Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa mliojifunza upambanaji wa mwamba ebu mtusaidie kwenye engo ipi maana dude ni msingi kiuno kwa ailini na katobolea hapo if at all hii stori ni ya kweli.....chawa msinipopoe hatuwez kufanana the world would be a boring place to live
 
Ubarikiwe hujamshauri Insider tu Mimi nimepata ya kujifunza hapo.
 
Ila nitaimiss sana hii story.. ntasikia wapi tena iryn this mama j that, Jane hivi mara the element sijui lunch golden turip serena hotel coco beach samaki samaki teh teh! sijui nimeandika manini 🤣
 
1: Nini chanzo cha ugomvi wako na Lucy?
2:Jeni hajapata mwanaume?
 
Ahaaaa yahani kama nakuona vile mtoto wa Kirangi.
 
Asante sana bro Insider hakika umetuheshimisha sana kwa jinsi ulivyotiririka kwa mambo mengi mengi yalivyoendelea.Kuna mambo mengi ya kujifunza kutokana na matukio mengi uliyokutana nayo.Tunasubiri kwa hamu season III.
 
Masimulizi yako ya hapa hakuna aliyefungua code anayekujua na akakuuliza kuwa ni wewe uliyeleta historia ya maisha yako hapa?
Ok! Hadi sasa ni watu 3 tu ambao wanajua kinachoendelea kuhusu hii story.
1. Dullah
2. Allen
3. Sister

Nimetumia Code ambazo ni ngumu kufungua lakini ikitokea mmoja akamwambia mama J, bhasi code zote zitakuwa wazi, ila kwa sasa hata yeye
akisoma hawezi jua😀

Hadi sasa hakuna code iliyofunguka sababu watu niliowazungumzia hata JF hawaijui.😂

50% ya mambo niliyoandika yapo kwenye code 🔐.

Hadi sasa bado mmeshindwa kuwafahamu Mary na Prisca, mtu na dada yake wamefanana, hadi chuo anachosoma Prisca nikawaambia ni UDSM tena Law na mwezi huu ana graduate.

JF hakuna majasusi. Mama wawili nilishawapa code, kama bank mtu kashajua anafanyia ipi, kitengo chake niliwaambia, mara nyingi sana anatembea na MD.🤷🏻‍♂️
 
Samahani mkuu, hii uliandika kwa lugha ya kiingereza halafu ukatumia Google transalate??
 
Sahivi ruksa kunishauri kuhusu sakata la mama J. Huko nyuma watu mlikuwa na hisia kali sana nilikuwa nacheka tu, mlikuwa mnatoa ushauri kwa mambo yaliyopita.

Kwasasa unaweza kushauri kwa suala la mama J, maana siku atakayojua ukweli anaweza nichoma kisu. I feel karma, ila ninaamini kila kitu kinatokea kwa sababu, ni mipango ya Mungu.
 
Wengine umeturuka maswali yetu🤔🤔🤔
Kubali maoni ya watu, hata usemeje ukasirike.. Mary kicheche 🤮atakumaliza one day mkimbie haraka 😅😅😅

Ila tukia umekuwa mmmmmh.. Kubali nondoz ukipewa hata kama haupendi.

As umeruka makusudi haya tufukuze wengine kwa uzi wako.. Ciao utaelewa si Iryn kakufundisha na Gize wake eeeeh nikuite wivu. Mama J subiria tu, ila usimuumize tulia acha kuranda randa nae akipata marafiki wa kiume kama akina Jane akafungua nao biashara eeeeh.. Kweli haujamtamani Jane ukamsaidia uoekwe wewe wewe mmmmmh!!!
 
Kuhusu Mary, tuliachana hasa baada ya kugombana na mdogo wake ndo nikapata sababu. Kipindi anaenda Mwanza tulikuwa bado kwenye mahusiano huku natafuta njia ya kumkataa. Kitu kingine nilikuwa nadelay sababu sikuwa na mwanamke mwingine zaidi yake na mama J. Iryn ajifungue sikuwahi kulala nae hadi disemba ndo tulikutana tena.

Licha ya kuachana na Mary, ila bado akija Dar kusalimia ndo huwa ananicheki, anaomba tukumbushie. Lakini kwa sada ana mtu wake tayari, ila bado ananisumbua nimpe Dudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…