Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Yaah amwambie ukweli mapema. Kuficha n ulaghai
 
madini sana , unajua
 

Ili story itimie inabidi kipengele hiki kikamilike. Una mtoto na mwanamke mliyeachana na si kutengana. Na kwa sasa mko na mama J na hajui kama una mtoto. Je mwanamke mwenye mtoto mliyeachana ni mama J huyuhuyu? Je kuna mwanamke mwingine? Hebu fafanua kidogo kuhusu kisa hiki kama ni sehemu ya maisha yako na ni cha kweli maana kinahusisha uwepo wa mtoto

Mwisho wa yote story yako ni nzuri ilitufanya tupate sehemu ya kukaa pale tunapokuwa hatuna shughuli
 
Sio Kila ukweli ni mzuri kusemwa. Unaweza kuleta madhara makubwa sana endapo hapatakua na umakini.
@The Monk uko sahihi kabisa sio kila ukweli unasuluhusha jambo,halafu baadhi yawachangiaji nikama wanamtaka ndugu insder amdharau mama j au afanye maamuzi ambayo yatampa maumivu makali au wakati mgumu mamaj ,,huku insder man yy anataka vyote hataki kukosa vyote so huenda akafanya maamuzi yasiyo na haraka kwafaida ya kulinda mahusiano yake na mamaj.
 
[emoji28]sema huo ukanda una ongoza kwa wamama wenye nyumba .uki ulizia baba mwenye nyumba uta onyeshwa kaburi chini ya mti
 


Sipingi mawazo Yako lakini unalichukulia hili jambo kwa wepesi sana, tunaoshauri hapa wengine tumeshapitia mambo mazito maishani ni vile tu hatuwezi kuandika Kila kitu hapa, tunauzoefu na haya mambo chini ya mwenyekiti wetu wa kudumu Watu8

Usifikiri Mama J kuambiwa mapema ni suluhisho la uhakika, anaweza akaambiwa, akavunga amelipokea Kwa moyo mkunjufu bila kinyongo na ndoa ikafungwa lakini atakachokuja kukifanya huko mbeleni anakijua mwenyewe moyoni mwake ( na hii haijalishi ni Mchaga, mmatumbi au kabila Gani)
Kumbuka tayari Mama J ana wasiwasi mzito sana na mashaka juu ya Iryn, Sasa kupata uthibitisho wa hili jambo kutoka Kwa INSIDER MAN itaurarua moyo wake na kuleta chuki isiyo na maelezo.

Unavyoona tunasema ndoa ifungwe kwanza hayo mambo mengine yatajisumbukia huko mbeleni sio kwamba hatumpendi Iryn na mtoto wake, tunaangalia namna ya kupunguza athari na uharibifu zaidi ya Hali ilivyo Sasa.

Linaweza kuibuka varangati hata jamaa yetu shule isisomeke, kazi zikavurugika na hata mawasiliano ya Siri kati yake na Iryn yakaingia dosari kuelekea asimuone Tena Binti Yao.

Kumbuka Iryn nae ni binadamu ana hisia, likiibuka varangati itabidi aiponye nafsi yake na ya mtoto wake hata kama itabidi kumkwepa Insider.


Ndoa italeta Imani Kwa Mama J na kujihakikishia hati miliki na nafasi yake ya main wife. Danadana zingine ataona kama mizengwe ya kutaka kupigwa chini.

Naomba nieleweke pia nilisema hata jambo la kutambulishwa Iryn na mtoto lisubiri kwanza, sijasema wasipelekwe kabisa Kwa wazazi. Mtoto/watoto lazima wajulikane lakini sio Kwa wakati huu.

Kila maamuzi tunayofanya kwenye maisha, yanagharana zake, ziwe chanya au hasi lakini Yana athiri Kwa namna Moja au nyingine maisha yetu.
 
Kazi kweli kwelikweli. Ni Bora insider amuambie mama J ukweli kabla ya ndoa. Maana hata akificha , atakuja kujua tu
 
Insider na mama J hawajafunga ndoa bado, ndio wapo ktk mchakato. Ndio nikamshauri kabla ya kufika mbali aweke wazi kuhusu Iryn na mtoto.

Huyo mama J ndio ataamua kuendelea na mchakato wa ndoa ama la.
Kuna story naisoma hapa mwana kazaa na mchepuko then kapewa options mbili tu
1. Aseme mda gani mke mkubwa ataondoka kwa nyumba yeye aje kuishi pale kama mke halali
2.Atoe taarifa ni lini chumba chake kwenye ile nyumba kipo tayari ili waishi wake wote wawili na mme mmoja.

Pia kuna mkuu anaitwa KigaKoyo the guy alipata bahati na hayo mambo ya wake wawili.

Hay mambo ni changamoto kama wapokea ujumbe wasipo kuelewa.
 
Aiseeeeee sio mchezo
 
Eti nyau wewe 😁
 
Don't trust a woman hata kama ana pesa nyingi na akasema hutapata usumbufu atalea. Ipo siku utaona kila aina ya nyota na kuziita kwa majina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…