Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Vinuka mkojo vya chuo bhna sijui vikoje shitass hole.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3]
 
Hii story tutalipia hata telegram weka kiingilio tuifate.
 
Inaendelea......

Simu yangu ilianza kuita, kucheki alikuwa camilla binti wa mzee juma.
"mambo insider vipi utakuwa na nafasi leo jioni tukapate dinner? Alafu kuna mzigo wako kutoka kwa dady"

Niliwaambia camilla anapenda sana kudeka na uzungu mwingi, ile sauti yake tu nikashindwa hata kumkatalia.....
Baada ya kumaliza dinner camilla alinikabidhi bahasha na kuniambia "huo mzigo wako insider, dady amesema utakusaidia na kukusogeza mpaka wiki ijayo atakaporudi......nilimrudisha camilla kwao na kabla sijaondoka nikafungua ile bahasha ya A4 ndani nikakuta burungutu la elfu kumi kumi zimefungwa kwa haraka haraka nikahesabu ni kama million saba hivi mzee juma alinipa ya matumizi, nikasema hii nitaanza kumlipa mama wa2 mkopo wake.....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nmecheka kwa nguvu sana, JF ni raha mno katika sehemu zinanipa furaha na kunitoa stress ni humu.
 
Baada ya kuhesabu hela na kukuta ni milioni 7 nikaishia kufurahi sana, nikawaza nusu nikalipe mkopo kwa mama wawili na nyingine nimtumie mzee Mollel kwenye ujenzi. Baada ya kupeleka hela ile kwa mama wawili akaishia kunisifia kwa uaminifu na akaniahidi siku nikihitaji mkopo mkubwa zaidi atanichukulia. Pia kwa upande wa mzee Mollel aliishia kunisifia kwamba nipo siriazi na ujenzi na utakamilika hivi karibuni.
 
Kaka tuoe wachaga
 
Niliwaahidi ntawapostia leo jumapili saa 2200. Muda huo nikataka kupost mara simu ikaita. Lucy alikua anapiga anataka nimpeleke golden fork. Ikabidi niende kumfata kwao kimara. Tukiwa tunaenda golden fork mara muda huu simu ikaanza kuita kumbe ni jane anapiga.

Anasema mbwa wamekula pilipili pili. Ikabidi nmshushe lucy niende mbweni kwa jeni nkaone.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]binadamu wabaya sana "" hasa wabongoo tushashindikanaa tabiaa
 
[emoji3][emoji3]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nikiziona hizi I'd
Utajua ujui
akanyambasira
Mkushi w jani
MIRA01
No retreat no surrender
franckkimm

Huwa nacheka SanaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nawakumbuka wale mademu waliopo heat periodπŸ˜†πŸ˜†
Huwa hawaelewekagi wakoje, kisirani si kisirani, nyege si nyege, hasira sio hasira, hamu sio hamu🀣🀣yaani hawaelewekagi wanautaka au hawautaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…