Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Agiza soda nakuja kulipa
 
Mkuu kwenye maisha kuna kukataliwa na kila mtu na kukubalika na kila mtu na kunyimwa na kila mtu na kupewa pia nankila mtu. Chagua fungu lako hapo
Kinachonishangaza ni huko kupewa pesa nyingi kila wakati ,tena bila kuvuja jasho
 
aasante bro jumapili sio mbali tunasubiri kwa hamu
 
Ukiwa unasoma utaona kama nilikuwa namkosea sana Mama J ila hamjui tu niliyovumilia. Mengi nilishayaandika nyuma, yeye ndo chanzo cha mimi kuanza kuchepuka.
Kwenye mahusiano huwa naamini lawama Kwa upande wowote ni shida. Maana huwa zinatengeneza sababu. Kingine pole Kwa kupelekwa jela na mtu unayemuamini. Alishindwa hata kufanya uchunguzi wa chini chini tu kabla ya kukuitia polisi aisee?.
Nahisi amejifunza maana amepoteza ndugu Kwa ujinga. Pia wakati mwingine Dunia inakugeuka kabisa. Kila kitu kinakua cheusi ndizi.
 
Stori si mnaya ila napata mashaka na uwezo wa muandishi wa kukumbuka kama vile alikua na recorder kipindi chake chote mpaka kuja kusimulia hapa,maana kukumbuka siku ya jumatatu wiki mbili nyuma kulikucha vipi mpaka giza sio kweli
punguza mamb flanflaan hv kumbukumbu zako ztakaa sawa alaf nna mashaka na ww hv hauna kchwa cha.panz.kwel ww huenda hata ww umejsaau
some of us are gifted sana muombe mungu we umekosa ampe member wa familia yako
pia pole sana
 
Hii kanuni wachache wanaielewa.Aliifafanua vizuri Robert Heriel.Ukiamua kuwa mwanaume lialia mke akirudi kwao hakuna rangi hautaiona.
 
kaka INSIDER MAN Unakula sana bata mjini na watoto wakali. Ila katika story yako inaonekana wewe ni wa kishua, umezaliwa kwenye familia zenye uchumi na maisha mazuri.

Nina swali muhimu sana kwako, hapo uliposema dada yako alikusaidia kuwa mwanaume Rijali je mwanzoni ulikuwaje maana kuna kitu nilikuwa nimeanza kuhisi tangu mwanzo wa story.

Najambo lingine INSIDER MAN nataka ujibu kwanini wanawake wanapenda sana wanaume wenye Viashiria vya Ushoga? yaani wale wanaume wenye tabia za kike kike mfano wanaopenda masuala ya urembo na mitindo, nk?

Mwisho japo sio kwa Umuhimu Nipe Connecton ya kazi hata huko ma viwandani au makampuni binafsi hata ya ulinzi, Masoko, sales, n.k
 
Duh, kumbe kupika ni ushoga, hakika uko mbali na dunia ya leo, na inaonekana wazazi wako hawajafanikiwa kukulea katika mazingira ya kujitegemea na kujisimamia wewe kama wewe, bado uko na safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra ndg, na pia itapendeza kama utamtaka radhi ndg insider kwa kauli yako yenye ukakasi juu yake,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…