Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Bonge la story usimuliaji Bora kabisa,pia kuuna story flani ilikuwa anasimulia dada flani nayo nzuri pia imepotea siioni ilikuwa inasema kutoka kula kumla kimasihara mpaku badilisha maisha yake?? Msaada mwenye link please.

Story waliiunga kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, kisha msimuliaji akaghairi kuendelea.
 
Mzee umemla mtoto wa watu umekesha naye na umeshinda naye siku nzima na bado ukampa Afu 10. 😂😂😂😂😂

We jamaa ni bahili sana, nashangaa mpaka sasa dada zetu JF hawajasema neno
Hana shida na hela uelewe. Alikuwa ana kiu naye. Anayekuhitaji kabisa Ile kutoka moyoni hela hachukui anajisikia vibaya Kama amekuuzia labda wewe umpe tu kitu Kama zawadi
 
Back
Top Bottom