Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hakika, umenena vema mkuu...ingawa wote tu binadam, ila twa tofautiana kwa namna moja au nyingine, natural selection nayo haijawai kutuacha salama, kujua au kutokujua kitu inategemea factors nyingi Sana, huwezi kujua tatizo moja kwa moja hivyo Ni heri kutokuhukumu negatively....Tulikuja hatuna kitu yamkini tukarudi hatuna kitu...it all about nature

Kama ulivyosema, Muhimu kuheshimiana Tu, kuulinda utu wa binadam mwenzako
 
Ni kweli kabisa mkuu, heshima unayoihitaji wew kutoka kwa wengine, ndiyo heshima wanayostahili wengine kutoka kwako. It's very funny now days tunaishi maisha ya kishamba sana, tumeruhusu status zetu zitudifine mbele ya wengine na kusahau utu wetu ambao ni wathamani kuliko hivi tunavyovipa thamani.

Inafuraisha kuona kuwa mpo watu ambao mnaona thamani ya utu.
 
Hakika..
 
Hakika mkuu, Pamoja sana
 
Hili la jamaa kubaini Renny alaombwa linanikumbusha back days in 2013 UDSM pale shato point kwa mbele kuna swimming pool, demu kaingia kuogelea kaniachia simu na mazaga zaga ingine, kuingia kwenye chattings zake na rafiki yake demu anamsifia jamaa kwa rafiki yake alivyokuwa anamsugua last weekend ( na kweli weekend alienda Upanga) nilipata tumbo la kuharisha gafla, mahusiano yalikoma siku hiyo, nimalizie kwa kusema, ni senge tuu ndio atamwamini mwanamke manina
 
Simulizi hii ingekua ni kisa cha kweli siyo irn tu na mama j pia kwa maisha ya shigongo wetu huyu angekua na msela na ipo siku shigongo angekuja kuzifuma meseji za kuliwa tu
 
Kabisa anadanga kisomi
 
Mkuu unakula bata hii dunia hakuna kama wewe. Huna baya mkuu hata kama ni uongo wewe ndio Umeshikilia MMU kwa sasa hizi stori zinahamasisha sana ngono yaani kila nikisomanwakumbuka ma ex wangu. Hata huku kwenye udalali tunakutana na Mabinti kama huko kwenye Ubber.

Na ukimaliza hii namimi nitaleta yangu huku Mkuu nishafanya udalali hadi wa kuwatafutia watu mashoga na wasagaji yaani hizi kazi nyingine njaa inakufanya Ufanye biashara yoyote ile.

Unakutana na demu wa mtu unamtafutia nyumba kiwanja au biashara nyingine na mwisho wa siku unamkula.

Unakutana na mwananume ameoa kabisa anakupa dili ukamtafutie mtu wa kumfi....
 
I think she is not cheating but the guy she is chatting with is GAY
 
Shusha uzi huo kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…