DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 318
- 1,597
34 iko wap mbona karuka???Mkuu INSIDER MAN tupe episode 36
Ipo mkuu rudi nyuma mdogo mdogo utaikuta34 iko wap mbona karuka???
Umepewaje u senior hapa JF kwa akili mgando hivyoAkupe upeleke wapi
Kijana fanya kazi akuchangie nani acha mserereko kwani wewe mlemavu watu tuna maisha magumu tunapambana ili tusifikie kudhalika na nkuomba kuchangiwa bora niombe niungishwe biryani.Shida zipo nimeamini mtu mpka unafikiria kuchukua maamuzi ambayo hukuwai kuyawaza mungu anisimamie kwakweli ataeguswa na maisha yng namba ya kunichangia ni 0682 324743
Inasikitisha sana yaani. Sasa hata akichangiwa hela kesho tu itaisha atarudi tena kuomba ?Kijana fanya kazi akuchangie nani acha mserereko kwani wewe mlemavu watu tuna maisha magumu tunapambana ili tusifikie kudhalika na nkuomba kuchangiwa bora niombe niungishwe biryani.
Unajiita Mtu Chuma alafu unaanza kulia lia ? Hapo ulipo una smartphone kwanini usiiuze hiyo simu upate mtaji uanze kuuza karanga ili upate kipato kwa jasho lako ? Usipende kutangaza shida zako watu tuna shida na tumechagua kufurahi tu. Uza simu upate Mtaji hata wa kuuza karanga.Shida zipo nimeamini mtu mpka unafikiria kuchukua maamuzi ambayo hukuwai kuyawaza mungu anisimamie kwakweli ataeguswa na maisha yng namba ya kunichangia ni 0682 324743
Ndio 😁😁😁si hana haya maisha magumu omba mchongo wa kupata pesa sio upewe pesa utapewa kila siku???!! Jibu hapana.Inasikitisha sana yaani. Sasa hata akichangiwa hela kesho tu itaisha atarudi tena kuomba ?
34 iko wap mbona karuka???
aliahidi wapi?, naomba uniTag na mimi nionehuyu jama kila siku napita kuangalia kama ameweka kwa kuwa aliahidi juzi kati hapa.
Mbona mambo ya mmmmmmmmh humu sio sana nenda kwenye uzi upo jukwaa la Entertainment unasoma uzi huku mate yanakudondokaNimeangalia post zake nikurushie link, kweli imeondolewa. Ila ilikuwa bonge haswa. Mengi ya mmmmmh labda ndio yamesababisha ikatemwa.. Ila haikuwa mbaya kutolewa
Akiweka nitag na mimihuyu jama kila siku napita kuangalia kama ameweka kwa kuwa aliahidi juzi kati hapa.
Kasema anataka kuwaoa wote; this mean Iryn is still aliveMwanamke atakayekufa ni Iryn
Okay ni vizuri kama yuko hai nilihisi Iryn kwasabu alionyesha kama mbeleni kutakuwa na mtu muhimu.sana atafariki so nika guess ni mrembo wetu IrynKasema anataka kuwaoa wote; this mean Iryn is still alive
Yaani chap; ombi la jamaa yako mod wamepita nalo. Halipo tenaKijana fanya kazi akuchangie nani acha mserereko kwani wewe mlemavu watu tuna maisha magumu tunapambana ili tusifikie kudhalika na nkuomba kuchangiwa bora niombe niungishwe biryani.
Atakuwa kafuta mwenyewe kwa aibu.Yaani chap; ombi la jamaa yako mod wamepita nalo. Halipo tena
Ingawa bado najiuliza; INSIDER MAN ana uhakika hawa watu wote aliowataja humu hakuna hata mmoja ambaye ni shabiki wa JF? Mwanamke kama Prisca na Mary (according to him ) anasema code alizotumia ni rahisi sana kuzi decode; again ile Audi Q7 hakuna hata siku 1 kawahi kwenda nayo kanisani KKKT ya Mbezi and hence waumini wenzie hata wazee wa kanisa wasimjue mwandishi? Hizi gari unique huaga wamiliki wanajulikanaga sana..., anyway huenda moja kati ya sababu why ana chukua muda mrefu kuja hewani ni hizi code nyingi anazo zitumia ili asijulikaneOkay ni vizuri kama yuko hai nilihisi Iryn kwasabu alionyesha kama mbeleni kutakuwa na mtu muhimu.sana atafariki so nika guess ni mrembo wetu Iryn
Mara nyingi watoa story kuna vitu huwa wanachanganya kwenye story Ili wasijulikane sio majina tu hata ofisi anaongelea ofisi ya saloon kumbe ni wanauza vinywaji Ili kupoteza kujulikanaIngawa bado najiuliza; INSIDER MAN ana uhakika hawa watu wote aliowataja humu hakuna hata mmoja ambaye ni shabiki wa JF? Mwanamke kama Prisca na Mary (according to him ) anasema code alizotumia ni rahisi sana kuzi decode; again ile Audi Q7 hakuna hata siku 1 kawahi kwenda nayo kanisani KKKT ya Mbezi and hence waumini wenzie hata wazee wa kanisa wasimjue mwandishi? Hizi gari unique huaga wamiliki wanajulikanaga sana..., anyway huenda moja kati ya sababu why ana chukua muda mrefu kuja hewani ni hizi code nyingi anazo zitumia ili asijulikane
hilo n suala bnafs mdogo anguIngawa bado najiuliza; INSIDER MAN ana uhakika hawa watu wote aliowataja humu hakuna hata mmoja ambaye ni shabiki wa JF? Mwanamke kama Prisca na Mary (according to him ) anasema code alizotumia ni rahisi sana kuzi decode; again ile Audi Q7 hakuna hata siku 1 kawahi kwenda nayo kanisani KKKT ya Mbezi and hence waumini wenzie hata wazee wa kanisa wasimjue mwandishi? Hizi gari unique huaga wamiliki wanajulikanaga sana..., anyway huenda moja kati ya sababu why ana chukua muda mrefu kuja hewani ni hizi code nyingi anazo zitumia ili asijulikane
Embu leo ni google hii Audi Q7 mie nazijua IST Harrier 😂BMW Porches G Wagon Ranges Ferrari na kadhalika ajab Audi Q7 sijui.Ingawa bado najiuliza; INSIDER MAN ana uhakika hawa watu wote aliowataja humu hakuna hata mmoja ambaye ni shabiki wa JF? Mwanamke kama Prisca na Mary (according to him ) anasema code alizotumia ni rahisi sana kuzi decode; again ile Audi Q7 hakuna hata siku 1 kawahi kwenda nayo kanisani KKKT ya Mbezi and hence waumini wenzie hata wazee wa kanisa wasimjue mwandishi? Hizi gari unique huaga wamiliki wanajulikanaga sana..., anyway huenda moja kati ya sababu why ana chukua muda mrefu kuja hewani ni hizi code nyingi anazo zitumia ili asijulikane