Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

yaani limewakatiza utamu ilitakiwa Insider apite hata lita mbili hadi Iryn alowe chapachapa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kiuhalisia by connecting the dots inaonekana ndoa ya mzee baba na mama J ilishakufa. Tusubiri nani aliivunja kati ya Prisca na Iryn. Ila maneno ya mama kwenye tafsiri ya ndoto yalitimia.

Kwa sasa acha nibaki naisoma kama story zingine.
Alishakiri mwenyewe Ndoa ilikufa
 
Mkuu INSIDER MAN kama itakupendeza weka shindano la kuotea mwisho wenu wewe na IRYN utaishiaje
atakayepatia mwisho wa story utamuonesha picha ya IRYN.
Mm kama mwanafunzi wa masters ya Vietnam naguess hakuna maajabu yatakayotokea baina ya Bwana Insider man na Iryn......

Japo winga ( Iryn na lucy) wanajaribu sanA tena sanA kupiga krosi,kupiga mipira iliokufana penetration pass KWA bwana INSIDER MAN anashindwa kumalizia japo goli lipo wazii ni kupaisha tu
 
Jana nilikuwa napitia chats zangu na DULLAH ndo nikakuta na hiki,




Hapo Uber walikuwa wamefunga ofisi nakomaa na Bolt na mpaka kufika muda huo wa saa 1 usiku nilikuwa na 16,000 tu. Hapo fikiria hiyo pesa unafanyia bajeti gani?

Biashara ilikuwa ngumu sana, baada ya Iryn kunipa mkataba wa 2M ndo nikawa naifanya weekend tu.

Nilipitia msoto sana mpaka kuja kukaa kwenye mirija ya Asali, watu wanavyosoma story wanaona kila kitu kilikuwa easy kwangu. Hata Iryn mpaka kuja kukaa kwenye mfumo wangu ilichukua muda ni vile sikutaka kuandika kila kitu.
 
Hadithi unayoisoma kwa dakika 10, kuna mtu ameiishi kwa mwaka mzima miaka 6, wakati flani mtu hapati uhalisia wa matukio na ugumu mtu anaopitia

Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
 
Kwani wewe kuna mtu kakulazimisha kuandika ujinga mtu usiingilie kitu hujui so nisemwe vibaya nikae kimya . Kisa ni mtu wako au?? Hii jf kama hujasoma vizuri imeandika ni sehemu huru
Sijui Nani alikutonya kuhusu kuwepo kwa jamii forum manake amelikosea platform hi Sana imagine na wew Ni great thinker[emoji2957]
 
Ni watu tofauti asee hata uandishi wao unatofautiana sema huwez kujua kwa haraka kwakuwa wote ni waandishi wazuri
 
Surprise kama hizi mkuu INSIDER ni nzuri
nikajua ndio bwana mwandishi kumbe weye shoga angu mweeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…