Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mkuu unataka niwe nandika kila kitu? Yaani niandike nilikwenda kwa mama 2 kulipa deni?[emoji1][emoji1544].

Suala la ujenzi ni binafsi ndomana siandiki progress humu ndani[emoji3]
Nimependa haso zako na nimependa namna unavyo jidhibiti kwenye matumizi ndio maana nimevutiwa kuona kam ulimudu kulipa liledeni make una njaa ya hela [emoji28][emoji28] na hela zinapit amikononi mwako ilakulipa deni ndio sikujua
 
Hii timu mkuu itanipa ugonjwa wa moyo..jana tena tumepokea za uso
KUla chuma hicho😂😃
FB_IMG_16949673001260543.jpg
 
Chuoni mnakutana my watu wazima so huwezi mjua mtu nje ndani pia hata Kama mtu mchoyo ana Tabia nzuri ama mbaya huwezi jua Mana ameshakuwa mkubwa so anayaficha mabaya yake.
Ila Sasa njoo mkiwa wadogo Kama huko olevo advance and primary pale unamjua mtu uhalisia wake,Mana Kama Kuna mwingine hapendi kuelekezwa wenzake eti watajua na watamzidi. Kuna mwingine akiazimwa pamphlet ukilitoa kopi anaichana kopi yako.
Ingawa mie rafiki yangu wa kuzikana na kufa nimetoka nimekutana naye chuoni na huwa inatokea in rare case mno

kwakweli nina marafiki wawili wa chuo ila wakiume[emoji23][emoji119][emoji119] They are so real kwakweli namshukuru MUNGU hawana unafiki wala choyo tunasaidiana sana na kusapotiana sanaa na nawakubali sana[emoji4]
 
Back
Top Bottom