Kama huipendi kwa nini unaisoma,?Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Wewe kama nani?Tangu tumekusema umepunguza fix, hizi episode mbili umejitahidi kupunguza uongo. Endelea hivihivi maana nitakuwa nafuatilia kila siku kukagua makosa madogomadogo ili walaji wasikose burudani.
Kuna zile hela za kudownload kishirikina, kuna uzi upo humu wa "UTAJIRI WA VIJANA WA KAHAMA"Acha ufala unaijua million 54 nyie ndo mtakuwa dancer wa marioo.
Kwani wewe uliwahi toa story gan hapa? Kaa kushoto.. umelazimishwa kusoma? Fanya yako achana na sis... pita ivi[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]unajifamya Unajua sana wewe mdadaHii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa
Naamini huyo aliekupa jero mpaka mpoo wote[emoji3]Nilishawahi kupewa 500 ya nauli tunaeuz 10k
Unahasira kama umesaidia kuandika ni mtazamo wangu kwani kapigwa ban mie niandike story msome nani anamuda huoKwani wewe uliwahi toa story gan hapa? Kaa kushoto.. umelazimishwa kusoma? Fanya yako achana na sis... pita ivi[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]unajifamya Unajua sana wewe mdada
Unajua inaudh sana.. mtu ajaombwa alete story kajitolea tu.. hajalazimisha mtu kusoma... hii story sio chakula ukiona huiwez iache kimya kimya.. usimpangie Insider cha kuandika
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
So umeamua kujitafutia umaarufu kupitia thread ya mwenzako? Andika stori yako upate huo umaarufu. Shame on you!!!Unahasira kama umesaidia kuandika ni mtazamo wangu kwani kapigwa ban mie niandike story msome nani anamuda huo
@Mpwayungu Village ndio alipitiwa na upepo wa hawa jamaaBora umemrudisha INSIDER MAN mchezoni maana kuna wapuuzi wanataka kumtoa mchezoni na hawa wapuuzi wapo toka enzi za Analyse wakapita pia kwenye njia za UMUGHAKA tukajakukutana nao kw BM X6 na hawakuishia hpo wakatokea kw marehemu leadermoe r.i.p huku wala si wakuwashangaa hawa na wajinga hawataisha milele so tuishi nao huku tukiendelea kuwaelimisha km hivi
Mkuu wengine hizi ndo starehe zetu hizi.Hivi kweli mkuu unakaa unasubiria story badala ya kuendelea na mambo mengine?
Kanunue mandazi ule acheni ushamba na we andika story yako isiwe chaiCHAI CHAI
Asanteee saaanaBantu Lady Lovelovie Missy Gf Advicer Nuzulati baby zu Kalpana Kigi Makasi muendelezo tayareeeeee hukuuuu!!
We team Mary nini [emoji23][emoji23]Ccy yani nmekwazika nahisi hasira.
Ngoja nitulie kidg nikuelezee watsup
😳😳We team Mary nini [emoji23][emoji23]
Mana sahv naona tunaanza kugawana
team Iryn
Team Mama J
team Prisca
Team Mary
NiceHongera
Hasira zako za ugumu wa maisha unataka uzimalizie humu...?Hii story siipendi natoa sababu.
1.unataka tujue umepiga hatua sijui unawatu wakubwa sijui wa njee yaani kuna vitu vinaonyesha unajionyesha au upo kwenye matangazo,either ya kibiashara au yakinini. Yaani haupo real kuhadithia story ya huyu demu ,jingine kwenye hii story lazima ujue hili haihiitaji utuanzie undani wa maisha yako sana ingekuwa imeisha unatoa na prove yanini siuende kwenye point ya huyo msichana na baadhi ya vitu vyako vya muhimu pale mwanzo ni sawa katikati ulipoanza kujielezea undani wa biashara basi hujanivutia tena inaboa