niita mwanamke mwanzo ulisema namuonea wivu mwanaume mwenzangu mkuu ukiendelea kuendekeza ushoga shahwa zinalainisha ubongo slowly tutakukosa hapa maana as it is mpaka sasa una tatizo kubwa get well soon na uache kufukuliwa mtaro huoNitamani mtu ambaye simjui? Have some respect b*tch, kwa hizi replies zako seems unanuka shida na wivu na gubu limekujaa. Na wanawake kama wewe always hamnaga mvuto
Hahaha Hatari sana !Usikute hata mama J naye alikuwa analiwa na lecturer huko chuo. Mambo mengine Insider hawezi andika humu[emoji23]
Atamuuzia Nan na story ishasomwa yote.Uzi una views Million 3 comment elfu 10 🤗 INSIDER MAN toa kitabu kitauza sana 🙏
Ukisikia watu wanauana sijui kurogana sababu ndio kama hizi sasa ! mambo ya kushea utamu na kukosa mioyo ya kustahimili maumivuu [emoji1783]!
Afu ukute mwanaume alikua anajua kukaza usikie tamu yako imepenya na kwa naninani sijui [emoji3526]!
Kwa wivu wangu huuu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji851][emoji851][emoji851]!
Atamuuzia Nan na story ishasomwa yote.
Labda hii story awauzie wenye magazeti kila copy ikitoka iwepo kipande tofauti na hapo wabongo hakuna kitu.Point ya dada atoe kitabu auze copy kuna watu wengi hawajosoma bado, ila kwa bongo ni hasara simshauri afanye hivyo
Kumpenda sio kosa na hii imetokea kwa ile closeness walokuwa nayo muda mrefu wanatoka out hadi usiku Mara wameenda dinner n.k n.k ikajenga attachment fulani kati yao ila si anatambua fika kuwa kuna mama J anatakiwa ajitahidi kujikontrol!.Iryn anaonesha kumpenda mwana kabisa na sio kwamba ana pretend ni true love kwa Jamaa.
Hawa wamependana serious wametengeneza bond kwa muda mrefu kiasi kwamba wameingia kwenye mahusiano.
Mpak sasa Iren hawezi bila Jamaa hata msg aliyotuma ni wivu tu ila anampenda mwamba. Kitendo cha kumtambulisha kwa baba yake na rafiki yake kma ni boyfriend wake ni kweli anampenda Jamaa na ameoza tayari.
Nahisi dem ana mimba tayari ya mshikaji na hataki ajue kama anayo, huenda anajifikiria aitoe au abaki nayo.
sasa una
niita mwanamke mwanzo ulisema namuonea wivu mwanaume mwenzangu mkuu ukiendelea kuendekeza ushoga shahwa zinalainisha ubongo slowly tutakukosa hapa maana as it is mpaka sasa una tatizo kubwa get well soon na uache kufukuliwa mtaro huo
Hahaha Hatari sana !
Inauma Unantunzia mtu ambae anakitombesha nje balaa lol[emoji119][emoji119][emoji119]!
Sema nature ya wanaume majority mko hivo but mnaweza kukontrol na kubalance hisia naona Iryn alimvuruga sana jamaa hadi akashindwa kujikontrol hisia na kumfanya mama J ku doubt!
Saa 3 usiku tulikwenda kupata dinna kwenye mgahawa ambao uko ndani ya habarini umezungukwa na maji pande zote na ili ufike kwenye huu mgahawa kuna njia kama kidaraja cha juu kimetokea beach, jina la huu mgahawa ni “Jetty Lounge” ni mzuri sana na ile usiku ulikuwa unang’aa sana.
Insider amefanikiwa kitu kimoja kwa wafuatiliaji wa hii story yake. Kwa namna alivyomuelezea na kumsifia huyu Iryn, amefanya kila mmoja ajenge taswira na awe na "Iryn" wake kichwani". Ndiyo maana unaona picha mbalimbali za "kina Iryn" zikiwekwa humu maana hao wanaoweka hizi picha, huyo ndiyo Iryn wa vichwani mwao. Picha zingine mpaka mtu unazishangaa, lakini ndo hivyo tena mwngine ndiyo anaona ni bonge la demu, yaani pisi kali.hana msimamo, hajiamini yani anaona yeye kwake ni cheo sana kuwa na uyo malaysia ndo mana anasema et alimuheshimisha sana kwa babake like ho yan, pia ni mshamba hana exposure ukute uyo demu ni uzuri wa kawaida tu ila yeye hajawai kuwa na mdada mzuri ndo mana anapelekeshwa na anamuogopa na kumnyenyekea hana kibesi hes a weak gamer
Kumpenda sio kosa na hii imetokea kwa ile closeness walokuwa nayo muda mrefu wanatoka out hadi usiku Mara wameenda dinner n.k n.k ikajenga attachment fulani kati yao ila si anatambua fika kuwa kuna mama J anatakiwa ajitahidi kujikontrol!.
Bila kujali kama mama J hawajafunga ndoa au laa!
Kwanza mpaka hapo mbona jamaa anamtambulisha mama J kwa ndugu jamaa na marafiki zake kibao kama ni mkewe???
Mke mkubwa ana baraka zake asee!
Kwa zile hamuu ukute alikua ovulation japo jamaa kasema kwasasa hawezi kumzalisha ilihali Iryn bado anasoma so wanachofanya ni kuenjoy tu kwakwenda mbele!
Insider amefanikiwa kitu kimoja kwa wafuatiliaji wa hii story yake. Kwa namna alivyomuelezea na kumsifia huyu Iryn, amefanya kila mmoja ajenge taswira na awe na "Iryn" wake kichwani". Ndiyo maana unaona picha mbalimbali za "kina Iryn" zikiwekwa humu maana hao wanaoweka hizi picha, huyo ndiyo Iryn wa vichwani mwao. Picha zingine mpaka mtu unazishangaa, lakini ndo hivyo tena mwngine ndiyo anaona ni bonge la demu, yaani pisi kali.
Yawezekana kabisa huyu Iryn wa Insider (ukizingatia aliwahi kukiri kuchelewa kuanza ama kuwajua wanawake) akawa ni mwanamke wa kawaida sana sana machoni pa wanaume wengi humu. Hii ni kwa sababu beauty is in the eyes of beholder.... Yes, "uzuri" ni relative, unayemwona wewe mzuri saaaana, wengine watamwona wa kawaida na wengine huenda wakamwona hakuna kitu kabisa. Ndiyo maana siku akiweka picha yake hapa, wapo ambao wataishia hapo hapo kufuatilia hii hadithi nzuri ya kusisimua.
Yeah hilo nalo ni changamoto sana kwa wanaume unakutana na mwanamke kitandani anayajua balaaa lazima udate!Kuna wanawake wanajua mapenzi mpaka unadata, jamaa kapewa mapenzi mpaka kapoteana. Na penzi likiwa jipya haya ndo matokeo hata mke wako unamwona fala, same to women
sasa unaniita kaka dada mental health is realInaonesha ndo michezo yako kaka/dada itapendeza ukiweka na namba zako za simu ili upate wateja na usisahu kulipia na tangazo.
Yeah hilo nalo ni changamoto sana kwa wanaume unakutana na mwanamke kitandani anayajua balaaa lazima udate!
Plus Iryn yuko vyedi kila idara!
sasa unaniita kaka dada mental health is real
Alichomaanisha Antonnia ni kwamba, sawa mmeshaamua kutafunans huko, kwanini waje nyumbani wakiwa kama marafiki wa kawaida wakati Wana mambo zaidi ya urafiki na Mama J anamchukulia Iryn kama mtu wa karibu na familia?Ujinga gani huo? Kuna sehemu alifanyia home? Nimesoma vizuri sijaona akifanyia nyumbani.
Ndiyo Nina sura ya baba njoo unipigeUnatuonyesha vibuno unaficha sura lengo lako nini una sura ya baba nini
Yeah hiko tu! Sijamaanisha ujinga kama kuwatusi hapana ni ile dharau iliopitiliza kwa mkewe!Alichomaanisha Antonnia ni kwamba, sawa mmeshaamua kutafunans huko, kwanini waje nyumbani wakiwa kama marafiki wa kawaida wakati Wana mambo zaidi ya urafiki na Mama J anamchukulia Iryn kama mtu wa karibu na familia?
Hiyo ndio dharau inaongelewa hapo.