Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hata nae ana watoto nimemkuta nao sio msukuma mtu wa pwani.
Hakuna sifa kwenye kutukuna mie mtu akinitukana namuona mwendawazimu nampuuza muda wa kutukanana sina sijalelewa hivyo akinishinda kwa kutukanana namshinda kwa kumpuuza.
 
Hata nae ana watoto nimemkuta nao sio msukuma mtu wa pwani.
Hakuna sifa kwenye kutukuna mie mtu akinitukana namuona mwendawazimu nampuuza muda wa kutukanana sina sijalelewa hivyo akinishinda kwa kutukanana namshinda kwa kumpuuza.
Wengine wapotezee tu; sio kila mtu lazima umjibu. Remember humu kuna watoto pia; they know nothing about life; wakikua watabadiri mitazamo yao. Kuna dogo mmoja anae shangaa mwanaume kupika, anafananisha eti na wakazi wa jiji la New York; nilimpotezea tu cause hajui kwamba huku majuu almost wanaume wote wanapika flesh tu. Narudia, sio kila mtu lazima umjibu
 
Nilishangaa pia kaka zangu wote wanajua kupika mdogo wangu kupika kulimsaidia Dubai akawa anajipikia gharama za kula nje zikapungua.

Baba yangu alikuwa anapika anakuna nazi anafua siku akiamua mkewe apumzike mie sijui kusonga ugali mume wangu anajua hupika kuna majukumu kwenye nyumba hunisaidia.
 
Thank you.
 
Umetema nyongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…