cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kama ile ya kiga koyo na za umughaka zilikuwa twitterHivi tumeshakubali wote kuwa hii story ni bora zaidi kuliko yoyote ambayo ilishawahi kuandikwa hapa jamvini Jf??
SijakupataHivi huwa mnasoma kuelewa au kusoma tu???
Nawe unasikitisha..
We nawe nakuongeza kwa wenye iq ndogo.....faken kabisa!!!! jamii forums Ni jukwaa la mtu kutoa mawazo yake binafsi....Sisi tukisema hii Ni CHAI Ni CHAi kweli na fact tunatoa.......Toa na ww za kwako uache mihemko kenge wwSasa kijana unapanick kwenye uzi wa mtu utafikili umelazimishwa kusoma ata nikiamua mm kufuta kitu kwenye post yangu huna haki ya kuongea kitu chochote ko bro kaa kimya au pita kushoto mi naamini una apps nyingi kwa sim yako, au pia jf ni kubwa sana so unaeza endelea na threads nyingine. Sio kukaa unaponda kila siku make mwisho wa siku mnaonekana kama hamna cha kufanya. We jitafakari umeanza lini kusoma na mpaka leo upo unafatilia ili uone kama amepost[emoji23][emoji23][emoji23] Sema haters mnatia huruma kinyama[emoji23][emoji23]
Nilisoma ila sikuunganisha Dot,best ulisomea Quba nn?😂Hujasoma alienda Kondoa kwa Mama 😂na alisema JR ni mweupe kama yeye ukiacha weupe wa Mama Jr mchaga 😂
Sio siri nimeinuka upya ni kama nilichoka kupambana nimenunka upya niliacha kazi kwa sababu za kifamilia..... baada ya muda nilianza kutafuta upya sipati ikabidi nijitose kwenye biashara ndogo ndogo kila siku nnavyokusoma napata mwanga mpya na kujifurahia, kweli nilikata tamaa sana asante kaka INSIDER MAN najiona kuinuka upyana kusimama tena na kuona kumbe yote yanawezekana asante tena kaka.Kuna mtu humu ndani aliandika nilikuwa sina mipango ya maisha kama kufungua biashara nk, niseme sitaki kushare personal life yangu humu ndani ila nin miradi mingi ambayo nai run.
Kitu cha kwanza niliona kwanza ni busara wife akawa na miradi yake ili kupunguza dependecy kwangu, na hizi ni project ambazo tulizijadili na wife ilikua April, 2022.
View attachment 2768463
MCHANGANUO.
1. Biashara ya kwanza ilikuwa ni butchery ambapo wife angeuza Kuku, samaki, Mayai nknk, changamoto ilikuwa kuanza ni mahitaji mengi yangehitajika kuanzia frem, ukarabati, mashine nknk so cost zilikuwa kubwa sana, tukaipiga chini.
2. Biashara ya pili ilikuwa ni kuuza nguo za watoto na tulianza kufanya Research namna ya kupata suppliers wa mizigo nknk, mizigo ni China na Uturuki lakini kwa Uturuki kwa nguo za watoto wako vizuri. Ilibidi nimcheki jamaa yangu yuko Ulaya nilishandika baada ya kutoka kwenye ile taasisi yeye alikwenda Ulaya kusoma, sasa alikuwa ana connection za huko, niliomba anisaidie kufanya Research
View attachment 2768476
Changamoto ilikuwa ni mtaji wa kuagiza mzigo mkubwa, maana mzigo mdogo ungekata sana hata faida isingeonekana. Tukashauriana tuachane nayo tutadeal nayo baadae,
3. Biashara ya 3 ndo ambayo tunaifanya mpaka sasa na inafanya vizuri na ipo chini ya mchaga wangu mama J. Masuala ya fedha ofisi ipo Mbezi Beach pamoja na biashara ya Vinywaji ila zipo maeneo tofauti. Ukirefer post zangu za nyuma nilishawai kuja humu ndani kuomba connection za kreti na chupa za soda, ilikuwa kwaajili ya hii Biashara.
4. Biashara ya 4 na 2 Wife ana mpango wa kuja kuzifanya baadae akimaliza chuo.
Kuhusu mama J sina shida naye anafanya vizuri sana na ana akili ya biashara sana, anajitegemea kifedha ukiniuliza ni lini nimempa pesa za matumizi nimesahau. Matumizi ya home anatake care mwenyewe labda mimi niwe safari ndo nitakuja na Kuku, mafuta nknk ila pesa zitoagi.
Hata leo nikifa naamini Junior hata pata shida maana mama yake ni mchacharikaji atakuwa sehemu salama.
Mimi niliamua kuwekeza Dodoma ndo mpaka sasa na project zangu huku,
Mnaomdharau Mama J wangu kwenye hii story poleni sana, namuheshimu sana huyu mwanamke, anahudumia watoto church, anasoma bado anasimamia biashara na zinakwenda vizuri.
Leo hii baada ya kutoka church wife kanambia anataka December aaagize gari yake mwenyewe, nimefurahi sana baada ya kupata hizi taarifa.
Mbona alieleza vizuri tu, wakati huo huyo prisca alikuwa anaenda kazini ambako alikuwa anafanyia field.Mkuu ndo unalitambua leo hili??
Wacha tuburudike tu[emoji16]
Ona kama hapo, alivyotupiga chenga ya Max Nzengeli[emoji23]View attachment 2768936
Na vipi kuhusu hali ya kuweweseka kwa Bwana Insider siku kadhaa baada ya kifo cha Mzee Pama[emoji16]....Usiku alikua anamuota sana na kuweweseka[emoji23]Mbona alieleza vizuri tu, wakati huo huyo prisca alikuwa anaenda kazini ambako alikuwa anafanyia field.
Mchaga hata akiwa na biashara ya genge lazima awazege gari/usafiriKuna mtu humu ndani aliandika nilikuwa sina mipango ya maisha kama kufungua biashara nk, niseme sitaki kushare personal life yangu humu ndani ila nin miradi mingi ambayo nai run.
Kitu cha kwanza niliona kwanza ni busara wife akawa na miradi yake ili kupunguza dependecy kwangu, na hizi ni project ambazo tulizijadili na wife ilikua April, 2022.
View attachment 2768463
MCHANGANUO.
1. Biashara ya kwanza ilikuwa ni butchery ambapo wife angeuza Kuku, samaki, Mayai nknk, changamoto ilikuwa kuanza ni mahitaji mengi yangehitajika kuanzia frem, ukarabati, mashine nknk so cost zilikuwa kubwa sana, tukaipiga chini.
2. Biashara ya pili ilikuwa ni kuuza nguo za watoto na tulianza kufanya Research namna ya kupata suppliers wa mizigo nknk, mizigo ni China na Uturuki lakini kwa Uturuki kwa nguo za watoto wako vizuri. Ilibidi nimcheki jamaa yangu yuko Ulaya nilishandika baada ya kutoka kwenye ile taasisi yeye alikwenda Ulaya kusoma, sasa alikuwa ana connection za huko, niliomba anisaidie kufanya Research
View attachment 2768476
Changamoto ilikuwa ni mtaji wa kuagiza mzigo mkubwa, maana mzigo mdogo ungekata sana hata faida isingeonekana. Tukashauriana tuachane nayo tutadeal nayo baadae,
3. Biashara ya 3 ndo ambayo tunaifanya mpaka sasa na inafanya vizuri na ipo chini ya mchaga wangu mama J. Masuala ya fedha ofisi ipo Mbezi Beach pamoja na biashara ya Vinywaji ila zipo maeneo tofauti. Ukirefer post zangu za nyuma nilishawai kuja humu ndani kuomba connection za kreti na chupa za soda, ilikuwa kwaajili ya hii Biashara.
4. Biashara ya 4 na 2 Wife ana mpango wa kuja kuzifanya baadae akimaliza chuo.
Kuhusu mama J sina shida naye anafanya vizuri sana na ana akili ya biashara sana, anajitegemea kifedha ukiniuliza ni lini nimempa pesa za matumizi nimesahau. Matumizi ya home anatake care mwenyewe labda mimi niwe safari ndo nitakuja na Kuku, mafuta nknk ila pesa zitoagi.
Hata leo nikifa naamini Junior hata pata shida maana mama yake ni mchacharikaji atakuwa sehemu salama.
Mimi niliamua kuwekeza Dodoma ndo mpaka sasa na project zangu huku,
Mnaomdharau Mama J wangu kwenye hii story poleni sana, namuheshimu sana huyu mwanamke, anahudumia watoto church, anasoma bado anasimamia biashara na zinakwenda vizuri.
Leo hii baada ya kutoka church wife kanambia anataka December aaagize gari yake mwenyewe, nimefurahi sana baada ya kupata hizi taarifa.
Zidisha maombi na sadaka pia......amini utainuka tu by power by forceSio siri nimeinuka upya ni kama nilichoka kupambana nimenunka upya niliacha kazi kwa sababu za kifamilia..... baada ya muda nilianza kutafuta upya sipati ikabidi nijitose kwenye biashara ndogo ndogo kila siku nnavyokusoma napata mwanga mpya na kujifurahia, kweli nilikata tamaa sana asante kaka INSIDER MAN najiona kuinuka upyana kusimama tena na kuona kumbe yote yanawezekana asante tena kaka.
Sasa ukishasema ni chai, alafu?We nawe nakuongeza kwa wenye iq ndogo.....faken kabisa!!!! jamii forums Ni jukwaa la mtu kutoa mawazo yake binafsi....Sisi tukisema hii Ni CHAI Ni CHAi kweli na fact tunatoa.......Toa na ww za kwako uache mihemko kenge ww
Tumekusikia na tumeku ignore Mzee mwenye IQ kubwa .We nawe nakuongeza kwa wenye iq ndogo.....faken kabisa!!!! jamii forums Ni jukwaa la mtu kutoa mawazo yake binafsi....Sisi tukisema hii Ni CHAI Ni CHAi kweli na fact tunatoa.......Toa na ww za kwako uache mihemko kenge ww
Hii nayo imeendaBasi nkaenda kumuomba msamaha iryn,katika kumbembeza nkajikuta namla mate huku namçhezea kiunoni.tukiwa tunaendelea iryn nkaona kalegea hajiwezi nkamnyanyua na kumpeleka kitandani,wote tukabaki kama tulivyozaliwa.ile naataka kuchomeka simu yangu ikaanza kuita kuangalia ni mzee mollel anapiga ikabidi nipokee,mzee anaomba pesa itumwe usiku huohuo ili kesho asubuhi na mapema kazi iendelee.nami sababu ni jambo la muhimu sikutaka kumuangusha mzee.nikavaa nguo na kumuaga iryn kisha nikaenda bank
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app