Mkuu haujibu kabisa, nimekutumia emailMnaendeleaje wadau, shule imebana [emoji1544].
Mwenye swali lolote, uliza nikujibu. Karibuni.
Sidhani Kama walioweka Pm walikosea walikuwa na maana NZURI tu.kina maswali ya.siri nataka kumuuliza kuhusu JaneMbona umekazana na PM yake,,,,story kaiweka public,nawe fanya public,,,,tuheshimu privacy ya INSIDER MAN
EwaaaaaIpo wazi karibu, but niliweka Email
Inawezekana kirahisi?mbona aliwahi kumuuliza Insider Kama memjuaje Jane na Mambo kadhaa wewe ni hatariAlielezea kwamba huyo maza hakuwa na noma...
Haaaaa haaaaaaa kumbe mama J yupo humu ndani na hamsemi?natania banaKichwa yako imebeba meno.....huna akili
Katika episodes zote ulizosoma kama conclusion yako ndo hii kwa uhalisia wa situation ilivyo itoshe kusema huna maana
Mbona keshafungua Pm na nimesema nilichotaka .Acheni Makasiriko walioweka Pm walikuwa naa maana kubwa Acheni kuumiaTrue,amekazana tu loh
Kuna watu hawataki TuMpm Insider sijui kwa Sababu gani.Au Kuna ubaya kumpa mtu kule unakuwa huru zaidi maana Wanazengo tunawajuaNmeku pm mkuu
Kweli kabisa mwanaume gani hapa Duniani apindue kwa Irene?kila kitu anacho.mwache Mama J abane bane Irene yupo availableUjio wa Iryn ktk maisha ya Insider ndio mwisho wa mama J. Ila jamaa anajua kutuweka sawa. Inahitaji utulivu sana wa akili kujua mama J alijichenga.
Ukijibiwa niite mbwa niko paleMkuu haujibu kabisa, nimekutumia email
Episode zimeisha! Mnamtakia nini Insider?Hodi wakuu
Ndugu yetu Insider ametupia uzi wowote?? Hata wa kuliwa kwa vicky au Marry?
Mkuu umeweka email lakini mbona huzijibu??Ipo wazi karibu, but niliweka Email
Ukijibiwa mbwa atapiga mswakiMkuu umeweka email lakini mbona huzijibu??
kuna edna wa roma ramon [emoji16][emoji16]kwahiyo huyu Iryn na Khumbu wa Konda Msafi ni ipi pisi kali?
Inawezekana kirahisi?mbona aliwahi kumuuliza Insider Kama memjuaje Jane na Mambo kadhaa wewe ni hatari