Irene ni jini INSIDER MANVijana wa Rikiboy
Unajua habari ya inaendelea unakaa miezi minne kila siku unaingia kuangalia katoa nyingine ni kazi kubwa sana,Mmh! Kwamba husomi unasubiri iishe? Acha sound don
Hapo nimekusoma! Alosto za kujitakia sometimes inabidi kuzikataaUnajua habari ya inaendelea unakaa miezi minne kila siku unaingia kuangalia katoa nyingine ni kazi kubwa sana,
Alafu jf siku hizi wabovu sana kwenye kutoa notification.
Yeah mkuuKwahyo leadermoe mwamba alishavuta?
Ila kweli brain ziko tofauti jamani. Mfano hapa unataka ugundue Nini na utakusaidiaje ku improve maisha yako. Let say Ni uwongo ama Ni ukweli what and how you'll benefit. Take as just a story to enjoy,dadisi ishu za muhimu itapendeza like huu mktaba wa bandariMazingira ya mke wako.ulishatuweka wazi ni ukali wa mke wako na udadisi ilikuake akuruhusu urudi nyumbani kwako ukiwa umebadilisha Nguo?
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Hv ulisema Irene ni mtz?
Au alikuwa na kibali cha kufanya biashara tz?
Insider mbona unatumia neno alikuwa! Inamaana kwa sasa hayupo! Inamaana kwa sasa hayupo tz, na siyo investor na pia siyo mtz tena!Alikua ni Mtanzania, alizaliwa Muhimbili. Mama yake alikua ni Mu ethiopia ila alikua na urai wa Tanzania, kuhusu baba yake alikua ni M-south Africa ila hapa bongo alikua kama investor.
Insider mbona unatumia neno alikuwa! Inamaana kwa sasa hayupo! Inamaana kwa sasa hayupo tz, na siyo investor na pia siyo mtz tena!
Okay hapo sawa maana nimejiuliza maswali hapa inamaana hayupo tena! Au kimetokea nini! Hasa mpaka tutumie alikuwaMkuu nimekosea tu uandikaji “Ni Mtanzania” kwasababu ni story na matukio ya nyuma ndomana nikatumia hilo neno “Alikuwa”.
Okay hapo sawa maana nimejiuliza maswali hapa inamaana hayupo tena! Au kimetokea nini! Hasa mpaka tutumie alikuwa
Hongera kwa simulizi na uandishi wako mzuri big up bro! Ila kwa prisca unahitaji umakini na unatakiwa kumweliza ukweli wako kabla hujamla tena mara ya pili, hapo utakuwa salama!
TupiaAcha tuone huko mbele movie iliishaje