Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kumpa kijana kuwa 2M ni ya kuvutia Shisha na Moet chupa Moja😀😀😀😀Namna unavyo argue vitu umu ndani mtu anaweza determine umri ulio nao maana kwa mtu ambae amesha kua exposed na maisha hivi vitu hata hawezi shangaa ila nyie vijana wa kisasa ndo mnaona ni vitu vya ajabu wakati bongo hii kuna watu wana spend mpaka mishahara ya mabosi wenu ofisini kwa usiku mmoja
refer attachment
Venye mtu analipwa Moet😀😀😀😀Usiwe unajibu kila comment mkuu, wengi wa wanaojitia ujuaji NI wageni humu jf na wengi wao wanaishi huko Namtumbo na wengine ni walimu wa shule za Msingi huko Tandahimba
Mtu anayelipwa Mshahara Laki 3 si rahisi kuamin kuwa hapa Tanzania kuna binadam wanaolipwa zaidi ya Mil 50 Kwa mwezi.
Umekuwa mjinga wa kwanza ungekaa kimya ungepungukiwa na kipi.2025DG kubishana na huyu mwamba ni kumpa attention tu ya bure na kupoteza mda anaenjoy kuona wengi wanamjibu just msimpe attention na msimjibu muone kama ataendelea[emoji4]
Mhh... kwenye ulimwengu wa biashara za kiafrika ukiwa muongaji basi huna maisha marefu kwenye business..coz wanawake wengine Wana mikosiMZEE HAUFANANII NA JINA LAKO TAJIRI UNAOGOPA KUHONGA 34 MILLIONI AISEEE!!! HAYA SIKIA KAMA NI CHAI ACHA TUBURUDIKE HIVYO HIVYO
Sent using Jamii Forums mobile
Yah unachoongea mwanzo story ilihakisi ukweli Ila sifa zimemzidia ameamua adanganye tu kaona mafala yamekuwa mengi humu ndani.kula kulalapunguza chai zisizo na maana kama story imeisha sema ukweli sio kuongezea Hadith zisizo na maana za kufikirika....ulianza vizuibut mwishoni sifa zikakujaa kama kawaida yenu madereva..
Mnapenda kujisifia Kwa mamb yasiyo na maana!!refer madereva wenzako tabia zenu.
Kwani kasema hawaletei story yenu mbona mihemuko nyie.Ndugu Insider hawa hater wasikuyumbishe, hawa wapo tu nyuzi zote humu utawakuta, sio kwamba hawapendi story n jeuri tu
We endelea tu mzee baba unless uwe umeamua mwenyewe kuishia hapa ila isiwe hawa ndo wamesababisha utakua umewakuza wakati n wapuuzi tu wajuaji
Sent from my BKK-LX2 using JamiiForums mobile app
Google usiwe mweupe.Samahani hivi hizi simu za IPhone 13 ni bei gani maana naona inazungumziwa sana hapa
Fanya chap kabla sijasusa[emoji17]Kaka tunaendelea msijali, nataka niwape episode 2 leo, Mwanaume kamili unaanzaje kususa?
Mbona hayo ni mambo ya kawaida kwenye hizo INGO na UNAchana kubishana na watu ambao hawako exposed na maisha
We jamaa sawa ni chai acha sisi tuuinywe lv'bonz kama unatumia sanaCHAWA PROMAX ...
STORI INALETWA USIJALI.