Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 48

Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.

CONTINUE…

Nilikuwa na Mzuka sana kwakweli lakini baada ya kutoka pale kwake kuelekea Pharmacy niliwaza, vipi kama Sumaiya anatumiwa na Iryn??. Pili niliona kulala naye nitaleta matatizo tu kwangu, maana Sumaiya ni mropokaji hachelewi kutangazia watu.

Mzuka ulinikata na niliamua kuondoka tu hata mzuka wa kununua Condom ni kama ulinikata, pia nilianza kijilaumu ilikuwaje mpaka nikataka kufanya ujinga ule?.

Sumaiya alianza kupiga simu kwa kasi baada ya kuona muda umepita sitokei na mimi sikutaka kupokea simu zake. Alipiga kama mara 4 hivi lakini sikuhangaika na simu zake kabisa, maana nilijua lazima atakuwa anaulizia niliko. Muda huu alituma pia message lakini sikumjibu na mimi niakendelea na safari yangu.
******

Jumamosi ni siku ambayo tulikuwa na kikao na tulifanyia pale Whitesand Hotel. Tulichagua hapa sababu tuliona ndo sehemu nzuri ya kufanyia kikao na imetulia. Na tulikubaliana muda wa kuanzaa kikao iwe saa 12 jioni tupate na Dinna ya pamoja.

Nilijiandaa mapema sana maana nilikuwa natakiwa kwenda kumpitia Iryn pale kwake then twende Whitesand. Nilipendeza sana hii siku maana nilitupia jeans ya Blue niliyoletewa zawadi na Iryn, nilivaa shati ya draft na chini nilipiga zangu buti za kahawia na nikavaa miwani niliyopewa na Mary. Ile miwani ilinipa credit sana maana nilikuwa kama doni flan hivi, kama ningesimamisha pisi isingenichomolea kabisa.

Niliwasili kwa Iryn mapema na yeye alikuwa bado anajiandaa, kwa upande mwingine Lucy na Sumaiya walikuwa wameshawasili eneo la tukio tayari kwaajili ya kuweka mambo sawa.

Baada ya dakika 15 Iryn alitoka akiwa na mwonekano wa tofauti kama nilivyomzoea, na alikuwa kapendeza sana, kuanzia mwonekano wa nywele mpaka mavazi.

“Bossy wangu umependeza sana kuliko siku zote.”

“Mmhh kweli mimi naona nimezingua eti. Hata wewe umependeza hizo glass zimekukaa vizuri sana.”

“Sidhani kama kuna ambaye atakufunika pale.”

“Si unajua mimi ni Managing Director? lazima niwe na utofauti.”

Iryn baada ya kuona mimi nimevaa miwani na yeye akaenda kuvaa yake. Tukawa tume match.
Tuliondoka pale japo tulikuwa tumechelewa kama nusu saa hivi.

Tuliwasili pale Hotelin na baada ya kupark gari tulishuka na tuliongozana tumeshikana mikono. Tuliwakuta wote wamefika tayari na walikuwa wamekaa nje kwenye majani, tulichagua pale nje ili tuwe tunapigwa na upepo wa bahari.

Mpaka tunawasili pale kwenye table tulikuwa tunapigwa macho sana, maana tulikuwa tumewaka balaa. Sumaiya muda huu alikuwa ananipiga jicho kali sana, toka like sakata litokee hatukuwai kuwasiliana tena.

Tulikaa katikati mimi na Iryn na pembeni yangu alikuwepo Lucy na upande wa Iryn alikuwa amekaa Sumaiya.

Nilisimama muda huu na nilifanya utambulisho mfupi kuhusu dhumuni la kikao hichi kilichoandaliwa na Meneja Iryn. Kwa ufupi lengo la kikao lilikuwa ni kutoa taswira na maendeleo ya biashara pamoja na kupokea ushauri na mapendekezo mbalimbali, ili kuboresha utendaji wa kampuni.

Iryn alisimama akaongea na yeye pia alitoa wito wa kutohudhuria kwa Mama Janeth sababu ya majukumu ya kiofisi. Muda huu aliweza kutoa pongezi kwa namna kila mmoja anavyojitolea kwenye kampuni. Pia aliweza kuzungumzia faida zilizopatikana kwenye kampuni na masuala mengine.

Iryn aliniongezea majukumu mengine ya kazi siku hii na alisema ripoti za mauzo zitakuwa zinatumwa kwanza kwangu, then mimi ndo nitakuwa ninamtumia yeye. Pia alitangaza kufunga ofisi ya Sinza na wafanyakazi wote wa kule watahamia Mikocheni kwenye ofisi mpya. Alitoa sababu ya kuifunga ofisi ya Sinza ni pamoja na mauzo hafifu na idadi ndogo ya wateja kwa upande ule.

Na muda huu Iryn alininong’oneza nikachukue zile simu kwa gari na mimi nilimtuma mhudumu akazichukue na ndani ya dakika 10 alikuwa karudi.

Iryn aliwataja wafanyakazi wake bora akiwemo Lucy na mimi. Na aligawa zawadi za simu kwa dada wawili.

“Rebecca nakupa hii zawadi sababu wewe ndo mfanyakazi pekee wa muda mrefu uliyebaki pale ofisini, wengi wanakujaga wanakukukuta wanakuacha. Julieth na wewe nakupa zawadi hii kama motivation naona unafanya vizuri kwa sasa. Hizi zawadi mtazifungua mkifika kwenu na sio hapa, nafikiri tupate dinna mengine yaendelee.”

Saa moja usiku tulipata dinna ya pamoja. Ilikuwa ni buffee unajisevia unachotaka wewe kula.

Baada ya kula kila mtu alianza kutoa ushauri na mapendekezo yake na mimi nilikuwa naandika kwa notebook. Na baada ya kila mtu kutoa ushauri, Iryn alisimama tena na alitoa bahasha ndogo nyingi kwenye mkoba wake na aligawa kwa kila mtu.

“Ahsanteni sana kwa muda wenu my family sina cha ziada hapa maana tunakwenda sehemu nyingine kumalizia usiku wetu. Nawaona wote mmependeza sana na hizo bahasha ni nauli za kurudia kwenu badae.”

Kwenye hichi kikao mwanaume nilikuwa peke yangu asee, nilikuwa zimezungukwa na warembo tu. Ukweli sikuwa napenda ila nilikuwa sina jinsi ndo kazi inayonipa kula sikuwa na jeuri.

“Insider tunakwenda wapi baada ya hapa?”

“Tunakwenda Kidimbwi Bossy.”

“Ulifanya booking maana tuko wengi sana.”

“Kwa siku kama leo hakunaga watu wengi tutapata meza hata usiwe na wasiwasi.”

Tulitoka pale Saa 2 usiku na tulikwenda moja kwa moja mpaka pale Kidimbwi kwenda kumalizia usiku wetu.

Baada ya kuwasili pale tulipelekwa kwenye table, sababu tulikuwa wengi ilibidi tuunganishe meza.

Tuliagiza vinywaji kila mtu anavyopendelea na baada ya mhudumu kuleta vinywaji kila mtu alianza kunywa. Mimi nilikuwa busy sana na Iryn tunapiga story,

MIMI: “Leo tunakwenda kulala wote sawa?”

IRYN: “Mama Junior anataarifa hizi?”

MIMI: “Sijisikii tu kwenda home au hutaki tukalale wote?”

Muda huu story zilikuwa zimetawala kwa wote, na kila mtu alikuwa na furaha sana.

REBECCA: “Sumaya hizi Savanna unazozinywa kwa pupa zitakuaibisha wewe shauri yako.”

SUMAIYA: “Best usiwe na shaka nikilewa Insider atanipeleka mpaka kwangu anakujua, hata usiwe na shaka, najua atanipeleka tu.”

Sumaiya aliropoka kwa nguvu kila mtu alisikia na Iryn alinipiga jicho moja kali sana muda huu. Kila mtu alikuwa ananiangalia mimi kusikia nitasema nini, maana walikuwa dilemma hawajui waamini nini kama ni kweli au Sumaiya kalewa. Kwa upande wangu niliendelea kuwa busy na glass yangu ya bia kama hakuna nilichosikia pale. Sikutaka kuongea lolote muda huu maana ningeongea Sumaiya angeendelea kuropoka na nilijua amelewa tayari.

Iryn alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Sumaiya na nilianza kuona mabadiliko yake taratibu. Maana hata ile furaha yake kama ilianza kupotea, Lucy ndo alikuwa makini sana akishuhudia mabadiliko ya Iryn alikuwa amekaa pembeni yake.

Tulikaa pale mpaka saa 5 usiku Iryn akaniambi tuondoke anataka akalale. Tuliwaaga pale na tukaondoka lakini barabarani tulikuwa kimya sana, hatukuwa na maongezi yoyote kama sikuzote. Wakati tunakaribia maeneo ya mzimuni Iryn alianza kuniongelesha,

IRYN: “Nikajua unaondoka na Sumaiya.”

MIMI: “Kwani naishi naye? Mpaka niondoke naye?”

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana mara hii ushapajua kwa Sumaiya? Nilihisi mapema sana kuna kitu kinaendelea kati yenu.”

MIMI: “Unamuamini Sumaiya? Ipo hivi juzi nilikwenda Masaki kuonana naye ili tupange mipango ya leo. Ilikuwa usiku tayari wakati naondoka, aliomba lift na baada ya kunielekeza anakaa Kinondoni karibu na biafra nikaona nipite huko ili niepuke na foleni ya Morocco. Sijampeleka kwake kama anavyodai niliishia barabarani na yeye akachukua bodaboda. Sumaiya amelewa yule ndomana anaropoka.”

IRYN: “Mhh sawa bhana Insider hakunaga siri hapa duniani.”

MIMI: “Trust me nishindwe kudate na wewe nimkimbilie Sumaiya si nitakuwa nimerogwa?.”

IRYN: “Sawa bhana haina shida.”

Na muda huu tulikuwa tushafika getini tayari kwenye apartments na mlinzi alifungua geti nikaingiza gari ndani. Baada ya kufika usawa wa apartment yake nilipark gari na nikamshika paja lake,

MIMI: “Leo nalala na wewe kama hutaki nambie niondoke.”

IRYN: “Insider be serious at this time on night?.”

MIMI: “Niondoke au tunalala wote?”

IRYN: “Impossible you have to go now, Mama Junior anakusubiri.”

MIMI: “Okay shuka mimi niondoke niwai kwa mama Junior.”

Baada ya kushuka mimi niliondoka kwa spidi sana, wakati nimefika Usawa wa viwanja vya Tanganyika pakers, Iryn alianza kunipigia simu. Na alipiga mara 2 nikamvungia, sikutaka kupokea simu zake ili asijione yeye ndo special sana kwangu, niliamua kumkazia tu.

******
Jumapili asubuhi baada ya kutoka kanisani misa ya asubuhi niliwasiliana na Jane akanambia anategemea kurudi Dar es salaam jioni. Pia alisema jumatatu itabidi tuonane na aliomba niende na Mary pale kwake Mbweni.

Kwa upande mwingine Jane alikuwa yuko sawa hata sauti yake ilikuwa ishaanza kurudi kwenye hali yake. Tuliongea mambo mengi muda huu pamoja na maendeleo ya pale home pamoja na ndugu zake na alinishukuru sana kwa kuendelea kumjali mama yake.

Mchana nikiwa zangu home nimetulia nilipigiwa simu na Muajemi na akanambia leo ataonana na Iryn.

“Bro hajakusumbua kuonana?”

“Hajasumbua kabisa na leo nataka nifanye kama ulivyonielekeza.”

“Sawa wewe mchane ukweli ili ujue kama mpo pamoja au laah!.”

“Pamoja Bro! nitakupa mrejesho. Jioni nitatuma usafiri ukamchukue kwake.”

Ukweli muda huu nilianza kuingiwa na kawivu fulani hivi maana niliona tunda lishakwenda tayari kwa Muajemi. Nilikuwa nakumbuka ile Benz ambayo anataka kutoa kama zawadi nilijua Iryn hawezi kuchomoa, niliona anaweza hata mkubalia kwa kupretend ili aipate ile gari. Niliwaza Iryn anakwenda kuonana na Muajemi lakini hata hajanambia kabisa na sio kawaida yake.

Nilitoka home na hii siku nilikwenda zangu kushinda kwa Prisca na nikirudi home jioni.

Usiku nilitamani sana kumpigia simu Muajemi ili nijue wamefikia wapi lakini Roho ilikuwa inasita. Maana nilikuwa nakumbuka Muajemi alisema atanirudia lakini hakufanya hivo.

Jumatatu asubuhi nilifanya mawasiliano na Mary na nikampa taarifa za kurudi kwa Jane na yeye alizifurahia sana taarifa hizi. Tulipanga pale saa 10 jioni twende wote kule Mbweni kwa Jane.

Saa 6 mchana nilikwenda Masaki kwaajili ya kuonana na fundi, kulikuwa na kazi ya kufanya service za mashine za Saloon, hivyo ilibidi nikapange naye masuala ya bei.

Baada ya kuwasili pale nilikutana na Sumaiya na alikuwa kaninunia balaa, hataki kabisa kuongea na mimi. Hata baadhi ya wafanyakazi wa mle ndani walihisi something fishy kinaendelea kati yetu.

MIMI: “Kumbe hata wewe huwa unanuna? Utafikiri mtoto.”

SUMAIYA: “Insider wewe ni mzinguaji sana, Ilikuwaje ukaniacha na ny*ge zangu?.”

MIMI: “Ndo hicho kilichofanya unune?”

SUMAIYA: “Umenikera sana ujue sitamani hata kukuona, ulikuwa unanichora?”

MIMI: “Sikia sio nilikuwa nakuchora baada ya kutoka pale akili yangu ilirudi. Hivi unafikiri mimi ningewaza kukufvck kwako? Siwezi fanya huu ujinga. Unajua mimi sijui lolote kuhusu wewe, I don’t care unalipa kodi wewe au unalipiwa ila siwezi kukula kwako never. Maben ten ndo wanaweza ila mimi siwezi kabisa, kama hili lilikukera utanisamehe.

SUMAIYA: “Sawa sasa kwanini uninipe jibu ukaniacha vilevile na simu ukawa hupokei, unaona ulikuwa sawa?”

MIMI: “Kwa hili sikuwa sawa ndomana nimekuomba msamaha, mpaka sasa nikikumbuka hizo chuchu zako upwiru unapanda, your so hot mrembo.

SUMAIYA: “Insider unajitahidi sana kuwa na maneno matamu ila ulichonifanyia ni ukatili.”

MIMI: “Leo nakupeleka mgahawa wowote hapa Masaki utakaotaka tukale lunch sawa?”

SUMAIYA: “Sawa Bossy haina shida, nimefurahi pia sahivi nitakuwa na report mauzo kwako, nafikiri utakuwa poa.”

MIMI: “Sawa mimi sina shida ila naomba uniahidi kuanzia leo utakuwa na nidhamu pale napokuwa na Iryn, deal?”

SUMAIYA: “Mimi naropokaga tu ili nione reaction ya Queen, ukweli Queen anakupenda Insider pia unabahati ya kupendwa na mrembo kama yule ila unazingua shauri yako.“

MIMI: “Nitafanya kweli usijali best yangu.”

SUMAIYA: “Naomba uniahidi jambo pia, toka unifanyie vile najikuta nina aibu sana na wewe, sijui kwanini.”

MIMI: “Jambo gani?”

SUMAIYA: “Anyway bhasi, twende lunch nadhani ushaelewa nilichotaka kuongea nini.”

MIMI: “Nimekuelewa mtoto mzuri twende ukapate lunch.”

Nilishinda pale na fundi mpaka anamaliza kazi. Saa 8 mchana niliondoka pale Masaki na nilikwenda Mbezi Beach ili nimpitie Mary pale kwao, maana alikuwa akinisubiri ili twende Mbweni.

Baada ya kuwasili pale kwao Mary alitoka na tukaondoka kwenda Mbweni na tulitumia dakika 30 kuwasili pale kwa Jane.

Nilipiga honi na dada alitoka kufungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark.

Baada ya kushuka tuliingia ndani na tulimkuta mama akiwa seblen pamoja na watu wengine na tuliwasalimia wote. Mama alikuwa kafurahi sana baada ya kutuona na alikuwa akiongea na Mary, maana toka twende Tabora Mary hakurudi tena pale Mbweni.

Na muda huu Jane alitoka na wakaishia kukumbatiana na Mary, hata ndugu zake wengine wakabaki wanashangaa.

“Wow mdogo wangu Mary I’m glad to see you here again.”

“Thank you my sister.”

Jane alikuwa anaoneka ameanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida, pia mimba yake ilikuwa inaonekana kuzidi kuwa kubwa sana.

Jane alinishukuru sana kwa kuwa msaada kwake kipindi chote cha msiba , na alimshukuru sana Mary kwa kujitoa kwake kipindi chote cha msiba.

JANE: “Mary jinsi ulivyojitoa kwenye huu msiba na nilikuwa sikufahamu, niseme wewe ni zaidi ya ndugu kwangu. Insider naomba mimi na wewe tutoke nje nina maongezi kidogo private na wewe.

Muda huu tulitoka pale seblen na tulikwenda kukaa Garden ndo tulifanyia maongezi pale.

MIMI: “Niambie shem wangu kwanza nipe ripoti za huko maendeleo kwa ujumla.”

JANE: “Nashukuru Mungu ndugu zake Pama wamenipokea vizuri sana, hasa walivyosikia hili la ujauzito wamenipenda sana.”

MIMI: “Hivi mama yake alikuwa hajui kabisa kinachoendelea?”

JANE: “Mama yake Pama alikuwa anajua kila kitu na tulishawai kuongea kwenye simu lakini hatukuwai kuonana live.”

MIMI: “Vipi kuhusu wake wenza tukianza na Mrs Pama.”

JANE: “Hahahaaa Mrs hana usemi, tumeongea vizuri na hajaonesha sign yoyote, amesema atakuja kunitembelea hapa nyumbani. Kwa upande wa mke mwingine yule mwenye watoto wa2 naye hana shida maana nimchempuko mwenzangu tu.”

MIMI: “Nimefurahi sana kusikia hivyo kama Mrs Pama hajaonesha sign yoyote. Na vipi kuhusu mirathi kuna habari zozote umezipata?”

JANE: “Bado ila kila kitu tutajua mwezi wa 7 mwishoni, maana tutarudi tena kwaajili ya mirathi.”

MIMI: “Hongera sana na vipi kuhusu Mzee Juma anasemaje?”

JANE: “Mzee Juma hana usemi zaidi amesema atakuwa anakuja kila mwisho wa mwezi kuangalia maendeleo yangu.”

MIMI: “Unaonaje weekend hii tukaenda mpaka Bagamoyo wewe ukiwa kama Dereva? Ukiendesha hii barabara ndefu tena ya mkoani utapata ujuzi.”

JANE: “Kweli? Mimi sina shida Insider, hii idea yako nimeipenda sana.”

MIMI: “Usiwe na wasiwasi nitakuambia siku gani twende uzuri hapo Bagamoyo hata sio mbali.”

Nilimua kufanya hivi ili kumfurahisha Jane na pia nilitaka kuona uwezo wake wa barabarani kama amemasta au laah. Mimi naamini gari ili uzoee inatakiwa uingie barabarani ndo utajifunza vizuri na kuelewa sheria zote taratibu.

Baada ya maongezi na Jane alimwita Mary pale garden na yeye alikwenda ndani. Baada ya dakika 5 alirudi akiwa ameshika bahasha 2 za kaki.

“Ndugu zangu hizi ni Pesa naombeni mpokee.”

Muda huu sisi tulimkatalia kuzipokea zile Pesa na tulimwambia Jane sisi tulifanya kwa kujitolea na sio kulipwa, hivyo hatuwezi kuzipokea zile pesa zake.

JANE: “Insider ninafamu kujitoa kwenu kwangu, Insider ulinitumia ile budget nimeona kulikuwa na surplus ya milioni 2 na laki 4. Najua hii pesa ilitoka mfukoni kwako kinyume na taratibu. Umoja wa kina Pama umerudisha cost zote zilizotumika hapa na kule kwa Mrs Pama, gharama zote zilitakiwa kuwa juu yao. Wamenikabidhi Pesa zote na zaidi, sasa kuna haja gani ya mimi kuzificha wakati wewe ulitoa pesa zako mfukoni na unamajukumu?, na bado nimepewa pesa za michango ya msiba. Naombeni mpokee kwa moyo mweupe maana ni haki yenu.”

MARY: “Wifi kwa Insider ni sawa ila mimi hapana.”

JANE: “Mary mdogo wangu naomba upokee ingekuwa ni michango sawa ila zimetoka kwa kikundi naomba muwe na amani kama mtakataa nitawawekea kwa simu.”

Ilibidi tupokee tu maana hatukuwa na jinsi muda ule. Tuliendelea kupiga story pale mpaka saa 1 usiku ndo tukamuaga Jane tunaondoka.

Baada ya kufika kwenye gari kila mtu alifungua bahasha yake, mimi nilikuwa nimewekewa milion 5 na Mary aliwekewa milion 2.

Tukiwa njiani tunarudi niliongea na Mary na nilimuomba sana awe anamtembelea Jane kila anapopata nafasi. Mary hakuwa na shida na alisema hilo jambo lilikuwa kwenye plan zake tayari.

Ukweli baada ya kusikia maneno ya Mary nilikuwa nafuraha sana. Kwa upande wangu niliona Mary angekuwa mtu sahihi kwa Jane, sababu alikuwa anajitambua na alikuwa ana akili za kiutu-uzima.

Baada ya kuwasili pale kwao nilimvuta nikamkisi mdomoni “mwaaah”.

“Mary byee uwe na jioni njema, msalimie mama mkwe.”

“Usijali Insider takecare.”

Mary aliondoka na mimi nilikuwa namwangalia mpaka anapotelea ndani ndo nikaondoka maeneo yale.

Muda huu akili ilikuwa inaniambia niende kwa Iryn maana alinambia kuna mzigo kaagiza anategemea ungeingia kesho Jumanne, hivyo nilitaka kwenda kwake ili kucomfirm.

Kwa upande mwingine toka sakata la Jumamosi la kutokupokea simu zake, tulikuwa hatuja wasiliana kabisa. Muajemi naye hakunipa feedback yoyote kuhusu kuonana na Iryn hivyo nikaplan nikitoka kwa Iryn nitampigia simu.

Niliwasili pale kwa Iryn na nikapark gari usawa wa Apartment yake na nikapanda ghorofani. Niligonga mlango akatoka kufungua muda ule ule maana alikuwa seblen na baada ya kuingia ndani nikamkumbatia kwa nyuma.

MIMI: “Nambie Bossy wangu I have missed you bad badly.”

IRYN: “Mmh! Insider umeanza lini unafiki? wakati simu zangu hupokei? Leo nimekupigia 2 times ulikuwa unatumika lakini hujani call back.”

MIMI: “Ooh sorry sijaona kama ulinicheki afu nilikuwa Masaki kwaajili ya kumwangalia fundi then nikaenda Mbweni kwa Jane amerudi tayari.”

IRYN: “Kuhusu Masaki utanitumia report na Jane anaendeleaje?”

MIMI: “Yuko sawa now lakini sio sana hivyo.”

IRYN: “Atakaa sawa tu ila asiwe na mawazo sana ni mjamzito, inaweza kumpelekea shida.”

MIMI: “Mary will takecare of her, I trust Mary. Nambie lakini weekend yako jana iliishaje.?”

IRYN: “Insider kuna jambo naomba tuongee ila uwe honesty na mimi. Hivi kwanini ulikuwa unanitumia mimi kupata pesa kutoka kwa Muajemi?. Ulishawai hata sikumoja kunambia unashida nikakunyima? Kwanini ukaona utu wangu haufai kwako?.

TO BE CONTINUED
Hapo sasa, utajibu nn iryn kaujua unankuwadia siajabu muajemi kaamua kusema ukweli,
 
EPISODE 48

Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.

CONTINUE…

Nilikuwa na Mzuka sana kwakweli lakini baada ya kutoka pale kwake kuelekea Pharmacy niliwaza, vipi kama Sumaiya anatumiwa na Iryn??. Pili niliona kulala naye nitaleta matatizo tu kwangu, maana Sumaiya ni mropokaji hachelewi kutangazia watu.

Mzuka ulinikata na niliamua kuondoka tu hata mzuka wa kununua Condom ni kama ulinikata, pia nilianza kijilaumu ilikuwaje mpaka nikataka kufanya ujinga ule?.

Sumaiya alianza kupiga simu kwa kasi baada ya kuona muda umepita sitokei na mimi sikutaka kupokea simu zake. Alipiga kama mara 4 hivi lakini sikuhangaika na simu zake kabisa, maana nilijua lazima atakuwa anaulizia niliko. Muda huu alituma pia message lakini sikumjibu na mimi niakendelea na safari yangu.
******

Jumamosi ni siku ambayo tulikuwa na kikao na tulifanyia pale Whitesand Hotel. Tulichagua hapa sababu tuliona ndo sehemu nzuri ya kufanyia kikao na imetulia. Na tulikubaliana muda wa kuanzaa kikao iwe saa 12 jioni tupate na Dinna ya pamoja.

Nilijiandaa mapema sana maana nilikuwa natakiwa kwenda kumpitia Iryn pale kwake then twende Whitesand. Nilipendeza sana hii siku maana nilitupia jeans ya Blue niliyoletewa zawadi na Iryn, nilivaa shati ya draft na chini nilipiga zangu buti za kahawia na nikavaa miwani niliyopewa na Mary. Ile miwani ilinipa credit sana maana nilikuwa kama doni flan hivi, kama ningesimamisha pisi isingenichomolea kabisa.

Niliwasili kwa Iryn mapema na yeye alikuwa bado anajiandaa, kwa upande mwingine Lucy na Sumaiya walikuwa wameshawasili eneo la tukio tayari kwaajili ya kuweka mambo sawa.

Baada ya dakika 15 Iryn alitoka akiwa na mwonekano wa tofauti kama nilivyomzoea, na alikuwa kapendeza sana, kuanzia mwonekano wa nywele mpaka mavazi.

“Bossy wangu umependeza sana kuliko siku zote.”

“Mmhh kweli mimi naona nimezingua eti. Hata wewe umependeza hizo glass zimekukaa vizuri sana.”

“Sidhani kama kuna ambaye atakufunika pale.”

“Si unajua mimi ni Managing Director? lazima niwe na utofauti.”

Iryn baada ya kuona mimi nimevaa miwani na yeye akaenda kuvaa yake. Tukawa tume match.
Tuliondoka pale japo tulikuwa tumechelewa kama nusu saa hivi.

Tuliwasili pale Hotelin na baada ya kupark gari tulishuka na tuliongozana tumeshikana mikono. Tuliwakuta wote wamefika tayari na walikuwa wamekaa nje kwenye majani, tulichagua pale nje ili tuwe tunapigwa na upepo wa bahari.

Mpaka tunawasili pale kwenye table tulikuwa tunapigwa macho sana, maana tulikuwa tumewaka balaa. Sumaiya muda huu alikuwa ananipiga jicho kali sana, toka like sakata litokee hatukuwai kuwasiliana tena.

Tulikaa katikati mimi na Iryn na pembeni yangu alikuwepo Lucy na upande wa Iryn alikuwa amekaa Sumaiya.

Nilisimama muda huu na nilifanya utambulisho mfupi kuhusu dhumuni la kikao hichi kilichoandaliwa na Meneja Iryn. Kwa ufupi lengo la kikao lilikuwa ni kutoa taswira na maendeleo ya biashara pamoja na kupokea ushauri na mapendekezo mbalimbali, ili kuboresha utendaji wa kampuni.

Iryn alisimama akaongea na yeye pia alitoa wito wa kutohudhuria kwa Mama Janeth sababu ya majukumu ya kiofisi. Muda huu aliweza kutoa pongezi kwa namna kila mmoja anavyojitolea kwenye kampuni. Pia aliweza kuzungumzia faida zilizopatikana kwenye kampuni na masuala mengine.

Iryn aliniongezea majukumu mengine ya kazi siku hii na alisema ripoti za mauzo zitakuwa zinatumwa kwanza kwangu, then mimi ndo nitakuwa ninamtumia yeye. Pia alitangaza kufunga ofisi ya Sinza na wafanyakazi wote wa kule watahamia Mikocheni kwenye ofisi mpya. Alitoa sababu ya kuifunga ofisi ya Sinza ni pamoja na mauzo hafifu na idadi ndogo ya wateja kwa upande ule.

Na muda huu Iryn alininong’oneza nikachukue zile simu kwa gari na mimi nilimtuma mhudumu akazichukue na ndani ya dakika 10 alikuwa karudi.

Iryn aliwataja wafanyakazi wake bora akiwemo Lucy na mimi. Na aligawa zawadi za simu kwa dada wawili.

“Rebecca nakupa hii zawadi sababu wewe ndo mfanyakazi pekee wa muda mrefu uliyebaki pale ofisini, wengi wanakujaga wanakukukuta wanakuacha. Julieth na wewe nakupa zawadi hii kama motivation naona unafanya vizuri kwa sasa. Hizi zawadi mtazifungua mkifika kwenu na sio hapa, nafikiri tupate dinna mengine yaendelee.”

Saa moja usiku tulipata dinna ya pamoja. Ilikuwa ni buffee unajisevia unachotaka wewe kula.

Baada ya kula kila mtu alianza kutoa ushauri na mapendekezo yake na mimi nilikuwa naandika kwa notebook. Na baada ya kila mtu kutoa ushauri, Iryn alisimama tena na alitoa bahasha ndogo nyingi kwenye mkoba wake na aligawa kwa kila mtu.

“Ahsanteni sana kwa muda wenu my family sina cha ziada hapa maana tunakwenda sehemu nyingine kumalizia usiku wetu. Nawaona wote mmependeza sana na hizo bahasha ni nauli za kurudia kwenu badae.”

Kwenye hichi kikao mwanaume nilikuwa peke yangu asee, nilikuwa zimezungukwa na warembo tu. Ukweli sikuwa napenda ila nilikuwa sina jinsi ndo kazi inayonipa kula sikuwa na jeuri.

“Insider tunakwenda wapi baada ya hapa?”

“Tunakwenda Kidimbwi Bossy.”

“Ulifanya booking maana tuko wengi sana.”

“Kwa siku kama leo hakunaga watu wengi tutapata meza hata usiwe na wasiwasi.”

Tulitoka pale Saa 2 usiku na tulikwenda moja kwa moja mpaka pale Kidimbwi kwenda kumalizia usiku wetu.

Baada ya kuwasili pale tulipelekwa kwenye table, sababu tulikuwa wengi ilibidi tuunganishe meza.

Tuliagiza vinywaji kila mtu anavyopendelea na baada ya mhudumu kuleta vinywaji kila mtu alianza kunywa. Mimi nilikuwa busy sana na Iryn tunapiga story,

MIMI: “Leo tunakwenda kulala wote sawa?”

IRYN: “Mama Junior anataarifa hizi?”

MIMI: “Sijisikii tu kwenda home au hutaki tukalale wote?”

Muda huu story zilikuwa zimetawala kwa wote, na kila mtu alikuwa na furaha sana.

REBECCA: “Sumaya hizi Savanna unazozinywa kwa pupa zitakuaibisha wewe shauri yako.”

SUMAIYA: “Best usiwe na shaka nikilewa Insider atanipeleka mpaka kwangu anakujua, hata usiwe na shaka, najua atanipeleka tu.”

Sumaiya aliropoka kwa nguvu kila mtu alisikia na Iryn alinipiga jicho moja kali sana muda huu. Kila mtu alikuwa ananiangalia mimi kusikia nitasema nini, maana walikuwa dilemma hawajui waamini nini kama ni kweli au Sumaiya kalewa. Kwa upande wangu niliendelea kuwa busy na glass yangu ya bia kama hakuna nilichosikia pale. Sikutaka kuongea lolote muda huu maana ningeongea Sumaiya angeendelea kuropoka na nilijua amelewa tayari.

Iryn alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Sumaiya na nilianza kuona mabadiliko yake taratibu. Maana hata ile furaha yake kama ilianza kupotea, Lucy ndo alikuwa makini sana akishuhudia mabadiliko ya Iryn alikuwa amekaa pembeni yake.

Tulikaa pale mpaka saa 5 usiku Iryn akaniambi tuondoke anataka akalale. Tuliwaaga pale na tukaondoka lakini barabarani tulikuwa kimya sana, hatukuwa na maongezi yoyote kama sikuzote. Wakati tunakaribia maeneo ya mzimuni Iryn alianza kuniongelesha,

IRYN: “Nikajua unaondoka na Sumaiya.”

MIMI: “Kwani naishi naye? Mpaka niondoke naye?”

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana mara hii ushapajua kwa Sumaiya? Nilihisi mapema sana kuna kitu kinaendelea kati yenu.”

MIMI: “Unamuamini Sumaiya? Ipo hivi juzi nilikwenda Masaki kuonana naye ili tupange mipango ya leo. Ilikuwa usiku tayari wakati naondoka, aliomba lift na baada ya kunielekeza anakaa Kinondoni karibu na biafra nikaona nipite huko ili niepuke na foleni ya Morocco. Sijampeleka kwake kama anavyodai niliishia barabarani na yeye akachukua bodaboda. Sumaiya amelewa yule ndomana anaropoka.”

IRYN: “Mhh sawa bhana Insider hakunaga siri hapa duniani.”

MIMI: “Trust me nishindwe kudate na wewe nimkimbilie Sumaiya si nitakuwa nimerogwa?.”

IRYN: “Sawa bhana haina shida.”

Na muda huu tulikuwa tushafika getini tayari kwenye apartments na mlinzi alifungua geti nikaingiza gari ndani. Baada ya kufika usawa wa apartment yake nilipark gari na nikamshika paja lake,

MIMI: “Leo nalala na wewe kama hutaki nambie niondoke.”

IRYN: “Insider be serious at this time on night?.”

MIMI: “Niondoke au tunalala wote?”

IRYN: “Impossible you have to go now, Mama Junior anakusubiri.”

MIMI: “Okay shuka mimi niondoke niwai kwa mama Junior.”

Baada ya kushuka mimi niliondoka kwa spidi sana, wakati nimefika Usawa wa viwanja vya Tanganyika pakers, Iryn alianza kunipigia simu. Na alipiga mara 2 nikamvungia, sikutaka kupokea simu zake ili asijione yeye ndo special sana kwangu, niliamua kumkazia tu.

******
Jumapili asubuhi baada ya kutoka kanisani misa ya asubuhi niliwasiliana na Jane akanambia anategemea kurudi Dar es salaam jioni. Pia alisema jumatatu itabidi tuonane na aliomba niende na Mary pale kwake Mbweni.

Kwa upande mwingine Jane alikuwa yuko sawa hata sauti yake ilikuwa ishaanza kurudi kwenye hali yake. Tuliongea mambo mengi muda huu pamoja na maendeleo ya pale home pamoja na ndugu zake na alinishukuru sana kwa kuendelea kumjali mama yake.

Mchana nikiwa zangu home nimetulia nilipigiwa simu na Muajemi na akanambia leo ataonana na Iryn.

“Bro hajakusumbua kuonana?”

“Hajasumbua kabisa na leo nataka nifanye kama ulivyonielekeza.”

“Sawa wewe mchane ukweli ili ujue kama mpo pamoja au laah!.”

“Pamoja Bro! nitakupa mrejesho. Jioni nitatuma usafiri ukamchukue kwake.”

Ukweli muda huu nilianza kuingiwa na kawivu fulani hivi maana niliona tunda lishakwenda tayari kwa Muajemi. Nilikuwa nakumbuka ile Benz ambayo anataka kutoa kama zawadi nilijua Iryn hawezi kuchomoa, niliona anaweza hata mkubalia kwa kupretend ili aipate ile gari. Niliwaza Iryn anakwenda kuonana na Muajemi lakini hata hajanambia kabisa na sio kawaida yake.

Nilitoka home na hii siku nilikwenda zangu kushinda kwa Prisca na nikirudi home jioni.

Usiku nilitamani sana kumpigia simu Muajemi ili nijue wamefikia wapi lakini Roho ilikuwa inasita. Maana nilikuwa nakumbuka Muajemi alisema atanirudia lakini hakufanya hivo.

Jumatatu asubuhi nilifanya mawasiliano na Mary na nikampa taarifa za kurudi kwa Jane na yeye alizifurahia sana taarifa hizi. Tulipanga pale saa 10 jioni twende wote kule Mbweni kwa Jane.

Saa 6 mchana nilikwenda Masaki kwaajili ya kuonana na fundi, kulikuwa na kazi ya kufanya service za mashine za Saloon, hivyo ilibidi nikapange naye masuala ya bei.

Baada ya kuwasili pale nilikutana na Sumaiya na alikuwa kaninunia balaa, hataki kabisa kuongea na mimi. Hata baadhi ya wafanyakazi wa mle ndani walihisi something fishy kinaendelea kati yetu.

MIMI: “Kumbe hata wewe huwa unanuna? Utafikiri mtoto.”

SUMAIYA: “Insider wewe ni mzinguaji sana, Ilikuwaje ukaniacha na ny*ge zangu?.”

MIMI: “Ndo hicho kilichofanya unune?”

SUMAIYA: “Umenikera sana ujue sitamani hata kukuona, ulikuwa unanichora?”

MIMI: “Sikia sio nilikuwa nakuchora baada ya kutoka pale akili yangu ilirudi. Hivi unafikiri mimi ningewaza kukufvck kwako? Siwezi fanya huu ujinga. Unajua mimi sijui lolote kuhusu wewe, I don’t care unalipa kodi wewe au unalipiwa ila siwezi kukula kwako never. Maben ten ndo wanaweza ila mimi siwezi kabisa, kama hili lilikukera utanisamehe.

SUMAIYA: “Sawa sasa kwanini uninipe jibu ukaniacha vilevile na simu ukawa hupokei, unaona ulikuwa sawa?”

MIMI: “Kwa hili sikuwa sawa ndomana nimekuomba msamaha, mpaka sasa nikikumbuka hizo chuchu zako upwiru unapanda, your so hot mrembo.

SUMAIYA: “Insider unajitahidi sana kuwa na maneno matamu ila ulichonifanyia ni ukatili.”

MIMI: “Leo nakupeleka mgahawa wowote hapa Masaki utakaotaka tukale lunch sawa?”

SUMAIYA: “Sawa Bossy haina shida, nimefurahi pia sahivi nitakuwa na report mauzo kwako, nafikiri utakuwa poa.”

MIMI: “Sawa mimi sina shida ila naomba uniahidi kuanzia leo utakuwa na nidhamu pale napokuwa na Iryn, deal?”

SUMAIYA: “Mimi naropokaga tu ili nione reaction ya Queen, ukweli Queen anakupenda Insider pia unabahati ya kupendwa na mrembo kama yule ila unazingua shauri yako.“

MIMI: “Nitafanya kweli usijali best yangu.”

SUMAIYA: “Naomba uniahidi jambo pia, toka unifanyie vile najikuta nina aibu sana na wewe, sijui kwanini.”

MIMI: “Jambo gani?”

SUMAIYA: “Anyway bhasi, twende lunch nadhani ushaelewa nilichotaka kuongea nini.”

MIMI: “Nimekuelewa mtoto mzuri twende ukapate lunch.”

Nilishinda pale na fundi mpaka anamaliza kazi. Saa 8 mchana niliondoka pale Masaki na nilikwenda Mbezi Beach ili nimpitie Mary pale kwao, maana alikuwa akinisubiri ili twende Mbweni.

Baada ya kuwasili pale kwao Mary alitoka na tukaondoka kwenda Mbweni na tulitumia dakika 30 kuwasili pale kwa Jane.

Nilipiga honi na dada alitoka kufungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark.

Baada ya kushuka tuliingia ndani na tulimkuta mama akiwa seblen pamoja na watu wengine na tuliwasalimia wote. Mama alikuwa kafurahi sana baada ya kutuona na alikuwa akiongea na Mary, maana toka twende Tabora Mary hakurudi tena pale Mbweni.

Na muda huu Jane alitoka na wakaishia kukumbatiana na Mary, hata ndugu zake wengine wakabaki wanashangaa.

“Wow mdogo wangu Mary I’m glad to see you here again.”

“Thank you my sister.”

Jane alikuwa anaoneka ameanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida, pia mimba yake ilikuwa inaonekana kuzidi kuwa kubwa sana.

Jane alinishukuru sana kwa kuwa msaada kwake kipindi chote cha msiba , na alimshukuru sana Mary kwa kujitoa kwake kipindi chote cha msiba.

JANE: “Mary jinsi ulivyojitoa kwenye huu msiba na nilikuwa sikufahamu, niseme wewe ni zaidi ya ndugu kwangu. Insider naomba mimi na wewe tutoke nje nina maongezi kidogo private na wewe.

Muda huu tulitoka pale seblen na tulikwenda kukaa Garden ndo tulifanyia maongezi pale.

MIMI: “Niambie shem wangu kwanza nipe ripoti za huko maendeleo kwa ujumla.”

JANE: “Nashukuru Mungu ndugu zake Pama wamenipokea vizuri sana, hasa walivyosikia hili la ujauzito wamenipenda sana.”

MIMI: “Hivi mama yake alikuwa hajui kabisa kinachoendelea?”

JANE: “Mama yake Pama alikuwa anajua kila kitu na tulishawai kuongea kwenye simu lakini hatukuwai kuonana live.”

MIMI: “Vipi kuhusu wake wenza tukianza na Mrs Pama.”

JANE: “Hahahaaa Mrs hana usemi, tumeongea vizuri na hajaonesha sign yoyote, amesema atakuja kunitembelea hapa nyumbani. Kwa upande wa mke mwingine yule mwenye watoto wa2 naye hana shida maana nimchempuko mwenzangu tu.”

MIMI: “Nimefurahi sana kusikia hivyo kama Mrs Pama hajaonesha sign yoyote. Na vipi kuhusu mirathi kuna habari zozote umezipata?”

JANE: “Bado ila kila kitu tutajua mwezi wa 7 mwishoni, maana tutarudi tena kwaajili ya mirathi.”

MIMI: “Hongera sana na vipi kuhusu Mzee Juma anasemaje?”

JANE: “Mzee Juma hana usemi zaidi amesema atakuwa anakuja kila mwisho wa mwezi kuangalia maendeleo yangu.”

MIMI: “Unaonaje weekend hii tukaenda mpaka Bagamoyo wewe ukiwa kama Dereva? Ukiendesha hii barabara ndefu tena ya mkoani utapata ujuzi.”

JANE: “Kweli? Mimi sina shida Insider, hii idea yako nimeipenda sana.”

MIMI: “Usiwe na wasiwasi nitakuambia siku gani twende uzuri hapo Bagamoyo hata sio mbali.”

Nilimua kufanya hivi ili kumfurahisha Jane na pia nilitaka kuona uwezo wake wa barabarani kama amemasta au laah. Mimi naamini gari ili uzoee inatakiwa uingie barabarani ndo utajifunza vizuri na kuelewa sheria zote taratibu.

Baada ya maongezi na Jane alimwita Mary pale garden na yeye alikwenda ndani. Baada ya dakika 5 alirudi akiwa ameshika bahasha 2 za kaki.

“Ndugu zangu hizi ni Pesa naombeni mpokee.”

Muda huu sisi tulimkatalia kuzipokea zile Pesa na tulimwambia Jane sisi tulifanya kwa kujitolea na sio kulipwa, hivyo hatuwezi kuzipokea zile pesa zake.

JANE: “Insider ninafamu kujitoa kwenu kwangu, Insider ulinitumia ile budget nimeona kulikuwa na surplus ya milioni 2 na laki 4. Najua hii pesa ilitoka mfukoni kwako kinyume na taratibu. Umoja wa kina Pama umerudisha cost zote zilizotumika hapa na kule kwa Mrs Pama, gharama zote zilitakiwa kuwa juu yao. Wamenikabidhi Pesa zote na zaidi, sasa kuna haja gani ya mimi kuzificha wakati wewe ulitoa pesa zako mfukoni na unamajukumu?, na bado nimepewa pesa za michango ya msiba. Naombeni mpokee kwa moyo mweupe maana ni haki yenu.”

MARY: “Wifi kwa Insider ni sawa ila mimi hapana.”

JANE: “Mary mdogo wangu naomba upokee ingekuwa ni michango sawa ila zimetoka kwa kikundi naomba muwe na amani kama mtakataa nitawawekea kwa simu.”

Ilibidi tupokee tu maana hatukuwa na jinsi muda ule. Tuliendelea kupiga story pale mpaka saa 1 usiku ndo tukamuaga Jane tunaondoka.

Baada ya kufika kwenye gari kila mtu alifungua bahasha yake, mimi nilikuwa nimewekewa milion 5 na Mary aliwekewa milion 2.

Tukiwa njiani tunarudi niliongea na Mary na nilimuomba sana awe anamtembelea Jane kila anapopata nafasi. Mary hakuwa na shida na alisema hilo jambo lilikuwa kwenye plan zake tayari.

Ukweli baada ya kusikia maneno ya Mary nilikuwa nafuraha sana. Kwa upande wangu niliona Mary angekuwa mtu sahihi kwa Jane, sababu alikuwa anajitambua na alikuwa ana akili za kiutu-uzima.

Baada ya kuwasili pale kwao nilimvuta nikamkisi mdomoni “mwaaah”.

“Mary byee uwe na jioni njema, msalimie mama mkwe.”

“Usijali Insider takecare.”

Mary aliondoka na mimi nilikuwa namwangalia mpaka anapotelea ndani ndo nikaondoka maeneo yale.

Muda huu akili ilikuwa inaniambia niende kwa Iryn maana alinambia kuna mzigo kaagiza anategemea ungeingia kesho Jumanne, hivyo nilitaka kwenda kwake ili kucomfirm.

Kwa upande mwingine toka sakata la Jumamosi la kutokupokea simu zake, tulikuwa hatuja wasiliana kabisa. Muajemi naye hakunipa feedback yoyote kuhusu kuonana na Iryn hivyo nikaplan nikitoka kwa Iryn nitampigia simu.

Niliwasili pale kwa Iryn na nikapark gari usawa wa Apartment yake na nikapanda ghorofani. Niligonga mlango akatoka kufungua muda ule ule maana alikuwa seblen na baada ya kuingia ndani nikamkumbatia kwa nyuma.

MIMI: “Nambie Bossy wangu I have missed you bad badly.”

IRYN: “Mmh! Insider umeanza lini unafiki? wakati simu zangu hupokei? Leo nimekupigia 2 times ulikuwa unatumika lakini hujani call back.”

MIMI: “Ooh sorry sijaona kama ulinicheki afu nilikuwa Masaki kwaajili ya kumwangalia fundi then nikaenda Mbweni kwa Jane amerudi tayari.”

IRYN: “Kuhusu Masaki utanitumia report na Jane anaendeleaje?”

MIMI: “Yuko sawa now lakini sio sana hivyo.”

IRYN: “Atakaa sawa tu ila asiwe na mawazo sana ni mjamzito, inaweza kumpelekea shida.”

MIMI: “Mary will takecare of her, I trust Mary. Nambie lakini weekend yako jana iliishaje.?”

IRYN: “Insider kuna jambo naomba tuongee ila uwe honesty na mimi. Hivi kwanini ulikuwa unanitumia mimi kupata pesa kutoka kwa Muajemi?. Ulishawai hata sikumoja kunambia unashida nikakunyima? Kwanini ukaona utu wangu haufai kwako?.

TO BE CONTINUED
Ndo shida ya watu wenye domo zege kashindwa kumwaga swaga zake anapitia na kwa mwingine ili aonekane mwema[emoji23][emoji1]

Hii imeendaaa
 
EPISODE 48

Na muda huu Sumaiya alikuwa mpole ikabidi nimwambie nakwenda pharmacy kununua then narudi, hata yeye hakuwa na cha kusema.

CONTINUE…

Nilikuwa na Mzuka sana kwakweli lakini baada ya kutoka pale kwake kuelekea Pharmacy niliwaza, vipi kama Sumaiya anatumiwa na Iryn??. Pili niliona kulala naye nitaleta matatizo tu kwangu, maana Sumaiya ni mropokaji hachelewi kutangazia watu.

Mzuka ulinikata na niliamua kuondoka tu hata mzuka wa kununua Condom ni kama ulinikata, pia nilianza kijilaumu ilikuwaje mpaka nikataka kufanya ujinga ule?.

Sumaiya alianza kupiga simu kwa kasi baada ya kuona muda umepita sitokei na mimi sikutaka kupokea simu zake. Alipiga kama mara 4 hivi lakini sikuhangaika na simu zake kabisa, maana nilijua lazima atakuwa anaulizia niliko. Muda huu alituma pia message lakini sikumjibu na mimi niakendelea na safari yangu.
******

Jumamosi ni siku ambayo tulikuwa na kikao na tulifanyia pale Whitesand Hotel. Tulichagua hapa sababu tuliona ndo sehemu nzuri ya kufanyia kikao na imetulia. Na tulikubaliana muda wa kuanzaa kikao iwe saa 12 jioni tupate na Dinna ya pamoja.

Nilijiandaa mapema sana maana nilikuwa natakiwa kwenda kumpitia Iryn pale kwake then twende Whitesand. Nilipendeza sana hii siku maana nilitupia jeans ya Blue niliyoletewa zawadi na Iryn, nilivaa shati ya draft na chini nilipiga zangu buti za kahawia na nikavaa miwani niliyopewa na Mary. Ile miwani ilinipa credit sana maana nilikuwa kama doni flan hivi, kama ningesimamisha pisi isingenichomolea kabisa.

Niliwasili kwa Iryn mapema na yeye alikuwa bado anajiandaa, kwa upande mwingine Lucy na Sumaiya walikuwa wameshawasili eneo la tukio tayari kwaajili ya kuweka mambo sawa.

Baada ya dakika 15 Iryn alitoka akiwa na mwonekano wa tofauti kama nilivyomzoea, na alikuwa kapendeza sana, kuanzia mwonekano wa nywele mpaka mavazi.

“Bossy wangu umependeza sana kuliko siku zote.”

“Mmhh kweli mimi naona nimezingua eti. Hata wewe umependeza hizo glass zimekukaa vizuri sana.”

“Sidhani kama kuna ambaye atakufunika pale.”

“Si unajua mimi ni Managing Director? lazima niwe na utofauti.”

Iryn baada ya kuona mimi nimevaa miwani na yeye akaenda kuvaa yake. Tukawa tume match.
Tuliondoka pale japo tulikuwa tumechelewa kama nusu saa hivi.

Tuliwasili pale Hotelin na baada ya kupark gari tulishuka na tuliongozana tumeshikana mikono. Tuliwakuta wote wamefika tayari na walikuwa wamekaa nje kwenye majani, tulichagua pale nje ili tuwe tunapigwa na upepo wa bahari.

Mpaka tunawasili pale kwenye table tulikuwa tunapigwa macho sana, maana tulikuwa tumewaka balaa. Sumaiya muda huu alikuwa ananipiga jicho kali sana, toka like sakata litokee hatukuwai kuwasiliana tena.

Tulikaa katikati mimi na Iryn na pembeni yangu alikuwepo Lucy na upande wa Iryn alikuwa amekaa Sumaiya.

Nilisimama muda huu na nilifanya utambulisho mfupi kuhusu dhumuni la kikao hichi kilichoandaliwa na Meneja Iryn. Kwa ufupi lengo la kikao lilikuwa ni kutoa taswira na maendeleo ya biashara pamoja na kupokea ushauri na mapendekezo mbalimbali, ili kuboresha utendaji wa kampuni.

Iryn alisimama akaongea na yeye pia alitoa wito wa kutohudhuria kwa Mama Janeth sababu ya majukumu ya kiofisi. Muda huu aliweza kutoa pongezi kwa namna kila mmoja anavyojitolea kwenye kampuni. Pia aliweza kuzungumzia faida zilizopatikana kwenye kampuni na masuala mengine.

Iryn aliniongezea majukumu mengine ya kazi siku hii na alisema ripoti za mauzo zitakuwa zinatumwa kwanza kwangu, then mimi ndo nitakuwa ninamtumia yeye. Pia alitangaza kufunga ofisi ya Sinza na wafanyakazi wote wa kule watahamia Mikocheni kwenye ofisi mpya. Alitoa sababu ya kuifunga ofisi ya Sinza ni pamoja na mauzo hafifu na idadi ndogo ya wateja kwa upande ule.

Na muda huu Iryn alininong’oneza nikachukue zile simu kwa gari na mimi nilimtuma mhudumu akazichukue na ndani ya dakika 10 alikuwa karudi.

Iryn aliwataja wafanyakazi wake bora akiwemo Lucy na mimi. Na aligawa zawadi za simu kwa dada wawili.

“Rebecca nakupa hii zawadi sababu wewe ndo mfanyakazi pekee wa muda mrefu uliyebaki pale ofisini, wengi wanakujaga wanakukukuta wanakuacha. Julieth na wewe nakupa zawadi hii kama motivation naona unafanya vizuri kwa sasa. Hizi zawadi mtazifungua mkifika kwenu na sio hapa, nafikiri tupate dinna mengine yaendelee.”

Saa moja usiku tulipata dinna ya pamoja. Ilikuwa ni buffee unajisevia unachotaka wewe kula.

Baada ya kula kila mtu alianza kutoa ushauri na mapendekezo yake na mimi nilikuwa naandika kwa notebook. Na baada ya kila mtu kutoa ushauri, Iryn alisimama tena na alitoa bahasha ndogo nyingi kwenye mkoba wake na aligawa kwa kila mtu.

“Ahsanteni sana kwa muda wenu my family sina cha ziada hapa maana tunakwenda sehemu nyingine kumalizia usiku wetu. Nawaona wote mmependeza sana na hizo bahasha ni nauli za kurudia kwenu badae.”

Kwenye hichi kikao mwanaume nilikuwa peke yangu asee, nilikuwa zimezungukwa na warembo tu. Ukweli sikuwa napenda ila nilikuwa sina jinsi ndo kazi inayonipa kula sikuwa na jeuri.

“Insider tunakwenda wapi baada ya hapa?”

“Tunakwenda Kidimbwi Bossy.”

“Ulifanya booking maana tuko wengi sana.”

“Kwa siku kama leo hakunaga watu wengi tutapata meza hata usiwe na wasiwasi.”

Tulitoka pale Saa 2 usiku na tulikwenda moja kwa moja mpaka pale Kidimbwi kwenda kumalizia usiku wetu.

Baada ya kuwasili pale tulipelekwa kwenye table, sababu tulikuwa wengi ilibidi tuunganishe meza.

Tuliagiza vinywaji kila mtu anavyopendelea na baada ya mhudumu kuleta vinywaji kila mtu alianza kunywa. Mimi nilikuwa busy sana na Iryn tunapiga story,

MIMI: “Leo tunakwenda kulala wote sawa?”

IRYN: “Mama Junior anataarifa hizi?”

MIMI: “Sijisikii tu kwenda home au hutaki tukalale wote?”

Muda huu story zilikuwa zimetawala kwa wote, na kila mtu alikuwa na furaha sana.

REBECCA: “Sumaya hizi Savanna unazozinywa kwa pupa zitakuaibisha wewe shauri yako.”

SUMAIYA: “Best usiwe na shaka nikilewa Insider atanipeleka mpaka kwangu anakujua, hata usiwe na shaka, najua atanipeleka tu.”

Sumaiya aliropoka kwa nguvu kila mtu alisikia na Iryn alinipiga jicho moja kali sana muda huu. Kila mtu alikuwa ananiangalia mimi kusikia nitasema nini, maana walikuwa dilemma hawajui waamini nini kama ni kweli au Sumaiya kalewa. Kwa upande wangu niliendelea kuwa busy na glass yangu ya bia kama hakuna nilichosikia pale. Sikutaka kuongea lolote muda huu maana ningeongea Sumaiya angeendelea kuropoka na nilijua amelewa tayari.

Iryn alihisi something fishy kinaendelea kati yangu na Sumaiya na nilianza kuona mabadiliko yake taratibu. Maana hata ile furaha yake kama ilianza kupotea, Lucy ndo alikuwa makini sana akishuhudia mabadiliko ya Iryn alikuwa amekaa pembeni yake.

Tulikaa pale mpaka saa 5 usiku Iryn akaniambi tuondoke anataka akalale. Tuliwaaga pale na tukaondoka lakini barabarani tulikuwa kimya sana, hatukuwa na maongezi yoyote kama sikuzote. Wakati tunakaribia maeneo ya mzimuni Iryn alianza kuniongelesha,

IRYN: “Nikajua unaondoka na Sumaiya.”

MIMI: “Kwani naishi naye? Mpaka niondoke naye?”

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana mara hii ushapajua kwa Sumaiya? Nilihisi mapema sana kuna kitu kinaendelea kati yenu.”

MIMI: “Unamuamini Sumaiya? Ipo hivi juzi nilikwenda Masaki kuonana naye ili tupange mipango ya leo. Ilikuwa usiku tayari wakati naondoka, aliomba lift na baada ya kunielekeza anakaa Kinondoni karibu na biafra nikaona nipite huko ili niepuke na foleni ya Morocco. Sijampeleka kwake kama anavyodai niliishia barabarani na yeye akachukua bodaboda. Sumaiya amelewa yule ndomana anaropoka.”

IRYN: “Mhh sawa bhana Insider hakunaga siri hapa duniani.”

MIMI: “Trust me nishindwe kudate na wewe nimkimbilie Sumaiya si nitakuwa nimerogwa?.”

IRYN: “Sawa bhana haina shida.”

Na muda huu tulikuwa tushafika getini tayari kwenye apartments na mlinzi alifungua geti nikaingiza gari ndani. Baada ya kufika usawa wa apartment yake nilipark gari na nikamshika paja lake,

MIMI: “Leo nalala na wewe kama hutaki nambie niondoke.”

IRYN: “Insider be serious at this time on night?.”

MIMI: “Niondoke au tunalala wote?”

IRYN: “Impossible you have to go now, Mama Junior anakusubiri.”

MIMI: “Okay shuka mimi niondoke niwai kwa mama Junior.”

Baada ya kushuka mimi niliondoka kwa spidi sana, wakati nimefika Usawa wa viwanja vya Tanganyika pakers, Iryn alianza kunipigia simu. Na alipiga mara 2 nikamvungia, sikutaka kupokea simu zake ili asijione yeye ndo special sana kwangu, niliamua kumkazia tu.

******
Jumapili asubuhi baada ya kutoka kanisani misa ya asubuhi niliwasiliana na Jane akanambia anategemea kurudi Dar es salaam jioni. Pia alisema jumatatu itabidi tuonane na aliomba niende na Mary pale kwake Mbweni.

Kwa upande mwingine Jane alikuwa yuko sawa hata sauti yake ilikuwa ishaanza kurudi kwenye hali yake. Tuliongea mambo mengi muda huu pamoja na maendeleo ya pale home pamoja na ndugu zake na alinishukuru sana kwa kuendelea kumjali mama yake.

Mchana nikiwa zangu home nimetulia nilipigiwa simu na Muajemi na akanambia leo ataonana na Iryn.

“Bro hajakusumbua kuonana?”

“Hajasumbua kabisa na leo nataka nifanye kama ulivyonielekeza.”

“Sawa wewe mchane ukweli ili ujue kama mpo pamoja au laah!.”

“Pamoja Bro! nitakupa mrejesho. Jioni nitatuma usafiri ukamchukue kwake.”

Ukweli muda huu nilianza kuingiwa na kawivu fulani hivi maana niliona tunda lishakwenda tayari kwa Muajemi. Nilikuwa nakumbuka ile Benz ambayo anataka kutoa kama zawadi nilijua Iryn hawezi kuchomoa, niliona anaweza hata mkubalia kwa kupretend ili aipate ile gari. Niliwaza Iryn anakwenda kuonana na Muajemi lakini hata hajanambia kabisa na sio kawaida yake.

Nilitoka home na hii siku nilikwenda zangu kushinda kwa Prisca na nikirudi home jioni.

Usiku nilitamani sana kumpigia simu Muajemi ili nijue wamefikia wapi lakini Roho ilikuwa inasita. Maana nilikuwa nakumbuka Muajemi alisema atanirudia lakini hakufanya hivo.

Jumatatu asubuhi nilifanya mawasiliano na Mary na nikampa taarifa za kurudi kwa Jane na yeye alizifurahia sana taarifa hizi. Tulipanga pale saa 10 jioni twende wote kule Mbweni kwa Jane.

Saa 6 mchana nilikwenda Masaki kwaajili ya kuonana na fundi, kulikuwa na kazi ya kufanya service za mashine za Saloon, hivyo ilibidi nikapange naye masuala ya bei.

Baada ya kuwasili pale nilikutana na Sumaiya na alikuwa kaninunia balaa, hataki kabisa kuongea na mimi. Hata baadhi ya wafanyakazi wa mle ndani walihisi something fishy kinaendelea kati yetu.

MIMI: “Kumbe hata wewe huwa unanuna? Utafikiri mtoto.”

SUMAIYA: “Insider wewe ni mzinguaji sana, Ilikuwaje ukaniacha na ny*ge zangu?.”

MIMI: “Ndo hicho kilichofanya unune?”

SUMAIYA: “Umenikera sana ujue sitamani hata kukuona, ulikuwa unanichora?”

MIMI: “Sikia sio nilikuwa nakuchora baada ya kutoka pale akili yangu ilirudi. Hivi unafikiri mimi ningewaza kukufvck kwako? Siwezi fanya huu ujinga. Unajua mimi sijui lolote kuhusu wewe, I don’t care unalipa kodi wewe au unalipiwa ila siwezi kukula kwako never. Maben ten ndo wanaweza ila mimi siwezi kabisa, kama hili lilikukera utanisamehe.

SUMAIYA: “Sawa sasa kwanini uninipe jibu ukaniacha vilevile na simu ukawa hupokei, unaona ulikuwa sawa?”

MIMI: “Kwa hili sikuwa sawa ndomana nimekuomba msamaha, mpaka sasa nikikumbuka hizo chuchu zako upwiru unapanda, your so hot mrembo.

SUMAIYA: “Insider unajitahidi sana kuwa na maneno matamu ila ulichonifanyia ni ukatili.”

MIMI: “Leo nakupeleka mgahawa wowote hapa Masaki utakaotaka tukale lunch sawa?”

SUMAIYA: “Sawa Bossy haina shida, nimefurahi pia sahivi nitakuwa na report mauzo kwako, nafikiri utakuwa poa.”

MIMI: “Sawa mimi sina shida ila naomba uniahidi kuanzia leo utakuwa na nidhamu pale napokuwa na Iryn, deal?”

SUMAIYA: “Mimi naropokaga tu ili nione reaction ya Queen, ukweli Queen anakupenda Insider pia unabahati ya kupendwa na mrembo kama yule ila unazingua shauri yako.“

MIMI: “Nitafanya kweli usijali best yangu.”

SUMAIYA: “Naomba uniahidi jambo pia, toka unifanyie vile najikuta nina aibu sana na wewe, sijui kwanini.”

MIMI: “Jambo gani?”

SUMAIYA: “Anyway bhasi, twende lunch nadhani ushaelewa nilichotaka kuongea nini.”

MIMI: “Nimekuelewa mtoto mzuri twende ukapate lunch.”

Nilishinda pale na fundi mpaka anamaliza kazi. Saa 8 mchana niliondoka pale Masaki na nilikwenda Mbezi Beach ili nimpitie Mary pale kwao, maana alikuwa akinisubiri ili twende Mbweni.

Baada ya kuwasili pale kwao Mary alitoka na tukaondoka kwenda Mbweni na tulitumia dakika 30 kuwasili pale kwa Jane.

Nilipiga honi na dada alitoka kufungua geti na nikaingiza gari ndani nikapark.

Baada ya kushuka tuliingia ndani na tulimkuta mama akiwa seblen pamoja na watu wengine na tuliwasalimia wote. Mama alikuwa kafurahi sana baada ya kutuona na alikuwa akiongea na Mary, maana toka twende Tabora Mary hakurudi tena pale Mbweni.

Na muda huu Jane alitoka na wakaishia kukumbatiana na Mary, hata ndugu zake wengine wakabaki wanashangaa.

“Wow mdogo wangu Mary I’m glad to see you here again.”

“Thank you my sister.”

Jane alikuwa anaoneka ameanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida, pia mimba yake ilikuwa inaonekana kuzidi kuwa kubwa sana.

Jane alinishukuru sana kwa kuwa msaada kwake kipindi chote cha msiba , na alimshukuru sana Mary kwa kujitoa kwake kipindi chote cha msiba.

JANE: “Mary jinsi ulivyojitoa kwenye huu msiba na nilikuwa sikufahamu, niseme wewe ni zaidi ya ndugu kwangu. Insider naomba mimi na wewe tutoke nje nina maongezi kidogo private na wewe.

Muda huu tulitoka pale seblen na tulikwenda kukaa Garden ndo tulifanyia maongezi pale.

MIMI: “Niambie shem wangu kwanza nipe ripoti za huko maendeleo kwa ujumla.”

JANE: “Nashukuru Mungu ndugu zake Pama wamenipokea vizuri sana, hasa walivyosikia hili la ujauzito wamenipenda sana.”

MIMI: “Hivi mama yake alikuwa hajui kabisa kinachoendelea?”

JANE: “Mama yake Pama alikuwa anajua kila kitu na tulishawai kuongea kwenye simu lakini hatukuwai kuonana live.”

MIMI: “Vipi kuhusu wake wenza tukianza na Mrs Pama.”

JANE: “Hahahaaa Mrs hana usemi, tumeongea vizuri na hajaonesha sign yoyote, amesema atakuja kunitembelea hapa nyumbani. Kwa upande wa mke mwingine yule mwenye watoto wa2 naye hana shida maana nimchempuko mwenzangu tu.”

MIMI: “Nimefurahi sana kusikia hivyo kama Mrs Pama hajaonesha sign yoyote. Na vipi kuhusu mirathi kuna habari zozote umezipata?”

JANE: “Bado ila kila kitu tutajua mwezi wa 7 mwishoni, maana tutarudi tena kwaajili ya mirathi.”

MIMI: “Hongera sana na vipi kuhusu Mzee Juma anasemaje?”

JANE: “Mzee Juma hana usemi zaidi amesema atakuwa anakuja kila mwisho wa mwezi kuangalia maendeleo yangu.”

MIMI: “Unaonaje weekend hii tukaenda mpaka Bagamoyo wewe ukiwa kama Dereva? Ukiendesha hii barabara ndefu tena ya mkoani utapata ujuzi.”

JANE: “Kweli? Mimi sina shida Insider, hii idea yako nimeipenda sana.”

MIMI: “Usiwe na wasiwasi nitakuambia siku gani twende uzuri hapo Bagamoyo hata sio mbali.”

Nilimua kufanya hivi ili kumfurahisha Jane na pia nilitaka kuona uwezo wake wa barabarani kama amemasta au laah. Mimi naamini gari ili uzoee inatakiwa uingie barabarani ndo utajifunza vizuri na kuelewa sheria zote taratibu.

Baada ya maongezi na Jane alimwita Mary pale garden na yeye alikwenda ndani. Baada ya dakika 5 alirudi akiwa ameshika bahasha 2 za kaki.

“Ndugu zangu hizi ni Pesa naombeni mpokee.”

Muda huu sisi tulimkatalia kuzipokea zile Pesa na tulimwambia Jane sisi tulifanya kwa kujitolea na sio kulipwa, hivyo hatuwezi kuzipokea zile pesa zake.

JANE: “Insider ninafamu kujitoa kwenu kwangu, Insider ulinitumia ile budget nimeona kulikuwa na surplus ya milioni 2 na laki 4. Najua hii pesa ilitoka mfukoni kwako kinyume na taratibu. Umoja wa kina Pama umerudisha cost zote zilizotumika hapa na kule kwa Mrs Pama, gharama zote zilitakiwa kuwa juu yao. Wamenikabidhi Pesa zote na zaidi, sasa kuna haja gani ya mimi kuzificha wakati wewe ulitoa pesa zako mfukoni na unamajukumu?, na bado nimepewa pesa za michango ya msiba. Naombeni mpokee kwa moyo mweupe maana ni haki yenu.”

MARY: “Wifi kwa Insider ni sawa ila mimi hapana.”

JANE: “Mary mdogo wangu naomba upokee ingekuwa ni michango sawa ila zimetoka kwa kikundi naomba muwe na amani kama mtakataa nitawawekea kwa simu.”

Ilibidi tupokee tu maana hatukuwa na jinsi muda ule. Tuliendelea kupiga story pale mpaka saa 1 usiku ndo tukamuaga Jane tunaondoka.

Baada ya kufika kwenye gari kila mtu alifungua bahasha yake, mimi nilikuwa nimewekewa milion 5 na Mary aliwekewa milion 2.

Tukiwa njiani tunarudi niliongea na Mary na nilimuomba sana awe anamtembelea Jane kila anapopata nafasi. Mary hakuwa na shida na alisema hilo jambo lilikuwa kwenye plan zake tayari.

Ukweli baada ya kusikia maneno ya Mary nilikuwa nafuraha sana. Kwa upande wangu niliona Mary angekuwa mtu sahihi kwa Jane, sababu alikuwa anajitambua na alikuwa ana akili za kiutu-uzima.

Baada ya kuwasili pale kwao nilimvuta nikamkisi mdomoni “mwaaah”.

“Mary byee uwe na jioni njema, msalimie mama mkwe.”

“Usijali Insider takecare.”

Mary aliondoka na mimi nilikuwa namwangalia mpaka anapotelea ndani ndo nikaondoka maeneo yale.

Muda huu akili ilikuwa inaniambia niende kwa Iryn maana alinambia kuna mzigo kaagiza anategemea ungeingia kesho Jumanne, hivyo nilitaka kwenda kwake ili kucomfirm.

Kwa upande mwingine toka sakata la Jumamosi la kutokupokea simu zake, tulikuwa hatuja wasiliana kabisa. Muajemi naye hakunipa feedback yoyote kuhusu kuonana na Iryn hivyo nikaplan nikitoka kwa Iryn nitampigia simu.

Niliwasili pale kwa Iryn na nikapark gari usawa wa Apartment yake na nikapanda ghorofani. Niligonga mlango akatoka kufungua muda ule ule maana alikuwa seblen na baada ya kuingia ndani nikamkumbatia kwa nyuma.

MIMI: “Nambie Bossy wangu I have missed you bad badly.”

IRYN: “Mmh! Insider umeanza lini unafiki? wakati simu zangu hupokei? Leo nimekupigia 2 times ulikuwa unatumika lakini hujani call back.”

MIMI: “Ooh sorry sijaona kama ulinicheki afu nilikuwa Masaki kwaajili ya kumwangalia fundi then nikaenda Mbweni kwa Jane amerudi tayari.”

IRYN: “Kuhusu Masaki utanitumia report na Jane anaendeleaje?”

MIMI: “Yuko sawa now lakini sio sana hivyo.”

IRYN: “Atakaa sawa tu ila asiwe na mawazo sana ni mjamzito, inaweza kumpelekea shida.”

MIMI: “Mary will takecare of her, I trust Mary. Nambie lakini weekend yako jana iliishaje.?”

IRYN: “Insider kuna jambo naomba tuongee ila uwe honesty na mimi. Hivi kwanini ulikuwa unanitumia mimi kupata pesa kutoka kwa Muajemi?. Ulishawai hata sikumoja kunambia unashida nikakunyima? Kwanini ukaona utu wangu haufai kwako?.

TO BE CONTINUED
Ha ha ha kwa nini ulikuwa unanitumia mimi kupata pesa,swali gumu kweli hili aisee!!
 
EPISODE 46

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilifanya kurequest usafiri kwaajili ya Mary na mimi nilichukua bajaji kwenda Changanyikeni kulala kwa Prisca.

CONTINUE..

Baada ya kuwasili kwa mama kijacho wangu Prisca nilimkuta hajalala na alikuwa bado yuko seblen anaangalia movie. Niligonga mlango na akatoka kunifungulia, muda huu aliishia kunikumbatia na makisi juu. Pale nje kuna jamaa alikuwa anaanika nguo na aliishia kutukodolea macho kwa wivu.

“Baby I have missed you so much.”

“Remember I promised you nitakuja leo.”

“Pole na Msiba hunny, da Mary umemwacha wapi?”

“Tuliachana ubungo pale yeye karudi home.”

“Kaoge kwanza then uje ule sawa?”

“Twende ukaniogeshe bwana au hutaki kuniogesha Baba Kijacho?”

“Mhh sawa honey tangulia nakuja.”

Baada ya kuoga tulikuwa chumbani tukipiga story na muda huu nilikuwa namchezea Prisca tumbo lake na yeye alikuwa ametulia tulii anasikia raha. Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kabadilika sana kimaongezi, ule utoto wake ulikuwa umekwisha, kulikuwa na mabadiliko makubwa sana.

Tuliishia kulala tu maana nilikuwa nimechoka na uchovu sana wa safari.

Asubuhi niliamshwa kwaajili ya breakfast na kwenye simu Iryn, Mary, Muajemi, na Mama J walikuwa wamenipigia simu. Ilibidi nianze kumpigia simu Mama J na niliongea naye mbele ya Prisca huku akisikia.

WIFE: “Baba J Unaendeleaje jana ulisema unarudi mbona hujarudi?”

MIMI: “Wife sorry tulichelewa kutoka then tukapata shida njiani, hivyo tulilala Moro na soon tutaanza safari ya kurudi.”

WIFE: “Ok husband, Iryn amesema leo anaondoka jioni kwenda kwake.”

MIMI: “Sawa! Lakini mwambie asiondoke kwanza, mimi mchana nitakuwa hapo, nitampigia simu soon niongee naye.”

Na wakati naongea na mama J kwa simu Prisca alikuwa akinitizama sana na baada ya kumaliza maongezi akaanza kucheka.

“Honey una masters ya uongo inaonekana hata mimi unanidanganya vingi sana.”

“So ulitaka niseme ukweli kwamba niko kwa mchepuko?”

“Nooo! I like the way ulivyomdanganya na ameridhika kabisa hajawa na maswali tena.”

Na mimi nilikwenda zangu kulala tena maana nilikuwa na uchovu muda huu, ukijumlisha kutoka kule Mbweni mpaka Tabora nilikuwa nakosa muda wa kulala kabisa.

Mchana muda wa saa 9 nilipigiwa simu na mama wa2 na akanambia jioni atakuja kwangu kunitembelea, pia alisema ana mazungumzo na mimi kuna jambo anataka kunishirikisha.

Muda huu ilibidi nimuage Prisca na nikaondoka kurudi home Mbezi. Nilitumia bodaboda kurudi nyumbani na ilinichukua dakika 20 kufika pale, na baada ya kushuka na kuingia ndani mama J alikuja akani hug na Iryn akafuatia.

Muda huu tulitumia kuongea kuhusu habari za msiba za kule Tabora na baada ya kumaliza maongezi ya msiba nilimpa mama J taarifa za ujio wa mgeni.

MAMA J: “Vipi kuhusu Iryn tulikuwa tunapanga tuondoke ukirudi wewe.”

MIMI: “Iryn kwanini tusiondoke kesho mummy nikusaidie kutoa na vitu kule Kijitonyama?”

IRYN: “No problem Insider usiwe na wasiwasi, mama J tutakwenda kesho tuandae dina kwaajili ya wageni baadae.”

Saa 12 jioni mama wa2 alikuja nyumbani pamoja na mwanae Rachel lakini nilishangaa kuona haja ongozana na Pili.

“Mama mkwe karibu ndani hapa ndo nyumbani jisikie upo kwako.”

“Ahsante sana mkwe ukweli nimefurahi sana kupajua pia pole sana kwa msiba jamani.”

“Ahsante sana kwakweli Mzee tulijuana kwa muda mfupi na ametangulia mbele za haki, alikuwa kama mzee kwangu. Vipi mke wangu Pili yuko wapi? mbona hujaja nae?.”

“Pili amekwenda Mwanza kumsalimia Baba yake.”

“Ohh! habari njema hizi ni haki yake.”

Kipindi niko msibani mama wa2 alinijulisha kuwa Pili anafunga shule, hivyo nikamchukue lakini nilishindwa sababu ya kuwa busy na msiba.

Nilitumia muda huu kufanya utambulisho na nilianza na mama J ambaye nilimtambulisha kama mke wangu na nilimtambulisha Iryn kama ndugu yangu. Na baada ya hapo nilimtambulisha mama wa2 kama ndugu yangu wa karibu sana, na muda huu alikuwa amemshika Junior akimchezea.

“Insider una mtoto mzuri hivi napendaje watoto wa kiume mimi, yaani so handsome kama Baba yake.”

“Mama naomba nimshike mtoto na mimi please” ni sauti ya Rachel alikuwa akimwomba mama yake. Na mama wa2 alimpa mtoto Rachel ili amshike.

Saa 1 usiku tulipata dina ya pamoja na baada ya dina akina mama J waliondoka wote pale nyumbani. Waliaga wanatoka out, hivyo nikabaki mimi na mama wa2 pale nyumbani.

Baada ya kuondoka tulikuwa free kufanya maongezi pale kwa kujiachia,

“Insider ukweli nimefurahi sana kufika kwako na kuijua familia yako. Huyo dada umesema ni ndugu yako lakini anaonekana kama sio Mtanzania she’s so beautiful kuna watu walipendelewa kuumbwa.”

“Wazazi wake sio Watanzania kwa kuzaliwa ila wameishi hapa. Nambie ulisema una mazungumzo mengine na mimi.”

“Insider nashukuru Mungu nimepandishwa cheo pale ofisini na sasa nitakwenda HQ na mshahara nitalipwa mara ya 3 ya huu ninaolipwa sasa.”

“Jamani nimefurahi sana kusikia hivyo mama mkwe, mafanikio yako ni yangu. Hongera sana na Mungu akutangulie. Unategemea kuanza lini majukumu mapya?.”

“Mwezi ujao nafikiri, na vipi kuhusu suala lako la kazi nitumie CV yako au hutaki kufanya kazi Bank?”

“Napenda ila kuna deal Marehemu alisema ananitafutia so baada ya kifo chake kuna mtu amemwachia maagizo ambaye tutaonana akirudi kutoka Tabora. Acha nimsikilize afu nitakupa mrejesho mama mkwe.”

“Usiwe na wasiwasi anytime utanambia ili tufanye maarifa.”

“Vipi ni connection au uchapakazi wako tu?”

“Insider ukweli Baba Rachel kanisaidia kupanda cheo.”

“Ndo raha hii ya kuzaa na wakubwa.”

“Hahahah Insider umeanza. Nafikiri tukukimbie sasa ili nikajiandae na ratiba za kesho.”

“Acha niwapeleke ili na mimi niende kule msibani nikaangalie na maendeleo maana toka nirudi jana sijakwenda kabisa.”

Tuliondoka na mama wa2 na nilitumia ile Dualis maana Ist walikuwa wameondoka nayo akina Iryn. Na muda huu nilifanya kuwasiliana na Mary nikamwambia nampitia baada ya dakika 20 ajiandae ili twende Mbweni.

Baada ya kuingia kwa gari Mama wa2 alikuwa akishangaa sana kuona na gari nyingine.

“Insider hii ni gari mpya kabisa umenunua?”

“Hapana hii ni ya Mzee alinununua kwaajili ya mchepuko wake, alisema nisimpe mpaka awe vizuri barabarani, sasa ndo kimetokea kifo chake.”

“Aisee sijui huyo dada anahali gani kwasasa, inaonekana Mzee alikuamini sana, kukuachia gari sio kitu kidogo ujue.”

“Unachoongea ni sahihi Mama mkwe.”

Tulitumia dakika 10 kuwasili pale kwake na niliwashusha na wakati tunaagana Rachel alikuwa akiongea na mimi.

RACHEL: “Uncle Insider utakuwa unakuja kunichukua ili nikacheze na Junior sindio?”

MIMI: “Usijali Rachel nitakuwa nakuja weekend sawa?”

MAMA WA2: “Insider kafunga shule huyu hata katikati ya week sio mbaya.”

MIMI: “Sawa haina shida nitakuwa nakuja kukuchua, wewe ukim-miss nipigie simu tu.”

RACHEL: “Ok byee Uncle.” Na tuliishia kugonga mikono.

Tuliachana pale na mimi nilikwenda kumchukua Mary pale kwao na tukaanza safari ya kwenda Mbweni. Kwa upande mwingine Mary alishangaa kuona nina gari mpya na mimi sikutaka kumwambia chochote.

“Kumbe siku ile usiku ni wewe uliyemshusha Prisca pale home na hii hii gari.”

“Hahahaa ni mimi ila sikutaka kukupa salamu ile siku maana niliona muda umekwenda.”

“Tabia mbaya hiyo Insider unajua nilimfikiria vibaya sana Prisca ile siku, hata yeye hakutaka kusema ni wewe.”

Tuliwasili pale Mbweni na nilimkuta yule mlinzi pale getini akiendelea na majukumu yake. Niliamua ku-park gari nje kabisa ya geti, sikutaka kuingia nayo ndani.

Tuliingia ndani na nikawakuta baadhi ya ndugu wa Jane na marafiki zake baadhi walikuwepo na wengine walikuwa wanakuja kutoa pole. Pis Kuna baadhi ya ndugu walikuwa wameondoka tayari.

Tuliwasalimia wote na mama yake alikuwa pale sebleni nikamsogelea karibu. Nilisalimiana na mama na aliulizia mazishi yalikwendaje kule Tabora. Kwa upande mwingine mama alikuwa na wasiwasi sana kuhusu mwanae kukosa stahiki zake, maana Jane hakuwa mke halali wa ndoa.

Nilimtoa hofu mama muda huu na nikamwambia Mzee alisoma waraka kuwatambulisha wake zake wote hata Jane ametambulika kama mke wake. Na imani atapata urithi maana Mzee aliandika ameacha barua ya mirathi.

“Na wasiwasi mwanangu wasije mnyang’anya na hii nyumba, Jane akaanza kutaabika.”

“Hamna mama Mzee alisema hii nyumba kamjengea Jane, nafikiri hata hati itakuwa na Jina la Jane naamini hivyo.”

Kwa upande mwingine mama yake alinishukuru sana kwa yote niliyoyafanya pale na kujitoa kwangu kipindi chote cha msiba. Na sisi hatukaa sana bali tuliwaaga tukaondoka pale Mbweni na tulikwenda mpaka “The Wave” ya kule chini Whitesand.

Baada ya kuwasili pale, tuliingia ndani na tulitafuta angle nzuri tukakaa. Tuliagiza wine ambayo tulifanya kushara na Mary na muda huu tulikuwa tukipiga story mbalimbali.

“Insider umejitoa sana kwenye huu msiba Mungu atakulipa hata Mzee huko aliko atakuwa anaona must be proud of you.”

“Hata wewe pia Mary ulijitoa sana sikutegemea ungenipa kampani namna ile, ulijitoa kuliko hata ndugu zake Jane.”

“Insider, unajua Mzee japo nilimwona kwa mara 2, ila kifo chake kilinishtua sana.”

“Unajua mimi mpaka sasa siamini amini kama kweli Mzee ametutoka naona kama ndoto. Nikikumbuka wakati tunaongea na alikuwa akinisisitiza sana kumwangalia Jane.”

“Ni kama alikuwa anaona kifo chake inabidi uwe bega kwa bega na Jane, nafikiri Mzee alikupa Task hakutaka kukwambia ukweli.”

“Hata mimi nahisi hivyo, Mzee alinipa task Mungu asaidie Jane ajifungue salama. Nafikiri hii ndo task nayotakiwa kuhakikisha inafanikiwa.”

“Hiyo ndo point hata hivyo Insider unabahati sana ya kukutana na watu wenye hadhi tukianza na Mzee sikutegemea angekuwa na ukwasi wa namna ile.“

“Unajua sikuwahi kumwuliza Mzee kuhusu personal life yake hata siku moja, ila nilipanga this time angerudi ningemwuliza maana alisema angenitafutia kazi.”

“Nilisikia unaongea na Mzee Juma naamini atakusaidia kama kweli alipewa maagizo kutoka kwa mzee na jinsi ulivyojitoa kwenye huu msiba naamini atafanya jambo.”

“Anyway acha tuone Mzee pekee ndo angelichukulia hili suala kwa uzito sana maana kuna sehemu nilikuwa namgusa, how about Mzee Juma??”

“Ni kweli unayosema ila siamini kama anaweza kukuchinjia baharini.”

Tulitumia kama masaa 2 pale “The wave” na tuliamua kuondoka kwenda kulala. Na muda huu niliwaza kumpa pesa kidogo Mary maana nilijua lazima kafulia.

Kipindi niko msibani Tabora niliwasiliana na Muajemi na nilimpa taarifa za msiba na alinitumia milion 1 ya pole. Pia Nilimuahidi nikirudi Dar jumamosi ningemcheki maana alisema anataka tuongee kuhusu sakata la Iryn.

Hivyo, nilikuwa na million 1 kutoka kwa Muajemi, laki 5 kutoka kwa Iryn na laki 3 alizonipa Mzee Juma. Jumla nilikuwa na 1,800,000/= na sikutumia hata cent kwenye hizi pesa.

Nilimpeleka Mary mpaka kwao na wakati tuko nje getini tuliendelea kupiga story na Mary mle ndani ya gari. Baada ya nusu saa hivi tuliagana na nilimpa laki 3 kama shukrani yangu kwake.

******
Jumatatu asubuhi niliondoka pamoja na Iryn kwenda kwenye apartment yake mpya. Na toka alipie alikuwa hajawai kwenda tena maeneo yale. Baada ya kuwasili pale getini kulikuwa na mlinzi, hivyo tukafanya utambulisho kwanza.

“Kaka mimi naitwa Iryn mpangaji mpya niko “Block A” floor ya 1.”

“Karibu sana Bossy na samahani kwa usumbufu.”

“Usijali ni kazi yako hakuna ulichokosea.”

Muda huu tulifunguliwa geti na tulikwenda moja kwa moja mpaka usawa wa apartment ya Iryn ndo nikapark gari.

Baada ya kuingia ndani ya apartment Iryn alikuwa anaangalia vitu vya kununua. Baada ya hapo tuliondoka kwenda Kijitonyama kwanza, kwenda kuchukua vitu vyake.

Baada ya kuwasili pale Kijitonyama tuliingia ndani na Iryn aliingia chumbani kuanza kupanga nguo na kuweka kwenye bag. Mimi muda huu nilikuwa nafungua Home thieta maana ilikuwa inaondoka na baada ya kumaliza nilikwenda kumsaidia kutoa vitu vya chumbani na kupeleka kwenye gari.

Nilifungua drow na nikaanza kutoa vitu vya mle ndani na nilivyofungua drow ambalo lina simu nikaanza kuzitoa na kuzipanga.

IRYN: “Insider hizo simu ulisema utanitafutia mteja uliishia wapi?”

MIMI: “Nilisahau ila leo kuna mtu nitampigia naona ziko 10 idadi ni sawa?”

IRYN: “Ni sawa moja kuna dada nilimpa pale Sinza niliona peke yake hana simu inayoeleweka. Na wewe unaweza kuchukua simu moja hapo utakayoipenda.”

MIMI: “Thank you Bossy, mimi nina chukua hii 13 Pro.”

IRYN: “Kwanini sasa? Chukua hio Pro Max.”

MIMI: “Napenda simu ndogo hiyo Promax hapana.”

IRYN: “Sawa ni wewe tu mimi nimekupa uchague unayotaka kama umeipenda Pro haina shida.”

MIMI: “Na hizi zilizobaki niuzaje?”

IRYN: “Uza hizo 13 Pro Max na hiyo Samsung, hizo 13 Pro ziweke kuna dada tutawapa Saloon. Kwa hizo simu 7 zilizobaki niletee milion 14 cash, ukiuza zaidi ya hapo ni yako.”

MIMI: “Sawa afu nilikuwa nawazo, kwanini ile Saloon ya Sinza isifungwe? Wateja wa pale tukawa direct Mikocheni? Maana nimefanya Research nimegundua wateja wengi hawatoki Sinza pale.”

IRYN: “Wazo lako ni zuri sana nafikiri mwisho wa mwezi huu tuta achana na Sinza. Hata pale Mikocheni tunahama kuna ofisi kubwa niliipata tutaweza hata kupata sehemu ya storage.”

MIMI: “Ooh! hukuwahi kunishirikisha hili kabisa ulianza lini Process?”

IRYN: “Ni muda toka kipindi kile nime-kusimamisha, pia naomba week hii utaorganize kikao kila kitu utapanga wewe. Mimi utanipa ratiba, location na cost zote tutakazo incur. Nataka kuongea na wafanyakazi wangu wote mpaka wa Masaki.”

MIMI: “Sawa haina shida, nitalifanyia kazi then nitakupa mrejesho mapema.”

Baada ya hapo tuliondoka pale Kijitonyama na tulikwenda Mlimani City ambapo alikuwa anafanya shopping ya kununua vitu vya ndani pamoja na chakula. Na baada ya kumaliza shopping tuliondoka na kurudi Kawe kwenye apartment mpya.

Nilishinda pale na Iryn na siku hii nilimpigia Ugali na yeye alikuwa anapika mboga. Na baada ya lunch nilimwaga nakwenda Mbweni kwaajili ya kuangalia maendeleo ya pale.

Nilipitia pale Jambo Supermarket Bahari Beach nikanunua baadhi ya mazaga ya jikoni ya kupika na nilinunua mchele, unga, Nyama ya ng’ombe na Kuku. Nilihisi huenda wakawa wameishiwa vitu vya kupika hivyo nilijiongeza tu kwa upande wangu.

Baada ya kuwasili pale na mazaga dada alikuja kunipokea na nilimsaidia kubeba mpaka jikoni. Nilikuwa nimefaulu ule mtihani maana walikuwa wameishiwa vitu ndani.

“Kaka umejuaje kama vitu vilikuwa vimeisha ndani maana nilikuwa nawaza kukupigia lakini mama akasema niache utakuja.”

“Ungepiga tu hata msiwe na wasiwasi kwa siku nyingine.”

Na muda huu nilikwenda Seblen kuonana na mama na nilimsalimia pia pale kulikuwa na ndugu wengine wa Jane. Mpaka leo walikuwa watu watano tu wamebaki pale kwa Jane.

MAMA: “Mwanangu huyu ni mdogo wake Jane anaitwa Vicky ndo bint yangu wa mwisho. Sikuwai kukutambulisha kipindi kile cha msiba na kila ukija anakuwa ndani.”

MIMI: “Hongera mama naona pia wamefanana sana na Jane, nilikuwa namwona ila nilihisi ni mdogo wake.”

Na mudaa huu nilisalimiana na Vicky, pia alikuwa anasoma chuo hapa Dar na alikuwa 1st year.

VICKY: “Ahsante kaka tunashukuru kwa yote na kujitolea kwako kwenye familia yetu.”

MIMI: “Msijali tuko Pamoja sana ndugu zangu.”

MAMA: “Umewasiliana na Jane? na maendeleo yake yapoje? Mimi simpati kwa simu.”

MIMI: “Nimeongea naye asubuhi na weekend hii ataweza kurudi. Wakati naongea naye alikuwa kidogo kachangamka tuendelee kumwombea.”

MAMA: “Ahsante sana kidogo na amani.”

Na muda huu simu yangu alianza kuita na ile kucheki alikuwa ni Muajemi akipiga na mimi nilipokea simu yake na tukaanza mazungumzo.

Muajemi alikuwa anaomba tuonane jioni ya saa 11 ontime na mimi nilimkubalia sikuwa na pingamizi lolote.

Nilishinda pale Mbweni mpaka saa 10 jioni na niliaga nikaondoka maeneo yale. Njiani nilifanya mawasiliano na Muajemi na akanambia tukutane pale Namanga.

Niliendesha gari mpaka Namanga na mapema nilikuwa nimefika tayari. Baada ya kufika maeneo yale nilimpigia simu na akaniambia yuko showroom ambayo ipo opposite na mataa ya Namanga.

Nilidrive mpaka pale Showroom na nikapark gari nje nikaingia ndani. Baada ya kuingia ndani niliweza kuonana na Muajemi na tukasalimiana kwa kugonga tano. Na muda huu tulianza kuongea na alinipa pole ya Msiba na maongezi mengine mengi yaliendelea.

“Bro! sitaki kukupotezea muda ila nina zawadi kwaajili ya Iryn naomba uipeleke kwa niaba yangu.”

“Ni zawadi gani hiyo Bro?”

“Twende nikuoneshe Bro!.”

Tuliongozana na Muajemi na baada ya mwendo wa hatua 10 hivi alinionesha gari kama zawadi ya Iryn. Mbele yangu ilikuwa inaonekana Mercedes Benz kwa nyuma ikisomeka “S-550” something like that. Na colour yake ni rangi ya maziwa “pearl” na ilikuwa inang’aa sana muda huu.

“Nataka umpelekee Iryn hii gari.”


TO BE CONTINUED
Muajemi ni Dugu moja na Kondeboy kabisaa,ye anahonga ndinga kali tu
 
Back
Top Bottom