Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Muajemi hapati kitu
Hapo Muajemi atakuwa Babu jinga Mali zako zaliwa.
Bado Greziman...hii inaitwa mtu 3 ndani ya track moja. ( Insider man, Muajemi na Greziman).

Wote wanataka mpelekea moto Iryn...Grez keshakaa kitambo...

Insider na njaa inamsumbua ataachia mzigo tu au atakuwa mshika pembe tu...keshapewa mate basi ameridhika na ameshapewa ajira atakuwa anaogopa hata kumshika kiuno boss wake Iryn.
 
Ilimbidi jamaa achague pesa au mbususu, jamaa kachagua pesa.

Kadri story inavyoendelea jamaa anaendelea kupoteza wateja kisa mbususu.
 
Shamba sana [emoji23][emoji23] kwanz alitakiwa atembee na Condom maana silaha vitani ni muhim.
 
Kama ungemkaza Iryn, alafu ndio akaja kugundua uko na familia, ungekosa penzi na ungekosa pesa. Nafuu ulivyoamua kuacha mbususu ikupite, ila upate maokoto!

Maana kama ungekua unakula Iryn, hata maokoto ya Muajemi yangekupita.

No regrets mzee, mbususu zipo tu. Alafu kwa akili za kibaharia, sitashangaa kama siku moja Iryn akitafunwa baada ya kuachana na Uber na kutegemea deals zake!

Hawa viumbe ukishajua password yao, basi hawasumbui kabisa!
 
Bado upo kifungoni au umeachiwa? Lete fyoko nikupige ban mpaka od hii.
 
Katuangusha kweli kwenye sekta hyo mkuu INSIDER MAN, alikua anawaza sana kuwala [emoji53]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…