Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

"Bhasi pale palikuwa na Kuku ziko kwenye dishi na beef, mimi nikaanza kuchoma kuku baada ya kuona hata kuchoma hawajui. Nikachoma kuku kwa ustadi mkubwa mpaka wao wakabaki wanashangaa, nikawauliza kama kuna foili wakasema ipo, nikaiichoma ile beef vizuri , jamaa walinikubali sana ile siku."

Hapa [emoji115][emoji115]naona unajichukulia points 3 muhimu kwa Irny
 
Maisha ni vita kamili ndio maana kila siku watu wanasema wanapambana. Atumie njia yoyote asiache hata Tsh. 100. Hakuna tuzo yoyote atapata kwa kusamehe urithi. She must apply every kind of opportunity to exploit her father's wealthy.
nyie ndo wale watata kwenye vikao vya familia.
 
IMG_1898.jpg
 
Back
Top Bottom