Aisee sijui huwa sababu ni nn mkuu!.Hujui wanawake wanapenda sana wame za watu?
Daah imefikia patamuuEPISODE 44
ENDELEA…..
Jumatano asubuhi nikiwa Posta Prisca alinipigia simu na alinambia amepata nyumba tayari bado kulipia tu.
“Hiyo nyumba ipo sehemu gani?”
“Karibu na chuo cha EASTC.”
“Usilipie nakuja kuiangalia kwanza, lazima nihakikishe unakaa sehemu nzuri.”
“Sawa baba mtoto.”
Saa 6 mchana nilikuwa around pale chuo UDSM na nilikuwa nimechill pale Hillpark nikimsubiri mama kijacho wangu Prisca na ilimchukua dakika 20 kufika eneo hili.
Tuliondoka pale na tukaelekea changanyikeni kuiangalia ile nyumba na njiani Prisca alikuwa akifanya mawasiliano na dalali.
Baada ya kuwasili maeneo ya chuo cha EASTC tulionana na dalali tukaenda kuiangalia ile nyumba. Ukweli sikuridhishwa na mazingira ya ile nyumba na nikamwambia dalali atafute nyingine ile sijaipenda.
Muda huu nilifanya mawasiliano na kaka yangu mmoja anakaa kule anisaidie namba za dalali, na baada ya kunitumia namba nilifanya mawasiliano na huyu dalali akanambia kuna nyumba nzuri ipo karibu na Jeshi.
Niliondoka na Prisca maeneo yale ya EASTC na tukaelekea kwa dalali. Baada ya kuonana naye alitupeleka kwenye ile nyumba na baada ya kuiona tuliipenda maana ilikuwa kwenye mazingira mazuri na ilikuwa ikivutia ndani mpaka nje.
MIMI: “Baby hii nyumba unaionaje?”
PRISCA: “Ni nzuri sana, I like it.”
MIMI: “Dalali bajeti ikoje hapa?”
DALALI: “Hapa bajeti ni 250k kwa mwezi.”
MIMI: “Baby kule ulipata kwa tsh ngapi?”
PRISCA: “Dalali alisema laki 2.”
MIMI: “Baby upo tayari tulipie hii.?”
PRISCA: “Yeah very nice place tunalipa kwa cash au simu?”
DALALI: “Hapa wanalipia kwa bank moja kwa moja.”
PRISCA: “Ok I can transfer that amount of money, nipe account number.”
MIMI: “Embu dalali nipe namba ya mwenye nyumba niongee naye hapa, usije ukatuuzia mbuzi kwenye gunia.”
Dalali alinipa namba ya simu ya mhusika ambaye ndo msimamizi wa zile nyumba na baada ya mawasiliano ilinitumia account number na akasema yuko njian anakuja ili tukamilishe. Na mimi nilimwambia tunamsubiri ili tumalize kila kitu muda huu.”
Baada ya nusu saa mhusika aliwasili na tukafanya malipo ya nyumba na tukapewa mkataba wa nyumba na funguo, so ilibaki sisi tu kuingia ndani.
MIMI: “So humu ndani utahitaji vitu gani nikakununulie?”
PRISCA: “kila kitu tena vya jikoni ndo muhimu maana nitakuwa napika.”
MIMI: “Na unataka kuhamia lini hapa?”
PRISCA: “Even today unajua nimeshaondoka home tayari na nimefikia hostel.”
MIMI: “Toka lini umeondoka?
PRISCA: “Leo nimeondoka.”
Nikakumbuka maneno ya Mary jana aliyokuwa akiniambia.
Muda huu niliwaza kuwasiliana na Dogo wa Bajaji ili anisaidie hii kazi lakini nikakumbuka Dogo anaundugu na Mama J itakuwa shida. Hivyo niliamua kuisimamia show mwenyewe.
Kuna Dogo nilimpata pale changanyikeni tukaongozana mpaka lufungira kwenda kuangalia kitanda. Nilipata kitanda kizuri (5x6) nikampa apeleke na mimi nikaelekea Kariakoo kwenda kununua vitu vingine.
Uzuri Kariakoo nina connections na wafanya biashara wapale uhuru wanaouza home appliances na electronics, hivyo nanuaga vitu kwa bei poa sana na wananiuziaga kwa jumla.
Nilinunua fridge kampuni ya westpoint size ya kati, nilinunua TV hisense 43”, jiko la gas na Godoro. Niliondoka Kariakoo mpaka Changanyikeni na nilikuta Dogo kashafunga kitanda tayari, ilikuwa imebaki kuweka godoro tu.
Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kanunua mapazia, vyombo na mtungi wa gas. Palepale nikapata wazo la kumnunulia Dstv, showcase na makochi mawili, kubwa na dogo nimwekee seblen pale. Tuliondoka tena na dogo na tukanunua vile vitu haraka tukarudi, mpaka jioni kila kitu kilikuwa sawa. Prisca alifurahi sana hii siku, alikuwa muda wote ananikumbatia tu na alikuwa na rafiki yake Eva wakisaidiana.
PRISCA: “Baby leo umefanya makubwa sana Ahsante sana inatosha kwakweli, vingine nitanunua mwenyewe.”
MIMI: “Sawa haina shida welcome makao mapya uanze kujifunza maisha.”
PRISCA: “Baby leo si tunalala wote?”
MIMI: “Baby leo ngumu unajua home na mgeni Mary hajakwambia? Ni ngumu kumwacha na nisiporudi italeta image mbaya ataondoka jumapili then nitakuja kwako sawa?”
PRISCA: “Sawa baby hata hivyo nashukuru kwa leo, nitalala na Eva.”
Tuliishia kunyonyana mate mbele ya Eva na nikawaaga pale, lakini nikiwa pale parking nageuza gari walitoka wakasema niwapeleke Mlimani city wakafanye shopping ya vitu.
Baada ya kuwasili mlimani city niliwaacha pale na mimi nikaendelea na safari yangu ya kurudi nyumbani. Niliamua kufanya haya yote kwasabu Prisca alikuwa na mimba ya mtoto wangu hivyo sikuwa na jinsi, ilibidi nimjali tu.
Wakati niko Mwenge mataa Mzee Pama alinipigia Whatsapp call na niliipokea simu yake. Niliendesha gari mpaka kituo cha Daladala mwenge kwa upande wa kwenda Tegeta na nika park gari.
MIMI: “Mzee wangu shikamoo.”
MZEE PAMA: “Marahaba kijana unaendeleaje?”
MIMI: “Salama sana Mzee sijui wewe huko.”
MZEE PAMA: “Nashukuru Mungu, nimekupigia kama mara 2 haukuwa online nafikiri.”
MIMI: “Kweli Mzee wangu sikuwa online samahani sana nilikuwa nimetingwa.”
MZEE PAMA: “Hakuna haja ya kuomba msamaha, hakuna ulichonikosea naelewa unakuwa kwenye mihangaiko. Nimewasiliana na Jane amenambia ijumaa anamaliza mafunzo na yuko vizuri kwa sasa.”
MIMI: “Kwasasa yuko vizuri tunavyorudi huwa ninamwachia gari anaendesha mpaka home ni vitu vidogo tu vya kumweka sawa na ataendelea kumasta taratibu bado ana ulena.”
MZEE PAMA: “Sawa haina shida kila mmoja amepitia huku, niseme ahsante sana kwa msaada wako maana umekuwa unanisaidia kwenye mambo mengi sana. Naomba unambie ni jambo gani umekwama nikusaidie kama shukran yangu kwako. Naomba uwe na amani na usiwe na wasiwasi mambo mengine tutaongea nikirudi ila naomba hili jambo useme sasa.”
MIMI: “Mzee nashukuru, nina kibanda changu najenga Dodoma sasa nilikopa Pesa Bank milion 10 ili nimalizie ujenzi. Nimelipa milion 5 tayari, hili ndo jambo nililokwama na linalonipa stress.”
MZEE PAMA: “Hongera sana kwa ujenzi kwahiyo kama umelipa milioni 5 bado 5, sasa hii nitakutumia kama shukran yangu. Na suala la kazi upo tayari kufanya hata nje ya nchi?”
MIMI: “Niko tayari Mzee cha msingi iwe kazi halali tu.”
MZEE PAMA: “Tutaongea vizuri nikirudi kijana wangu hili ondoa shaka kabisa. Ninakwenda tena India mara moja kufanya check-up maana hali yangu haipo vizuri.”
MIMI: “Pole sana Mzee utakuwa sawa na kuhusu gari niendelee kusubiri?”
MZEE PAMA: “Ninatarajia kurudi jumanne nafikiri tutamkabidhi tukiwa wote. Naomba nisaidie kumwangalia Jane maana nakutegemea sana kipindi hiki ambacho sipo. Ninakuamini sana Kijana wangu naomba unisaidie sana kwa hili.
Nitumie na account yako ya bank.”
MIMI: “Mzee ondoa shaka hata usiwe na wasiwasi hakuna kitakacho haribika.”
MZEE PAMA: “Ahsante kijana uwe na jioni njema.”
Baada ya kumaliza mazungumzo na Mzee Pama nilimtumia Account No. ya Bank na wakati nimefika mataa ya mbezi beach shule, njia panda ya kwenda Goba nilisikia mlio wa message na baada ya kuangalia ilikuwa imetoka CRDB ikionesha nimeingiza million 6.
Nilimtumia ujumbe mzee Pama wa Shukran palepale na mimi nikaendelea na safari ya kwenda home.
Njiani niliwaza kama Mzee Pama atanipa deal sitalikataa hata kama nje ya nchi nitakwenda. Niliwaza Iryn anaondoka kwenda masomoni what if kama atafunga biashara zake itakuwaje? Niliwaza pia biashara zina firisika bora niwe na kazi ya uhakika.
********
Ijumaa Jane alimaliza mafunzo yake ya Udereva na hii siku nilikuwa naye mwanzo mwisho. Alikabidhiwa cheti chake pamoja na Driving licence na wakati wa kuondoka nilimwachia gari aendeshe.
Tuliondoka Posta kwenda Masaki kuwachukua madogo na baada ya kufika pale shule nilionana na dada kwaajili ya malipo na akanambia leo shule imefunga mpaka July wakifungua atanijulisha kwa simu.
Tuliondoka pale lakini ilibidi nimpokee kuendesha gari sababu ya watoto na baada ya kumaliza kuwashusha madogo nilimpa tena gari aendeshe. Jane alikuwa tayari kashajua kuendesha gari ni vitu vidogo alikuwa bado anahitaji maelekezo kama kukanyaga break za papo kwa hapo, reverse ila kwenye kunyoosha alikuwa tayari yuko vizuri.
Baada ya kuwasili kwake Mbweni niliingia ndani nikapata na lunch na tuliongea sana hii siku. Baada ya hapo mimi niliaga na nilikwenda moja kwa moja mpaka changanyikeni kwa Prisca.
Nilimchukua Prisca pale UDBS na hao tukaanza safari ya Changanyikeni. Baada ya kuwasili makazi mapya niliingia ndani na nilikuta Prisca kanunua carpet pale seblen, microwave, na chumbani alikuwa kanunua kabati la nguo pamoja na meza ya kusomea.
Nilijisemea kama Vijana kuna umuhimu wa kuwa na Mwanamke mwenye Pesa vitu vidogo kama hivi anajiongeza bila hata kuambiwa, na pesa hajaomba.
Nilishinda na Prisca mpaka saa 2 usiku na nikamwaga naondoka muda huu.
“Baby kwanini usilale leo na mimi?”
“Bae nilikuahidi mgeni akiondoka au umesahau?”
“Sawa baby afu Mary kanambia suala la kwenda Mikumi. Yule ni dada yangu unaweza kwenda naye ila simwamini sana kuwa naye makini tu.”
“Kama wewe umeridhia sawa mimi nitampeleka.”
“Baby naomba hata Pesa kidogo sina hela za matumizi na nauli kwenda chuo.”
Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumsikia Prisca akiomba hela, kwa mambo aliyofanya kulipia kodi ya nyumba, kununua na vitu vya ndani nilijua lazima kafulia.
“Baby sina cash nakutumia kwa simu sawa?
Na mimi nilifanya kutransfer amount ya tsh 210,000/= taslimu ili imsaidie kwenye mambo yake na matumizi na mimi nikaondoka maeneo yale.
*******
Jumamosi ndo siku ambayo tulikwenda Bunju kwaajili ya kuwatembelea watoto yatima na tulipitia kwanza Tegeta nyuki Sokoni kwa ajili ya manunuzi ya vitu.
Tulinunua mchele 200kg, viroba 10 vya unga 25kg, Sukari viroba 3, maharage 50kg, mafuta ya kupikia ndoo kubwa 2 za lita 20, vifaa vya shule kama madaftari na peni, juice na Biscuits.
Hata mimi sikuwa nyuma jamani nilichangia pesa kidogo wakati wa manunuzi.
Nilitafuta gari kirikou ikabeba mizigo tukaondoka kwenda Bunju kituoni. Baada ya kuwasili pale kituoni mapokeo yalikuwa ni mazuri sana na tuliweza kuwakuta watoto wote pale kituoni.
Tulikula lunch ya pamoja mchana na baada ya hapo Iryn alianza kugawa zawadi kwa watoto, yaani ilikuwa hivi anauliza swali afu atakayepatia jibu anapewa 10,000. Nakumbuka kuna dogo alikuwa genius yale maswali magumu alikuwa anapata yeye, alipata karibu 80,000.
Iryn aliweza kuwalipia bima watoto 20 na alitoa pesa taslim milion 5 kwaajili ya maendeleo ya kituo. Alipiga picha nyingi sana na watoto hii siku na watoto walifurahi sana ilikuwa ni burudani.
Tulikaa mpaka jioni ya saa 11 na tukaondoka pale, lakini wakati tunaondoka kuna mtoto mmoja alikuwa akimlilia sana Iryn mpaka akamuahidi kuja tena kumtembelea, ndo alitulia.
Iryn alinambia toka akiwa mtoto alikuwa anatembelea sana na mama yake hivi vituo vya watu wenye uhitaji. Na alinambia mama yake alisaidia watu wengi sana hapa Tanzania na mataifa mbalimbali enzi za uhai wake.
Nilijifunza kuna umuhimu mkubwa sana wa kutembelea watu hawa, kuna watu wanauhitaji sana kwenye maisha. Iryn alikuwa ni mtoaji sana na alikuwa na Roho nzuri sana afu hakuwaga mtu wa kujionyesha kabisa.
Baada ya kutoka pale Bunju tulikwenda kumalizia siku Ununio Beach na tulikaa pale Dynasty. Baada ya mhudumu kuja kutusikiliza mimi niliagiza Heineken na Iryn aliagiza Savanna, nilishangaa sana ndo mara ya kwanza Iryn alikuwa ana odda hii bia.
“Kumbe na wewe unatumiaga Savanna.”
“Yeah Insider natumia vizuri tu, hivi hujawai kuniona?”
“Sijawai kwakweli kukuona.”
“Mmhh maybe umesahau tu.”
Tulikuwa tunapiga story sana muda huu na Iryn alioneka kuwa na furaha sana. Baada ya kupiga chupa mbili za Savanna akaanza kuongea sana na story zikazidi kukolea.
Iryn alinifungukia kuwa anataka kuachana na Griezman sababu ana mke na watoto wa2 anajisikia vibaya kudate na mme wa mtu. Kwa upande mwingine alisema inakuwa ngumu kumwacha Grizz sababu kuna Kampuni walifungua za pamoja huko Ufaransa.
Iryn anasema baada ya mashindano ya kutafuta miss college kuisha ndo alikutana na Griezman kwa mara ya kwanza na ndo walianza mahusiano ya kimapenzi. Iryn anasema alikuja kujua baadae kuwa Grizz baba yake ni mwanasiasa maarufu pale Ufaransa na alikuwa na connections nyingi.
Waliamua kufungua kampuni inayodeal na masuala ya Garden na upambaji wa kwenye kumbi za sherehe na events mbalimbali. Kupitia Grizz walikuwa wanapata kazi nyingi sana za utengenezaji wa garden na upambaji maana ana connections serikalini, privates, mahotelini nknk.
Na mimi muda huu nilikuwa nikimuuliza maswali mengi sana,
“Na wewe ni Director kwenye hii kampuni?”
“Ndio ila Grizz ndo Managing Director yeye ana shares za 65% na mimi nina 35%.”
“Sijawai kukuona ukienda Ufaransa unamwamini sana Grizz?”
“Sijaenda kipindi hiki tu sababu Grizz kaja Tanzania mara mbili. Alivyokuja vile huwa tunafanya review ya pamoja na kila baada ya miez 6.
“Grizz anafanyia kazi Wizarani anawezaje kusimamia haya yote?”
“Camon Insider kwenye masuala ya operation pia tumeajiri wafanyakazi wanaosimamia tenda na shughuli mbalimbali tuna hadi ofisi.”
“Grizz anajua unafanya massage?”
“Yes anajua na hii ndo kazi ambayo unaweza pata pesa nyingi kwa muda mfupi sana. Kigezo uwe na uzuri tu na cheti chako, kwa Ufaransa kila kampuni itakutaka. Kuna kampuni kwa Ufaransa zinalipa vizuri sana kwa siku hasa kwa weekend. Shida Africa watu wanachukulia hii kazi ni kama kujiuza ila kwa nje ni ajira na wanawake wengi wanafanya kazi kwenye hizi kampuni. Hii kazi imeniingizia pesa nyingi sana honestly.”
“So kampuni ndo inafanya usiachane na Grizz?”
“Ndo hivyo pia Grizz ananisadia sana kwenye kuagiza vitu vya saloon kutoka Ufaransa kama makeups nk. Ila naandaa mpango wa kuachana naye, ila mpaka nirudi South Africa ndo nitaanza michakato.”
“Nikitaka kwenda Ufaransa utaratibu upoje nipate na Uraia kabisa.”
“Okay kuna njia nyingi tu hizi nitakazo kupa ndo uhakika ya kwanza tafuta kazi, ya pili oa mfaransa, ya tatu kuwa investor ukishakaa atlist miaka 5 unapata uraia vizuri kabisa, kama utataka upate kwa haraka ni connection na pesa yako tu.”
“Hapo kwenye Investor nipe elimu kidogo.”
“Ili uwe Investor atlist uwe na €250,000 hapo utaweza kuingia na kufanya uwekezaji. Kama una support ya local partner inaweza kuwa advantage kwako. Mfano mimi Ufaransa niko treated as Investor naweza kuingia nakutoka muda wowote. Hata nikitaka Uraia chap tu napata maana ninajua kifaransa, nimesoma Ufaransa hata status ya mama bado inanibeba, yasingekuwa masuala ya mama ningekuwa zangu Ufaransa now.”
“Aisee pesa nyingi sana hizo bora nikomae tu na Bongo land, Ahsante atleast leo nimepata elimu.”
“Insider mimi naona tuondoke sasa turudi home mapema, saa mbili na nusu hii mpaka saa 3 tutakuwa home tayari, nataka nikacheze na Junior kabla hajalala.”
“Sawa haina shida tuondoke zetu hapa mwenyewe niko hoi sana leo.”
Tuliondoka pale Dynasty beach na tulitumia dakika 30 kufika home. Baada ya kupata Dinna mimi niliingia chumbani kuoga na muda huu nilikuwa naishangaa Laptop yangu mpya “Macbook”.
Mida ya Saa 4 usiku simu yangu ilianza kuita na ilibidi niangalie ni nani anapiga lakini alikuwa ni Mchepuko wa Mzee “Jane”. Kwanza nilishangaa kuona Jane akipiga simu usiku huu, maana hanaga tabia ya kunipigia simu hovyo na hajawai kunipigia simu usiku.
Kabla sijapokea niliwaza huenda amezidiwa huko hivyo anahitaji msaada wangu wa haraka sana. Niliipokea ile simu na nikaweka simu sikioni ili kusikia ana shida gani.
“Hello Jane habari yako?”
Muda huu nilikuwa nasikia sauti ya mtu ambaye kama amelia sana amechoka.
“Insider Mzee Pama amefariki leo jioni”
“What? amefariki? mbona sikuelewi Jane….”
Na jane alianza kulia sana muda huu, Mimi mwenyewe nilijikuta naanza kukosa nguvu maana nilikuwa naona kama ndoto hivi.
ITAENDELEA.
aiseeeee!EPISODE 44
ENDELEA…..
Jumatano asubuhi nikiwa Posta Prisca alinipigia simu na alinambia amepata nyumba tayari bado kulipia tu.
“Hiyo nyumba ipo sehemu gani?”
“Karibu na chuo cha EASTC.”
“Usilipie nakuja kuiangalia kwanza, lazima nihakikishe unakaa sehemu nzuri.”
“Sawa baba mtoto.”
Saa 6 mchana nilikuwa around pale chuo UDSM na nilikuwa nimechill pale Hillpark nikimsubiri mama kijacho wangu Prisca na ilimchukua dakika 20 kufika eneo hili.
Tuliondoka pale na tukaelekea changanyikeni kuiangalia ile nyumba na njiani Prisca alikuwa akifanya mawasiliano na dalali.
Baada ya kuwasili maeneo ya chuo cha EASTC tulionana na dalali tukaenda kuiangalia ile nyumba. Ukweli sikuridhishwa na mazingira ya ile nyumba na nikamwambia dalali atafute nyingine ile sijaipenda.
Muda huu nilifanya mawasiliano na kaka yangu mmoja anakaa kule anisaidie namba za dalali, na baada ya kunitumia namba nilifanya mawasiliano na huyu dalali akanambia kuna nyumba nzuri ipo karibu na Jeshi.
Niliondoka na Prisca maeneo yale ya EASTC na tukaelekea kwa dalali. Baada ya kuonana naye alitupeleka kwenye ile nyumba na baada ya kuiona tuliipenda maana ilikuwa kwenye mazingira mazuri na ilikuwa ikivutia ndani mpaka nje.
MIMI: “Baby hii nyumba unaionaje?”
PRISCA: “Ni nzuri sana, I like it.”
MIMI: “Dalali bajeti ikoje hapa?”
DALALI: “Hapa bajeti ni 250k kwa mwezi.”
MIMI: “Baby kule ulipata kwa tsh ngapi?”
PRISCA: “Dalali alisema laki 2.”
MIMI: “Baby upo tayari tulipie hii.?”
PRISCA: “Yeah very nice place tunalipa kwa cash au simu?”
DALALI: “Hapa wanalipia kwa bank moja kwa moja.”
PRISCA: “Ok I can transfer that amount of money, nipe account number.”
MIMI: “Embu dalali nipe namba ya mwenye nyumba niongee naye hapa, usije ukatuuzia mbuzi kwenye gunia.”
Dalali alinipa namba ya simu ya mhusika ambaye ndo msimamizi wa zile nyumba na baada ya mawasiliano ilinitumia account number na akasema yuko njian anakuja ili tukamilishe. Na mimi nilimwambia tunamsubiri ili tumalize kila kitu muda huu.”
Baada ya nusu saa mhusika aliwasili na tukafanya malipo ya nyumba na tukapewa mkataba wa nyumba na funguo, so ilibaki sisi tu kuingia ndani.
MIMI: “So humu ndani utahitaji vitu gani nikakununulie?”
PRISCA: “kila kitu tena vya jikoni ndo muhimu maana nitakuwa napika.”
MIMI: “Na unataka kuhamia lini hapa?”
PRISCA: “Even today unajua nimeshaondoka home tayari na nimefikia hostel.”
MIMI: “Toka lini umeondoka?
PRISCA: “Leo nimeondoka.”
Nikakumbuka maneno ya Mary jana aliyokuwa akiniambia.
Muda huu niliwaza kuwasiliana na Dogo wa Bajaji ili anisaidie hii kazi lakini nikakumbuka Dogo anaundugu na Mama J itakuwa shida. Hivyo niliamua kuisimamia show mwenyewe.
Kuna Dogo nilimpata pale changanyikeni tukaongozana mpaka lufungira kwenda kuangalia kitanda. Nilipata kitanda kizuri (5x6) nikampa apeleke na mimi nikaelekea Kariakoo kwenda kununua vitu vingine.
Uzuri Kariakoo nina connections na wafanya biashara wapale uhuru wanaouza home appliances na electronics, hivyo nanuaga vitu kwa bei poa sana na wananiuziaga kwa jumla.
Nilinunua fridge kampuni ya westpoint size ya kati, nilinunua TV hisense 43”, jiko la gas na Godoro. Niliondoka Kariakoo mpaka Changanyikeni na nilikuta Dogo kashafunga kitanda tayari, ilikuwa imebaki kuweka godoro tu.
Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kanunua mapazia, vyombo na mtungi wa gas. Palepale nikapata wazo la kumnunulia Dstv, showcase na makochi mawili, kubwa na dogo nimwekee seblen pale. Tuliondoka tena na dogo na tukanunua vile vitu haraka tukarudi, mpaka jioni kila kitu kilikuwa sawa. Prisca alifurahi sana hii siku, alikuwa muda wote ananikumbatia tu na alikuwa na rafiki yake Eva wakisaidiana.
PRISCA: “Baby leo umefanya makubwa sana Ahsante sana inatosha kwakweli, vingine nitanunua mwenyewe.”
MIMI: “Sawa haina shida welcome makao mapya uanze kujifunza maisha.”
PRISCA: “Baby leo si tunalala wote?”
MIMI: “Baby leo ngumu unajua home na mgeni Mary hajakwambia? Ni ngumu kumwacha na nisiporudi italeta image mbaya ataondoka jumapili then nitakuja kwako sawa?”
PRISCA: “Sawa baby hata hivyo nashukuru kwa leo, nitalala na Eva.”
Tuliishia kunyonyana mate mbele ya Eva na nikawaaga pale, lakini nikiwa pale parking nageuza gari walitoka wakasema niwapeleke Mlimani city wakafanye shopping ya vitu.
Baada ya kuwasili mlimani city niliwaacha pale na mimi nikaendelea na safari yangu ya kurudi nyumbani. Niliamua kufanya haya yote kwasabu Prisca alikuwa na mimba ya mtoto wangu hivyo sikuwa na jinsi, ilibidi nimjali tu.
Wakati niko Mwenge mataa Mzee Pama alinipigia Whatsapp call na niliipokea simu yake. Niliendesha gari mpaka kituo cha Daladala mwenge kwa upande wa kwenda Tegeta na nika park gari.
MIMI: “Mzee wangu shikamoo.”
MZEE PAMA: “Marahaba kijana unaendeleaje?”
MIMI: “Salama sana Mzee sijui wewe huko.”
MZEE PAMA: “Nashukuru Mungu, nimekupigia kama mara 2 haukuwa online nafikiri.”
MIMI: “Kweli Mzee wangu sikuwa online samahani sana nilikuwa nimetingwa.”
MZEE PAMA: “Hakuna haja ya kuomba msamaha, hakuna ulichonikosea naelewa unakuwa kwenye mihangaiko. Nimewasiliana na Jane amenambia ijumaa anamaliza mafunzo na yuko vizuri kwa sasa.”
MIMI: “Kwasasa yuko vizuri tunavyorudi huwa ninamwachia gari anaendesha mpaka home ni vitu vidogo tu vya kumweka sawa na ataendelea kumasta taratibu bado ana ulena.”
MZEE PAMA: “Sawa haina shida kila mmoja amepitia huku, niseme ahsante sana kwa msaada wako maana umekuwa unanisaidia kwenye mambo mengi sana. Naomba unambie ni jambo gani umekwama nikusaidie kama shukran yangu kwako. Naomba uwe na amani na usiwe na wasiwasi mambo mengine tutaongea nikirudi ila naomba hili jambo useme sasa.”
MIMI: “Mzee nashukuru, nina kibanda changu najenga Dodoma sasa nilikopa Pesa Bank milion 10 ili nimalizie ujenzi. Nimelipa milion 5 tayari, hili ndo jambo nililokwama na linalonipa stress.”
MZEE PAMA: “Hongera sana kwa ujenzi kwahiyo kama umelipa milioni 5 bado 5, sasa hii nitakutumia kama shukran yangu. Na suala la kazi upo tayari kufanya hata nje ya nchi?”
MIMI: “Niko tayari Mzee cha msingi iwe kazi halali tu.”
MZEE PAMA: “Tutaongea vizuri nikirudi kijana wangu hili ondoa shaka kabisa. Ninakwenda tena India mara moja kufanya check-up maana hali yangu haipo vizuri.”
MIMI: “Pole sana Mzee utakuwa sawa na kuhusu gari niendelee kusubiri?”
MZEE PAMA: “Ninatarajia kurudi jumanne nafikiri tutamkabidhi tukiwa wote. Naomba nisaidie kumwangalia Jane maana nakutegemea sana kipindi hiki ambacho sipo. Ninakuamini sana Kijana wangu naomba unisaidie sana kwa hili.
Nitumie na account yako ya bank.”
MIMI: “Mzee ondoa shaka hata usiwe na wasiwasi hakuna kitakacho haribika.”
MZEE PAMA: “Ahsante kijana uwe na jioni njema.”
Baada ya kumaliza mazungumzo na Mzee Pama nilimtumia Account No. ya Bank na wakati nimefika mataa ya mbezi beach shule, njia panda ya kwenda Goba nilisikia mlio wa message na baada ya kuangalia ilikuwa imetoka CRDB ikionesha nimeingiza million 6.
Nilimtumia ujumbe mzee Pama wa Shukran palepale na mimi nikaendelea na safari ya kwenda home.
Njiani niliwaza kama Mzee Pama atanipa deal sitalikataa hata kama nje ya nchi nitakwenda. Niliwaza Iryn anaondoka kwenda masomoni what if kama atafunga biashara zake itakuwaje? Niliwaza pia biashara zina firisika bora niwe na kazi ya uhakika.
********
Ijumaa Jane alimaliza mafunzo yake ya Udereva na hii siku nilikuwa naye mwanzo mwisho. Alikabidhiwa cheti chake pamoja na Driving licence na wakati wa kuondoka nilimwachia gari aendeshe.
Tuliondoka Posta kwenda Masaki kuwachukua madogo na baada ya kufika pale shule nilionana na dada kwaajili ya malipo na akanambia leo shule imefunga mpaka July wakifungua atanijulisha kwa simu.
Tuliondoka pale lakini ilibidi nimpokee kuendesha gari sababu ya watoto na baada ya kumaliza kuwashusha madogo nilimpa tena gari aendeshe. Jane alikuwa tayari kashajua kuendesha gari ni vitu vidogo alikuwa bado anahitaji maelekezo kama kukanyaga break za papo kwa hapo, reverse ila kwenye kunyoosha alikuwa tayari yuko vizuri.
Baada ya kuwasili kwake Mbweni niliingia ndani nikapata na lunch na tuliongea sana hii siku. Baada ya hapo mimi niliaga na nilikwenda moja kwa moja mpaka changanyikeni kwa Prisca.
Nilimchukua Prisca pale UDBS na hao tukaanza safari ya Changanyikeni. Baada ya kuwasili makazi mapya niliingia ndani na nilikuta Prisca kanunua carpet pale seblen, microwave, na chumbani alikuwa kanunua kabati la nguo pamoja na meza ya kusomea.
Nilijisemea kama Vijana kuna umuhimu wa kuwa na Mwanamke mwenye Pesa vitu vidogo kama hivi anajiongeza bila hata kuambiwa, na pesa hajaomba.
Nilishinda na Prisca mpaka saa 2 usiku na nikamwaga naondoka muda huu.
“Baby kwanini usilale leo na mimi?”
“Bae nilikuahidi mgeni akiondoka au umesahau?”
“Sawa baby afu Mary kanambia suala la kwenda Mikumi. Yule ni dada yangu unaweza kwenda naye ila simwamini sana kuwa naye makini tu.”
“Kama wewe umeridhia sawa mimi nitampeleka.”
“Baby naomba hata Pesa kidogo sina hela za matumizi na nauli kwenda chuo.”
Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumsikia Prisca akiomba hela, kwa mambo aliyofanya kulipia kodi ya nyumba, kununua na vitu vya ndani nilijua lazima kafulia.
“Baby sina cash nakutumia kwa simu sawa?
Na mimi nilifanya kutransfer amount ya tsh 210,000/= taslimu ili imsaidie kwenye mambo yake na matumizi na mimi nikaondoka maeneo yale.
*******
Jumamosi ndo siku ambayo tulikwenda Bunju kwaajili ya kuwatembelea watoto yatima na tulipitia kwanza Tegeta nyuki Sokoni kwa ajili ya manunuzi ya vitu.
Tulinunua mchele 200kg, viroba 10 vya unga 25kg, Sukari viroba 3, maharage 50kg, mafuta ya kupikia ndoo kubwa 2 za lita 20, vifaa vya shule kama madaftari na peni, juice na Biscuits.
Hata mimi sikuwa nyuma jamani nilichangia pesa kidogo wakati wa manunuzi.
Nilitafuta gari kirikou ikabeba mizigo tukaondoka kwenda Bunju kituoni. Baada ya kuwasili pale kituoni mapokeo yalikuwa ni mazuri sana na tuliweza kuwakuta watoto wote pale kituoni.
Tulikula lunch ya pamoja mchana na baada ya hapo Iryn alianza kugawa zawadi kwa watoto, yaani ilikuwa hivi anauliza swali afu atakayepatia jibu anapewa 10,000. Nakumbuka kuna dogo alikuwa genius yale maswali magumu alikuwa anapata yeye, alipata karibu 80,000.
Iryn aliweza kuwalipia bima watoto 20 na alitoa pesa taslim milion 5 kwaajili ya maendeleo ya kituo. Alipiga picha nyingi sana na watoto hii siku na watoto walifurahi sana ilikuwa ni burudani.
Tulikaa mpaka jioni ya saa 11 na tukaondoka pale, lakini wakati tunaondoka kuna mtoto mmoja alikuwa akimlilia sana Iryn mpaka akamuahidi kuja tena kumtembelea, ndo alitulia.
Iryn alinambia toka akiwa mtoto alikuwa anatembelea sana na mama yake hivi vituo vya watu wenye uhitaji. Na alinambia mama yake alisaidia watu wengi sana hapa Tanzania na mataifa mbalimbali enzi za uhai wake.
Nilijifunza kuna umuhimu mkubwa sana wa kutembelea watu hawa, kuna watu wanauhitaji sana kwenye maisha. Iryn alikuwa ni mtoaji sana na alikuwa na Roho nzuri sana afu hakuwaga mtu wa kujionyesha kabisa.
Baada ya kutoka pale Bunju tulikwenda kumalizia siku Ununio Beach na tulikaa pale Dynasty. Baada ya mhudumu kuja kutusikiliza mimi niliagiza Heineken na Iryn aliagiza Savanna, nilishangaa sana ndo mara ya kwanza Iryn alikuwa ana odda hii bia.
“Kumbe na wewe unatumiaga Savanna.”
“Yeah Insider natumia vizuri tu, hivi hujawai kuniona?”
“Sijawai kwakweli kukuona.”
“Mmhh maybe umesahau tu.”
Tulikuwa tunapiga story sana muda huu na Iryn alioneka kuwa na furaha sana. Baada ya kupiga chupa mbili za Savanna akaanza kuongea sana na story zikazidi kukolea.
Iryn alinifungukia kuwa anataka kuachana na Griezman sababu ana mke na watoto wa2 anajisikia vibaya kudate na mme wa mtu. Kwa upande mwingine alisema inakuwa ngumu kumwacha Grizz sababu kuna Kampuni walifungua za pamoja huko Ufaransa.
Iryn anasema baada ya mashindano ya kutafuta miss college kuisha ndo alikutana na Griezman kwa mara ya kwanza na ndo walianza mahusiano ya kimapenzi. Iryn anasema alikuja kujua baadae kuwa Grizz baba yake ni mwanasiasa maarufu pale Ufaransa na alikuwa na connections nyingi.
Waliamua kufungua kampuni inayodeal na masuala ya Garden na upambaji wa kwenye kumbi za sherehe na events mbalimbali. Kupitia Grizz walikuwa wanapata kazi nyingi sana za utengenezaji wa garden na upambaji maana ana connections serikalini, privates, mahotelini nknk.
Na mimi muda huu nilikuwa nikimuuliza maswali mengi sana,
“Na wewe ni Director kwenye hii kampuni?”
“Ndio ila Grizz ndo Managing Director yeye ana shares za 65% na mimi nina 35%.”
“Sijawai kukuona ukienda Ufaransa unamwamini sana Grizz?”
“Sijaenda kipindi hiki tu sababu Grizz kaja Tanzania mara mbili. Alivyokuja vile huwa tunafanya review ya pamoja na kila baada ya miez 6.
“Grizz anafanyia kazi Wizarani anawezaje kusimamia haya yote?”
“Camon Insider kwenye masuala ya operation pia tumeajiri wafanyakazi wanaosimamia tenda na shughuli mbalimbali tuna hadi ofisi.”
“Grizz anajua unafanya massage?”
“Yes anajua na hii ndo kazi ambayo unaweza pata pesa nyingi kwa muda mfupi sana. Kigezo uwe na uzuri tu na cheti chako, kwa Ufaransa kila kampuni itakutaka. Kuna kampuni kwa Ufaransa zinalipa vizuri sana kwa siku hasa kwa weekend. Shida Africa watu wanachukulia hii kazi ni kama kujiuza ila kwa nje ni ajira na wanawake wengi wanafanya kazi kwenye hizi kampuni. Hii kazi imeniingizia pesa nyingi sana honestly.”
“So kampuni ndo inafanya usiachane na Grizz?”
“Ndo hivyo pia Grizz ananisadia sana kwenye kuagiza vitu vya saloon kutoka Ufaransa kama makeups nk. Ila naandaa mpango wa kuachana naye, ila mpaka nirudi South Africa ndo nitaanza michakato.”
“Nikitaka kwenda Ufaransa utaratibu upoje nipate na Uraia kabisa.”
“Okay kuna njia nyingi tu hizi nitakazo kupa ndo uhakika ya kwanza tafuta kazi, ya pili oa mfaransa, ya tatu kuwa investor ukishakaa atlist miaka 5 unapata uraia vizuri kabisa, kama utataka upate kwa haraka ni connection na pesa yako tu.”
“Hapo kwenye Investor nipe elimu kidogo.”
“Ili uwe Investor atlist uwe na €250,000 hapo utaweza kuingia na kufanya uwekezaji. Kama una support ya local partner inaweza kuwa advantage kwako. Mfano mimi Ufaransa niko treated as Investor naweza kuingia nakutoka muda wowote. Hata nikitaka Uraia chap tu napata maana ninajua kifaransa, nimesoma Ufaransa hata status ya mama bado inanibeba, yasingekuwa masuala ya mama ningekuwa zangu Ufaransa now.”
“Aisee pesa nyingi sana hizo bora nikomae tu na Bongo land, Ahsante atleast leo nimepata elimu.”
“Insider mimi naona tuondoke sasa turudi home mapema, saa mbili na nusu hii mpaka saa 3 tutakuwa home tayari, nataka nikacheze na Junior kabla hajalala.”
“Sawa haina shida tuondoke zetu hapa mwenyewe niko hoi sana leo.”
Tuliondoka pale Dynasty beach na tulitumia dakika 30 kufika home. Baada ya kupata Dinna mimi niliingia chumbani kuoga na muda huu nilikuwa naishangaa Laptop yangu mpya “Macbook”.
Mida ya Saa 4 usiku simu yangu ilianza kuita na ilibidi niangalie ni nani anapiga lakini alikuwa ni Mchepuko wa Mzee “Jane”. Kwanza nilishangaa kuona Jane akipiga simu usiku huu, maana hanaga tabia ya kunipigia simu hovyo na hajawai kunipigia simu usiku.
Kabla sijapokea niliwaza huenda amezidiwa huko hivyo anahitaji msaada wangu wa haraka sana. Niliipokea ile simu na nikaweka simu sikioni ili kusikia ana shida gani.
“Hello Jane habari yako?”
Muda huu nilikuwa nasikia sauti ya mtu ambaye kama amelia sana amechoka.
“Insider Mzee Pama amefariki leo jioni”
“What? amefariki? mbona sikuelewi Jane….”
Na jane alianza kulia sana muda huu, Mimi mwenyewe nilijikuta naanza kukosa nguvu maana nilikuwa naona kama ndoto hivi.
ITAENDELEA.
Santo sana mkuu ndio naingia saii! Nitulie nisome saaa sio kwa arosto hii!
LUgha gani hii mama?Santo sana
Patamu hapa .....hii stori inanoga kwl kwl na kuna mengi tunajifunza kama movie vile 🔥EPISODE 44
ENDELEA…..
Jumatano asubuhi nikiwa Posta Prisca alinipigia simu na alinambia amepata nyumba tayari bado kulipia tu.
“Hiyo nyumba ipo sehemu gani?”
“Karibu na chuo cha EASTC.”
“Usilipie nakuja kuiangalia kwanza, lazima nihakikishe unakaa sehemu nzuri.”
“Sawa baba mtoto.”
Saa 6 mchana nilikuwa around pale chuo UDSM na nilikuwa nimechill pale Hillpark nikimsubiri mama kijacho wangu Prisca na ilimchukua dakika 20 kufika eneo hili.
Tuliondoka pale na tukaelekea changanyikeni kuiangalia ile nyumba na njiani Prisca alikuwa akifanya mawasiliano na dalali.
Baada ya kuwasili maeneo ya chuo cha EASTC tulionana na dalali tukaenda kuiangalia ile nyumba. Ukweli sikuridhishwa na mazingira ya ile nyumba na nikamwambia dalali atafute nyingine ile sijaipenda.
Muda huu nilifanya mawasiliano na kaka yangu mmoja anakaa kule anisaidie namba za dalali, na baada ya kunitumia namba nilifanya mawasiliano na huyu dalali akanambia kuna nyumba nzuri ipo karibu na Jeshi.
Niliondoka na Prisca maeneo yale ya EASTC na tukaelekea kwa dalali. Baada ya kuonana naye alitupeleka kwenye ile nyumba na baada ya kuiona tuliipenda maana ilikuwa kwenye mazingira mazuri na ilikuwa ikivutia ndani mpaka nje.
MIMI: “Baby hii nyumba unaionaje?”
PRISCA: “Ni nzuri sana, I like it.”
MIMI: “Dalali bajeti ikoje hapa?”
DALALI: “Hapa bajeti ni 250k kwa mwezi.”
MIMI: “Baby kule ulipata kwa tsh ngapi?”
PRISCA: “Dalali alisema laki 2.”
MIMI: “Baby upo tayari tulipie hii.?”
PRISCA: “Yeah very nice place tunalipa kwa cash au simu?”
DALALI: “Hapa wanalipia kwa bank moja kwa moja.”
PRISCA: “Ok I can transfer that amount of money, nipe account number.”
MIMI: “Embu dalali nipe namba ya mwenye nyumba niongee naye hapa, usije ukatuuzia mbuzi kwenye gunia.”
Dalali alinipa namba ya simu ya mhusika ambaye ndo msimamizi wa zile nyumba na baada ya mawasiliano ilinitumia account number na akasema yuko njian anakuja ili tukamilishe. Na mimi nilimwambia tunamsubiri ili tumalize kila kitu muda huu.”
Baada ya nusu saa mhusika aliwasili na tukafanya malipo ya nyumba na tukapewa mkataba wa nyumba na funguo, so ilibaki sisi tu kuingia ndani.
MIMI: “So humu ndani utahitaji vitu gani nikakununulie?”
PRISCA: “kila kitu tena vya jikoni ndo muhimu maana nitakuwa napika.”
MIMI: “Na unataka kuhamia lini hapa?”
PRISCA: “Even today unajua nimeshaondoka home tayari na nimefikia hostel.”
MIMI: “Toka lini umeondoka?
PRISCA: “Leo nimeondoka.”
Nikakumbuka maneno ya Mary jana aliyokuwa akiniambia.
Muda huu niliwaza kuwasiliana na Dogo wa Bajaji ili anisaidie hii kazi lakini nikakumbuka Dogo anaundugu na Mama J itakuwa shida. Hivyo niliamua kuisimamia show mwenyewe.
Kuna Dogo nilimpata pale changanyikeni tukaongozana mpaka lufungira kwenda kuangalia kitanda. Nilipata kitanda kizuri (5x6) nikampa apeleke na mimi nikaelekea Kariakoo kwenda kununua vitu vingine.
Uzuri Kariakoo nina connections na wafanya biashara wapale uhuru wanaouza home appliances na electronics, hivyo nanuaga vitu kwa bei poa sana na wananiuziaga kwa jumla.
Nilinunua fridge kampuni ya westpoint size ya kati, nilinunua TV hisense 43”, jiko la gas na Godoro. Niliondoka Kariakoo mpaka Changanyikeni na nilikuta Dogo kashafunga kitanda tayari, ilikuwa imebaki kuweka godoro tu.
Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kanunua mapazia, vyombo na mtungi wa gas. Palepale nikapata wazo la kumnunulia Dstv, showcase na makochi mawili, kubwa na dogo nimwekee seblen pale. Tuliondoka tena na dogo na tukanunua vile vitu haraka tukarudi, mpaka jioni kila kitu kilikuwa sawa. Prisca alifurahi sana hii siku, alikuwa muda wote ananikumbatia tu na alikuwa na rafiki yake Eva wakisaidiana.
PRISCA: “Baby leo umefanya makubwa sana Ahsante sana inatosha kwakweli, vingine nitanunua mwenyewe.”
MIMI: “Sawa haina shida welcome makao mapya uanze kujifunza maisha.”
PRISCA: “Baby leo si tunalala wote?”
MIMI: “Baby leo ngumu unajua home na mgeni Mary hajakwambia? Ni ngumu kumwacha na nisiporudi italeta image mbaya ataondoka jumapili then nitakuja kwako sawa?”
PRISCA: “Sawa baby hata hivyo nashukuru kwa leo, nitalala na Eva.”
Tuliishia kunyonyana mate mbele ya Eva na nikawaaga pale, lakini nikiwa pale parking nageuza gari walitoka wakasema niwapeleke Mlimani city wakafanye shopping ya vitu.
Baada ya kuwasili mlimani city niliwaacha pale na mimi nikaendelea na safari yangu ya kurudi nyumbani. Niliamua kufanya haya yote kwasabu Prisca alikuwa na mimba ya mtoto wangu hivyo sikuwa na jinsi, ilibidi nimjali tu.
Wakati niko Mwenge mataa Mzee Pama alinipigia Whatsapp call na niliipokea simu yake. Niliendesha gari mpaka kituo cha Daladala mwenge kwa upande wa kwenda Tegeta na nika park gari.
MIMI: “Mzee wangu shikamoo.”
MZEE PAMA: “Marahaba kijana unaendeleaje?”
MIMI: “Salama sana Mzee sijui wewe huko.”
MZEE PAMA: “Nashukuru Mungu, nimekupigia kama mara 2 haukuwa online nafikiri.”
MIMI: “Kweli Mzee wangu sikuwa online samahani sana nilikuwa nimetingwa.”
MZEE PAMA: “Hakuna haja ya kuomba msamaha, hakuna ulichonikosea naelewa unakuwa kwenye mihangaiko. Nimewasiliana na Jane amenambia ijumaa anamaliza mafunzo na yuko vizuri kwa sasa.”
MIMI: “Kwasasa yuko vizuri tunavyorudi huwa ninamwachia gari anaendesha mpaka home ni vitu vidogo tu vya kumweka sawa na ataendelea kumasta taratibu bado ana ulena.”
MZEE PAMA: “Sawa haina shida kila mmoja amepitia huku, niseme ahsante sana kwa msaada wako maana umekuwa unanisaidia kwenye mambo mengi sana. Naomba unambie ni jambo gani umekwama nikusaidie kama shukran yangu kwako. Naomba uwe na amani na usiwe na wasiwasi mambo mengine tutaongea nikirudi ila naomba hili jambo useme sasa.”
MIMI: “Mzee nashukuru, nina kibanda changu najenga Dodoma sasa nilikopa Pesa Bank milion 10 ili nimalizie ujenzi. Nimelipa milion 5 tayari, hili ndo jambo nililokwama na linalonipa stress.”
MZEE PAMA: “Hongera sana kwa ujenzi kwahiyo kama umelipa milioni 5 bado 5, sasa hii nitakutumia kama shukran yangu. Na suala la kazi upo tayari kufanya hata nje ya nchi?”
MIMI: “Niko tayari Mzee cha msingi iwe kazi halali tu.”
MZEE PAMA: “Tutaongea vizuri nikirudi kijana wangu hili ondoa shaka kabisa. Ninakwenda tena India mara moja kufanya check-up maana hali yangu haipo vizuri.”
MIMI: “Pole sana Mzee utakuwa sawa na kuhusu gari niendelee kusubiri?”
MZEE PAMA: “Ninatarajia kurudi jumanne nafikiri tutamkabidhi tukiwa wote. Naomba nisaidie kumwangalia Jane maana nakutegemea sana kipindi hiki ambacho sipo. Ninakuamini sana Kijana wangu naomba unisaidie sana kwa hili.
Nitumie na account yako ya bank.”
MIMI: “Mzee ondoa shaka hata usiwe na wasiwasi hakuna kitakacho haribika.”
MZEE PAMA: “Ahsante kijana uwe na jioni njema.”
Baada ya kumaliza mazungumzo na Mzee Pama nilimtumia Account No. ya Bank na wakati nimefika mataa ya mbezi beach shule, njia panda ya kwenda Goba nilisikia mlio wa message na baada ya kuangalia ilikuwa imetoka CRDB ikionesha nimeingiza million 6.
Nilimtumia ujumbe mzee Pama wa Shukran palepale na mimi nikaendelea na safari ya kwenda home.
Njiani niliwaza kama Mzee Pama atanipa deal sitalikataa hata kama nje ya nchi nitakwenda. Niliwaza Iryn anaondoka kwenda masomoni what if kama atafunga biashara zake itakuwaje? Niliwaza pia biashara zina firisika bora niwe na kazi ya uhakika.
********
Ijumaa Jane alimaliza mafunzo yake ya Udereva na hii siku nilikuwa naye mwanzo mwisho. Alikabidhiwa cheti chake pamoja na Driving licence na wakati wa kuondoka nilimwachia gari aendeshe.
Tuliondoka Posta kwenda Masaki kuwachukua madogo na baada ya kufika pale shule nilionana na dada kwaajili ya malipo na akanambia leo shule imefunga mpaka July wakifungua atanijulisha kwa simu.
Tuliondoka pale lakini ilibidi nimpokee kuendesha gari sababu ya watoto na baada ya kumaliza kuwashusha madogo nilimpa tena gari aendeshe. Jane alikuwa tayari kashajua kuendesha gari ni vitu vidogo alikuwa bado anahitaji maelekezo kama kukanyaga break za papo kwa hapo, reverse ila kwenye kunyoosha alikuwa tayari yuko vizuri.
Baada ya kuwasili kwake Mbweni niliingia ndani nikapata na lunch na tuliongea sana hii siku. Baada ya hapo mimi niliaga na nilikwenda moja kwa moja mpaka changanyikeni kwa Prisca.
Nilimchukua Prisca pale UDBS na hao tukaanza safari ya Changanyikeni. Baada ya kuwasili makazi mapya niliingia ndani na nilikuta Prisca kanunua carpet pale seblen, microwave, na chumbani alikuwa kanunua kabati la nguo pamoja na meza ya kusomea.
Nilijisemea kama Vijana kuna umuhimu wa kuwa na Mwanamke mwenye Pesa vitu vidogo kama hivi anajiongeza bila hata kuambiwa, na pesa hajaomba.
Nilishinda na Prisca mpaka saa 2 usiku na nikamwaga naondoka muda huu.
“Baby kwanini usilale leo na mimi?”
“Bae nilikuahidi mgeni akiondoka au umesahau?”
“Sawa baby afu Mary kanambia suala la kwenda Mikumi. Yule ni dada yangu unaweza kwenda naye ila simwamini sana kuwa naye makini tu.”
“Kama wewe umeridhia sawa mimi nitampeleka.”
“Baby naomba hata Pesa kidogo sina hela za matumizi na nauli kwenda chuo.”
Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumsikia Prisca akiomba hela, kwa mambo aliyofanya kulipia kodi ya nyumba, kununua na vitu vya ndani nilijua lazima kafulia.
“Baby sina cash nakutumia kwa simu sawa?
Na mimi nilifanya kutransfer amount ya tsh 210,000/= taslimu ili imsaidie kwenye mambo yake na matumizi na mimi nikaondoka maeneo yale.
*******
Jumamosi ndo siku ambayo tulikwenda Bunju kwaajili ya kuwatembelea watoto yatima na tulipitia kwanza Tegeta nyuki Sokoni kwa ajili ya manunuzi ya vitu.
Tulinunua mchele 200kg, viroba 10 vya unga 25kg, Sukari viroba 3, maharage 50kg, mafuta ya kupikia ndoo kubwa 2 za lita 20, vifaa vya shule kama madaftari na peni, juice na Biscuits.
Hata mimi sikuwa nyuma jamani nilichangia pesa kidogo wakati wa manunuzi.
Nilitafuta gari kirikou ikabeba mizigo tukaondoka kwenda Bunju kituoni. Baada ya kuwasili pale kituoni mapokeo yalikuwa ni mazuri sana na tuliweza kuwakuta watoto wote pale kituoni.
Tulikula lunch ya pamoja mchana na baada ya hapo Iryn alianza kugawa zawadi kwa watoto, yaani ilikuwa hivi anauliza swali afu atakayepatia jibu anapewa 10,000. Nakumbuka kuna dogo alikuwa genius yale maswali magumu alikuwa anapata yeye, alipata karibu 80,000.
Iryn aliweza kuwalipia bima watoto 20 na alitoa pesa taslim milion 5 kwaajili ya maendeleo ya kituo. Alipiga picha nyingi sana na watoto hii siku na watoto walifurahi sana ilikuwa ni burudani.
Tulikaa mpaka jioni ya saa 11 na tukaondoka pale, lakini wakati tunaondoka kuna mtoto mmoja alikuwa akimlilia sana Iryn mpaka akamuahidi kuja tena kumtembelea, ndo alitulia.
Iryn alinambia toka akiwa mtoto alikuwa anatembelea sana na mama yake hivi vituo vya watu wenye uhitaji. Na alinambia mama yake alisaidia watu wengi sana hapa Tanzania na mataifa mbalimbali enzi za uhai wake.
Nilijifunza kuna umuhimu mkubwa sana wa kutembelea watu hawa, kuna watu wanauhitaji sana kwenye maisha. Iryn alikuwa ni mtoaji sana na alikuwa na Roho nzuri sana afu hakuwaga mtu wa kujionyesha kabisa.
Baada ya kutoka pale Bunju tulikwenda kumalizia siku Ununio Beach na tulikaa pale Dynasty. Baada ya mhudumu kuja kutusikiliza mimi niliagiza Heineken na Iryn aliagiza Savanna, nilishangaa sana ndo mara ya kwanza Iryn alikuwa ana odda hii bia.
“Kumbe na wewe unatumiaga Savanna.”
“Yeah Insider natumia vizuri tu, hivi hujawai kuniona?”
“Sijawai kwakweli kukuona.”
“Mmhh maybe umesahau tu.”
Tulikuwa tunapiga story sana muda huu na Iryn alioneka kuwa na furaha sana. Baada ya kupiga chupa mbili za Savanna akaanza kuongea sana na story zikazidi kukolea.
Iryn alinifungukia kuwa anataka kuachana na Griezman sababu ana mke na watoto wa2 anajisikia vibaya kudate na mme wa mtu. Kwa upande mwingine alisema inakuwa ngumu kumwacha Grizz sababu kuna Kampuni walifungua za pamoja huko Ufaransa.
Iryn anasema baada ya mashindano ya kutafuta miss college kuisha ndo alikutana na Griezman kwa mara ya kwanza na ndo walianza mahusiano ya kimapenzi. Iryn anasema alikuja kujua baadae kuwa Grizz baba yake ni mwanasiasa maarufu pale Ufaransa na alikuwa na connections nyingi.
Waliamua kufungua kampuni inayodeal na masuala ya Garden na upambaji wa kwenye kumbi za sherehe na events mbalimbali. Kupitia Grizz walikuwa wanapata kazi nyingi sana za utengenezaji wa garden na upambaji maana ana connections serikalini, privates, mahotelini nknk.
Na mimi muda huu nilikuwa nikimuuliza maswali mengi sana,
“Na wewe ni Director kwenye hii kampuni?”
“Ndio ila Grizz ndo Managing Director yeye ana shares za 65% na mimi nina 35%.”
“Sijawai kukuona ukienda Ufaransa unamwamini sana Grizz?”
“Sijaenda kipindi hiki tu sababu Grizz kaja Tanzania mara mbili. Alivyokuja vile huwa tunafanya review ya pamoja na kila baada ya miez 6.
“Grizz anafanyia kazi Wizarani anawezaje kusimamia haya yote?”
“Camon Insider kwenye masuala ya operation pia tumeajiri wafanyakazi wanaosimamia tenda na shughuli mbalimbali tuna hadi ofisi.”
“Grizz anajua unafanya massage?”
“Yes anajua na hii ndo kazi ambayo unaweza pata pesa nyingi kwa muda mfupi sana. Kigezo uwe na uzuri tu na cheti chako, kwa Ufaransa kila kampuni itakutaka. Kuna kampuni kwa Ufaransa zinalipa vizuri sana kwa siku hasa kwa weekend. Shida Africa watu wanachukulia hii kazi ni kama kujiuza ila kwa nje ni ajira na wanawake wengi wanafanya kazi kwenye hizi kampuni. Hii kazi imeniingizia pesa nyingi sana honestly.”
“So kampuni ndo inafanya usiachane na Grizz?”
“Ndo hivyo pia Grizz ananisadia sana kwenye kuagiza vitu vya saloon kutoka Ufaransa kama makeups nk. Ila naandaa mpango wa kuachana naye, ila mpaka nirudi South Africa ndo nitaanza michakato.”
“Nikitaka kwenda Ufaransa utaratibu upoje nipate na Uraia kabisa.”
“Okay kuna njia nyingi tu hizi nitakazo kupa ndo uhakika ya kwanza tafuta kazi, ya pili oa mfaransa, ya tatu kuwa investor ukishakaa atlist miaka 5 unapata uraia vizuri kabisa, kama utataka upate kwa haraka ni connection na pesa yako tu.”
“Hapo kwenye Investor nipe elimu kidogo.”
“Ili uwe Investor atlist uwe na €250,000 hapo utaweza kuingia na kufanya uwekezaji. Kama una support ya local partner inaweza kuwa advantage kwako. Mfano mimi Ufaransa niko treated as Investor naweza kuingia nakutoka muda wowote. Hata nikitaka Uraia chap tu napata maana ninajua kifaransa, nimesoma Ufaransa hata status ya mama bado inanibeba, yasingekuwa masuala ya mama ningekuwa zangu Ufaransa now.”
“Aisee pesa nyingi sana hizo bora nikomae tu na Bongo land, Ahsante atleast leo nimepata elimu.”
“Insider mimi naona tuondoke sasa turudi home mapema, saa mbili na nusu hii mpaka saa 3 tutakuwa home tayari, nataka nikacheze na Junior kabla hajalala.”
“Sawa haina shida tuondoke zetu hapa mwenyewe niko hoi sana leo.”
Tuliondoka pale Dynasty beach na tulitumia dakika 30 kufika home. Baada ya kupata Dinna mimi niliingia chumbani kuoga na muda huu nilikuwa naishangaa Laptop yangu mpya “Macbook”.
Mida ya Saa 4 usiku simu yangu ilianza kuita na ilibidi niangalie ni nani anapiga lakini alikuwa ni Mchepuko wa Mzee “Jane”. Kwanza nilishangaa kuona Jane akipiga simu usiku huu, maana hanaga tabia ya kunipigia simu hovyo na hajawai kunipigia simu usiku.
Kabla sijapokea niliwaza huenda amezidiwa huko hivyo anahitaji msaada wangu wa haraka sana. Niliipokea ile simu na nikaweka simu sikioni ili kusikia ana shida gani.
“Hello Jane habari yako?”
Muda huu nilikuwa nasikia sauti ya mtu ambaye kama amelia sana amechoka.
“Insider Mzee Pama amefariki leo jioni”
“What? amefariki? mbona sikuelewi Jane….”
Na jane alianza kulia sana muda huu, Mimi mwenyewe nilijikuta naanza kukosa nguvu maana nilikuwa naona kama ndoto hivi.
ITAENDELEA.
Mwanangu we naomba utuambie kama utamla Iryn au lah, mimi ndio kitu navumilia kusoma hiz episode..kama humli naieleza nijikatae 😂😂...
Aise dahEPISODE 44
ENDELEA…..
Jumatano asubuhi nikiwa Posta Prisca alinipigia simu na alinambia amepata nyumba tayari bado kulipia tu.
“Hiyo nyumba ipo sehemu gani?”
“Karibu na chuo cha EASTC.”
“Usilipie nakuja kuiangalia kwanza, lazima nihakikishe unakaa sehemu nzuri.”
“Sawa baba mtoto.”
Saa 6 mchana nilikuwa around pale chuo UDSM na nilikuwa nimechill pale Hillpark nikimsubiri mama kijacho wangu Prisca na ilimchukua dakika 20 kufika eneo hili.
Tuliondoka pale na tukaelekea changanyikeni kuiangalia ile nyumba na njiani Prisca alikuwa akifanya mawasiliano na dalali.
Baada ya kuwasili maeneo ya chuo cha EASTC tulionana na dalali tukaenda kuiangalia ile nyumba. Ukweli sikuridhishwa na mazingira ya ile nyumba na nikamwambia dalali atafute nyingine ile sijaipenda.
Muda huu nilifanya mawasiliano na kaka yangu mmoja anakaa kule anisaidie namba za dalali, na baada ya kunitumia namba nilifanya mawasiliano na huyu dalali akanambia kuna nyumba nzuri ipo karibu na Jeshi.
Niliondoka na Prisca maeneo yale ya EASTC na tukaelekea kwa dalali. Baada ya kuonana naye alitupeleka kwenye ile nyumba na baada ya kuiona tuliipenda maana ilikuwa kwenye mazingira mazuri na ilikuwa ikivutia ndani mpaka nje.
MIMI: “Baby hii nyumba unaionaje?”
PRISCA: “Ni nzuri sana, I like it.”
MIMI: “Dalali bajeti ikoje hapa?”
DALALI: “Hapa bajeti ni 250k kwa mwezi.”
MIMI: “Baby kule ulipata kwa tsh ngapi?”
PRISCA: “Dalali alisema laki 2.”
MIMI: “Baby upo tayari tulipie hii.?”
PRISCA: “Yeah very nice place tunalipa kwa cash au simu?”
DALALI: “Hapa wanalipia kwa bank moja kwa moja.”
PRISCA: “Ok I can transfer that amount of money, nipe account number.”
MIMI: “Embu dalali nipe namba ya mwenye nyumba niongee naye hapa, usije ukatuuzia mbuzi kwenye gunia.”
Dalali alinipa namba ya simu ya mhusika ambaye ndo msimamizi wa zile nyumba na baada ya mawasiliano ilinitumia account number na akasema yuko njian anakuja ili tukamilishe. Na mimi nilimwambia tunamsubiri ili tumalize kila kitu muda huu.”
Baada ya nusu saa mhusika aliwasili na tukafanya malipo ya nyumba na tukapewa mkataba wa nyumba na funguo, so ilibaki sisi tu kuingia ndani.
MIMI: “So humu ndani utahitaji vitu gani nikakununulie?”
PRISCA: “kila kitu tena vya jikoni ndo muhimu maana nitakuwa napika.”
MIMI: “Na unataka kuhamia lini hapa?”
PRISCA: “Even today unajua nimeshaondoka home tayari na nimefikia hostel.”
MIMI: “Toka lini umeondoka?
PRISCA: “Leo nimeondoka.”
Nikakumbuka maneno ya Mary jana aliyokuwa akiniambia.
Muda huu niliwaza kuwasiliana na Dogo wa Bajaji ili anisaidie hii kazi lakini nikakumbuka Dogo anaundugu na Mama J itakuwa shida. Hivyo niliamua kuisimamia show mwenyewe.
Kuna Dogo nilimpata pale changanyikeni tukaongozana mpaka lufungira kwenda kuangalia kitanda. Nilipata kitanda kizuri (5x6) nikampa apeleke na mimi nikaelekea Kariakoo kwenda kununua vitu vingine.
Uzuri Kariakoo nina connections na wafanya biashara wapale uhuru wanaouza home appliances na electronics, hivyo nanuaga vitu kwa bei poa sana na wananiuziaga kwa jumla.
Nilinunua fridge kampuni ya westpoint size ya kati, nilinunua TV hisense 43”, jiko la gas na Godoro. Niliondoka Kariakoo mpaka Changanyikeni na nilikuta Dogo kashafunga kitanda tayari, ilikuwa imebaki kuweka godoro tu.
Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kanunua mapazia, vyombo na mtungi wa gas. Palepale nikapata wazo la kumnunulia Dstv, showcase na makochi mawili, kubwa na dogo nimwekee seblen pale. Tuliondoka tena na dogo na tukanunua vile vitu haraka tukarudi, mpaka jioni kila kitu kilikuwa sawa. Prisca alifurahi sana hii siku, alikuwa muda wote ananikumbatia tu na alikuwa na rafiki yake Eva wakisaidiana.
PRISCA: “Baby leo umefanya makubwa sana Ahsante sana inatosha kwakweli, vingine nitanunua mwenyewe.”
MIMI: “Sawa haina shida welcome makao mapya uanze kujifunza maisha.”
PRISCA: “Baby leo si tunalala wote?”
MIMI: “Baby leo ngumu unajua home na mgeni Mary hajakwambia? Ni ngumu kumwacha na nisiporudi italeta image mbaya ataondoka jumapili then nitakuja kwako sawa?”
PRISCA: “Sawa baby hata hivyo nashukuru kwa leo, nitalala na Eva.”
Tuliishia kunyonyana mate mbele ya Eva na nikawaaga pale, lakini nikiwa pale parking nageuza gari walitoka wakasema niwapeleke Mlimani city wakafanye shopping ya vitu.
Baada ya kuwasili mlimani city niliwaacha pale na mimi nikaendelea na safari yangu ya kurudi nyumbani. Niliamua kufanya haya yote kwasabu Prisca alikuwa na mimba ya mtoto wangu hivyo sikuwa na jinsi, ilibidi nimjali tu.
Wakati niko Mwenge mataa Mzee Pama alinipigia Whatsapp call na niliipokea simu yake. Niliendesha gari mpaka kituo cha Daladala mwenge kwa upande wa kwenda Tegeta na nika park gari.
MIMI: “Mzee wangu shikamoo.”
MZEE PAMA: “Marahaba kijana unaendeleaje?”
MIMI: “Salama sana Mzee sijui wewe huko.”
MZEE PAMA: “Nashukuru Mungu, nimekupigia kama mara 2 haukuwa online nafikiri.”
MIMI: “Kweli Mzee wangu sikuwa online samahani sana nilikuwa nimetingwa.”
MZEE PAMA: “Hakuna haja ya kuomba msamaha, hakuna ulichonikosea naelewa unakuwa kwenye mihangaiko. Nimewasiliana na Jane amenambia ijumaa anamaliza mafunzo na yuko vizuri kwa sasa.”
MIMI: “Kwasasa yuko vizuri tunavyorudi huwa ninamwachia gari anaendesha mpaka home ni vitu vidogo tu vya kumweka sawa na ataendelea kumasta taratibu bado ana ulena.”
MZEE PAMA: “Sawa haina shida kila mmoja amepitia huku, niseme ahsante sana kwa msaada wako maana umekuwa unanisaidia kwenye mambo mengi sana. Naomba unambie ni jambo gani umekwama nikusaidie kama shukran yangu kwako. Naomba uwe na amani na usiwe na wasiwasi mambo mengine tutaongea nikirudi ila naomba hili jambo useme sasa.”
MIMI: “Mzee nashukuru, nina kibanda changu najenga Dodoma sasa nilikopa Pesa Bank milion 10 ili nimalizie ujenzi. Nimelipa milion 5 tayari, hili ndo jambo nililokwama na linalonipa stress.”
MZEE PAMA: “Hongera sana kwa ujenzi kwahiyo kama umelipa milioni 5 bado 5, sasa hii nitakutumia kama shukran yangu. Na suala la kazi upo tayari kufanya hata nje ya nchi?”
MIMI: “Niko tayari Mzee cha msingi iwe kazi halali tu.”
MZEE PAMA: “Tutaongea vizuri nikirudi kijana wangu hili ondoa shaka kabisa. Ninakwenda tena India mara moja kufanya check-up maana hali yangu haipo vizuri.”
MIMI: “Pole sana Mzee utakuwa sawa na kuhusu gari niendelee kusubiri?”
MZEE PAMA: “Ninatarajia kurudi jumanne nafikiri tutamkabidhi tukiwa wote. Naomba nisaidie kumwangalia Jane maana nakutegemea sana kipindi hiki ambacho sipo. Ninakuamini sana Kijana wangu naomba unisaidie sana kwa hili.
Nitumie na account yako ya bank.”
MIMI: “Mzee ondoa shaka hata usiwe na wasiwasi hakuna kitakacho haribika.”
MZEE PAMA: “Ahsante kijana uwe na jioni njema.”
Baada ya kumaliza mazungumzo na Mzee Pama nilimtumia Account No. ya Bank na wakati nimefika mataa ya mbezi beach shule, njia panda ya kwenda Goba nilisikia mlio wa message na baada ya kuangalia ilikuwa imetoka CRDB ikionesha nimeingiza million 6.
Nilimtumia ujumbe mzee Pama wa Shukran palepale na mimi nikaendelea na safari ya kwenda home.
Njiani niliwaza kama Mzee Pama atanipa deal sitalikataa hata kama nje ya nchi nitakwenda. Niliwaza Iryn anaondoka kwenda masomoni what if kama atafunga biashara zake itakuwaje? Niliwaza pia biashara zina firisika bora niwe na kazi ya uhakika.
********
Ijumaa Jane alimaliza mafunzo yake ya Udereva na hii siku nilikuwa naye mwanzo mwisho. Alikabidhiwa cheti chake pamoja na Driving licence na wakati wa kuondoka nilimwachia gari aendeshe.
Tuliondoka Posta kwenda Masaki kuwachukua madogo na baada ya kufika pale shule nilionana na dada kwaajili ya malipo na akanambia leo shule imefunga mpaka July wakifungua atanijulisha kwa simu.
Tuliondoka pale lakini ilibidi nimpokee kuendesha gari sababu ya watoto na baada ya kumaliza kuwashusha madogo nilimpa tena gari aendeshe. Jane alikuwa tayari kashajua kuendesha gari ni vitu vidogo alikuwa bado anahitaji maelekezo kama kukanyaga break za papo kwa hapo, reverse ila kwenye kunyoosha alikuwa tayari yuko vizuri.
Baada ya kuwasili kwake Mbweni niliingia ndani nikapata na lunch na tuliongea sana hii siku. Baada ya hapo mimi niliaga na nilikwenda moja kwa moja mpaka changanyikeni kwa Prisca.
Nilimchukua Prisca pale UDBS na hao tukaanza safari ya Changanyikeni. Baada ya kuwasili makazi mapya niliingia ndani na nilikuta Prisca kanunua carpet pale seblen, microwave, na chumbani alikuwa kanunua kabati la nguo pamoja na meza ya kusomea.
Nilijisemea kama Vijana kuna umuhimu wa kuwa na Mwanamke mwenye Pesa vitu vidogo kama hivi anajiongeza bila hata kuambiwa, na pesa hajaomba.
Nilishinda na Prisca mpaka saa 2 usiku na nikamwaga naondoka muda huu.
“Baby kwanini usilale leo na mimi?”
“Bae nilikuahidi mgeni akiondoka au umesahau?”
“Sawa baby afu Mary kanambia suala la kwenda Mikumi. Yule ni dada yangu unaweza kwenda naye ila simwamini sana kuwa naye makini tu.”
“Kama wewe umeridhia sawa mimi nitampeleka.”
“Baby naomba hata Pesa kidogo sina hela za matumizi na nauli kwenda chuo.”
Hii ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumsikia Prisca akiomba hela, kwa mambo aliyofanya kulipia kodi ya nyumba, kununua na vitu vya ndani nilijua lazima kafulia.
“Baby sina cash nakutumia kwa simu sawa?
Na mimi nilifanya kutransfer amount ya tsh 210,000/= taslimu ili imsaidie kwenye mambo yake na matumizi na mimi nikaondoka maeneo yale.
*******
Jumamosi ndo siku ambayo tulikwenda Bunju kwaajili ya kuwatembelea watoto yatima na tulipitia kwanza Tegeta nyuki Sokoni kwa ajili ya manunuzi ya vitu.
Tulinunua mchele 200kg, viroba 10 vya unga 25kg, Sukari viroba 3, maharage 50kg, mafuta ya kupikia ndoo kubwa 2 za lita 20, vifaa vya shule kama madaftari na peni, juice na Biscuits.
Hata mimi sikuwa nyuma jamani nilichangia pesa kidogo wakati wa manunuzi.
Nilitafuta gari kirikou ikabeba mizigo tukaondoka kwenda Bunju kituoni. Baada ya kuwasili pale kituoni mapokeo yalikuwa ni mazuri sana na tuliweza kuwakuta watoto wote pale kituoni.
Tulikula lunch ya pamoja mchana na baada ya hapo Iryn alianza kugawa zawadi kwa watoto, yaani ilikuwa hivi anauliza swali afu atakayepatia jibu anapewa 10,000. Nakumbuka kuna dogo alikuwa genius yale maswali magumu alikuwa anapata yeye, alipata karibu 80,000.
Iryn aliweza kuwalipia bima watoto 20 na alitoa pesa taslim milion 5 kwaajili ya maendeleo ya kituo. Alipiga picha nyingi sana na watoto hii siku na watoto walifurahi sana ilikuwa ni burudani.
Tulikaa mpaka jioni ya saa 11 na tukaondoka pale, lakini wakati tunaondoka kuna mtoto mmoja alikuwa akimlilia sana Iryn mpaka akamuahidi kuja tena kumtembelea, ndo alitulia.
Iryn alinambia toka akiwa mtoto alikuwa anatembelea sana na mama yake hivi vituo vya watu wenye uhitaji. Na alinambia mama yake alisaidia watu wengi sana hapa Tanzania na mataifa mbalimbali enzi za uhai wake.
Nilijifunza kuna umuhimu mkubwa sana wa kutembelea watu hawa, kuna watu wanauhitaji sana kwenye maisha. Iryn alikuwa ni mtoaji sana na alikuwa na Roho nzuri sana afu hakuwaga mtu wa kujionyesha kabisa.
Baada ya kutoka pale Bunju tulikwenda kumalizia siku Ununio Beach na tulikaa pale Dynasty. Baada ya mhudumu kuja kutusikiliza mimi niliagiza Heineken na Iryn aliagiza Savanna, nilishangaa sana ndo mara ya kwanza Iryn alikuwa ana odda hii bia.
“Kumbe na wewe unatumiaga Savanna.”
“Yeah Insider natumia vizuri tu, hivi hujawai kuniona?”
“Sijawai kwakweli kukuona.”
“Mmhh maybe umesahau tu.”
Tulikuwa tunapiga story sana muda huu na Iryn alioneka kuwa na furaha sana. Baada ya kupiga chupa mbili za Savanna akaanza kuongea sana na story zikazidi kukolea.
Iryn alinifungukia kuwa anataka kuachana na Griezman sababu ana mke na watoto wa2 anajisikia vibaya kudate na mme wa mtu. Kwa upande mwingine alisema inakuwa ngumu kumwacha Grizz sababu kuna Kampuni walifungua za pamoja huko Ufaransa.
Iryn anasema baada ya mashindano ya kutafuta miss college kuisha ndo alikutana na Griezman kwa mara ya kwanza na ndo walianza mahusiano ya kimapenzi. Iryn anasema alikuja kujua baadae kuwa Grizz baba yake ni mwanasiasa maarufu pale Ufaransa na alikuwa na connections nyingi.
Waliamua kufungua kampuni inayodeal na masuala ya Garden na upambaji wa kwenye kumbi za sherehe na events mbalimbali. Kupitia Grizz walikuwa wanapata kazi nyingi sana za utengenezaji wa garden na upambaji maana ana connections serikalini, privates, mahotelini nknk.
Na mimi muda huu nilikuwa nikimuuliza maswali mengi sana,
“Na wewe ni Director kwenye hii kampuni?”
“Ndio ila Grizz ndo Managing Director yeye ana shares za 65% na mimi nina 35%.”
“Sijawai kukuona ukienda Ufaransa unamwamini sana Grizz?”
“Sijaenda kipindi hiki tu sababu Grizz kaja Tanzania mara mbili. Alivyokuja vile huwa tunafanya review ya pamoja na kila baada ya miez 6.
“Grizz anafanyia kazi Wizarani anawezaje kusimamia haya yote?”
“Camon Insider kwenye masuala ya operation pia tumeajiri wafanyakazi wanaosimamia tenda na shughuli mbalimbali tuna hadi ofisi.”
“Grizz anajua unafanya massage?”
“Yes anajua na hii ndo kazi ambayo unaweza pata pesa nyingi kwa muda mfupi sana. Kigezo uwe na uzuri tu na cheti chako, kwa Ufaransa kila kampuni itakutaka. Kuna kampuni kwa Ufaransa zinalipa vizuri sana kwa siku hasa kwa weekend. Shida Africa watu wanachukulia hii kazi ni kama kujiuza ila kwa nje ni ajira na wanawake wengi wanafanya kazi kwenye hizi kampuni. Hii kazi imeniingizia pesa nyingi sana honestly.”
“So kampuni ndo inafanya usiachane na Grizz?”
“Ndo hivyo pia Grizz ananisadia sana kwenye kuagiza vitu vya saloon kutoka Ufaransa kama makeups nk. Ila naandaa mpango wa kuachana naye, ila mpaka nirudi South Africa ndo nitaanza michakato.”
“Nikitaka kwenda Ufaransa utaratibu upoje nipate na Uraia kabisa.”
“Okay kuna njia nyingi tu hizi nitakazo kupa ndo uhakika ya kwanza tafuta kazi, ya pili oa mfaransa, ya tatu kuwa investor ukishakaa atlist miaka 5 unapata uraia vizuri kabisa, kama utataka upate kwa haraka ni connection na pesa yako tu.”
“Hapo kwenye Investor nipe elimu kidogo.”
“Ili uwe Investor atlist uwe na €250,000 hapo utaweza kuingia na kufanya uwekezaji. Kama una support ya local partner inaweza kuwa advantage kwako. Mfano mimi Ufaransa niko treated as Investor naweza kuingia nakutoka muda wowote. Hata nikitaka Uraia chap tu napata maana ninajua kifaransa, nimesoma Ufaransa hata status ya mama bado inanibeba, yasingekuwa masuala ya mama ningekuwa zangu Ufaransa now.”
“Aisee pesa nyingi sana hizo bora nikomae tu na Bongo land, Ahsante atleast leo nimepata elimu.”
“Insider mimi naona tuondoke sasa turudi home mapema, saa mbili na nusu hii mpaka saa 3 tutakuwa home tayari, nataka nikacheze na Junior kabla hajalala.”
“Sawa haina shida tuondoke zetu hapa mwenyewe niko hoi sana leo.”
Tuliondoka pale Dynasty beach na tulitumia dakika 30 kufika home. Baada ya kupata Dinna mimi niliingia chumbani kuoga na muda huu nilikuwa naishangaa Laptop yangu mpya “Macbook”.
Mida ya Saa 4 usiku simu yangu ilianza kuita na ilibidi niangalie ni nani anapiga lakini alikuwa ni Mchepuko wa Mzee “Jane”. Kwanza nilishangaa kuona Jane akipiga simu usiku huu, maana hanaga tabia ya kunipigia simu hovyo na hajawai kunipigia simu usiku.
Kabla sijapokea niliwaza huenda amezidiwa huko hivyo anahitaji msaada wangu wa haraka sana. Niliipokea ile simu na nikaweka simu sikioni ili kusikia ana shida gani.
“Hello Jane habari yako?”
Muda huu nilikuwa nasikia sauti ya mtu ambaye kama amelia sana amechoka.
“Insider Mzee Pama amefariki leo jioni”
“What? amefariki? mbona sikuelewi Jane….”
Na jane alianza kulia sana muda huu, Mimi mwenyewe nilijikuta naanza kukosa nguvu maana nilikuwa naona kama ndoto hivi.
ITAENDELEA.
Mh?Tukutane 22:00 next episode ila kama una machozi ya Jirani usiisome[emoji24]
Tukutane 22:00 next episode ila kama una machozi ya Jirani usiisome[emoji24]