Yaani kaka ana nyota ya kupewa hela hadi nikisoma story najiona kama nina gundu vile maana hakuna hata anayenipa buku hata kuuliza maisha yanaendeleaje....mwenye connection ya kupata mfedha fedha tukaogee jamaniInsider alioshewa mfedha fedha utotoni anabahati ya kupewa hela tu hamuwezi kuelewa wengine [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Connection zake na pia yupo kwenye system mkuu....system yaani kiongozi wa chama na serikali kama chifu godluvYaani kaka ana nyota ya kupewa hela hadi nikisoma story najiona kama nina gundu vile maana hakuna hata anayenipa buku hata kuuliza maisha yanaendeleaje....mwenye connection ya kupata mfedha fedha tukaogee jamani
Jamaa kupiga tu 10m kwa kupewa tu kawaidaConnection zake na pia yupo kwenye system mkuu....system yaani kiongozi wa chama na serikali kama chifu godluv
Katoa boko kama ka chief godlove na mambaoHehehe sema mwamba anastahili kombe lake kaenda mpaka episodes 50s' bila kustukiwa kama anatumia chumvi ya mawe. Episode iliyopita ndio imevunja kijiwe
Anaishi kama yupo peponi ingawa nyuma alikuwa wa kawaida toka akae kwa uncle mpaka kuuza mabegi, mpaka kupata kazi, na mpaka kufungua workshop yake gerezani, mpaka kununua ist, na mpaka kukutana na iryn na mzee pama hapo ndio nyota ikang'ara bila kumsahau muhajemi.Jamaa kupiga tu 10m kwa kupewa tu kawaida
Noma sana.Katoa boko kama ka chief godlove na mambao
Ila ni kweli kabisa, katika maisha connection na circle yako ( watu wanaokuzunguka) ndio itadetermine maisha yako. Sasa kama circle yako wote apeche alolo maisha kama ya Insider tutayasikia bombani.Connection zake na pia yupo kwenye system mkuu....system yaani kiongozi wa chama na serikali kama chifu godluv
hahaha nimecheka kisenge, Maguire ni mwendo wa maboko tu.
Inaendelea......
Nikaona iryn anaiunia vizuri kiuno na mimi bila hiyana nikamvua bikini yake, sikuamini nilichokiona mbele yangu iryn alikuwa kama alivyozaliwa bila kuchelewa nikampanua vizuri mapaja yake na kushika mashine yangu ili nianze kumpelekea moto gafla nikasikia mbwa wanalia sana nje nikavaa suruali yangu na kwenda kuangalia kuna shida gani, wakati narudi nikamkuta iryn ameshavaa nguo zake huku amefura kwa hasira, sikutaka kumuongelesha kwa kuhofia kumuuzi zaidi nikachukua funguo ya gari na kwenda kwangu kulala.
ITAENDELEA.
Baada ya kuhesabu hela na kukuta ni milioni 7 nikaishia kufurahi sana, nikawaza nusu nikalipe mkopo kwa mama wawili na nyingine nimtumie mzee Mollel kwenye ujenzi. Baada ya kupeleka hela ile kwa mama wawili akaishia kunisifia kwa uaminifu na akaniahidi siku nikihitaji mkopo mkubwa zaidi atanichukulia. Pia kwa upande wa mzee Mollel aliishia kunisifia kwamba nipo siriazi na ujenzi na utakamilika hivi karibuni.
CHAI INAKUUNGUZA MAKALIO ACHANA NAYO ITAPENYA KWENYE TUNDU HILOO, SASAA KWANINI UNAENDELEA KUFUNUA BIRIKA ILHALI UNAJUA ITAKUUNGUZA KWENYE TUNDU? NA IQ KUBWA YAKO ILA HUTUMII AKILI KUJIOKOA MAPEMA ILI CHAI ISIPENYE HAPO UTATOAJE UCHAFU WAKO SASAA.We nawe nakuongeza kwa wenye iq ndogo.....faken kabisa!!!! jamii forums Ni jukwaa la mtu kutoa mawazo yake binafsi....Sisi tukisema hii Ni CHAI Ni CHAi kweli na fact tunatoa.......Toa na ww za kwako uache mihemko kenge ww
Kama huu uzi ungekuwa katika maudhui ya kuteseka hakuna mtu angesema chai,people are jealous because of somebody's good life.Sadism is real to some people here!
HakikaMafukara wana hasira na maisha anayosimulia msimuliaji. Wanaona kama vile anawakejeli kwa maisha magumu wanayoyapitia na kuishia kuita chai.
Tulikubaliana tangu awali kuwapuuza na kutocomment kwenye utumbo wanaouandika.
BM X6 mwenyewe
ndioYule wa maisha yangu yapo mkononi mwa kijana wa buguruni?