Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Bonge la story usimuliaji Bora kabisa,pia kuuna story flani ilikuwa anasimulia dada flani nayo nzuri pia imepotea siioni ilikuwa inasema kutoka kula kumla kimasihara mpaku badilisha maisha yake?? Msaada mwenye link please.
Nadhani ni yule dada aliyezaa Mapacha
 
Hivi wakuu mpaka hapa tulipofikia kila moja list yako ya GREATEST Story tellers wa JF ni ipi?. Mimi japo sijasoma nyingi lakini hawa jamaa wafuatao nawaheshim
1. leadermoe R.I.P
2. UMUGHAKA
3. INSIDER MAN
4. LwandaMagere
5. Bado Sijasoma nyingine ila kuna room ya kupatikana wa nafasi hii km nikikuta story matata 😀
I appreciate Mkuu

Thank You🙏
 
Hivi wakuu mpaka hapa tulipofikia kila moja list yako ya GREATEST Story tellers wa JF ni ipi?. Mimi japo sijasoma nyingi lakini hawa jamaa wafuatao nawaheshim
1. leadermoe R.I.P
2. UMUGHAKA
3. INSIDER MAN
4. LwandaMagere
5. Bado Sijasoma nyingine ila kuna room ya kupatikana wa nafasi hii km nikikuta story matata [emoji3]

Mkuu nashukuru ila kuna mtu anaitwa singanojr anastory moja nzuri sana.
 
Hivi wakuu mpaka hapa tulipofikia kila moja list yako ya GREATEST Story tellers wa JF ni ipi?. Mimi japo sijasoma nyingi lakini hawa jamaa wafuatao nawaheshim
1. leadermoe R.I.P
2. UMUGHAKA
3. INSIDER MAN
4. LwandaMagere
5. Bado Sijasoma nyingine ila kuna room ya kupatikana wa nafasi hii km nikikuta story matata 😀
Hiyo list Yako ni batili linapokosekana jina la Analyze.....mpee maua yake....

Unamuachaje kwanza Analyse
 
Back
Top Bottom