The Hebrew
JF-Expert Member
- Feb 7, 2015
- 348
- 445
Thanks broda. Usisahau kuna mchele 10kg kutoka kwa mdau.EPISODE 60
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN.”
“Mke wangu unamuita m*laya, mama watoto wangu?”
Nilipatwa na hasira na niliishia kumchapa vibao viwili vya nguvu na alianza kulia pale,
CONTINUE
WARNING, PARENTAL ADVISORY EXPLICIT CONTENT
Nilimuacha Prisca pale seblen akilia na mimi nilikwenda chumbani hata hamu ya kula ilikata palepale na muda huu Iryn alinipigia simu na mimi sikutaka kupokea simu yake maana alipiga simu muda mbaya. Baada ya kuona sipokei simu yake alinitext, na text yake ilisomeka,
“Insider have a goodnight I just wanted to know if you reached home safely, byee!.”
Na mimi baada ya kuusoma ujumbe wake niliweka simu pembeni, na baada ya dakika chache Prisca alikuja chumbani akaanza kuongea tena,
“Insider wewe ndo wakunipiga mimi hivi?”
“Tena ukiendelea na mdomo wako nitakupiga tena sasa hivi.”
“Huyo malaya wako anakupa kiburi sindio? Mpaka unaniona mimi sifai tena kwako.”
“Huyo unayemuita malaya ni kipi ambacho unamzidi? Hufikii hata theluthi ya uzuri wake na amekuzidi kwa kila kitu mpaka akili.”
“Eti what? Are you insane? Kwanza sijawahi kupigwa na mwanaume yoyote kwenye maisha yangu hata Baba yangu hajawai kunifanyia unyama kama huu.”
“Tena ukiendelea na mdomo ntakuchapa vibao vingine sitaki kelele zako.”
Hapa ni kama nilikuwa nimefungulia radio, kelele zikaanza tena kwa upande wangu uvumilivu ulinishinda nikamchapa kibao kingine cha nguvu “Paah”.
Prisca naye kwa upande wake ni kama alianza kupandwa na hasira akachukua mto akaanza kunipiga nao na mimi nikawa nimembana kwenye mikono yangu kwa nguvu, kutokana na zile purukushani palepale tukaanza romance, tulijikuta tushaanza kubadilisha lita za mate tena zenye ujazo. Na alikuwa amevaa kigauni kifupi na ile kupenyeza mikono yangu nakuta mtu hana hata pichu nikaanza kuyakanda m*kalio yake, na muda huu Prisca alikuwa kaanza kupapasa mtwangio. Na mimi hata sikujali kwanza hata akili za kusema yuko kwenye dozi nilikuwa sina muda huu, bali nilimuinamisha na nikachomeka mtwangio ndani na nilikuwa na hit from the back baadae nikamweka “Shepherd style” na hapa ndo kelele zilizidi, sio za maumivu bali ni miguno ya utamu. Kwa upande mwingine hata mimi nilikuwa na upwiru maana nilikuwa nakwenda week 3 bila kuonja utamu wa apple. Baada ya kumaliza game kila mtu alikuwa hoi na tuliishia kulala pale kitandani maana ilikuwa ni match ya half time tu.
Ile asubuhi niliamshwa na simu ya mama na baada ya kuipokea alikuwa anulizia kuhusu maendeleo ya Prisca na baada ya hapo alinisisitiza sana kwasasa ndo muda muhafaka wa kukaa naye chini na kumwambia ukweli.
Niliingia bafuni kuoga na nilijiandaa kwa haraka ili nikamchukue mama wa2 nimpeleke ofisini. Wakati niko Posta nilimtumia Prisca ujumbe kwamba akiwa sawa anitafute tuongee kwaajili ya kuyaweka haya mambo sawa.
Hii siku nilikuwa na kazi na dada agent wa mizigo na tulikwenda TRA pale customs kwaajili kubargain masuala ya kodi, kama nilivyosema before tulikuwa tunabanana na dada kuhakikisha tunakula wote, tena kipindi hiki nilikuwa nashida sana na pesa.
Mchana wakati bado niko Posta Manuel alinipigia simu kupitia whatsapp na kubwa alisema jumapili anakuja Tanzania na kwasasa yuko Ethiopia. Tuliagana pale na mimi kwa upande wangu nilifurahi sana kuzisikia taarifa hizi za kurudi kwake (May alirudi lakini hakukaa sana ndomana sikuandika).
Baada ya kumalizana na TRA na kupewa control number niliamua kuondoka kule Posta ili nikaonane na Iryn, nimpe control No. ili afanye malipo. Kwa upande mwingine toka anipe zile zawadi nilikuwa sijaziangalia bado na wakati niko njiani niliamua kupark gari pale kituoni “Palm Beach Casino” ili niangalie kuna nini. Ule mfuko ulikuwa seat za nyuma hivyo niliuvuta na nikafungua na kutoa zawadi za mle ndani na kulikuwa na prova, T-shirts, saa, sandals, jeans 2 na perfume ilikuwa ikinukia vizuri sana.
Nilichukua simu yangu na nikampigia simu Iryn muda huu na haikuchukua sekunde nyingi alipokea pale na tukaanza kuongea,
“Hii Bossy Unaendeleaje.”
“Kinda cool, ndo umeona unipigie now?.”
“Sorry I was busy.”
“You are always busy.”
“It’s lunch time umekula mummy?”
“Not yet, how about you?”
“Bado pia, nakuja kukupitia soon ili tukale pale Golden fork, napitia kwanza kwa Lucy kuna mzigo nampelekea.”
“No need ya kuja wewe ukianza kutoka kwa Lucy nitext mimi nitarequest boda ya kunileta.”
Baada ya kuwasili kwa Lucy nilimpa mzigo wake na niliamua kutoka naye kupata lunch maana alisema bado hajala. Tuliondoka na Lucy pale ofisini na baada ya kuwasili Golden fork tulimkuta Iryn kafika tayari.
Kila mtu aliagiza chakula anachotaka na muda huu tulikuwa tukipiga sana story wote kwa pamoja. Kwa upande mwingine kila mtu alikuwa anafuraha na tulikuwa tukicheka sana, maana Lucy alikuwa anafanya utani.
LUCY: “You guys mnaendana sana na niseme mmependezana sana kama Mr & Mrs.”
Lucy alikuwa anagongelea msumali kwa nyundo na Iryn alionekana kuwa ma furaha hata Lucy naye alifurahi sana kutuona mimi na Iryn tukiwa tumepatana. Lucy alikuwa anaamini kama nitafanikiwa kumuweka Iryn karibu bhasi na yeye maisha yake yatakuwa mazuri.
Baada ya kupata lunch pale tuliendelea kuongea pale kwa nusu saa, kwa upande mwingine nilimshukuru Iryn kwa zile zawadi alizonipa jana usiku. Na mimi Ilibidi niwaage pale maana nilitakiwa kupeleka mzigo Masaki na wao walikwenda Salon.
Niliondoka pale restaurant nikiwa na furaha sana na muda huu wakati niko njiani nilikuwa nawaza mambo mengi sana, kwanza niliona ni bora niwe na mchepuko kama Iryn ambaye anajitambua, lakini kwa upande mwingine nilikuwa nawaza Iryn atanikubalia kama nitamtongoza?, ofcourse nilikuwa Dilemma na nilikosa majibu.
Niliwasili pale Masaki na kama kawaida nilimkuta Sumaiya pale na tulianza kupiga story na mimi baada ya kumpa mzigo niliamua kwenda kuonana na jamaa anaye uza mbwa.
Huyu jamaa ni mzungu na nilifahamiana naye kupitia kwa Muajemi na alikuwa anakaa Msasani Bonde la Mpunga. Tulikuwa na mawasiliano tayari na alinitumia location nikafika mpaka pale kwake.
Baada ya kuwasili pale tulikwenda kwenye mabanda ya mbwa na alikuwa kaniandalia mbwa wawili (2) ambao ni Rottweiler na Shepherd na baada ya kuwaona niliwapenda sana, maana walikuwa wakubwa na wanaafya balaa.
“Man hawa mbwa ni mbegu nzuri purebred kama unavyowaona hapo, kwa huyu Germany Rottweiler utalipia million 2 na huyu Shepherd utalipia milioni moja na nusu.”
“Bro! punguza bwana mbona unauza gharama hivi? Mimi kwa wote nalipia million 2 na nusu.”
“Bro! huyu Rottweiler sipunguzi hata kidogo wewe si unamwona? hii mbegu kwa Tanzania ni adimu na ghali, kwa huyu shepherd hata wewe si unamwona? huyu nitakutolea laki 2, kwanza hata wewe unawaona mbwa walivyo wazuri?”
“Kweli bro! Sasa tufanye kitu kimoja mimi nalipia million 3 ndo pesa niliyonayo nitakuja kununua wengine soon.”
“Man bhasi nikupe Rottweiler mwingine kwa million moja na nusu, lakini sio huyu.”
Baada ya kusumbuana sana tulifikia bei ya 3,200,000/= kwa mbwa wote wa2 na alisema nikawachukue kesho. Kwa upande mwingine alinishauri nichukue Rottweiler dume na Shepherd awe jike ili wasipigane hapo baadae.
Nilifanya malipo na mimi niliondoka maeneo yale ya Msasani na nilikwenda moja kwa moja mpaka home maana nilikuwa nina miadi na fundi wa kufunga dish. Usiku Lucy alinipigia simu na kubwa alionekana kufurahi sana kwa tukio la leo na alinisisitiza sana nifanye kweli before It’s too late.
Ijumaa asubuhi Iryn alinitumia ujumbe na ulisema leo tutaendelea na ratiba zetu za usiku kama kawaida na tutakwenda sehemu 3, pia alinisisitiza sana kuwa ontime. Kwa upande wangu sikupenda kuzisikia hizi taarifa lakini sikuwa na nguvu ya kuongea chochote kwa Bossy.
Mchana Nilikwenda Msasani kufata Mbwa na baada ya kuonana na jamaa alinikabidhi mbwa na niliondoka kwenda Mbweni kwa Jane. Ilibidi nipitie kwanza supermarket kuwanunulia chakula chao lishe na vitamin za kuwachanganyia na nilipitia buchani nikanunua nyama ndo nikaendelea na safari yangu.
Baada ya kuwasili pale Mbweni nilifungua geti nikaingia ndani, niliwatoa mbwa kwa gari na nikawaacha waendelee kuzurura pale uwanjani.
Jane naye alitoka muda huu maana alikuwa na shauku kubwa sana ya kuwaona mbwa na baada ya kuwaona aliishia kufurahi sana kwani walikuwa ni wazuri Kwelikweli.
“Shem hawa mbwa ni wazuri sana, huyu anaonekana mtundu sana (Shepherd).”
“Nimetumia jumla Tshs 3,400,000/= pamoja na kununua chakula na hiyo mikanda.”
“Usijali nitakurudishia pesa yako, Ahsante sana shem kwenye mafunzo utakuwa unawapeleka mwenyewe.”
“Hilo usijali itabidi uchague wapewe mafunzo gani lakini mpaka sasa wana mafunzo si unaona ukisema come wanakuja.”
“Yaani! Wana uzungu mwingi.”
“Hapo wakikua una uhakika wa Ulinzi hakuna Kibaka atakaye katiza humu ndani.”
Nilikwenda kuangalia banda la mbwa kama lipo katika mazingira mazuri na baada ya kuridhika na mazingira yake ilibidi niende jikoni kuwapikia soup.
Wakati niko jikoni Vicky naye alikuja na akawa ananisaidia kukata nyama pale,
“Shem na mimi itabidi unifundishe jinsi ya kuwapikia.”
“Hilo tu hata usijali vipi kuna lingine?”
“Ndio kesho utanipeleka nikafanye shopping.”
Na muda huu Jane alikuja jikoni na ilibidi nimpe maelezo ya kuwalisha mbwa maana ni wadogo hivyo walihitaji kula mara kwa mara, na yeye kwa upande wake alisema itabidi nikawanunulie fridge la kuwekea chakula chao.
Niliondoka pale saa 12 jioni na nilikwenda moja kwa moja mpaka kawe kwa Iryn, sikutaka kuingia ndani kwake na nilimpigia simu kumjulisha nimefika. Kwa upande wangu sikufurahishwa na huu uamuzi wa Iryn wa kurudi kwenye hii biashara na baada ya kuingia kwenye gari nilianza kuongea naye.
“Mummy what happened? Ulisema utaachana na hii kazi.”
“I told you nitadeal na wateja wa App tu ambao ni easy kuwa handle, nakosa pesa mingi sana lets go na tunaanza na Hyatt then tunamalizia na Serena.”
Niliamua kuwa mpole na tukaanza safari ya kwenda Posta na ndani ya dakika 30 tuliwasili Hyatt na kama kawaida aliniacha Restaurant na mimi niliendelea kukimbiza chupa za heineken taratibu. Wakati naendelea kukimbiza chupa kuna couple ilikuja na ikakaa mbele yangu, dada alinisalimia lakini jamaa alionesha dharau, sijui alinichukuliaje na mimi huwa sipendi dharau, Waliendelea kuoneshana mapenzi yao na mimi nilikuwa busy na chupa zangu.
Baada ya lisaa Iryn alitoka na alivyofika pale alikaa na akasema tuagize chakula, kwa upande wake alitambua mimi sikupendezwa na maamuzi yake na alikuwa kama ananibembeleza pale. Baada ya kupata chakula tuliondoka kwenda Serena Hotel na baada ya kuwasili pale, yeye alikwenda ndani na mimi nilikwenda restaurant kupoteza muda na baada ya lisaa alitoka, tukaondoka kurudi home.
Baada ya kuwasili kwake nilimshusha na mimi nikaondoka na alinambia kesho ambayo Jumamosi niwahi kwenda kumfuata, kwa upande mwingine sikuwa na story naye kabisa hii siku.
******
Jumamosi asubuhi mapema Vicky alinipigia simu na alikuwa anakumbushia suala lake la kwenda shopping kununua nguo na mimi nilimwambia achukue Bolt mpaka Rainbow Mbezi Beach tukutane pale.
Baada ya masaa 2 tulikutana pale na tulianza safari ya kwenda Sinza,
“Shem dada amesema tununue na fridge dogo la kuwekea mbwa chakula chao.”
“Niite jina langu shem ni kwa Jane tu, kama tunanunua na fridge itabidi twende Kariakoo tukitoka Sinza.”
Baada ya kuwasili Sinza tulitumia kama lisaa kufanya shopping na tuliondoka kwenda Kariakoo. Kwa upande wa Kariakoo tulitumia kama masaa 2, then tulikwenda Uhuru kununua fridge na tukaanza safari ya kurudi Mbweni. Wakati tuko njiani tuliamua kupitia mgahawa mmoja upo Posta karibu na BoT ndo tulipata lunch pale na baada ya hapo tuliendelea na safari yetu.
Barabarani tulikuwa tunapiga story na Vicky, kubwa alikuwa anataka kujua mahusiano yangu na Mary maana sio kwa ule ukaribu wa kipindi kile cha msiba, yeye alikuwa ana amini sisi ni wapenzi.
“Insider wewe na Mary ni wapenzi?”
“Hamna ni mshikaji tu kama wewe hivi.”
“Sawa pia nimechoka kukaa home hata siku moja uwe unanitoa out weekend.”
“Hahahah utaweza mikiki ya out kwa weekend?”
“Yeah, nimemiss kutoka out na sina kampani mpaka chuo kifungue, hata leo nahamu sana ya kutoka out.”
“Leo ngumu labda next week.”
“Sawa haina shida.”
Baada ya kuwasili pale kwao ilikuwa ni jioni tayari na baada ya kushuka kwa gari tulisaidiana na Vicky kutoa fridge na kulipeleka Jikoni na tulitumia mlango wa mbele upande wa jikoni.
Kwa upande mwingine Mary alikuwa pale kwa Jane na baada ya kwenda seblen niliishia kugongana naye macho maana sikutegemea ningemkuta maeneo haya, ilikuwa ni kama surprise kwangu. Na mimi baada ya kumuona sikutaka hata kumsalimia maana aliongea shit ile siku usiku hivyo nikamkaushia na niliishia kumsalimia mama Jane tu.
Sikutaka kukaa seblen na nilitoka nje kwenda kuangalia maendeleo ya mbwa na baada ya kuridhika na mazingira yake nilimuaga Vicky pale jikoni na niliamua kuondoka ili niwahi kwenda home. Sasa wakati nataka kufungua mlango wa gari nilisikia Mary akiniita “Insider…..”, na mimi niligeuka ili nimsikilize anasemaje na yeye alikuja mpaka usawa wangu.
“Insider sorry for that night nilikuwa na hasira sana baada ya kupata zile taarifa.”
“Ok mimi nimekusamehe una lingine zaidi ya hili?.”
“Yes, ni nini kinachoendelea kati yako na Prisca?”
“Wewe si umemwambia mimi na mke tena unauliza kinachoendelea?”
“Hapana mimi sijaongea chochote na Prisca ila juzi karudi home akanambia umempiga na yeye hajasema chochote kuhusu hili.”
Na mimi muda huu nilijua Mary kajua suala la mke kupitia Jane.
“Ok Mary mimi nafikiri kaa chini na mdogo wako mbane vizuri atakwambia kila kitu na yeye ndo aliyechagua haya wala sikumlazimisha.”
Na muda huu Vicky alitoka pale nje kibarazani na akawa anatuangalia, jinsi tulivyokuwa pale na Mary ungesema sisi ni wapenzi, na mimi sikutaka kupoteza muda nilimuaga Mary nikaondoka maeneo haya.
Saa 1 usiku mapema nilikuwa nimewasili kwa Iryn lakini hii siku niliamua kuingia ndani kwake na nilikwenda moja kwa moja mpaka jikoni, nilifungua fridge nikakuta kuna Moet nikaenda nayo seblen na nikaanza ipeleka taratibu.
Baada ya dakika 20’ Iryn alitoka na alikuwa kapendeza sana,
“Insider kumbe upo hapa na hujanambia kama umefika, leo tunakwenda Seacliff baada ya hapo tutakwenda kupoteza muda sehemu, do you mind?”
“Ukitaka hata leo tulale wote mimi sijali.”
Na muda huu mawazo ya ngono yalianza kutawala ubongo wangu kwa kasi sana.
Tuliwasili Seacliff hotel na yeye aliingia ndani na mimi nikikwenda kupiga story na jamaa zangu wamasai, kama kawaida niliwapa offa ya msosi na story ziliendelea,
“Elias yuko wapi simwoni hapa.”
“Jamaa ameona hapa hamna ishu yuko Wavuvi hapo ukienda ukamuulizia utampata.”
“Wavuvi pazuri? Sijawahi kwenda.”
“Hatari Tajiri kule chupi nje nje.”
Wamasai wa pale Seacliff ni washikaji zangu sana nikipitaga maeneo yale lazima niwasalimie maana kipindi cha Uber wakati nasubiri request nilikuwa napiga nao story sana.
Mida ya saa 3 Iryn alinipigia simu na alinambia niende Karambezi cafe tukale, na mimi baada ya kuwasili pale nilimkuta na jamaa ambaye ni mzungu na tulisalimiana.
Iryn alinitambulisha kwa jamaa mimi ni kama Manager wa kampuni yake na huwa namsaidia masuala ya usafiri kama leo, pia alimtambulisha jamaa kama ni mteja wake wa muda mrefu.
Baada ya utambulisho tuliendelea kupiga story huku tukisubiri chakula na baada ya dakika 20 jamaa alituaga pale na sisi tulikuwa bado tunaendelea kula,
“Insider tunakwenda wapi?”
“Tutakwenda Wavuvi kempu ipo Cocobeach, nimeambiwa ni pazuri sana.”
“Leo tutadance wote sawa?”
“Sawa haina shida tena na hamu sana ya kuchezea kiuno chako, pia leo nitalala na wewe kwako.”
“Mhh mama J ana hizi taarifa?”
“Hayupo ndomana nakwambia hivyo, nimechoka kulala alone, leo nataka kulala na wewe, kama hutaki bhasi nitarudi kwangu.”
“Mhh sawa haina shida kama ni hivyo.”
Baada ya kumaliza kula tulitoka na wakati tunaelekea kwa parking Iryn alikuwa analalamika sana,
“Insider na wewe kwanini unapark gari mbali hivi? si uwe unaingiza ndani?”
“Sikujua kama utakwenda Karambezi hata hivyo humu ndani wanacharge si bora gari ikae nje tu huku.”
Tuliondoka maeneo yale na break yetu ilikuwa pale Wavuvi Kempu, wakati naingiza gari Masai alikuwa kasogea tayari kunipa direction na ilibidi nimuulize kama anamjua Elias.
“Tajiri unamjua Elias anaongea ngeli.”
“Kama ndo yule acha nikuitie we park gari hapa mimi nakuja naye.”
Mara ya mwisho kuonana na Elias alinambia anatarajia kupata mtoto mwezi wa 7 hivyo nilitamani sana kumpa chochote maana huwa ananisaidia mambo mengi sana, mpaka sasa.
Wakati tunashuka kwenye gari niliwaona wanakuja na Elias, alivyoniona alifurahi sana,
“Tajiri umeadimika sana.”
“Namba yangu si unayo? kwanini hukunicheki siku ile?”
“Tajiri waliniibia simu huwezi amini.”
“Pole sana vipi ulifanikiwa kupata mtoto gani?”
“Tajiri nina mtoto wa kike.”
Na alitoa simu akaanza kunionesha picha pale na muda huu Iryn naye alisogea kuangalia. Elias ndo Mmasai pekee ambaye nilikuwa namwona ana smartphone na anajua ngeli balaa.
“Tajiri hongera sana mtoto ni mzuri kwakweli.”
“Tajiri hata wewe una kisu kikali hivi? Unajua kuchagua huyu dada ni mrembo sana.”
Na muda huu Iryn ilibidi atabasam tu maana kila mtu tunayekutana tukiwa wote lazima wamsifie, kwa upande wa wamasai nadhani mnawajua walivyo na hawanaga aibu kabisa wakiwa wanaongea.
“Tajiri leo nitakupa pesa ya mtoto ukamnunulie na nguo kabisa.”
“Tajiri nitashukuru sana maana hunipi madili kama zamani.”
“Hupatikani kwa simu tatizo sasa leo utanipa namba yako na utachukua yangu.”
Nilitoa laki 2 nikampa na Iryn naye akampa laki 3 ni kama aliguswa na lile tukio la Masai kupata mtoto, hivyo jumla alikuwa na laki 5. Kwa upande wake Elias aliishia kufurahi sana muda huu ni ile tunasema unamka maskini unalala ukiwa tajiri.
Kwa ufupi, Elias alikuwa ananisaidia sana kuwapata M*laya na kuwaunganisha kwa foreigners, kutokana na ucheshi wake ana list ya b*tches wengi sana mpaka wazungu. Ndomana sikushangaa mara ya kwanza kuona anamiliki smartphone.
Kwa dereva wa Uber haya mambo sidhani kama kwake ni mageni maana kuna foreigners wanatakaga wanawake wa kuwala, sasa kama una connection za Pisi kila akija nchini lazima akutafute. Kwa upande wangu nilikuwaga namcheki Elias ananichagulia kazi nzuri afu naipeleka kwa mhusika na hanaga kazi mbovu Pesa yako tu.
Baada ya kuingia ndani kulikuwa kama kumejaa na muda huu Mafisi macho yao yalikuwa kwa Iryn maana alikuwa akivutia. Nilipiga macho vizuri nikamwona baunsa aliyenisaidia kipindi kile kule Samakisamaki. Nilikwenda usawa wake na nilikuwa nimeongozana na Iryn, kwa upande wake alitutambua na yeye alianza kusogea na tukakutana. Tulisalimiana pale na nilimuomba atuchekie sehem nzuri ya kukaa afu tutampoza na jamaa alisema ndani ya dakika 3 atakuwa amepata sehem na sisi tulisogea pembeni.
Baada ya dakika 5 jamaa alitu direct mpaka sehemu ya kukaa na mimi nilimwambia asiwe anacheza mbali kwaajili ya ulinzi wetu,
“Bro! huyu ni My Queen naomba uwe karibu sana asiwepo wa kumgusa wala kumsumbua”
“Kaka hongera sana kwanza una pisi kali sana, hapa umefika hakuna wa kuwasumbua.”
Muda huu dada alikuja na tukaagiza Moet 2, na wakati tunasubiri vinywaji tulikuwa tunapiga story na Iryn.
“Insider unafahamiana sana na watu mpaka Wamasai? Unajua kuishi na watu vizuri ndomana sishangai kuona akina Sumaiya na Lucy wakikuganda you have something special.”
“Hahaa hamna hata wewe mbona unaishi na watu vizuri, si unaona wanavyo kuheshimu?.”
“Mhh kwasababu yako sema.”
Na muda huu dada alituletea vinywaji na tukaanza kunywa pale na kila mtu alikuwa na Moet yake,
“Insider unajua nilikwenda Ufaransa kwaajili ya masuala ya kampuni, pia tumeachana na Grizmann for good.”
“From nowhere mmeamua tu kuachana na hakuna sababu yoyote?”
“Mke wake toka muda mrefu alifound out and she begged me niachane na Grizz, kwahiyo ndo hivyo.”
“Aisee so now wewe ni single.?”
“Yes I am single and ready to mingle.”
Baada ya masaa 2 alcohol kukolea aliinuka na alianza kudance na mimi sikuwa mbali kumpa kampani. Kama alivyosema tutadance wote ndo kilichotokea hii siku dadeki, yaani ilikuwa ni bampa to nampa maana mauno niliyokuwa napewa ni hatari, uno linazungushwa kwa step afu kwa madoido, alikuwa akivutia sana kumtizama akicheza.
Tulikaa pale mpaka saa7 usiku ndo tukaondoka maeneo yale na Iryn alionekana kuchoka sana muda huu. Baada ya kuwasili kwake tuliingia ndani na wakati nafunga mlango yeye alikwenda jikoni na alirudi na Moet mkononi na glass 2.
Tuliendelea kunywa pale seblen na muda huu tulikuwa tumekaa coach moja na mimi nilikuwa nimepenyeza mkono wangu wa kushoto nachezea kiuno chake taratibu, kwa upande wake alionesha kufurahia zoezi hili na hakuwa na pingamizi.
Kwa upande mwingine simu yangu ilianza kuita muda huu lakini hata sikuwa na habari nayo,
“Insider pokea simu angalia nani anakupigia usiku huu.”
Baada ya kuangalia ni nani akipiga muda huu alikuwa ni mama 2, kwanza nilishangaa maana sio kawaida yake kupiga simu usiku kama huu, hivyo ilibidi nipokee ili nijue shida ni nini.
Baada ya kuwasiliana na Mama wa2 alikuwa ananipa taarifa mtoto wake Rachel anaumwa na amelazwa Massana Hospital. Kwa upande mwingine nilijua mama wa2 anataka kampani yangu wala sio kingine. Ilibidi nimuage pale Iryn ili niende kumuona mama wa2 nijue tatizo ni nini kwani alikuwa ni kama familia kwangu na alikuwa na msaada sana kwangu, hivyo niliona ni busara nikaenda kumwona.
NEXT EPISODE
SATURDAY 20:00
Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app