Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Lete story yako ya kweli kama unaona hii ni chai.
 
Hauna u smart wowote ....hiyo milion tano aliahidiwa tatu ndio akaongesewa 2 ikawa tano . Mzee watu wanahonga usifanye mchezo kama wakina harmonizer wanahonga range ....wakina musofe walihonga hadi nyumba


Punguza ushamba na ujuaji mkuu
 
Halafu wewe ni mshamba wa mwisho mishahara ta 45mil mbona kawaida tu kuna kipindi magu alilalamika mtu kulipwa 90milion kwa mwezi....mzee watu wanapesa Luna watu tz account zao zilikua zinaingiza laki Saba kwa dakika unazani huyu atahonga kiasi gani.


Alafu nilicho gundua kingine hujawahi kuwa rafiki na mademu wazuri umezoea kushinda na wakina mwajuma.
 
Wewe nawe ni mshamba hujawahi kuwa na urafuki na mtoto wa Kishua utotoni mwako na hujawahi kuwa na urafiki wa karibu na watoto wazuri ndio maana mnabisha yaani jamaa haya anayo hadithia ni yapo na kawaid a sana
 
Hii inadhihirisha umekulia Bush kiasi gani mzee wewe ni mgeni mjini lami umeiona miaka ya hivi kaeibuni
 
Eti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.

Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
We kweli kiazi
 
Madereva wa uber wanavyoongoza Ku lala kwenye magari mwezetu analala kwa iryn kutwa nzima ..

Nauliza hela ya mafuta alikuwa anapata wapi ?
Kumbuka Kuna zile trip mbili kilasiku asubuhi na analipwa kila mwisho wa mwez we boya
 
Mtunzi anahariri hadithi yaje ili asije akaleta story za uongo, nilishampa onyo nadhani anatekeleza matakwa yangu ya kuedit story yake, akimaliza atawaletea.
Hii story inaweza ikaishia njian hivhiv kwa upuuz wenu, sijui hua mnapata ujira gan, hamuwez mkaacha tunao fuatilia tuka storika kwa amani,

Sent from my BKK-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu insider acha kusikiliza Hawa wajinga wajinga kitu ambacho nikuambie Kuna vitu vya msingi Sana tunajifunza kupitia story yako kwahiyo Kaka tunaojifunza Ni wengi.sana kuliko hao wapumbavu.,ombi langu endelea kushusha nondo
 
Ni simple sana,

Kwenye nyuzi kama hii kwa wale wote unaoona mnapishana mawazo, fungua profile yake afu pale juu ya vidoti vitatu bonyeza ignore, hautawahi kuona chochote anachopost sehemu yoyote ile. Tulifanya hili kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kwa watu kadhaa na mwishoni kabisa wao wenyewe wali surrender. Tupitie humo naamini itakua msaada zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…