Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Imeishia penye ugonvi[emoji28]
 
Watu wamekushtukia. Unadanganya sana. Wewe kila msichana uliyekutana naye alikuwa mzuri sana , ana pesa na anakutaka. Kila msichana. Inafikia hatua watu wanaona hizi kamba. Na unasoma wasomaji maoni yao kisha una twist story namna ya kufanya wafurahie. Unakoelekea kuna demu utagonga maana wasomaji wengi wanataka ufanye hivyo au utaamua kuwapa ushindi wale wanaosema jamaa una msimamo.
 
Oya ujuaji wako toa hapa kwenye huu uzi, hizo unazosema unnecessary incidents ndio story yenyewe, we kama umeona ni unnecessary ni bora kukaa kimya na kutoendelea kusoma story
Simple tu kama kunywa maji bro.
We mchepuko wa mwandishi? Mbona umepaniki hivi? Acheni watu watoe maoni yao. Wewe ulipakizwa nawe kwenye uber?
 
Hapa umetumia ID nyingine bila kujua ukiwa una comment kwenye uzi wako mwenyewe. Inabidi uwe makini unapokuwa na IDs nyingi.
 
Hv mnasoma stori vzuri au mnakurupukua tu kuchangia binafsi sijaona kila mwwnamke kumtaka zaidi ya yule aliyesahau simu (nyinyi ndio wale jibu kweli au sikweli unajibu hpana na kwnye kweli unajbu ndio)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…