Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Namna unavyo argue vitu umu ndani mtu anaweza determine umri ulio nao maana kwa mtu ambae amesha kua exposed na maisha hivi vitu hata hawezi shangaa ila nyie vijana wa kisasa ndo mnaona ni vitu vya ajabu wakati bongo hii kuna watu wana spend mpaka mishahara ya mabosi wenu ofisini kwa usiku mmoja
refer attachment
Umeamua kumpa kijana kuwa 2M ni ya kuvutia Shisha na Moet chupa Moja😀😀😀😀
Akajambie mbele kuleeee...
 
Usiwe unajibu kila comment mkuu, wengi wa wanaojitia ujuaji NI wageni humu jf na wengi wao wanaishi huko Namtumbo na wengine ni walimu wa shule za Msingi huko Tandahimba

Mtu anayelipwa Mshahara Laki 3 si rahisi kuamin kuwa hapa Tanzania kuna binadam wanaolipwa zaidi ya Mil 50 Kwa mwezi.
Venye mtu analipwa Moet😀😀😀😀
 
2025DG kubishana na huyu mwamba ni kumpa attention tu ya bure na kupoteza mda anaenjoy kuona wengi wanamjibu just msimpe attention na msimjibu muone kama ataendelea[emoji4]
Umekuwa mjinga wa kwanza ungekaa kimya ungepungukiwa na kipi.
 
punguza chai zisizo na maana kama story imeisha sema ukweli sio kuongezea Hadith zisizo na maana za kufikirika....ulianza vizuibut mwishoni sifa zikakujaa kama kawaida yenu madereva..

Mnapenda kujisifia Kwa mamb yasiyo na maana!!refer madereva wenzako tabia zenu.
Yah unachoongea mwanzo story ilihakisi ukweli Ila sifa zimemzidia ameamua adanganye tu kaona mafala yamekuwa mengi humu ndani.kula kulala
 
Ndugu Insider hawa hater wasikuyumbishe, hawa wapo tu nyuzi zote humu utawakuta, sio kwamba hawapendi story n jeuri tu

We endelea tu mzee baba unless uwe umeamua mwenyewe kuishia hapa ila isiwe hawa ndo wamesababisha utakua umewakuza wakati n wapuuzi tu wajuaji

Sent from my BKK-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Insider hawa hater wasikuyumbishe, hawa wapo tu nyuzi zote humu utawakuta, sio kwamba hawapendi story n jeuri tu

We endelea tu mzee baba unless uwe umeamua mwenyewe kuishia hapa ila isiwe hawa ndo wamesababisha utakua umewakuza wakati n wapuuzi tu wajuaji

Sent from my BKK-LX2 using JamiiForums mobile app
Kwani kasema hawaletei story yenu mbona mihemuko nyie.
 
Ndugu yangu INSIDER kwanza pole kwa majukumu na hekaheka za kutafuta riziki
mimi ni mfuatiliaji wa story yako infact story hii ina uhalisia hata kama sio kwako kuna watu wanaishi maisha hayo hapahapa Tanzania endelea na uzi wetu pendwa wasikukatishe tamaa kama walivyomkatisha jamaa mmoja alileta uzi wake wa Hatma ya Maisha yangu yapo kwa kijana wa buguruni
 
INSIDER MAN tulikuomba usiwasikilize wapuuz lkn kutokutuwekea muendelezo maama yake umetusharau na sisi.


Binafs naona kama ulivyoamua kuja na story hii nzuri bila kuomba asaante...ulipashwa kuendellea nasi. Lkn umehamia kea mjinga 2025DG na maaluni wenzie baasi tunaacha kuinhiaakila mara kuona kama umetuwekea. Binafsi sissomi comment ya mjinga yyt.

Mytake. Nimepata maarifa nkwako
1 nimejifunza kwenda na kanuni katika KAZI zangu.

2. Nimejifuza kutokuwa na tamaa ili kujenga uaminifu na kuilinda ofsi yangu.

3. Nimejifunza kuipenda kazzi yangu na kutengeneza connection.

4. Wewe ni kijana mtanashati na muaminifu na huongozwi na hitaji la mwili. Mm kama Binti nimebaki kuwa na tabia kama Yako ya kutoshoboka na mtu.

5. Kubwa zaidi heshima. Unamheshim mama wa2, na watoto. Umemheshm saana ilyin

6. Wewe INSIDER MAN ni mjasiliamali nimependa pale ulivyoanza biashara na wakati unafanyakazi Kwa mchina ulikuwa focussed.

7. Na mwisho japo si kwa umuhimu ni unatumia elim na akili Yako vzr
 
Back
Top Bottom