Na Mimi unitag plspoa poa
Nasubiri aiseeUtashuka mkuu ngoja niuandike ili nikishuka nashuka jumla jumla
Inakera sana, ma meneja na wahasibu rangi nyeusi.hakuna kitu inakera kama hii kitu yaani. Mtu una ishi vizuri unapata mshahara mkubwa unapata muda wa kwenda kutomber ila unakosa muda wa kwenda bank watu wakapate hata hela ya kubadilisha mboga kama wewe? hata kama ni hadithi nafikiri wenye mamlaka epukeni saana mambo hayo yanaumiza sana. Mtu kuna muda anakosa hadi nauli ya kwenda lkazini alafu anasikia kuna mtu ame hold tu hela yake
sana mkuuInakera sana, ma meneja na wahasibu rangi nyeusi.
Yaani nimecheka Sana umeandika Kwa hisia Kali Sana ww jamaa😂😂😂Mkuu unakula bata hii dunia hakuna kama wewe. Huna baya mkuu hata kama ni uongo wewe ndio Umeshikilia MMU kwa sasa hizi stori zinahamasisha sana ngono yaani kila nikisomanwakumbuka ma ex wangu. Hata huku kwenye udalali tunakutana na Mabinti kama huko kwenye Ubber.
Na ukimaliza hii namimi nitaleta yangu huku Mkuu nishafanya udalali hadi wa kuwatafutia watu mashoga na wasagaji yaani hizi kazi nyingine njaa inakufanya Ufanye biashara yoyote ile.
Unakutana na demu wa mtu unamtafutia nyumba kiwanja au biashara nyingine na mwisho wa siku unamkula.
Unakutana na mwananume ameoa kabisa anakupa dili ukamtafutie mtu wa kumfi....
Njaa ni mbaya sana mkuu. Tumuombe Mungu tupate hela zetu tutulie na familia zetuYaani nimecheka Sana umeandika Kwa hisia Kali Sana ww jamaa😂😂😂
😄😄😄 SanaaaaNjaa ni mbaya sana mkuu. Tumuombe Mungu tupate hela zetu tutulie na familia zetu
Ni huzuni kwakwel😪Mkuu Eid inaisha bado bilabila???😭
Shusha uzi mzeeMkuu unakula bata hii dunia hakuna kama wewe. Huna baya mkuu hata kama ni uongo wewe ndio Umeshikilia MMU kwa sasa hizi stori zinahamasisha sana ngono yaani kila nikisomanwakumbuka ma ex wangu. Hata huku kwenye udalali tunakutana na Mabinti kama huko kwenye Ubber.
Na ukimaliza hii namimi nitaleta yangu huku Mkuu nishafanya udalali hadi wa kuwatafutia watu mashoga na wasagaji yaani hizi kazi nyingine njaa inakufanya Ufanye biashara yoyote ile.
Unakutana na demu wa mtu unamtafutia nyumba kiwanja au biashara nyingine na mwisho wa siku unamkula.
Unakutana na mwananume ameoa kabisa anakupa dili ukamtafutie mtu wa kumfi....
Usinisahau kwenye tela la kutag mkuu ukiweka storypoa poa
sawa mkuuUsinisahau kwenye tela la kutag mkuu ukiweka story
Na mimi pia usinisahau mkuusawa mkuu
Mkuu, hii ni story tu, why do you use such irritating words?Ugomvi wa Iryn na INSIDER MAN hauwezi kuisha, kwa sababu Iryn anamzidi sana Insider kiakili. Ukisoma hii story utagudua kwamba most of the times, he thinks through his buttocks rather than brain.