Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

🚮
 
Well
..kwakifupi who is in ur heart? Nani mwanamke umpendae?
 
Mama J mwambie tu ukweli kuhusu Iryn achague mwenyewe kusuka au kunyoa. Mwambie unaoa wake 2 kwa ndoa ya Bomani au kimila. Akikubali fine akikataa unakuwa umemaliza msala kirahisi tu.

Ni vema ukawa mkweli sasa hivi kuliko kusubiri ajue.. Na usimuoe bila kumwambia huu msala let her choose by herself .
Huko kwa Mary na wewe umezidi hao wawili ilikuwa poa tu
 
kwa kweli unajitahidi sana maana ni kazi kubwa kuandika na kukumbuka matukio kwa mpangilio sahihi kama unavyofanya, pia inakugarimu muda wa kutosha kutuletea hii story wakati na wewe unamajukumu makubwa yanakuangalia. big up bro
 
mama j ni mjamzito
 
Wewe jitulize wewe, umemuonea Huruma mama J wewe kama nani?
 
INSIDER MAN (naomba nieleweke vyema na mlengwa) vipande vinakuwa virefu kwasababu ya convos zisizokuwa na maana,,kuna sehemu nyingi zinakutaka uelezee kilichotokea tu basi... japo story inaelekea kuisha lakini usiimalize kwa uandishi mbovu namna hii
Stori aandike mwengine masharti mnaweka nyie, wabongo kwa ujuaji
 
Nina mashaka na hii benz ndugu yng namba za usajili T 22………EDB
 
Mkali INSIDER MAN umeisifia sana Benz. Hivi Benz ni gari ya kifahari sana au inachukuliwa kwa namna gani?.
Hata niwe na hela kiasi gani sijawahi kuwaza kumiliki Benz. Napenda TOYOTA. Nina sbb zipo za kupenda TOYOTA zipo wazi ni nyingi. Sio ksbb tumezizoea ukanda huu,hapana. Ipo sababu ya msingi sana. Nje ya TOYOTA ndoto yangu ni JEEP WRANGLER,hii ngoma naiota hatati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…