Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Majeshi yameanza kurudi kambini😂😂😂 nasema hivi iryn hunabahati
 
Ndio maana Kuna baadhi ya raia wanasema huku anatunywesha chai[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
"Na Iryn alianza kuondoka na mimi nilimshika mkono nikamvuta kwangu nikamkumbatia, na palepale alinivuta tukaanza kunyonyana mate, ni gari iliyotuharibia pozi muda huu maana ilitumulika na ilikuwa ikija usawa wetu.

Iryn hakuongea chochote bali aliondoka kwa haraka na mimi niliingia kwenye gari nikaondoka maeneo haya".

Wazee wa kula tunda kimasihara njoeni muone vile jamaa alivyopaisha Mpila wakati Kipa katoka na goli lipo wazi.
 
Hadi kufikia hapa Iryne hachomoi tena atafunguka yote ya moyoni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] Inaonekana prisca anaangalia sana movie kama sio wakorea basi wamarekani sasa zile drama zao anazileta kwenye real life[emoji1787][emoji119][emoji174]
Maono ya bi mkubwa yanaenda kutimia penzi lao linaelekea mwisho kwa usimamizi wa Mary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…