Missy Gf
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 5,441
- 15,201
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID nyingine bhana..eti DungaMawe!!!...hahahhahaTATIZO VIJANA WANAIGA NA KUFEK MAISHA
Bonge la story usimuliaji Bora kabisa,pia kuuna story flani ilikuwa anasimulia dada flani nayo nzuri pia imepotea siioni ilikuwa inasema kutoka kula kumla kimasihara mpaku badilisha maisha yake?? Msaada mwenye link please.
[emoji23][emoji1787][emoji6][emoji6][emoji38]! Wanahita kuliwa kimasihala!Nimependa tu namna usivyokama wanaume wengine. Kama ni hao ninaowajua, wangesha mla iIryin.
Siku moja mtu niliyemuamini tulilewa sana asb najikilita nine najisiwa. Nilichukia sana.
Stivu akeKuna mmasai mmoja hapa jf alijifanya anajua kuandika story.. wanaojua kutag wamtag aje ajifunze kuandika story
What do u mean by saying u don't give a fvck .......I don't give a fvck kama hii story ni ya kweli au chai,what i can say ni kwamba hii story imeenda shule..
Big up INSIDER.
ID yangu ina shda gan mkuuID nyingine bhana..eti DungaMawe!!!...hahahhaha
Sijali..What do u mean by saying u don't give a fvck .......
DungaMawe mtaani ni mtu fulani hivi miyeyusho sana.ID yangu ina shda gan mkuu
Kumbe,shukraniStory waliiunga kwenye uzi wa kula tunda kimasihara, kisha msimuliaji akaghairi kuendelea.
Hana shida na hela uelewe. Alikuwa ana kiu naye. Anayekuhitaji kabisa Ile kutoka moyoni hela hachukui anajisikia vibaya Kama amekuuzia labda wewe umpe tu kitu Kama zawadiMzee umemla mtoto wa watu umekesha naye na umeshinda naye siku nzima na bado ukampa Afu 10. 😂😂😂😂😂
We jamaa ni bahili sana, nashangaa mpaka sasa dada zetu JF hawajasema neno
AmekubaliWhat do u mean by saying u don't give a fvck .......
Vijana wana uzungu mwingiAmekubali