Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Am I missing some parts?

Nakumbuka kuna kipande cha mdada alichukuliwa wapi sijui, akapanda na kumuamuru Insider afate ramani.

Insider akaenda akarudi akakuta bumubda lipo nje. Akachukua mkono na kulishika, hivi iliishia pale pale pasipo muendelezo? Au iliishia pale pale.

Naomba mtu ani-tag muendelezo tafashali. Natanguliza Shukrani.
 
Aliacha baadae
Akamfikisha
 

Ulipomaliza saivi namimi ndo umenikumbusha sijamcheki mama watoto na nilimwambia asubiri nitampigia badae na niko safari[emoji3]
 
😂 😂 😂 Hapo si kutwanga maji kwenye kinu asee
 
Madereva taxi za mitandaon wanakutana na pisi kali sanaa, enzi napiga bolt kuna pisi nilipakiaga tabata barakuda aisee yule bint rangi chocolate ni mzuri sijaonaa utadhani jini!

Af kuna binam yangu wa kike pisi kali moja matata inakaa k'nyama kwny appartment na kazi yake haielewekagi nahis itakua inatoa huduma ya thai massage asee sema jina lake herufi tofauti.. mmh slay queen ameweza 🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…