Nyaubikra
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 1,339
- 3,319
🤣🤣🤣🤣Don't trust a woman hata kama ana pesa nyingi na akasema hutapata usumbufu atalea. Ipo siku utaona kila aina ya nyota na kuziita kwa majina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Don't trust a woman hata kama ana pesa nyingi na akasema hutapata usumbufu atalea. Ipo siku utaona kila aina ya nyota na kuziita kwa majina.
matamu kama asali, machungu kama shubiri.Nyie mapenzi matamu sana
hatari, baada ya mtoto kuzaliwa utasikia mtoto ameishiwa pampers au pesa ya maziwa n.kDon't trust a woman hata kama ana pesa nyingi na akasema hutapata usumbufu atalea. Ipo siku utaona kila aina ya nyota na kuziita kwa majina.
EXTRA EPISODE 07
BY INSIDER MAN
Biashara ya Uber ni moja ya biashara nzuri sana maana inakukutanisha na watu wengi sana wenye hadhi “status” tofauti, foreigners, matajiri na maskini nknk.
Hii biashara niliiacha baada ya kifo cha Mzee Pama kwasababu ya kumuenzi kifo chake, Pama nilikutana naye kupitia hiihii Uber. Kwasasa hii biashara naifanya kwa kuajiri vijana na ninazo Uber mbili na dereva zangu wanafanya vizuri sana hakuna ujinga wanaofanya na wale wateja zangu wote nimewaunganisha nao.
Hii biashara imenikutanisha na watu wengi sana niwe mkweli, wengi sijawaandika kabisa kwenye hii story na wengi wao bado tuna wasiliana sana maana walikuwa wateja zangu na wana niamini. Nimekutana na watu wengi sana kupitia Uber kama watu maarufu, celebrities, wanasiasa nk, kipindi nafanya hii biashara na ndo iliyonipa connections na kutoboa maisha.
Just imagine bila Uber nisingekutana na Iryn, Mzee pama, Jane, Mzee Juma, Mama wa2, Mama Janeth, Sumaiya, Lucy, Prisca na Mary nknk. Kupitia Iryn ndo niliwajua hao wengine wote, kupitia Pama nilimjua mzee Juma na Jane. Hapo unaona connection moja inafungua au inaongeza connection zingine.
Dunia hii jinsi inavyokwenda tajiri rafiki zake ni matajiri, maskini rafiki zake ni maskini, dereva rafiki zake ni madereva, mfanyabiashara rafiki zake ni wafanyabiashara, vivyohivyo kwa mkulima, mwalimu, mwanafunzi, mlevi nknk.
Sasa kama wewe maskini ufanye nini ili uweze kukutana na matajiri? kwa mtizamo wa haraka utaona ni ngumu but ni very simple, the question is how?.
Ukifuatilia kwa makini utagundua matajiri wanaingia sehemu expensive na zenye thamani kama hadhi yao, ni ngumu sana kumkuta tajiri anakula kwa mama ntilie ni kitu ambacho hakiwezekani. Matajiri wengi utawakuta wakienda kupata lunch/dinner kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt, au kwenye migahawa mikubwa na ya kisasa.
Siku mojamoja jenga utaratibu wa kutembelea haya maeneo hata sio ghali kuingia kupata dinner au lunch ni vile uoga wetu. Nenda viwanja vikubwa kama Samakisamaki nknk huko utakutana na watu wenye hadhi tofauti, mtu anayeingia Samakisamaki actually hata kipato chake si kidogo. Na ukienda maeneo kama haya kuwa mtu wa kujichanganya usipende kukaa kivyako vyako hii itakusaidia kupata watu wapya. Kwa upande wangu toka nianze kwenda haya maeneo nakutana na watu wengi sana tofauti na wana status nzuri sana.
Maeneo ya hadhi kama haya ukiingia, ukakutana na mtu yoyote kwanza atakuheshimu ataona wewe si mtu wa kawaida. Ukijenga tabia ya kutembelea haya maeneo naamini utapata connections nyingi sana na utakutana na watu wenye hadhi.
Biashara ya Uber pia ni sehemu ambayo ni rahisi sana kukutana na matajiri sababu asilimia kubwa ndo usafiri wao, mtu kama anatoka point A to B ni ngumu kutumia usafiri wake ataishia kurequest. Kama Dereva uwe unapiga nao story hawa watu acha kujikuta kauzu msome kwanza mteja ukiona ni talkative anza kupiga naye story, hii itasaidia kufungua milango mingine.
Kwa upande wa Posta/Masaki kuna ofisi nyingi sana na utawabeba Ma-Hr, Managers, C.E.O’s nknk, jitahidi uwe unafanya engagement nao usiwaogope, tengeneza connection. Mimi Insider ningekuwa nataka kuajiriwa kipindi kile bhasi ningekuwa nilipata kazi muda sana.
Cheki conversations yangu na moja ya mteja niliyekutana naye Posta,
INSIDER: “Bossy wangu naona umependeza sana na pigo za Ki-HR.”
CUSTOMER: “Mhh kaka naonekana kama HR?”
INSIDER: “Exactly nambie kama nimekosea.”
CUSTOMER: “Hahaha hamna bhana, mimi ni mtu wa kawaida tu mbona.”
INSIDER: “Ooh sawa kama kweli wewe ni HR naomba connection ya mchongo, napambana na Uber angalau mkono uende kinywani, lakini huku ni kugumu sana.”
CUSTOMER: “Jamani lakini sio mbaya Mungu atakusaidia, una elimu gani kaka?”
INSIDER: “Nina degree ya Uchumi naweza kuisaidia kampuni kwenye mambo mengi sana, kama itatokea chance naomba nikumbuke bossy wangu.”
CUSTOMER: “Kaka usijali utanipa namba yako afu utanitumia na CV kabisa incase imetokea nafasi nikupambanie.”
Sasa ukituma CV kwa watu 20 hapo unakuwa na Probability kubwa ya kupata mchongo na ukiwa na qualifications nzuri, kutoboa ni haraka sana. Hawa watu wamenitafuta sana honestly, na last week kuna dada kanipigia simu nilimtumiaga CV mwakajana nilikuwa nimemsahau, sasa kanipigia simu ili anipe connection lakini nilimwambia nimerudi shule kusoma. Unaona ni muda mrefu lakini still alikuwa na CV yangu akanikumbuka, mimi nilikuwa nimesahau kabisa.
Suala la kupata wateja Private ni juhudi zako za kupambana na kuwa mbunifu, kumbuka Uber ni biashara na mpo wengi na wengi gari zao ni nzuri, inabidi uwe mjanja sana kuwapata hawa wateja wa Private.
Ukiwa smart unajiweka vizuri, gari yako ni safi nje na ndani, gari full AC na inanukia vizuri. Naamini huwezi kosa wateja wa private na asilimia kubwa ya wateja utakao wapata ni wanawake, kingine cha muhimu mtangulize Mungu pale unavyotaka kwenda mzigoni, just pray.
Mteja mpaka anaamua kukutumia private anaangalia vitu vingi sana kutoka kwako ukiachana nakuwa na gari kali, pia customer care nayo ni muhimu sana ili kuwavutia. Wanaume hawana shida ila kwa dada zetu wanapenda sana ukiwapa customer care nzuri sana, pamoja na kuwasifia sifia yaani wanapenda sana.
Kitu kingine ambacho Uber wanafeli sana, unakuta umemchukua mteja kutoka Posta kwenda Masaki. Baada ya kumdrop unamwacha aende badala ya kumuuliza kama anarudi tena Posta ili umrudishe wewe unamuacha aende kwa hapa mnafeli sana, wengi wenu mnapishana na hela.
INSIDER: “Dada samahani unarudi tena Posta? ili nikusubiri?”
CUSTOMER: “Yes narudi ila nitachelewa kidogo, kuna customer namuattend.”
INSIDER: “Unaweza tumia muda gani maximum.”
CUSTOMER: “30 minutes maybe.”
INSIDER: “Mimi nitakuwa around kama utakaribia kumaliza just text me nianze kusogea.”
CUSTOMER: “Sawa usijali.”
30 minutes sio nyingi kwa kumsubiri customer maana kuna muda request zinakuwa shida afu biashara ni ushindani sana, lazima uwe mjanja na mbunifu. Kumbuka pia sio kila mteja atakwambia umsubiri ni wewe ujiongeze tu, sasa mteja kama huyu ukimrudisha Posta lazima atasave namba yako na ataanza kukutumia.
Kingine ukimshusha mteja kwa destination ongea naye kama atakuwa na kazi Private awe anakutumia, tengeneza na Business card zako unakuwa unawapa wateja. Ukiwapa wateja 30 business card yako kuna ambao watakutafuta tu mfanye kazi, na kumbuka ukifanya kazi na mmoja anafungua baraka ya kukuunganisha na wengine, circle yako inazidi kutanuka inafika stage unawateja wengi.
Mimi binafsi kuna stage ilifika hata Uber nikawa siwashi, yaani ile asubuhi nikiwa drop akina mama wa2 na Maggy, unakuta nina booking ya kufanya kazi na loan officers na hapo inakuwa kazi ya siku nzima.
Nilifanya kazi na hawa loan officers wa CRDB, NMB, EXIM, KCB nknk ni wengi mno nimefanya nao sana kazi, na wao kwa wao ndo walikuwa wanapeana connection wananitafuta. Malipo yanakuwaga kwa card ila sasa ikitokea wamepiga mshindo walikuwa wananipa sana hela.
Ukija kwa mtaani wengi walikuwa wananitafuta si unajua wanawake hawapendagi shida? Kama anasherehe bhasi atanitafuta tunakubaliana bei ya siku nzima afu tunafanya kazi, Dullah nilimpa connection ya mtoto wa bank na baadae kaja kuwa mke wake halali.
Nimefanya kazi nyingi sana yaani kuna muda nilikuwa napiga pesa mpaka ukiniletea story za kuajiriwa nakuona mchawi. Narudia tena kama upo smart ukifanya uber unapata kazi kwa haraka sana na maana utakutana na watu wengi wenye status tofauti.
Kitu kingine cha muhimu kwenye Uber ni uaminifu hata ukiona kitu cha thamani mteja amekisahau wewe mrudishie itakupa sifa nzuri sana. Nimekutana na simu nyingi sana kwenye gari wateja wamesahau, wallets, pochi nknk lakini nilikuwa nawarudishia kwa uaminifu na sikuwahi kuwa na tamaa.
Kitu kingine usikatae request hata kama mteja anakwenda sehemu ya mbali kama upo kazini wewe nenda cha muhimu ongea na mteja muone mnasaidianaje maana yeye anataka usafiri wewe unataka Pesa. Kama ni usiku na mteja anaingia ndani ndani sana, mchukulie bodaboda kwaajili ya usalama wako na uwe makini sana hasa kwa nyakati za usiku.
Huwa nawashangaa sana madereva wa Uber wanaolalamika kuwa biashara ni ngumu kwakweli huwa siwaelewi kabisa, kwa mwaka jana wakati Vita ya Russia/Ukraine imeanza kupamba moto kweli biashara ilikuwa ngumu sababu nauli zilipaa sana, ila kwa dereva wa Uber kutegemea request ni umaskini wa akili. Tumia Uber kukupa connections za kupata wateja wa private na sio kutegemea requests hapa utafeli tu na kuishia kulalamika biashara ni ngumu.
Jambo lingine madereva wa Uber 80% hawajatulia ni malaya, sasa ukiendekeza pussy hesabu maumivu, utaishia kuwapakia mademu bure kila wanakokwenda. Mademu wa Dar wajanja sana they know hot to manipulate a Man, hapo akikupata ana uhakika wa free Uber ya kumpeleka kwenye mishe zake. Hii tabia mpaka madem waliojariwa wanayo maana akikupata ana uhakika wa usafiri wa asubuhi, hakuna dem anayependa kupanda daladala asubuhi na kubanana hakuna.
Utakutana na mademu wengi sana kwenye hii biashara ila ukikosa self control utaishia kutembea nao na kuwagongea kwenye gari. Asilimia kubwa ya madereva wa Uber gari zao ni guest, nyie mnaotumia huu usafiri kuweni makini sana. Hawa jamaa wanagongea mademu au mashoga humo humo ya gari, usipendelee kukaa seat za nyuma ni hatari sana.
Umaskini ni mbaya sana ndugu zangu maana utakuwa unakubali kushawishika kwa vitu vidogo, sahivi mashoga asilimia kubwa wanaliwa na madereva wa Uber sababu ya njaa. Hawa watu sijui wanatoa wapi pesa kwakweli, lakini ndo kwanza wanakaa sehemu nzuri kama mbezi Beach, Mikocheni nknk.
Ukiwapakia hawa watu ni wasumbufu sana wata kutongoza sana, nimekutana nao sana hawa watu na wengi wamenisumbua sana mpaka kero, kukuwekea offa ya laki 5, million kwao ni kawaida. Sasa kwa dereva ambaye ana njaa hapa hatoboi ataishia kuwala tu, bad news mpaka mastar nao hamna kitu, kuna msanii huwa siamini kama na yeye ni chakula yaani daah! hali ni mbaya sana. Kuna presenter maarufu kanisumbua sana na niliishia kumblock lakini bado akaendelea kunitafuta kwa namba nyingine, mpaka nikamwambia nitaavujisha chats zako ndo akatulia ila hali ni mbaya sana Mungu atusaidie.
Ukiwa HB na unajipenda hawa wanawake watakutongoza sana na hasahasa wamama wanasumbua sana “mashangazi”. Mademu watakusumbua sana, nyakati za usiku utapakia mademu ambao hawajielewi wamelewa na kama unatamaa utaishia kuwala.
Dar ni mkoa mchafu sana hasa kwa nyakati za usiku, ukitaka kuamini hili wewe jaribu kutembelea maeneo ya Sinza, Masaki ndo utaona ushenzi unaofanyika. Nyakati za usiku kwa Sinza mashoga kibao wanazagaa, Masaki kuna Malaya wengi sana. Kwa Mbweni ukisikia illegal issues ndo ziko huko kama sembe, utapeli bhasi huko ndo HQ yake kwa hapa mjini. Hii Dar ione hivihivi lakini ni chafu sana, mimi Dar naijua yote hakuna kitu utakacho nidanganya na ninazifahamu chocho zote.
Mimi nilikuwa natafuta hela na sikuzote pesa utazipata kwenye mambo ya hovyo, mfano mimi nilikuwa na connection za kuwapata madem wa kizungu, kichina, kihindi nknk, kupitia Masai-Ellias na pia kuna chocho ziko Posta unawapata wazungu ni hela yako tu. Mfano madem wa kizungu minimum Price wanacharge kuanzia $300 mpaka $1,000 inadepend na quality ya mwanamke, hapo ukimuanganisha kwa tajiri hukosi hata $100-200 ya kuweka mfukoni. Mimi nashida gani? kwenda kumchukulia foreigner demu na kumplelekea hotelini na kujipatia $100 kuna kazi hapo?.
Ukiwa kwenye hio biashara utakutana na vishawishi vingi sana ukiachana na mademu, pia kuna vishawishi vya kuingia kwenye dili za kikubwa kama sembe, kusafirisha wazamiaji nknk, point hapa kuacha tamaa maana unaweza ambiwa kila kichwa cha mzamiaji ni 2M afu uwapeleke Bagamoyo hapo ukipiga hesabu una 10M, ni wachache ambao wanaweza kuikataa hii offa.
Ishu ya mwisho na muhimu kwa Dereva wa Uber ni kuzingatia usafi wako binafsi, vaa pendeza chomekea kama vile unakwenda ofisini, pulizia na unyunyu wako freshy. Kwa weekend mimi nilikuwa nakula pamba safi nimetupia jeans na t-shirt afu chini nina raba yangu kali freshy.
Usishangae haya mambo kazi ya Uber ni ngumu sana na inataka moyo, wapo watakao kudharau, kupewa kejeli ni jambo la kawaida sana, muhimu hapa wewe mind your business usipende kubishana au kugombana na wateja itakucost, kubali kuonekana mjinga ila kwa faida yako.
Katika vitu ambavyo nilijitahidi sana kuvizuia ni pamoja na wife kupanda ile Ist, maana niliona natengeneza mikosi kwa mke na mtoto. Ndomana nilikuwa nikirudi break ya kwanza ni bafuni kuoga kutoa nuksi ndo mambo mengine yaendelee, lingine nilikuwa najitahidi sana kufanya usafi wa gari.
Biashara ya Uber ni rahisi sana kukutana na watu wapya na kupata Connection nyingi sana kama utakuwa smart. Maana huku ni easy kukutana na foreigners, Celebrities , pisi kali nknk. Just assume wastani kwa siku unabeba abiria 10 mara 30= 300, zidisha mara miezi 12= 3,600. Huu ni wastani tu nimetumia, sasa kwenye hawa watu 3,600 utakosa connection hapa???.
Dereva wa Uber ukilalamika Biashara ngumu bhasi jua wewe upo kundi hili,
1. Unategemea request tu
2. Umeendekeza Mademu/Starehe
3. Hujiongezi.
Wewe utaishia kulalamika Biashara ngumu.
insiderman1@yahoo.com
Bora hiyo anamleta mtoto nyumbani kwako. Sasa ndio mke hakuwa na taarifa.hatari, baada ya mtoto kuzaliwa utasikia mtoto ameishiwa pampers au pesa ya maziwa n.k
Uyu Ni Nani?SEASON 1 1st July 2023
[Episode 1 - 70]
Extra Episodes 5
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu.
THE END
View attachment 2808709
SEASON 2 [50 EPISODES]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
BY INSIDER MAN.
UNOFFICIAL RELEASE DATE: 1st JANUARY 2024
INSIDER MAN
Duuh aisee kuna wanawake wastaarabu kumbe?Wee, mimi nilimfuma aliyekuwa mume wangu live lakini hata sikumdhuru mtu. Nilimuacha sababu ya utapeli na akili kisoda. Wala sikuhangaika na mtu mie, nilienda mahakamani nikavunja ndoa. Na maisha yameendelea tena vizuri tu.
Nakubaliana nawe. Ndio maana huku juu nilisema ashirikishe familia yake. Halafu familia kama itaona n lazima kwa wakati huo kusema basi kikao cha pande mbili kitaketi.Sio Kila ukweli ni mzuri kusemwa. Unaweza kuleta madhara makubwa sana endapo hapatakua na umakini.
Insider umeula kakaEXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN
Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?
Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.
Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.
Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.
Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.
Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”
Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.
Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.
Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.
Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.
Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.
Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.
Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.
Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.
Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.
Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.
Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.
Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.
Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.
Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.
Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.
Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.
Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.
December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.
Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.
Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.
Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.
NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.
“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.
Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana. (EPISODE 07)
Insider tafuta namna yoyote iliyo nzuri mama j na lryn wafahamiane kama wake wenza na uwaoe wote japo kwa mwanzo itakuwa ngum sana kwa mama j lakini andaa nondo za kutosha tanga uongo hata usingizie ulitembea naye mara moja mlikua mmelewa sana hamkua mnajitambua ndo mimba ikashka na mlijarbu kuitoa ikashindikana yeye atakubali tu na atazoea na utaoa woteEXTRA EPISODE 06
BY INSIDER MAN
Kwanini nimemuita Iryn ni Mrembo wa Ajabu?
Kabla ya kuandika hii story nilipata tabu sana kwenye kuchagua kichwa kutakacho beba jina la story, lakini target ya huu uzi ilikuwa ni Iryn.
Ningeweza kuandika heading nyingi tu lakini niliona hii ndo sahihi kutokana na jinsi tulivyokutana na tulivyoishi sababu tulipitia mambo mengi sana.
Kwangu Iryn nilikuwa namuona ni mtu wa ajabu, kwanza namna tulivyo kutana, pili maisha yake kwa ujumla kwangu mimi yalikuwa yananipa maswali sana, tatu utajiri wa wazazi wake na yeye pia, nne uzuri na urembo wake.
Nilikutana na Iryn kimaajabu sana kupitia hiihii bishara ya Uber, ukisoma vizuri wakati nakutana naye ilikuwa ni usiku sana afu nimechoka. Baada ya kupata request yake nilitaka kupiga chini ile request lakini nikaamua kwenda kibishi na ndo yeye kaja kunipa heshima ya kuwa baba mtoto.
Kama ningeipiga chini ile request ina maana nisingekuja kumfahamu mtu anayeitwa Iryn kwenye Maisha yangu, kuna msemo wazungu wanasema “everything happen for a reason.”
Tukija kwenye maisha yetu halisi huenda tunapishana na baraka nyingi na connections nyingi kwa kupuuzia tu, kama wewe dereva wa Uber unapata request ya kwenda Mbagala lakini hutaki kwenda, kumbe ilikuwa ni connection kwako bila kujua.
Iryn ni moja ya mwanamke mzuri na mrembo hapa Duniani na uzuri wake ni natural sio namsifia kumpa sifa ambazo hana, hapana ni moja ya mwanamke mrembo sana na amekamilika kila Idara (Episode ya 7 nilimuelezea kidogo). Hii ilinifanya nimuone Iryn ni moja ya mwanamke wa ajabu kukutana naye kwenye maisha yangu. Kuna muda ile mwanzoni nilikuwa nahisi maybe atakuwa sio kiumbe wa kawaida. Kitu kingine suala la kuwa mtoto pekee kwa mama nalo kilifanya nimuone Iryn wa tofauti sana.
Suala la mali na utajiri ambao familia yake unao kuanzia marehem mama yake, Mzee wake na yeye pia vilikuwa vinanipa maswali sana. Mzee wake Iryn anapesa sana na huko South Africa ana ma apartments kibao anayamiliki na bado ni mfanyabiashara mkubwa.
Nimeplay part kubwa sana ya kumuweka Iryn sawa maana alikuwa ni mtu wa mawazo sana, kitendo cha kuwa naye close mara kwa mara ndo kilifanya aanze kunipenda kwa kasi ya 5G.
Licha ya kufaham nina familia ila kwake yeye ilikuwa tofauti na aliendelea kunipenda tena ni upendo wa kweli. Tumepitia mambo mengi sana na sikuyaandika yote, niliyoandika ni baadhi tu.
Baada ya Iryn kwenda South Africa hapa katikati mambo mengi sana yalitokea, na yeye alikuwa anakuja Dar kuniona kama alivyo niahidi na ilikuwa ni kwasiri sana na hakuna aliyekuwa anajua hili. Amekuja sana Dar mpaka mimba ilivyokuwa kubwa ndo akaacha kuja na toka aondoke kwenda South Africa hajawahi kuonana na mama J tena.
Pia kuna mambo mengi sana yalitokea na mazito juu ya ujauzito wake na niliishi kwa stress sana ndugu zangu. Kwa upande wake alikutana na pingamizi kubwa sana hasa upande wa ndugu, lakini all kila kitu kilikwenda sawa na mwezi June 2023 alijifungua salama na tulipata mtoto wa kike.
Nilifurahi sana kupata mtoto wa kike japo nilikuwa najua kuwa nitapata mtoto wa kike lakini baada ya kujifungua na kujihakikishia kwa macho nilifurahi sana. Before hajajifungua mwezi wa sita nilikwenda South Africa kwa mara ya pili ili niwepo wakati wa kujifungua na nilikaa kule kwa week 2.
Siku anayojifungua nilikuwa naye hospital nikishuhudia kila kitu kule leba asee kule kama mwanaume unahasira utaishia kuwapiga madoctor[emoji23][emoji23], wanachokonoa sana K kwa mikono. All nashukuru Mungu alijifungua salama kwa kupush, na kama tulivyokubaliana mimi ndo nilimpa jina mtoto.
Mtoto wetu ana miezi 5 kasoro mpaka sasa na anakua vizuri, ana afya nzuri niseme she is so beautiful jamani na nimefanana naye copyright. Pia amefanana sana na kaka yake Junior, yaani siku wakija kukaa pamoja itaonesha ni watoto wa mama mmoja maana wote wamefanana sana na mimi, hata mama J akija kumuona hatauliza mtoto ni wanani kwani tumefanana sana.
Hili suala bado imebaki kuwa siri kwangu hata wazazi hawajui mpaka sasa navyoandika hapa. December hii Iryn atakuja Dar na bado najifikiri niende naye mkoani na mtoto kwa wazazi wamuone au niendelee kuvunga tu mpaka mtoto akue, au niwape taarifa na mtoto wa nje?, hapa bado nakosa majibu.
Iryn anataka kunizalia mtoto mwingine wa pili, amesema yeye anahitaji watoto sababu anaona ndo furaha kwake na jinsi tunavyoishi hata kama tuko mbali anaona mimi natosha kuwa mume wake. Unajua Iryn anajua fika mimi sijampendea kisa pesa zake na anafahamu fika mimi sina habari na pesa zake kabisa na ninamchukulia kama mama watoto wangu.
Niilimpa greenlight kama atapata mtu sahihi awe huru kuwa naye au kuolewa, lakini amegoma kabisa hataki kuzisikia hizi habari. Yeye anasema hakuna mwanaume wa kumpenda kama jinsi mimi navyompenda na hatamani kuwa na mtu mwingine kwa heshima yangu na mtoto, pia ameridhika kuwa mchepuko.
Kwa upande mwingine nilimwambia yeye ni mke mdogo na nimempa hiko cheo na ninaandaa mpango wa kumpeleka home akaijue familia yangu maana analea damu yetu, na yeye ana hamu kubwa sana.
Kipindi alichojifungua ndo nilijihakikishia Iryn sio mtu wa kawaida, unajua walikuja watu wengi sana kumuona kule South Africa, kuanzia friends zake zake wa chuo, ndugu zake wa Ethiopia nknk.
Kwa upande wa mimi na mama J mahusiano yetu yako strong sana kwasasa, japo baada ya Iryn kuondoka kuna mambo yalitokea lakini bado tuko pamoja na familia yetu inazidi kustawi na mwakani tunatarajia kufunga Ndoa rasmi kama Mungu akitujalia uhai.
Kwa upande wa my son Junior yeye kashakua mkubwa tayari na mwakani tunategemea aanze nursery mapema na atakuwa na 2.5yrs by January. Dogo kawa mtundu sana, ni mkorofi sana kupiga watoto wenzie kwake ni kitu cha kawaida ila huji kuta akiwapiga watoto wa kike.
December Iryn atakuja kama nilivyosema awali na tutadiscus mambo mengi sana ikiwemo kuhusu project ya kufanya kule Dodoma, suala lingine nilimwambia nikimaliza chuo nataka kufanya project zangu sitaki kuwa chini yake tena.
Nilimwambia yeye ni mke wangu kuendelea kunilipa mshahara naona kama dharau, so kama vipi tufungue kampuni ya pamoja au mimi nifanye mambo yangu. Baada ya kumpa hizi taarifa naona hajazipenda na amesema yuko tayari kunisikiliza ila hataki nifanye kazi na mtu mwingine kwani bado ananitegemea sana, akija mwezi ujao ndo tutafikia muhafaka.
Plan za Iryn akimaliza chuo anataka kwenda kuishi Ufaransa na mtoto maana kuna project zake mpya anazo kule. Pia hata yeye anapenda sana kuishi Ufaransa.
Mwisho, sikuwahi kuwaza kuja kuchepuka au kuzaa na mwanamke mwingine nje na mama J, nilianza kuchepuka kutokana na kutopewa tendo kwa wakati maana kama mwanaume uvumilivu ulinishinda na kile kitendo cha kuondoka kwenda kwao kisa Prisca na huku sijatembea naye, ukweli kilinikera sana.
NB: Nitaangalia kama nitawapa muendelezo hata mwakani huko lakini siwapi promise kwa hili, nitaangalia kama kuna code zozote zimefunguka kupitia hii story mpaka sasa na kama upepo ni shwari nitaangalia namna ya kuwapa.
“Katika maisha yangu sijawai kukutana na mrembo mzuri kama IRYN, nimeona wanawake wengi hapa dsm lakini Iryn alikua ni mwanamke mzuri sana ambaye amekamilika kila idara, nyie Mungu ni fundi sana, sio shepu, matiti, sura, lips, mguu, mweupe, sauti na mguu mzuri. Ningekua na uwezo ningetuma picha yake ila ndo hivyo sitoweza.
Ni mwanamke ambaye akipita lazima ugeuke umtizame nyie, kiukweli sikuijutia kazi yangu ya uber ni moja ya kazi ambayo ilinikutanisha na warembo wengi sana. (EPISODE 07)
Huyu mipalestinaSEASON 1 1st July 2023
[Episode 1 - 70]
Extra Episodes 5
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu.
THE END
View attachment 2808709
SEASON 2 [50 EPISODES]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
BY INSIDER MAN.
UNOFFICIAL RELEASE DATE: 1st JANUARY 2024
INSIDER MAN
Tupo mbona, hakuna haja na kuhangaika na mtu mzima aliyeamua kufanya jambo lake akiwa na akili timamu. Kulipiza kisasi hakujawahi kumpa mtu amani.Duuh aisee kuna wanawake wastaarabu kumbe?
Mie kukutana na mwanamke mstaarabu ni ndoto kwanguTupo mbona, hakuna haja na kuhangaika na mtu mzima aliyeamua kufanya jambo lake akiwa na akili timamu. Kulipiza kisasi hakujawahi kumpa mtu amani.
Naam [emoji91][emoji91]EXTRA EPISODE 07
BY INSIDER MAN
Biashara ya Uber ni moja ya biashara nzuri sana maana inakukutanisha na watu wengi sana wenye hadhi “status” tofauti, foreigners, matajiri na maskini nknk.
Hii biashara niliiacha baada ya kifo cha Mzee Pama kwasababu ya kumuenzi kifo chake, Pama nilikutana naye kupitia hiihii Uber. Kwasasa hii biashara naifanya kwa kuajiri vijana na ninazo Uber mbili na dereva zangu wanafanya vizuri sana hakuna ujinga wanaofanya na wale wateja zangu wote nimewaunganisha nao.
Hii biashara imenikutanisha na watu wengi sana niwe mkweli, wengi sijawaandika kabisa kwenye hii story na wengi wao bado tuna wasiliana sana maana walikuwa wateja zangu na wana niamini. Nimekutana na watu wengi sana kupitia Uber kama watu maarufu, celebrities, wanasiasa nk, kipindi nafanya hii biashara na ndo iliyonipa connections na kutoboa maisha.
Just imagine bila Uber nisingekutana na Iryn, Mzee pama, Jane, Mzee Juma, Mama wa2, Mama Janeth, Sumaiya, Lucy, Prisca na Mary nknk. Kupitia Iryn ndo niliwajua hao wengine wote, kupitia Pama nilimjua mzee Juma na Jane. Hapo unaona connection moja inafungua au inaongeza connection zingine.
Dunia hii jinsi inavyokwenda tajiri rafiki zake ni matajiri, maskini rafiki zake ni maskini, dereva rafiki zake ni madereva, mfanyabiashara rafiki zake ni wafanyabiashara, vivyohivyo kwa mkulima, mwalimu, mwanafunzi, mlevi nknk.
Sasa kama wewe maskini ufanye nini ili uweze kukutana na matajiri? kwa mtizamo wa haraka utaona ni ngumu but ni very simple, the question is how?.
Ukifuatilia kwa makini utagundua matajiri wanaingia sehemu expensive na zenye thamani kama hadhi yao, ni ngumu sana kumkuta tajiri anakula kwa mama ntilie ni kitu ambacho hakiwezekani. Matajiri wengi utawakuta wakienda kupata lunch/dinner kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt, au kwenye migahawa mikubwa na ya kisasa.
Siku mojamoja jenga utaratibu wa kutembelea haya maeneo hata sio ghali kuingia kupata dinner au lunch ni vile uoga wetu. Nenda viwanja vikubwa kama Samakisamaki nknk huko utakutana na watu wenye hadhi tofauti, mtu anayeingia Samakisamaki actually hata kipato chake si kidogo. Na ukienda maeneo kama haya kuwa mtu wa kujichanganya usipende kukaa kivyako vyako hii itakusaidia kupata watu wapya. Kwa upande wangu toka nianze kwenda haya maeneo nakutana na watu wengi sana tofauti na wana status nzuri sana.
Maeneo ya hadhi kama haya ukiingia, ukakutana na mtu yoyote kwanza atakuheshimu ataona wewe si mtu wa kawaida. Ukijenga tabia ya kutembelea haya maeneo naamini utapata connections nyingi sana na utakutana na watu wenye hadhi.
Biashara ya Uber pia ni sehemu ambayo ni rahisi sana kukutana na matajiri sababu asilimia kubwa ndo usafiri wao, mtu kama anatoka point A to B ni ngumu kutumia usafiri wake ataishia kurequest. Kama Dereva uwe unapiga nao story hawa watu acha kujikuta kauzu msome kwanza mteja ukiona ni talkative anza kupiga naye story, hii itasaidia kufungua milango mingine.
Kwa upande wa Posta/Masaki kuna ofisi nyingi sana na utawabeba Ma-Hr, Managers, C.E.O’s nknk, jitahidi uwe unafanya engagement nao usiwaogope, tengeneza connection. Mimi Insider ningekuwa nataka kuajiriwa kipindi kile bhasi ningekuwa nilipata kazi muda sana.
Cheki conversations yangu na moja ya mteja niliyekutana naye Posta,
INSIDER: “Bossy wangu naona umependeza sana na pigo za Ki-HR.”
CUSTOMER: “Mhh kaka naonekana kama HR?”
INSIDER: “Exactly nambie kama nimekosea.”
CUSTOMER: “Hahaha hamna bhana, mimi ni mtu wa kawaida tu mbona.”
INSIDER: “Ooh sawa kama kweli wewe ni HR naomba connection ya mchongo, napambana na Uber angalau mkono uende kinywani, lakini huku ni kugumu sana.”
CUSTOMER: “Jamani lakini sio mbaya Mungu atakusaidia, una elimu gani kaka?”
INSIDER: “Nina degree ya Uchumi naweza kuisaidia kampuni kwenye mambo mengi sana, kama itatokea chance naomba nikumbuke bossy wangu.”
CUSTOMER: “Kaka usijali utanipa namba yako afu utanitumia na CV kabisa incase imetokea nafasi nikupambanie.”
Sasa ukituma CV kwa watu 20 hapo unakuwa na Probability kubwa ya kupata mchongo na ukiwa na qualifications nzuri, kutoboa ni haraka sana. Hawa watu wamenitafuta sana honestly, na last week kuna dada kanipigia simu nilimtumiaga CV mwakajana nilikuwa nimemsahau, sasa kanipigia simu ili anipe connection lakini nilimwambia nimerudi shule kusoma. Unaona ni muda mrefu lakini still alikuwa na CV yangu akanikumbuka, mimi nilikuwa nimesahau kabisa.
Suala la kupata wateja Private ni juhudi zako za kupambana na kuwa mbunifu, kumbuka Uber ni biashara na mpo wengi na wengi gari zao ni nzuri, inabidi uwe mjanja sana kuwapata hawa wateja wa Private.
Ukiwa smart unajiweka vizuri, gari yako ni safi nje na ndani, gari full AC na inanukia vizuri. Naamini huwezi kosa wateja wa private na asilimia kubwa ya wateja utakao wapata ni wanawake, kingine cha muhimu mtangulize Mungu pale unavyotaka kwenda mzigoni, just pray.
Mteja mpaka anaamua kukutumia private anaangalia vitu vingi sana kutoka kwako ukiachana nakuwa na gari kali, pia customer care nayo ni muhimu sana ili kuwavutia. Wanaume hawana shida ila kwa dada zetu wanapenda sana ukiwapa customer care nzuri sana, pamoja na kuwasifia sifia yaani wanapenda sana.
Kitu kingine ambacho Uber wanafeli sana, unakuta umemchukua mteja kutoka Posta kwenda Masaki. Baada ya kumdrop unamwacha aende badala ya kumuuliza kama anarudi tena Posta ili umrudishe wewe unamuacha aende kwa hapa mnafeli sana, wengi wenu mnapishana na hela.
INSIDER: “Dada samahani unarudi tena Posta? ili nikusubiri?”
CUSTOMER: “Yes narudi ila nitachelewa kidogo, kuna customer namuattend.”
INSIDER: “Unaweza tumia muda gani maximum.”
CUSTOMER: “30 minutes maybe.”
INSIDER: “Mimi nitakuwa around kama utakaribia kumaliza just text me nianze kusogea.”
CUSTOMER: “Sawa usijali.”
30 minutes sio nyingi kwa kumsubiri customer maana kuna muda request zinakuwa shida afu biashara ni ushindani sana, lazima uwe mjanja na mbunifu. Kumbuka pia sio kila mteja atakwambia umsubiri ni wewe ujiongeze tu, sasa mteja kama huyu ukimrudisha Posta lazima atasave namba yako na ataanza kukutumia.
Kingine ukimshusha mteja kwa destination ongea naye kama atakuwa na kazi Private awe anakutumia, tengeneza na Business card zako unakuwa unawapa wateja. Ukiwapa wateja 30 business card yako kuna ambao watakutafuta tu mfanye kazi, na kumbuka ukifanya kazi na mmoja anafungua baraka ya kukuunganisha na wengine, circle yako inazidi kutanuka inafika stage unawateja wengi.
Mimi binafsi kuna stage ilifika hata Uber nikawa siwashi, yaani ile asubuhi nikiwa drop akina mama wa2 na Maggy, unakuta nina booking ya kufanya kazi na loan officers na hapo inakuwa kazi ya siku nzima.
Nilifanya kazi na hawa loan officers wa CRDB, NMB, EXIM, KCB nknk ni wengi mno nimefanya nao sana kazi, na wao kwa wao ndo walikuwa wanapeana connection wananitafuta. Malipo yanakuwaga kwa card ila sasa ikitokea wamepiga mshindo walikuwa wananipa sana hela.
Ukija kwa mtaani wengi walikuwa wananitafuta si unajua wanawake hawapendagi shida? Kama anasherehe bhasi atanitafuta tunakubaliana bei ya siku nzima afu tunafanya kazi, Dullah nilimpa connection ya mtoto wa bank na baadae kaja kuwa mke wake halali.
Nimefanya kazi nyingi sana yaani kuna muda nilikuwa napiga pesa mpaka ukiniletea story za kuajiriwa nakuona mchawi. Narudia tena kama upo smart ukifanya uber unapata kazi kwa haraka sana na maana utakutana na watu wengi wenye status tofauti.
Kitu kingine cha muhimu kwenye Uber ni uaminifu hata ukiona kitu cha thamani mteja amekisahau wewe mrudishie itakupa sifa nzuri sana. Nimekutana na simu nyingi sana kwenye gari wateja wamesahau, wallets, pochi nknk lakini nilikuwa nawarudishia kwa uaminifu na sikuwahi kuwa na tamaa.
Kitu kingine usikatae request hata kama mteja anakwenda sehemu ya mbali kama upo kazini wewe nenda cha muhimu ongea na mteja muone mnasaidianaje maana yeye anataka usafiri wewe unataka Pesa. Kama ni usiku na mteja anaingia ndani ndani sana, mchukulie bodaboda kwaajili ya usalama wako na uwe makini sana hasa kwa nyakati za usiku.
Huwa nawashangaa sana madereva wa Uber wanaolalamika kuwa biashara ni ngumu kwakweli huwa siwaelewi kabisa, kwa mwaka jana wakati Vita ya Russia/Ukraine imeanza kupamba moto kweli biashara ilikuwa ngumu sababu nauli zilipaa sana, ila kwa dereva wa Uber kutegemea request ni umaskini wa akili. Tumia Uber kukupa connections za kupata wateja wa private na sio kutegemea requests hapa utafeli tu na kuishia kulalamika biashara ni ngumu.
Jambo lingine madereva wa Uber 80% hawajatulia ni malaya, sasa ukiendekeza pussy hesabu maumivu, utaishia kuwapakia mademu bure kila wanakokwenda. Mademu wa Dar wajanja sana they know hot to manipulate a Man, hapo akikupata ana uhakika wa free Uber ya kumpeleka kwenye mishe zake. Hii tabia mpaka madem waliojariwa wanayo maana akikupata ana uhakika wa usafiri wa asubuhi, hakuna dem anayependa kupanda daladala asubuhi na kubanana hakuna.
Utakutana na mademu wengi sana kwenye hii biashara ila ukikosa self control utaishia kutembea nao na kuwagongea kwenye gari. Asilimia kubwa ya madereva wa Uber gari zao ni guest, nyie mnaotumia huu usafiri kuweni makini sana. Hawa jamaa wanagongea mademu au mashoga humo humo ya gari, usipendelee kukaa seat za nyuma ni hatari sana.
Umaskini ni mbaya sana ndugu zangu maana utakuwa unakubali kushawishika kwa vitu vidogo, sahivi mashoga asilimia kubwa wanaliwa na madereva wa Uber sababu ya njaa. Hawa watu sijui wanatoa wapi pesa kwakweli, lakini ndo kwanza wanakaa sehemu nzuri kama mbezi Beach, Mikocheni nknk.
Ukiwapakia hawa watu ni wasumbufu sana wata kutongoza sana, nimekutana nao sana hawa watu na wengi wamenisumbua sana mpaka kero, kukuwekea offa ya laki 5, million kwao ni kawaida. Sasa kwa dereva ambaye ana njaa hapa hatoboi ataishia kuwala tu, bad news mpaka mastar nao hamna kitu, kuna msanii huwa siamini kama na yeye ni chakula yaani daah! hali ni mbaya sana. Kuna presenter maarufu kanisumbua sana na niliishia kumblock lakini bado akaendelea kunitafuta kwa namba nyingine, mpaka nikamwambia nitaavujisha chats zako ndo akatulia ila hali ni mbaya sana Mungu atusaidie.
Ukiwa HB na unajipenda hawa wanawake watakutongoza sana na hasahasa wamama wanasumbua sana “mashangazi”. Mademu watakusumbua sana, nyakati za usiku utapakia mademu ambao hawajielewi wamelewa na kama unatamaa utaishia kuwala.
Dar ni mkoa mchafu sana hasa kwa nyakati za usiku, ukitaka kuamini hili wewe jaribu kutembelea maeneo ya Sinza, Masaki ndo utaona ushenzi unaofanyika. Nyakati za usiku kwa Sinza mashoga kibao wanazagaa, Masaki kuna Malaya wengi sana. Kwa Mbweni ukisikia illegal issues ndo ziko huko kama sembe, utapeli bhasi huko ndo HQ yake kwa hapa mjini. Hii Dar ione hivihivi lakini ni chafu sana, mimi Dar naijua yote hakuna kitu utakacho nidanganya na ninazifahamu chocho zote.
Mimi nilikuwa natafuta hela na sikuzote pesa utazipata kwenye mambo ya hovyo, mfano mimi nilikuwa na connection za kuwapata madem wa kizungu, kichina, kihindi nknk, kupitia Masai-Ellias na pia kuna chocho ziko Posta unawapata wazungu ni hela yako tu. Mfano madem wa kizungu minimum Price wanacharge kuanzia $300 mpaka $1,000 inadepend na quality ya mwanamke, hapo ukimuanganisha kwa tajiri hukosi hata $100-200 ya kuweka mfukoni. Mimi nashida gani? kwenda kumchukulia foreigner demu na kumplelekea hotelini na kujipatia $100 kuna kazi hapo?.
Ukiwa kwenye hio biashara utakutana na vishawishi vingi sana ukiachana na mademu, pia kuna vishawishi vya kuingia kwenye dili za kikubwa kama sembe, kusafirisha wazamiaji nknk, point hapa kuacha tamaa maana unaweza ambiwa kila kichwa cha mzamiaji ni 2M afu uwapeleke Bagamoyo hapo ukipiga hesabu una 10M, ni wachache ambao wanaweza kuikataa hii offa.
Ishu ya mwisho na muhimu kwa Dereva wa Uber ni kuzingatia usafi wako binafsi, vaa pendeza chomekea kama vile unakwenda ofisini, pulizia na unyunyu wako freshy. Kwa weekend mimi nilikuwa nakula pamba safi nimetupia jeans na t-shirt afu chini nina raba yangu kali freshy.
Usishangae haya mambo kazi ya Uber ni ngumu sana na inataka moyo, wapo watakao kudharau, kupewa kejeli ni jambo la kawaida sana, muhimu hapa wewe mind your business usipende kubishana au kugombana na wateja itakucost, kubali kuonekana mjinga ila kwa faida yako.
Katika vitu ambavyo nilijitahidi sana kuvizuia ni pamoja na wife kupanda ile Ist, maana niliona natengeneza mikosi kwa mke na mtoto. Ndomana nilikuwa nikirudi break ya kwanza ni bafuni kuoga kutoa nuksi ndo mambo mengine yaendelee, lingine nilikuwa najitahidi sana kufanya usafi wa gari.
Biashara ya Uber ni rahisi sana kukutana na watu wapya na kupata Connection nyingi sana kama utakuwa smart. Maana huku ni easy kukutana na foreigners, Celebrities , pisi kali nknk. Just assume wastani kwa siku unabeba abiria 10 mara 30= 300, zidisha mara miezi 12= 3,600. Huu ni wastani tu nimetumia, sasa kwenye hawa watu 3,600 utakosa connection hapa???.
Dereva wa Uber ukilalamika Biashara ngumu bhasi jua wewe upo kundi hili,
1. Unategemea request tu
2. Umeendekeza Mademu/Starehe
3. Hujiongezi.
Wewe utaishia kulalamika Biashara ngumu.
insiderman1@yahoo.com
Pole sana mkuuMie kukutana na mwanamke mstaarabu ni ndoto kwangu
A very dream for me to become true
Faza angu alichepuka na kuzaa nje ya ndoa alafu mchepuko ni kisu balaa na anataka kuongoza ligi, maza alipokuja kugundua aisee ule mtanange uliotokea dadeeek israel na gaza wakasomee!!
Sikutarajia kama na mie nitaingia vitani, yaani kulogana ni jambo la kawaida
Bi mdogo kashindwa kumloga bi mkubwa(maza) kaja kuniloga mie kipenzi cha maza. so sad
Ushawapata hao watunze tu mzee babaKuna msemo unasema “Mtaka yote kwa Pupa hukosa vyote.” Kwa upande wangu nataka vyote.
Pole sana mkuu, same way here tunajaribu kutoa maoni yani mtu akiumizwa au kuvurugwa kihisia maamuzi huwa ya hatari sanaMie kukutana na mwanamke mstaarabu ni ndoto kwangu
A very dream for me to become true
Faza angu alichepuka na kuzaa nje ya ndoa alafu mchepuko ni kisu balaa na anataka kuongoza ligi, maza alipokuja kugundua aisee ule mtanange uliotokea dadeeek israel na gaza wakasomee!!
Sikutarajia kama na mie nitaingia vitani, yaani kulogana ni jambo la kawaida
Bi mdogo kashindwa kumloga bi mkubwa(maza) kaja kuniloga mie kipenzi cha maza. so sad
Mwamba huna baya huu uzi wako umenipa jambo moja muhimu saana nitalifanyia kazi. Sema kdgo uzamie kuwala zaidi prisca, sumaiya, nkEXTRA EPISODE 07
BY INSIDER MAN
Biashara ya Uber ni moja ya biashara nzuri sana maana inakukutanisha na watu wengi sana wenye hadhi “status” tofauti, foreigners, matajiri na maskini nknk.
Hii biashara niliiacha baada ya kifo cha Mzee Pama kwasababu ya kumuenzi kifo chake, Pama nilikutana naye kupitia hiihii Uber. Kwasasa hii biashara naifanya kwa kuajiri vijana na ninazo Uber mbili na dereva zangu wanafanya vizuri sana hakuna ujinga wanaofanya na wale wateja zangu wote nimewaunganisha nao.
Hii biashara imenikutanisha na watu wengi sana niwe mkweli, wengi sijawaandika kabisa kwenye hii story na wengi wao bado tuna wasiliana sana maana walikuwa wateja zangu na wana niamini. Nimekutana na watu wengi sana kupitia Uber kama watu maarufu, celebrities, wanasiasa nk, kipindi nafanya hii biashara na ndo iliyonipa connections na kutoboa maisha.
Just imagine bila Uber nisingekutana na Iryn, Mzee pama, Jane, Mzee Juma, Mama wa2, Mama Janeth, Sumaiya, Lucy, Prisca na Mary nknk. Kupitia Iryn ndo niliwajua hao wengine wote, kupitia Pama nilimjua mzee Juma na Jane. Hapo unaona connection moja inafungua au inaongeza connection zingine.
Dunia hii jinsi inavyokwenda tajiri rafiki zake ni matajiri, maskini rafiki zake ni maskini, dereva rafiki zake ni madereva, mfanyabiashara rafiki zake ni wafanyabiashara, vivyohivyo kwa mkulima, mwalimu, mwanafunzi, mlevi nknk.
Sasa kama wewe maskini ufanye nini ili uweze kukutana na matajiri? kwa mtizamo wa haraka utaona ni ngumu but ni very simple, the question is how?.
Ukifuatilia kwa makini utagundua matajiri wanaingia sehemu expensive na zenye thamani kama hadhi yao, ni ngumu sana kumkuta tajiri anakula kwa mama ntilie ni kitu ambacho hakiwezekani. Matajiri wengi utawakuta wakienda kupata lunch/dinner kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt, au kwenye migahawa mikubwa na ya kisasa.
Siku mojamoja jenga utaratibu wa kutembelea haya maeneo hata sio ghali kuingia kupata dinner au lunch ni vile uoga wetu. Nenda viwanja vikubwa kama Samakisamaki nknk huko utakutana na watu wenye hadhi tofauti, mtu anayeingia Samakisamaki actually hata kipato chake si kidogo. Na ukienda maeneo kama haya kuwa mtu wa kujichanganya usipende kukaa kivyako vyako hii itakusaidia kupata watu wapya. Kwa upande wangu toka nianze kwenda haya maeneo nakutana na watu wengi sana tofauti na wana status nzuri sana.
Maeneo ya hadhi kama haya ukiingia, ukakutana na mtu yoyote kwanza atakuheshimu ataona wewe si mtu wa kawaida. Ukijenga tabia ya kutembelea haya maeneo naamini utapata connections nyingi sana na utakutana na watu wenye hadhi.
Biashara ya Uber pia ni sehemu ambayo ni rahisi sana kukutana na matajiri sababu asilimia kubwa ndo usafiri wao, mtu kama anatoka point A to B ni ngumu kutumia usafiri wake ataishia kurequest. Kama Dereva uwe unapiga nao story hawa watu acha kujikuta kauzu msome kwanza mteja ukiona ni talkative anza kupiga naye story, hii itasaidia kufungua milango mingine.
Kwa upande wa Posta/Masaki kuna ofisi nyingi sana na utawabeba Ma-Hr, Managers, C.E.O’s nknk, jitahidi uwe unafanya engagement nao usiwaogope, tengeneza connection. Mimi Insider ningekuwa nataka kuajiriwa kipindi kile bhasi ningekuwa nilipata kazi muda sana.
Cheki conversations yangu na moja ya mteja niliyekutana naye Posta,
INSIDER: “Bossy wangu naona umependeza sana na pigo za Ki-HR.”
CUSTOMER: “Mhh kaka naonekana kama HR?”
INSIDER: “Exactly nambie kama nimekosea.”
CUSTOMER: “Hahaha hamna bhana, mimi ni mtu wa kawaida tu mbona.”
INSIDER: “Ooh sawa kama kweli wewe ni HR naomba connection ya mchongo, napambana na Uber angalau mkono uende kinywani, lakini huku ni kugumu sana.”
CUSTOMER: “Jamani lakini sio mbaya Mungu atakusaidia, una elimu gani kaka?”
INSIDER: “Nina degree ya Uchumi naweza kuisaidia kampuni kwenye mambo mengi sana, kama itatokea chance naomba nikumbuke bossy wangu.”
CUSTOMER: “Kaka usijali utanipa namba yako afu utanitumia na CV kabisa incase imetokea nafasi nikupambanie.”
Sasa ukituma CV kwa watu 20 hapo unakuwa na Probability kubwa ya kupata mchongo na ukiwa na qualifications nzuri, kutoboa ni haraka sana. Hawa watu wamenitafuta sana honestly, na last week kuna dada kanipigia simu nilimtumiaga CV mwakajana nilikuwa nimemsahau, sasa kanipigia simu ili anipe connection lakini nilimwambia nimerudi shule kusoma. Unaona ni muda mrefu lakini still alikuwa na CV yangu akanikumbuka, mimi nilikuwa nimesahau kabisa.
Suala la kupata wateja Private ni juhudi zako za kupambana na kuwa mbunifu, kumbuka Uber ni biashara na mpo wengi na wengi gari zao ni nzuri, inabidi uwe mjanja sana kuwapata hawa wateja wa Private.
Ukiwa smart unajiweka vizuri, gari yako ni safi nje na ndani, gari full AC na inanukia vizuri. Naamini huwezi kosa wateja wa private na asilimia kubwa ya wateja utakao wapata ni wanawake, kingine cha muhimu mtangulize Mungu pale unavyotaka kwenda mzigoni, just pray.
Mteja mpaka anaamua kukutumia private anaangalia vitu vingi sana kutoka kwako ukiachana nakuwa na gari kali, pia customer care nayo ni muhimu sana ili kuwavutia. Wanaume hawana shida ila kwa dada zetu wanapenda sana ukiwapa customer care nzuri sana, pamoja na kuwasifia sifia yaani wanapenda sana.
Kitu kingine ambacho Uber wanafeli sana, unakuta umemchukua mteja kutoka Posta kwenda Masaki. Baada ya kumdrop unamwacha aende badala ya kumuuliza kama anarudi tena Posta ili umrudishe wewe unamuacha aende kwa hapa mnafeli sana, wengi wenu mnapishana na hela.
INSIDER: “Dada samahani unarudi tena Posta? ili nikusubiri?”
CUSTOMER: “Yes narudi ila nitachelewa kidogo, kuna customer namuattend.”
INSIDER: “Unaweza tumia muda gani maximum.”
CUSTOMER: “30 minutes maybe.”
INSIDER: “Mimi nitakuwa around kama utakaribia kumaliza just text me nianze kusogea.”
CUSTOMER: “Sawa usijali.”
30 minutes sio nyingi kwa kumsubiri customer maana kuna muda request zinakuwa shida afu biashara ni ushindani sana, lazima uwe mjanja na mbunifu. Kumbuka pia sio kila mteja atakwambia umsubiri ni wewe ujiongeze tu, sasa mteja kama huyu ukimrudisha Posta lazima atasave namba yako na ataanza kukutumia.
Kingine ukimshusha mteja kwa destination ongea naye kama atakuwa na kazi Private awe anakutumia, tengeneza na Business card zako unakuwa unawapa wateja. Ukiwapa wateja 30 business card yako kuna ambao watakutafuta tu mfanye kazi, na kumbuka ukifanya kazi na mmoja anafungua baraka ya kukuunganisha na wengine, circle yako inazidi kutanuka inafika stage unawateja wengi.
Mimi binafsi kuna stage ilifika hata Uber nikawa siwashi, yaani ile asubuhi nikiwa drop akina mama wa2 na Maggy, unakuta nina booking ya kufanya kazi na loan officers na hapo inakuwa kazi ya siku nzima.
Nilifanya kazi na hawa loan officers wa CRDB, NMB, EXIM, KCB nknk ni wengi mno nimefanya nao sana kazi, na wao kwa wao ndo walikuwa wanapeana connection wananitafuta. Malipo yanakuwaga kwa card ila sasa ikitokea wamepiga mshindo walikuwa wananipa sana hela.
Ukija kwa mtaani wengi walikuwa wananitafuta si unajua wanawake hawapendagi shida? Kama anasherehe bhasi atanitafuta tunakubaliana bei ya siku nzima afu tunafanya kazi, Dullah nilimpa connection ya mtoto wa bank na baadae kaja kuwa mke wake halali.
Nimefanya kazi nyingi sana yaani kuna muda nilikuwa napiga pesa mpaka ukiniletea story za kuajiriwa nakuona mchawi. Narudia tena kama upo smart ukifanya uber unapata kazi kwa haraka sana na maana utakutana na watu wengi wenye status tofauti.
Kitu kingine cha muhimu kwenye Uber ni uaminifu hata ukiona kitu cha thamani mteja amekisahau wewe mrudishie itakupa sifa nzuri sana. Nimekutana na simu nyingi sana kwenye gari wateja wamesahau, wallets, pochi nknk lakini nilikuwa nawarudishia kwa uaminifu na sikuwahi kuwa na tamaa.
Kitu kingine usikatae request hata kama mteja anakwenda sehemu ya mbali kama upo kazini wewe nenda cha muhimu ongea na mteja muone mnasaidianaje maana yeye anataka usafiri wewe unataka Pesa. Kama ni usiku na mteja anaingia ndani ndani sana, mchukulie bodaboda kwaajili ya usalama wako na uwe makini sana hasa kwa nyakati za usiku.
Huwa nawashangaa sana madereva wa Uber wanaolalamika kuwa biashara ni ngumu kwakweli huwa siwaelewi kabisa, kwa mwaka jana wakati Vita ya Russia/Ukraine imeanza kupamba moto kweli biashara ilikuwa ngumu sababu nauli zilipaa sana, ila kwa dereva wa Uber kutegemea request ni umaskini wa akili. Tumia Uber kukupa connections za kupata wateja wa private na sio kutegemea requests hapa utafeli tu na kuishia kulalamika biashara ni ngumu.
Jambo lingine madereva wa Uber 80% hawajatulia ni malaya, sasa ukiendekeza pussy hesabu maumivu, utaishia kuwapakia mademu bure kila wanakokwenda. Mademu wa Dar wajanja sana they know hot to manipulate a Man, hapo akikupata ana uhakika wa free Uber ya kumpeleka kwenye mishe zake. Hii tabia mpaka madem waliojariwa wanayo maana akikupata ana uhakika wa usafiri wa asubuhi, hakuna dem anayependa kupanda daladala asubuhi na kubanana hakuna.
Utakutana na mademu wengi sana kwenye hii biashara ila ukikosa self control utaishia kutembea nao na kuwagongea kwenye gari. Asilimia kubwa ya madereva wa Uber gari zao ni guest, nyie mnaotumia huu usafiri kuweni makini sana. Hawa jamaa wanagongea mademu au mashoga humo humo ya gari, usipendelee kukaa seat za nyuma ni hatari sana.
Umaskini ni mbaya sana ndugu zangu maana utakuwa unakubali kushawishika kwa vitu vidogo, sahivi mashoga asilimia kubwa wanaliwa na madereva wa Uber sababu ya njaa. Hawa watu sijui wanatoa wapi pesa kwakweli, lakini ndo kwanza wanakaa sehemu nzuri kama mbezi Beach, Mikocheni nknk.
Ukiwapakia hawa watu ni wasumbufu sana wata kutongoza sana, nimekutana nao sana hawa watu na wengi wamenisumbua sana mpaka kero, kukuwekea offa ya laki 5, million kwao ni kawaida. Sasa kwa dereva ambaye ana njaa hapa hatoboi ataishia kuwala tu, bad news mpaka mastar nao hamna kitu, kuna msanii huwa siamini kama na yeye ni chakula yaani daah! hali ni mbaya sana. Kuna presenter maarufu kanisumbua sana na niliishia kumblock lakini bado akaendelea kunitafuta kwa namba nyingine, mpaka nikamwambia nitaavujisha chats zako ndo akatulia ila hali ni mbaya sana Mungu atusaidie.
Ukiwa HB na unajipenda hawa wanawake watakutongoza sana na hasahasa wamama wanasumbua sana “mashangazi”. Mademu watakusumbua sana, nyakati za usiku utapakia mademu ambao hawajielewi wamelewa na kama unatamaa utaishia kuwala.
Dar ni mkoa mchafu sana hasa kwa nyakati za usiku, ukitaka kuamini hili wewe jaribu kutembelea maeneo ya Sinza, Masaki ndo utaona ushenzi unaofanyika. Nyakati za usiku kwa Sinza mashoga kibao wanazagaa, Masaki kuna Malaya wengi sana. Kwa Mbweni ukisikia illegal issues ndo ziko huko kama sembe, utapeli bhasi huko ndo HQ yake kwa hapa mjini. Hii Dar ione hivihivi lakini ni chafu sana, mimi Dar naijua yote hakuna kitu utakacho nidanganya na ninazifahamu chocho zote.
Mimi nilikuwa natafuta hela na sikuzote pesa utazipata kwenye mambo ya hovyo, mfano mimi nilikuwa na connection za kuwapata madem wa kizungu, kichina, kihindi nknk, kupitia Masai-Ellias na pia kuna chocho ziko Posta unawapata wazungu ni hela yako tu. Mfano madem wa kizungu minimum Price wanacharge kuanzia $300 mpaka $1,000 inadepend na quality ya mwanamke, hapo ukimuanganisha kwa tajiri hukosi hata $100-200 ya kuweka mfukoni. Mimi nashida gani? kwenda kumchukulia foreigner demu na kumplelekea hotelini na kujipatia $100 kuna kazi hapo?.
Ukiwa kwenye hio biashara utakutana na vishawishi vingi sana ukiachana na mademu, pia kuna vishawishi vya kuingia kwenye dili za kikubwa kama sembe, kusafirisha wazamiaji nknk, point hapa kuacha tamaa maana unaweza ambiwa kila kichwa cha mzamiaji ni 2M afu uwapeleke Bagamoyo hapo ukipiga hesabu una 10M, ni wachache ambao wanaweza kuikataa hii offa.
Ishu ya mwisho na muhimu kwa Dereva wa Uber ni kuzingatia usafi wako binafsi, vaa pendeza chomekea kama vile unakwenda ofisini, pulizia na unyunyu wako freshy. Kwa weekend mimi nilikuwa nakula pamba safi nimetupia jeans na t-shirt afu chini nina raba yangu kali freshy.
Usishangae haya mambo kazi ya Uber ni ngumu sana na inataka moyo, wapo watakao kudharau, kupewa kejeli ni jambo la kawaida sana, muhimu hapa wewe mind your business usipende kubishana au kugombana na wateja itakucost, kubali kuonekana mjinga ila kwa faida yako.
Katika vitu ambavyo nilijitahidi sana kuvizuia ni pamoja na wife kupanda ile Ist, maana niliona natengeneza mikosi kwa mke na mtoto. Ndomana nilikuwa nikirudi break ya kwanza ni bafuni kuoga kutoa nuksi ndo mambo mengine yaendelee, lingine nilikuwa najitahidi sana kufanya usafi wa gari.
Biashara ya Uber ni rahisi sana kukutana na watu wapya na kupata Connection nyingi sana kama utakuwa smart. Maana huku ni easy kukutana na foreigners, Celebrities , pisi kali nknk. Just assume wastani kwa siku unabeba abiria 10 mara 30= 300, zidisha mara miezi 12= 3,600. Huu ni wastani tu nimetumia, sasa kwenye hawa watu 3,600 utakosa connection hapa???.
Dereva wa Uber ukilalamika Biashara ngumu bhasi jua wewe upo kundi hili,
1. Unategemea request tu
2. Umeendekeza Mademu/Starehe
3. Hujiongezi.
Wewe utaishia kulalamika Biashara ngumu.
insiderman1@yahoo.com
Ohh Pole sana. Sisi Binadamu ni watu wa ajabu sana , yaani unalipa kisasi kwa hata ambao hawahusiki.Mie kukutana na mwanamke mstaarabu ni ndoto kwangu
A very dream for me to become true
Faza angu alichepuka na kuzaa nje ya ndoa alafu mchepuko ni kisu balaa na anataka kuongoza ligi, maza alipokuja kugundua aisee ule mtanange uliotokea dadeeek israel na gaza wakasomee!!
Sikutarajia kama na mie nitaingia vitani, yaani kulogana ni jambo la kawaida
Bi mdogo kashindwa kumloga bi mkubwa(maza) kaja kuniloga mie kipenzi cha maza. so sad