Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mwanamke ambaye huja mdinya anakupangia mashariti
 
Kama mwanaume unajivunia kupika sio kabisa bana,why huna Matiti na mwanamke anayo. Lazima ukubali Kuna majukumu hayakuhusu. Let say majambazi wanavamia kwako ama chui anavamia kwako home labda anachukua mfugo ama anamkamata mwanao so utamwambia wife wako atoke nje apambane na hali iyo kweli?
Acha kujitoa ufahamu kisa umagharibi na elimu yake,
Kaulize Babu yako ama baba yake na Babu yako Kama aliyafanya hayo.
Ama huoni jogoo kazi yake na jike kazi yake ni nini???
Angalia hata kwa wanyama tu utaona kuwa Kuna utofauti Ila wewe binadamu unajifanya mjanja kisa reasoning brain ,
Ndio mana wanyama hawana hospital Wala hawapasuani wakati wa kuzaa Ila wewe binadamu na akili zako nyingi unapasuliwa upasuaji unazaa na unazo hospital. Simply because unaenda against na nature kwa mambo mengi mno,Ila wanyama just do their duties without reasoning or talking
 
wakishahit 50 ndio wataanza kugundua umuhimu wa ndoa!
ndoa ina umuhimu wake mkubwa sana (ukiachana na masuala ya kupeana utamu)
 
Kupika na matiti wapi na wapi wewe?
Once again, how old are you?
 
ID yako ibadili sasa maana haiendani na ulichoandika, unataka watu waishi kama babu zetu? , haya niambie kipi kikubwa hao babu zetu walifanya ambacho leo hii tunajivunia,au ndio hio Katiba ya Tanganyika ambayo yenyewe tulipewa muundo?,ki ufupi hakuna na angalau walistaarabishwa na hao wenye tamaduni unazobeza.Mwanaume ni mtu aliekamilika maana yake ni kwamba kila shughuli ya kibinadamu anaiweza kwa ufanisi wa asilimia mia moja iwe ni kupika na mengineyo . Mwanamke yeye ni kiumbe ambacho kinatafuta kukamilika maana yake kuna shughuli ambazo anafanya mwanaume yeye haziwezi kamwe na ili zifanyike lazima awe na mwanaume.

Shida ya wabongo wengi exposure ndogo na mnaona miaka 90 iliopita ni sawa na sasa. Hebu google angalia wapishi(Chef) wakubwa duniani wenye 3 Michelin Star wengi ni wanaume au wanawake.?
Ushawahi kushiriki Shughuli kubwa kama maharusi , Vipaimara au Maulid?. Asilimia kubwa wapishi ni wanaume , huu utaratibh haujaanza leo ni wa miaka kamuulize babu yako kama yupo hai , usije ukasema kwasabu wana nguvu za kupika chakula kingi maana haina mashiko.
Mwanaume unapaswa kujua kila kitu ambacho ni muhimu(Chakula kitamu katika orodha) kwako kwa asilimia mia moja , yaani ikitokea hata wanawake wotoweke ghafla hukosi chakula kitamu unachopenda kwa ujinga wako.
Kwa taarifa yako wanaume ndio wanaojua kupika kuliko wanawake , mfano angalia historia ya Pizza , Burger ,Sushi N.k
Man up bro , Remember .Ego is your enemy.
Nyie ndio mnaolia kilio mkiachwa , Ukikumbuka Pishi la Mwajuma jinsi ulivyokuwa ukilifurahia mpaka kububujikwa na machozi na Mwajuma kakuacha unalia kwa kugalagaza miguu[emoji51][emoji1787]
 
 
Mzee umeongea kwa hisia sana asipokuelewa na hapo basi apigwe mawe mpaka afe
 
Mtu anayepinga hili ajiulize Kama alifurahia kulelewa na mzazi mmoja,Kuna psychological strengthening anapata from both genders kwa makuzu ya yeye kukua ndio mana ni rahisi kumjua mtu hata ukubwani aliyelelewa na single parent
Ni Kweli
hakuna mtu anayefurahia/kujivunia kulelewa na mzazi mmoja.
 
Unajua hata wapumbavu nao wanaonaga wengine wapumbavu so it depends on which angle you are at that moment. Again inategemea na malezi na sehemu uliko lelewa; umekulia maporini huko mjini umekuja juzi utajua nini?
Bro hakuna cha kukulia pori au mjini, kama baba ako alikuwa na willing na anajisifu alikufundisha ukajua kupika sio baba ako, kama mama ako anajivunia jembe lake linajua kupika basi jiangalie. Ombi langu mwanao wa kiume mfundishe majukumu ya kiume usije kuwa kama baba ako. Ukasababisha mwanao aje aandike ujinga jf miaka hiyo.
 
Prisca anajua dada yake anampenda Insider. Hii ni advantage kwa Mary, Prisca akijua hawezi mind, mama yao anajua Prisca alikuwa anatoka na jamaa. Hii match ngumu na lazima mmoja ashinde.
EPISODE 12

PRISCA : “Mary angejua natoka na wewe na yeye angetaka kuja, afu hujui tu da Marry ana tufeelings kwako”

MIMI : “Nitawaoa wote hamna shida”

PRISCA : “Mshenzi kweli wewe, akanipiga na kibao kwenye paja”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…