Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Noma sana mkuu naomba nitag huo uzi wa story uliyosema
 
mkuu unamfananisha kwenye kona ipi, kwamaana roma ni tom*atomb*
 
asifate ushauri wa hizi team 2, deepond na rickboy, hawa jamaa ni mapepo kabisa pamoja na wafuasi wao wote, (jokes)
 
Mazingira ya mke wako.ulishatuweka wazi ni ukali wa mke wako na udadisi ilikuake akuruhusu urudi nyumbani kwako ukiwa umebadilisha Nguo?

Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…