Uzalendo u aelekea kuisha
Lete story yako ya kweli kama unaona hii ni chai.NAONA MMEAMUA KUMTETEA BWANA WENU.
Tajiri niliobahatika kukutana nao ni wagumu Sana kwenye malipo.
Swali langu nauliza Hata kama story ni ya ukweli.
Ila kwa mtu mwenye jicho la tatu lazima ujue msimuliaji kaamua kuongeza sukari kunogesha genge.
City vingi anavyooongea havina.uhalisia na haviendani na maisha ya sasa.
Kama iryn aliweza Kubagain nae malipo mwanzoni kabisa mpaka ikawa laki 3 sidhani sass ataweza kuwa mrahisi kutoa hela ovyoovyo kwa kiasi hicho.
From no where muajemi anakupa million 3.
From no where prisca tena mwanafunzi wa chuo anakupa laki 3.
Ofa unapata wewe tu.
Hadi umemsahau mke wako.
Mzee hizi kamba zako tumegundua usitupange Sana punguza.
Hauna u smart wowote ....hiyo milion tano aliahidiwa tatu ndio akaongesewa 2 ikawa tano . Mzee watu wanahonga usifanye mchezo kama wakina harmonizer wanahonga range ....wakina musofe walihonga hadi nyumbaWatu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,
hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.
Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....
hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....
mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....
Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Halafu wewe ni mshamba wa mwisho mishahara ta 45mil mbona kawaida tu kuna kipindi magu alilalamika mtu kulipwa 90milion kwa mwezi....mzee watu wanapesa Luna watu tz account zao zilikua zinaingiza laki Saba kwa dakika unazani huyu atahonga kiasi gani.Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,
hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.
Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....
hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....
mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....
Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Wewe nawe ni mshamba hujawahi kuwa na urafuki na mtoto wa Kishua utotoni mwako na hujawahi kuwa na urafiki wa karibu na watoto wazuri ndio maana mnabisha yaani jamaa haya anayo hadithia ni yapo na kawaid a sanaNimesoma story nyingi Sana.
Kiukweli mwanzo ilikuwa ni stori ya ukweli Ila baada ya kuona Ina mashabiki wengi akaanza kuongeza chumvi.
Yaani haina uhalisia wa maisha ya kawaida .
Kupewa million kwake ni kitu cha kawaida.
Wateja wake wote wazuri hajawahi kupakia demu mbovu.
Yaani yeye kupewa iPhone 13 kawaida ,Mara kapewa kwenye bahasha laki 3 Mara .
Tips kwenye Hii stori zimekuwa nyingi Sana kuliko hata kazi.
Kiukweli hii fiction acha tuone mwisho unakuaje.
Hii inadhihirisha umekulia Bush kiasi gani mzee wewe ni mgeni mjini lami umeiona miaka ya hivi kaeibuniYaani watu kama hawa hatukatai kusimulia story.
Ila mazingira ya madereva wa bolt au.uber hayako kama yeye anavyotaka kutuaminisha.
Uber yake amepanda waziri halfu akaanza kupiga nae story Sana na alisema sio mpenzi wakuongea na wateja.
Uber yake haijawahi kupata hasara siku zote mafanikio tu.
Madereva maisha yanavyowapiga na hela ya mafuta Ila yeye anaweza kwenda kiwanja akatumbua hata laki moja ikawa kawaida.
Stori now imefika kiasi kwamba hapati hata muda wa kazi Anaweza kushinda kwa iryn au prisca akasahau kupiga kazi...sasa sijui hela ya mafuta alikuwa Anapata wapi ?
We kweli kiaziEti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.
Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
Kumbuka Kuna zile trip mbili kilasiku asubuhi na analipwa kila mwisho wa mwez we boyaMadereva wa uber wanavyoongoza Ku lala kwenye magari mwezetu analala kwa iryn kutwa nzima ..
Nauliza hela ya mafuta alikuwa anapata wapi ?
Sawa me kiazi nakubali we nitukane tu ila me sikurudishii nisije pata ban nikakosa kuwaokoa wajinga kama nyinyi dhidi ya vitu vya uongo.We kweli kiazi
Hii story inaweza ikaishia njian hivhiv kwa upuuz wenu, sijui hua mnapata ujira gan, hamuwez mkaacha tunao fuatilia tuka storika kwa amani,Mtunzi anahariri hadithi yaje ili asije akaleta story za uongo, nilishampa onyo nadhani anatekeleza matakwa yangu ya kuedit story yake, akimaliza atawaletea.
Mimi sio ngoromiiko kama wewe unaeona mtu kula kutumia pesa zake ni anasaWewe Una Exposure gani ya maana hadi muda huu ?
Jamaa hapo kwenye pepeta umenikumbusha mbali sana kipindi hicho nipo seluu msolwaMatajiri wakula korosho
Masikini mnakula pepeta za ifakara na kisaki au mgeta au chita