Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Balozi nyingi programme officer/manager tunakunja kuanzia 70m-100m kwa mwaka sembuse hao sent staff kama mama yake Irene.aanze tu na ubalozi wa Us wanapo tangaza nafasi za kazi hua wana onesha na annual salary ya kazi ambayo hata mkuu wa idara kibongo bongo hafikishi kwa mwaka ...
apo mtu ana lamba 49M / annual ukifika managerial position uko si ndo kijana utaanza temea watu mate barabarani 😂😂