuna sisi wapenda uzinzi tunafurahia anavowahangaisha hao warembo
 
Sipati picha ingekuwa msimuliaji anawaalika watu kwenye ukumbi halafu anaanza kusimulia kama anavyosimulia 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Watu wangetoana roho mle ndani
Hahaha...uko sahihi
 
INSIDER MAN kwakweli umetuangusha sana kukatisha story nzuri sana, unajua unavyofanya jambo lolote apa Dunia ni lazima utapata upinzani, ukiona unafanya kitu Mzee INSIDER MAN ktk maisha yako afu yanakosa upinzani ujue kwamba unachofanya Wala hakina mashiko kwako au Kwa jamii yako....Chukua hilo mdogo wangu.
 
Msumulaiji hiyo hadithi punguza kujisifia, gentleman wa nyoko.
Hadithi ni yake anauhuru wa kusimulia atakavyo kwa jinsi apnavyo yeye...muache makasiriko na malalamiko yasiyo na msingi hamkulazimishwa kusoma
 
Si unaacha kusoma tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…