Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

M
Ilimbidi jamaa achague pesa au mbususu, jamaa kachagua pesa.

Kadri story inavyoendelea jamaa anaendelea kupoteza wateja kisa mbususu.
Umeambiwa uber kipindi hicho inazingua bado unapata dili la million 2 per month nje ya kazi(+Zile za kina aggy na mama wawili) unasema anapoteza wateja eboh
 
Bado Greziman...hii inaitwa mtu 3 ndani ya track moja. ( Insider man, Muajemi na Greziman).

Wote wanataka mpelekea moto Iryn...Grez keshakaa kitambo...

Insider na njaa inamsumbua ataachia mzigo tu au atakuwa mshika pembe tu...keshapewa mate basi ameridhika na ameshapewa ajira atakuwa anaogopa hata kumshika kiuno boss wake Iryn.
Aiseee
 
Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,

hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.

Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....

hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....

mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....

Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]

Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Wewe ndo unachanganya mkuu, japo yaweza kuwa ni story ya kutunga nadhani una kausahaulifu kidogo au haufuatilii vizuri matukio: kuhusu 5M ni kwamba muajemi mwanzo alikuwa amemuahidi 3M na endapo jamaa angeifanya kazi vizuri angeweza kupanda dau zaidi ndio maana unaona alitoa hiyo 5M ikiwa na ongezeko la 2M tofauti na alivyomuahidi hapo kabla.

Kuhusu mtu kulipwa 45M per month, unaweza usiamini hasa ukiwa umezoea kupata hivi vimshahara vyetu vya serikali kuu ambavyo unafanya kazi kubwa kweli kweli tena ukienda kazini kwa usafiri wa umma umelipa Tsh500/= nenda irudi 1000/= ila kwa makampuni binafsi hiyo ni pesa ya kawaida tena ukute mtu mwenye cheo kikubwa na mzoefu wa muda mrefu ambazo nyuma yake kuna udhamini wa watu weupe, sio jambo la kushangaa.
 
Hela ya mafuta anapata wapi? Jamaa alishasema iryn anampa laki 3 wikiend,, bado ana abiria mmoja mmoja anaowapakiza,, bado wale watoto wa shule anao mama wawili na maggy. Mbona stori iko simple inaeleweka hakuna haja ya kukaza kichwa
Sema anatakiwa kuwa na consistency maana navyoona kadri story inavyozidi kwenda mbali kuna mahali anajichanganya yaani kuna mahali alikuwa anamuongelea Mary lakini anaonekana kumshusha getini Prisca. Kwa kifupi mwamba anupiga mwingi na hata kama yaweza kuwa fiction. Nimeipenda na tangu juzi nilivyoiona bado nakomaa nayo.
 
Story ni ya kweli, ila hakunaga chakula bila viungo vya madoido. Hii huongeza ladha.

Kuna sehemu anatupiga kamba, ila walau sehemu kubwa ya story ina uhalisia.

Tafadhalini tusimkatishe msimuliaji..
Hata mimi nimeliona hilo pia, kwa mfano kuhusu Iryn kutokuwa na gari alisema hapendelei sana kuwa na gari lakini alipewa pesa na mfaransa anunue gari na tayari akampanga Insider man aigize kama dereva wake ambae pia alikuwa anamlipa kila mwezi, naona kisa kimeshindwa kuweka wazi kama mfaransa ndo aina ya gari alilokuwa amekubaliana na Iryn. Pia hakuweza kubainisha kwamba ni kwa nini Iryn aliishi kwenye apartment na sio home kwao ukizingatia ukwasi wa marehemu mama yake aliokuwepo nao.
 
M

Umeambiwa uber kipindi hicho inazingua bado unapata dili la million 2 per month nje ya kazi(+Zile za kina aggy na mama wawili) unasema anapoteza wateja eboh
Punguza kuwaza kwa kutumia hisia kama mwanamke mkuu.

Umeona niliyemquote alisemaje?? Au umekurupuka tu kujibu?
 
Muhimu sana katka hii episode ya 30

Wale wenye vipato vya kati ,wastani ,juu Zaid jitahidini sana Sana mtoe sadaka hasa kwenye haya makundi ya watoto yatima Kuna baraka nyingi Sana mtazizoa mbeleni " Kuna baraka ambAzo kwa kikawaida uziona Ila mbeleni utapiga sna hatu kubwa kimaisha ikiwa unajali haya makundi muhimu

Otherwise insider Mani Ni MBUZIII TU
 
Back
Top Bottom