Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Picha kadhaa za Melia Hotel [emoji12], chumba tu waliteketeza kama 3.3 millions [emoji4]
Screenshot_20231019-212315.jpg
Screenshot_20231019-211715.jpg
Screenshot_20231019-211833.jpg
Screenshot_20231019-211715.jpg
Screenshot_20231019-211618.jpg
Screenshot_20231019-211243.jpg
Screenshot_20231019-211838.jpg
Screenshot_20231019-210946.jpg
Screenshot_20231019-211003.jpg
Screenshot_20231019-211704.jpg
Screenshot_20231019-212111.jpg
Screenshot_20231019-210915.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20231019-211618.jpg
    Screenshot_20231019-211618.jpg
    25.8 KB · Views: 30

Mzee upo vizuri sana [emoji1544], naiona Jetty Bar & Restaurant [emoji91]

Kwenye hizo swimming 2 zilizojitenga zenye miamvuli ya blue, swimming ya upande wa kulia tuliacha historia nzuri sana hapo[emoji23]
 
Mzee upo vizuri sana [emoji1544], naiona Jetty Bar & Restaurant [emoji91]

Kwenye hizo swimming 2 zilizojitenga zenye miamvuli ya blue, swimming ya upande wa kulia tuliacha historia nzuri sana hapo[emoji23]
Hongera sana mkuu kwa kutuwakilisha vyema kiumeni [emoji1][emoji1][emoji1]

Mwezi wa 11 mwishoni lazima uende South Africa ukamkamue tena ili aendelee vizuri na masomo [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Episode za sasa nawapa ndefu sana lakini bado watu wanalalamika [emoji1544][emoji1544].

Enjoy fans, tukutane EP 68, iko jikoni
Hakika ni ndefu na elaboration yake iko kwa kina kwa hapo mwamba hatukudai tukutane ep 68 tuteguliwe kitendawili cha watu wawili waliopata ajali.
 
Insider anasema hatamani mama j arudi at the same time anamwambia iry hawezi kumwacha mama j[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] ila wanaume hapana kwakwelii siwalewi mnataka nn kwenye haya maisha mkiambiwa mchague moja bado hamtaki mnataka vyote

na unakuaje kwenye mahusino na mtu unajua kabisa ana mtu wake?? na anampenda na hawez kumwacha kwasababu yako hata iwaje???[emoji119] nikiwaz tu mupenzi ana mupenzi wake naumia hayaa na ndo niwe namjua na huyo mupenzi wake si ntazimia mm jamani[emoji2356]
 
Insider anasema hatamani mama j arudi at the same time anamwambia iry hawezi kumwacha mama j[emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] ila wanaume hapana kwakwelii siwalewi mnataka nn kwenye haya maisha mkiambiwa mchague moja bado hamtaki mnataka vyote

na unakuaje kwenye mahusino na mtu unajua kabisa ana mtu wake?? na anampenda na hawez kumwacha kwasababu yako hata iwaje???[emoji119] nikiwaz tu mupenzi ana mupenzi wake naumia hayaa na ndo niwe namjua na huyo mupenzi wake si ntazimia mm jamani[emoji2356]
Portfolio diversification, sharing is caring
 
Back
Top Bottom