Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hii fedback nimeipenda sana kuna mambo mengi yakujifunza
Hongera chief
Haulipozi ubaya kwa ubaya, ama hakika wema ni akiba,
Ubaya nifunzo
 
NIce story with poor ending; I tried to correct you early but I was attacked by jf idiots.
How could you be incarcerated still you have access to the internet?
IDIOTS MWENYEWE MPUMBAVU WEWE KUANDIKA KINGEREZA NDIO UNAJIDAI MJUAJI, ACHA UJINGA KAUNG'ENG'E KAKO KAKISHENZI NA KEJELI. KULA CHUMA HIKI "PUMBAVUUU"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ume ni inspire Sana. INSIDER MAN mm kama mwanamke, mkeo mtendee wema, move zako zote na wanawake, unawatamani Sana. Kwangu mie nahisi iryin ulimla siku ile, kwanza ulisema alikiwa high. Lkn pia..kitendo Cha kula bia, usiku ule. Na bf wa iryin aliondoka, and was as if iryin ali mind flan bf wake kusepa. Alivyokutaka muendeleze bia. Ilikuwa hasira na bf wake,wanawake tunatabia.....Mimi irylin siku hiyo nilikiwa tayar kulala na bf angu....wewe ulikuwa around.

The same incident happened Kwa yule shoga angu wa chuo(mwanasheria mtarajiwa) ndio iliyohappen Kwa irylin.

Ni maoni yangu tuuu
 
Avatar Yako tu Mkuu
 
Ongezea alikuwa INTERN WA TAESA.

Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
 
Ila million 24 kwa mwaka inaleta ukakasi

Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
 
Chuma chumani asante mwamba unakomaa kiume sana.

Ungekuwa unavua chupi au hauko smart usingefika ulipo, basi mi naona kama ni kuvua chupi ingekuwa ni mimi ningepiga pisi baadhi ila si type ya kina Iryn maana hakawii kukufukuza kazi.
Ni bora nichape mama wawili tu maisha yaende ila uzuri ni kuwa hata mi binafsi nikishaoa huwa sifikirii nje.
 
Insider hii umeruka sehemu muhimu Sanaa, kuhusu Shangazi yako kukutafuta. Maana alikusingizia na kukuona Fala. Ungetupa hii sehem aliwezaje kuongea na wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…